Happie💕 Profile Banner
Happie💕 Profile
Happie💕

@Happie_Thom

Followers
128,736
Following
2,053
Media
5,295
Statuses
166,354

Accountant by Pro| Influencer | A Sister and A Friend| Lord is my shepherd🙏| Man City| ⚽⚽| LiveLoveLaugh❤

Tanzania
Joined July 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
Baba/Mama yako aliwahi kukwambia maneno gani ambayo unaishi nayo mpaka leo?
284
98
1K
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Wanaume kuna muda wanapitia mambo magumu na si mara zote hupenda kuyasema,Wanawake tukawe chanzo cha amani kwa hawa viumbe na zaidi ya yote tuwaombee mana kuna nguvu kubwa ya maombi kupitia mwanamke🤝
872
374
4K
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Wapo wanaume wanajua kupenda bwana na wanaijua thamani ya mwanamke yani anakupenda na kukujali mpaka unatamani uhamishe watu wote waliopo duniani mbaki wawili😂😂😂😂 Mungu awabariki wanaume wa aina hiyo popote walipo duniani🙏❤
375
96
2K
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
If you don't gerrit forget about it😂😂😂😂
Tweet media one
225
95
2K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
First born are assistant parents,may God empower them financially 🙏🏻
156
201
2K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Sema alomdanganya dadaangu kuhusu Qnet Mungu anamuona ameng'ang'ania anataka kujiunga kila ninachomwambia hataki kuelewa😩😩
279
43
2K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Nimeikuta ripoti yangu ya enzi hizo sasa venye nitakua nawaambia watoto wangu sijawahi toka ndani ya top three na huu ushahidi😂😂😂😂 Anyway Mungu awaongoze Std 7 kwenye mitihani yao🙏🏻
Tweet media one
350
47
2K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
It's my birthday 🎉🎂
Tweet media one
360
52
1K
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
Chakula gani huwezi acha kula hata uwe tajiri vipi??
429
51
1K
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Je, wajua? Mwanaume anaefanya mapenzi sana huongeza miaka 8 zaidi ya kuishi #ElimikaWikiendi
Tweet media one
350
104
1K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Kwenye kila familia kuna yule mtu mmoja yani huwaga hana time na wageni kabisa😂😂😂
133
32
1K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Wapwa ndo mida hii Weka handle yako tukufollow usisahau tukifollow unafollow back👇👇 #WapwaTuinune
537
80
1K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Kumbe ukiwa rais hata ukinywa maji unapigiwa makofi😂😂
124
24
1K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Jambo gani linaweza kufanya upunguze mapenzi kwa mtu uliyempenda sana??
383
30
1K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Kwahiyo wanaume zile sura za huruma kama unataka kulia flani hivi wakati wa kuomba msamaha mnakuaga mnact,kuna mwenzenu ananipa siri zenu za kambi huku😂😂😂
295
24
1K
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Ladies acha kumringanisha mpenzi wako na mpenzi wa rafikiako namaanisha acha kutaka yale anayofanyiwa rafikiako na boyfriend wake ufanyiwe hivyo hivyo kila mtu ana namna yake ya kuonyesha upendo appreciate kile kidogo anachokufanyia kwa upendo,muheshimu na msupport hustle zake
109
70
907
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Leo nimejua kushangaa kumbe simu ukiifungia kwenye foil paper ukipiga namba haipatikani hata kama ipo hewani🙌
84
30
891
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Hii picha inakupa ujumbe gani??
Tweet media one
220
49
901
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Msemo gani ukiusikia unajua kabisa hapo umepigwa?
154
20
882
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Usichukulie poa hisia za mtu,Ukipendwa pendeka
180
47
879
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Imagine umeweka picha ya mpenzi wako wallpaper then upo zako kwenye daladala unatumia zako simu,unasikia mtu humjui anakwambia "mbona umeweka picha ya mpenzi wangu wallpaper"? Utamjibu nini 😂😂😂😂
201
35
870
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Kitu gani umeshindwa kuacha kabisa??
258
26
867
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
Mara yako ya kwanza kununua kondomu ulijisikiaje? #IshiKismati
Tweet media one
204
64
873
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Hivi kirefu cha FFU ni Fanya Fujo Uone ama nimekariri ujinga😂😂😂😂
182
32
864
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Men,if you meet a partner who doesn't need you financially,what else can you offer in a relationship??
174
25
833
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Hebu jisifu hapa kidogo, upo vizuri katika nini?👇
224
20
847
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Mwanamke akikupenda kweli ni wewe mwanaume pekee utakayefanya upendo huo uishe
112
38
834
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Kama tunavyokumbuka kuweka simu chaji kabla ya kulala ili tukiamka iwe full chaji vivo hivyo tukumbuke kusali kabla ya kulala ili kushukuru kwaajili ya leo na kuomba baraka ya kuiona kesho...Nawakumbusha kusali my twitter fam and ukawe usiku mwema🙏❤
79
64
828
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
It's My Mama''s Birthday Today🎉, May God Keep Her Safe For Me🙏🏻♥️
132
28
800
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Hivi na nyie wanaume huwa mnaulizaga wadada nani kakupa namba yangu?
169
14
802
@Happie_Thom
Happie💕
8 months
Nimecheka sana😂😂😂😂😂
78
173
828
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Weekend imeshaanza mshtue na mwenzio wapwa tuinuane sasa,fanya kuweka handle yako👇👇 #WapwaTuinuane
238
37
773
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Eti nasikia wale waliofunzwa na ulimwengu Graduation ni kesho😂😂😂😂😂
84
44
784
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Kitu cha kupata ndani siku 14 nimekipata ndani ya siku 2... Tuishi vizuri na watu huwezi jua utamuhitaji mtu lini,wapi na kwa wakati gani,connection zinasaidia☺️
115
59
791
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Mungu akawabariki wanaume wote duniani na akawape moyo wa kutokata tamaa hata pale mambo yanapokua magumu,nyinyi ni nguzo na tunawathamini🙏🏻 Heri ya siku ya wanaume kwenu💕
85
27
793
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Hivi HAMIDA wa kiume tutamuitaje maana hapa najisikia kugalagala😩😩
173
19
774
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Maombi yangu leo Mungu awabariki wanaume wote wanaohangaika kupata pesa, sio rahisi ila hakika itakuwa sawa siku moja🙏
65
43
794
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Oyaa Fam ile Camon 12 yetu hii hapa sasa😂 Asanteni tena na tena kwa support yenu🙏 #MerryBlueChristmas #ChaguaTECNO2020
Tweet media one
Tweet media two
131
56
758
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Toka mwaka uanze leo ndo nimeokota noti kubwa hivi😂😂😂
Tweet media one
139
6
750
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
"Ningekuwa nimekuomba rushwa ama msaada ningeona aibu, lakini kukopa, kila mtu huwa anakopa, hata wewe una mikopo!" ~HK 2020 😂😂😂
52
31
773
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Hivi nyanya chungu zina faida gani mwilini???
177
5
739
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Chakula gani huwezi kula hata uwe na njaa vipi??
183
22
756
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Asanteni sana familia yangu ya twitter natamani kumtag kila mmoja lakini mpo wengi na kwa namna moja au nyingine kila mmoja amechangia katika ushindi huu nimepata support ambayo sikuitegemea kuna watu pia walikua pamoja nami hawakuchonika ni upendo wa pekee kutoka kwenu
96
43
752
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Nimeikuta WhatsApp Eti moja ya dalili ya umaskini ni kutokuwa na dakika za mitandao yote🤣🤣🤣🤣
132
37
761
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Huyu mpaka rangi ananisugua miguu vizuri😍
126
11
749
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Kama huwezi support basi heshimu hustle za watu
39
69
741
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Ni Bora Useme Naomba Kuliko Useme Nikopeshe Wakati Huna Mpango Wa Kulipa
81
66
724
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
Hivi ni bora upige simu isipokelewe au ukute inatumika?
144
26
721
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Eti wewe hapo ukijiangalia vizuri unaona kama kuna mtoto wa mtu atakubali mkae pamoja maisha yenu yote?😂😂
129
23
693
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Arusha mvua inapenda kunyesha usiku ilimladi tu sisi tunaolala kama panga stoo tuteseke 😭😭😭
97
15
710
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Zimebaki siku 4 tuumalize mwaka inawezekana 2019 haukuwa mzuri sana kwako lakini usiache kushukuru kwa pumzi Mungu aliyokupatia kwa mwaka mzima pale ambapo hapakwenda sawa pakawe funzo kwaajili ya 2020 na kwa yale mazuri yakaendelee 2020.. Mungu wetu ni mkuu atatuvusha salama🙏
43
68
703
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
Una game gani kwenye simu yako?
216
24
691
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Nimefikia stage hata nisipotumiwa "good night" text wala sishtuki usingizi unakuja tena mzuri tu😂😂😂
88
18
697
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Nilikua nazungumza na mdada mmoja hivi akaniambia kamaliza chuo mwaka 2014 na toka mwaka huo hajapata kazi mpaka sasa pamoja na kutuma maombi sehemu mbalimbali hapo nikakumbuka kuna waliomaliza mwaka jana tu wamepata kazi lakini sikuzote hulalamika mara mshahara mdogo na visababu
58
52
692
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
It's my birthday🎈
204
47
672
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Jamani msiturekodi bila ridhaa yetu wengine tuna vyeo kanisani 🙄
59
16
661
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Bodaboda guys wa Arusha wako romantic naitwa mamaa mara mamii na Jumapili njema nimeambiwa leo😂😂😂
56
8
674
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Dear future hubby where are you 😭😭
145
17
665
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Ex wangu kanipigia simu eti gal wake kazaa kwahiyo na mimi nikikutana na watoto wake wataniita aunt,sikubali nami natafuta mtu wa kuzaa nae😂😂😂😂
90
21
658
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
Imagine unamwambia mtu I love you anakujibu God bless you 😂😂😂
94
29
665
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Kuna wenzangu muda huu akaunti zao za benki zinasoma million 30 na hawana habari nazo,mimi nimenunua zangu mchele kilo 3 niweke ndani saizi najisikia nipike pilau nilile mpaka usiku🙄
68
17
645
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
I found a person i don't want to lose ♥️♥️♥️
118
15
648
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Hebu wait kwanza, kwani mlifikiri nina miaka mingapi labda?😂😂😂
93
9
649
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Unatamani nani akutumie pesa? Mtag hapo inaweza kuwa siku yako ya bahati leo👇👀
126
13
630
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
Kama una date first born usimpe stress we already going through alot😒
38
53
644
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Safari ya Arusha to Dar ni masaa mangapi?🤔
151
6
624
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
A very blessed day My God is awesome🙏 What i know stress is over hayo mengine bakeni nayo😂😂😂
Tweet media one
138
38
620
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Sending love to everyone who's trying their best to heal from things that they don't discuss,it will get better 🙏🏻❤️
37
50
623
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Jambo gani baya ukifanyiwa huwezi kusamehe?
100
10
622
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
This guy kaniomba namba nimemwambia sina simu na huku nimeishika mkononi akauliza na hiyo uliyoshika nikamjibu ni redio imebidi acheke tu😂😂😂
108
8
623
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Msaada; Anayejua sababu ya kutoka damu puani na huduma ya kwanza, nitasoma replies🙏🏻
64
18
610
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Hakuna binadamu aliye mkamilifu ukimpata mtu anaekuvumilia na kukupenda pamoja na mapungufu yako usimuache na utulie kabisa
53
43
609
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Nawaza kungekuwa na uwezo wa kutuma voice note humu🤣🤣🤣
75
15
588
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Appreciate tweet kwa male tweeps wenye followers wachache☺️☺️
100
10
602
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Kuna vitu vya kuforce ila sio mapenzi
75
14
599
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Ngoja, kuna watu toka January mko single?
101
15
595
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Huyo mpenzi wako amekusave jina romantic au hilo jina lako linatosha😂😂😂😂
124
16
581
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Asante Mungu kwa kunikutanisha na huyu mwanaume🙏🏻♥️
85
7
596
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
Usikae single kizembe ita mtu babe asipokasirika huyo ni wako tayari 😂😂😂
70
21
600
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
January to December si kwa nguvu zetu ni kwa neema ya Mungu🙏🙏
38
76
593
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Vile nakuaga serious kujibu sina simu mtu akiniomba namba njiani na huku nimeishika😂😂😂😂😂🙌🙌
65
8
595
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Kuna rafikiangu ameibiwa simu yake aina ya infinix,Je kuna uwezekano anaweza ipata? Msaada please 🙏🏻
89
9
587
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Aliyegundua panadol inasafisha pasi🙌🙌
41
25
588
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Mtu akikuamini jitahidi usivunje huo uaminifu, unapovunja hujui ni watu wangapi watashindwa kuaminiwa kwa sababu ya makosa yako,usiwe sababu ya wengine kushindwa kuaminiwa✍️
41
59
596
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Nimekumbuka nishawahi iba chakula nyumbani nikampelekea mshkaji sema na bado aliniacha🤣🤣🤣
91
9
581
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Kabla hujaniletea umbea kuwa bae is cheating hakikisha unakuja na bae for replacement siwezi kuwa single kwasababu yako.. Are we together 😂😂😂
55
29
582
@Happie_Thom
Happie💕
2 years
Twitter Location video ya Utu pale ni wapi coz😍😍😍
49
6
577
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
Sema ukikazana kuangalia age mate wako wanafanya nini ni kutafuta depression tu😂😂
40
15
573
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Naomba msaada kama kuna jinsi ya kusolve hii kitu mana saivi imezidi😩😩
Tweet media one
211
12
563
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Ukiwa huna hela hata mtu akikusemesha kwa sauti kubwa unaona kama anakukalipia😂😂😂
57
29
550
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Nisingeweza kufikisha bila nyinyi Asanteni sana🙏🏻 Nawapenda ♥️
Tweet media one
81
16
561
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Nasikia wale wanaoishi kwa kubeti leo ndo wamepokea barua ya kusimamishwa kazi😂😂😂😂
94
16
563
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
DALILI ZA UGONJWA WA CORONA Za mara kwa Mara: • Homa • Kikohozi kibichi • Uhemaji wa tabu • Maumivu ya mwili • Kuuma kwa koo mfano wa matonses (tonsillitis) • Kukosa hamu ya kula Za mara chache: • Kuhara • Kutapika • Kichwa kuuma • Kukohoa damu • Maumivu ya kifua
30
134
564
@Happie_Thom
Happie💕
5 years
Ukipendwa pendeka Ukiachwa achika Ukivumiliwa vumilika Hebu ongezea nyingine🤣🤣🤣👇👇
155
27
560
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Raha ya jeuri uwe na pesa,Ukiwa huna pesa halafu ukajifanya jeuri unaonekana kama unataka kujinyonga hivi😂😂😂
54
20
547
@Happie_Thom
Happie💕
1 year
"Ukiingia katika chumba cha hoteli zima taa, kisha tumia simu yako kama chanzo cha mwanga, itasaidia sana hasa katika kugundua kama chumba chako kimefungwa kamera ya/za siri ili kuepuka picha zako kuchukuliwa pasipo ridhaa"~ Stanslauns Lambat #TokomezaKonekshen
Tweet media one
25
62
574
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Dj piga wimbo wa Enrique- You're My Number One iwe dedication kwa baby wangu,ujumbe ni kwamba Nampenda sana😍♥️
56
8
545
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Like kama umewaona😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
54
12
552
@Happie_Thom
Happie💕
3 years
WhatsApp wameona ile "Forwarded" haitoshi saivi sms ikiwa imeforwadiwa sana inaandika "Forwarded many times"😂😂😂
39
12
560
@Happie_Thom
Happie💕
4 years
Kuna mama hapa jirani alikua kila wakipishana kauli na mumewe anamsema tena hata mbele za watu na ataongea hiyo siku nzima mume akamuaga anasafiri kikazi ana mwaka wa tatu huu hajarudi NOTE;Hakuna mwanaume anayeweza kukaa na mwanamke mwenye maneno mengi
69
33
554