Tujifunze kusahaulika. Unaweza kuwafanyia watu mambo makubwa lakini ukaishia kulipwa kashfa. Ukitaka uendelee kukumbukwa utaumia Tu.
Binadamu wengi huona thamani yako wanapojua unaweza kutatua shida zao. Baada ya hapo habari yako imeishia Hapo, Tenda wema Nenda zako.
Maishani unachoweza kufanya ni kuwa vile ulivyo. Watu wengine watakupenda kwa ajili yako. Wengi watakupenda kwa kile unachoweza kuwafanyia, na wengine hawatakupenda hata kidogo kwa hiyo Usimlazimishe mtu akupende wala kukuchagua.
KIPOFU anatamani Angalau siku 1 aone na kusoma KITABU CHA MUNGU.
KIZIWI nae anaham Angalau dakika 1 asikie NENO LA MUNGU."
BUBU naye anaham Angalau Atamke herufi 1 ya NENO LA MUNGU
ila siku Ya leo" MUNGU amekupa vitu vyote Mkumbuke tu hilo
MUNGU ni mwema wote sisi ni wa kwake