reeny Profile Banner
reeny Profile
reeny

@IreneMarandu4

Followers
2,858
Following
5,959
Media
213
Statuses
659

professional Human resources Officer , @youngAfricansSC and @Arsenal fan

Joined November 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@IreneMarandu4
reeny
7 months
Hakuna kitu kitazuia mpango wa Mungu juu ya maisha yako. Siku zote wakati wa Mungu ni sahihi, usichoke kuwa na uvumilivu.
3
24
101
@IreneMarandu4
reeny
7 months
Kama umeweza kuiona asubuhi ya leo hata kama unapitia nyakati ngumu sana kwenye maisha na huna mtu wa kukusikiliza na kukusaidia mwambie Mungu asante
5
15
88
@IreneMarandu4
reeny
7 months
Tujifunze kusahaulika. Unaweza kuwafanyia watu mambo makubwa lakini ukaishia kulipwa kashfa. Ukitaka uendelee kukumbukwa utaumia Tu. Binadamu wengi huona thamani yako wanapojua unaweza kutatua shida zao. Baada ya hapo habari yako imeishia Hapo, Tenda wema Nenda zako.
2
11
75
@IreneMarandu4
reeny
7 months
Kwenye safari yako ya maisha uta poteza, uta dharaulika, utatukanwa, uta bezwa, uta ibiwa lakini wewe songa mbele tu, changamoto hupita.
1
14
71
@IreneMarandu4
reeny
4 months
Make sure you thank God for the things you didn’t even pray for.
6
12
70
@IreneMarandu4
reeny
10 months
Tweet media one
7
4
51
@IreneMarandu4
reeny
7 months
Maishani unachoweza kufanya ni kuwa vile ulivyo. Watu wengine watakupenda kwa ajili yako. Wengi watakupenda kwa kile unachoweza kuwafanyia, na wengine hawatakupenda hata kidogo kwa hiyo Usimlazimishe mtu akupende wala kukuchagua.
1
3
46
@IreneMarandu4
reeny
6 months
Sio kila kinachokuja kwako ni chako na si kila kiondokacho kwako ni chako hata kama unavipenda sio vyako,vingine Mungu huviondoa kwako ubaki salama.
4
3
41
@IreneMarandu4
reeny
9 months
KIPOFU anatamani Angalau siku 1 aone na kusoma KITABU CHA MUNGU. KIZIWI nae anaham Angalau dakika 1 asikie NENO LA MUNGU." BUBU naye anaham Angalau Atamke herufi 1 ya NENO LA MUNGU ila siku Ya leo" MUNGU amekupa vitu vyote Mkumbuke tu hilo MUNGU ni mwema wote sisi ni wa kwake
3
6
36
@IreneMarandu4
reeny
7 months
Tunapambana kila siku kuna wakati tunashindwa lakini hatukati tamaa bali tunamshukuru Mungu huku tukiamini mafanikio yetu bado yanaishi
1
5
37
@IreneMarandu4
reeny
5 months
Ikiwa huwezi kufanya mambo makubwa, fanya vitu vidogo kwa njia nzuri.
2
9
30
@IreneMarandu4
reeny
8 months
Tushakosa Tulipodhani Tutapata Na Tushapata Tulipodhani Tutakosa…Wakati Wa Mungu Ndio Wakati Sahihi Tuendelee kupambana Hakuna kukata Tamaa 🙏🏽
2
2
28
@IreneMarandu4
reeny
9 months
Wakati mwingine ukiona umechelewa kupata ujue Mungu anakuandalia kilicho bora zaidi. Uwe na Subra
0
1
18
@IreneMarandu4
reeny
10 months
Jitazame ulikotoka na ulipo sasa, kumbuka ile siku uliopoteza matumaini ulitokaje? Shukuru sana Mungu bado yuko na wewe na usikate tamaa kizembe tena.
1
0
14
@IreneMarandu4
reeny
9 months
Tweet media one
0
0
12
@IreneMarandu4
reeny
2 months
@TweetHunterIO screenshot this
1
0
11
@IreneMarandu4
reeny
2 months
Tweet media one
0
2
11
@IreneMarandu4
reeny
3 months
@Neypaul01 🤑🤑🤑
1
0
8
@IreneMarandu4
reeny
6 months
0
0
8
@IreneMarandu4
reeny
11 months
1
0
8
@IreneMarandu4
reeny
3 months
0
1
5
@IreneMarandu4
reeny
4 months
Tweet media one
0
0
6
@IreneMarandu4
reeny
3 months
@pikaso screenshot this
0
0
6
@IreneMarandu4
reeny
2 months
Tweet media one
0
0
3
@IreneMarandu4
reeny
2 months
Tweet media one
0
0
3
@IreneMarandu4
reeny
2 months
Tweet media one
0
0
3
@IreneMarandu4
reeny
11 months
@Kirikuu20 Irenemarandu
0
0
3
@IreneMarandu4
reeny
2 months
Tweet media one
0
0
3
@IreneMarandu4
reeny
2 months
Tweet media one
1
0
3
@IreneMarandu4
reeny
2 months
Tweet media one
0
1
2
@IreneMarandu4
reeny
2 months
Tweet media one
0
0
3
@IreneMarandu4
reeny
3 months
0
0
3
@IreneMarandu4
reeny
1 month
Tweet media one
0
1
2
@IreneMarandu4
reeny
1 month
Tweet media one
0
0
2
@IreneMarandu4
reeny
6 months
@Neypaul01 😍😍
0
0
2
@IreneMarandu4
reeny
2 months
Tweet media one
0
0
2