"Ukiingia katika chumba cha hoteli zima taa, kisha tumia simu yako kama chanzo cha mwanga, itasaidia sana hasa katika kugundua kama chumba chako kimefungwa kamera ya/za siri ili kuepuka picha zako kuchukuliwa pasipo ridhaa"~ Stanslauns Lambat
#TokomezaKonekshen