Mama yuko Kazini Profile Banner
Mama yuko Kazini Profile
Mama yuko Kazini

@mamayukokazini

Followers
12,540
Following
4
Media
6,016
Statuses
6,330
Explore trending content on Musk Viewer
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
5
38
133
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
#HappyBirthdayMama #Miaka63 Salaam na kheri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha NARC-Kenya, @MarthaKarua kwenda kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan. #MamaYukoKazini
11
55
323
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Zaidi ya watumishi wa umma 180,000 wamepandishwa vyeo katika miezi 10 ya uongozi wa Mhe. Rais Samia, sawa na zaidi ya watumishi 18,000 kila mwezi. Kuwapandisha vyeo kunaongezea ari kuhudumia wananchi, kuboresha hali zao za maisha & pia kutoa nafasi kwa ajira mpya. #MamaYukoKazini
Tweet media one
33
40
227
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
Epuka kusambaza taarifa zisizo sahihi. #MamaYukoKazini
Tweet media one
37
130
203
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Meli ya MV Mwanza iliyopewa jina la Hapa Kazi Tu, ikiwa tayari imeshashushwa ndani ya Ziwa Victoria kwa maandalizi ya kuanza kutoa huduma kwa wananchi. #MamaYukoKazini kila kona ya Tanzania.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
52
208
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Mkopo wa TZS milioni 20 kwa Bushoke kwa ajili ya kazi za sanaa kupitia Mfuko wa Utamaduni na Sanaa. #MamaYukoKazini
Tweet media one
27
38
184
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
𝐈𝐊𝐔𝐋𝐔 𝐃𝐎𝐃𝐎𝐌𝐀 | 𝐅𝐀𝐇𝐀𝐑𝐈 𝐘𝐀 𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 Mheshimiwa Rais Samia Suluhu akiwasili Ikulu Chamwino, Dodoma kwa ajili ya kuzindua jengo la ofisi za Ikulu. #MamaYukoKazini
6
63
157
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
"Umeme sasa hivi kwa mwananchi sio anasa, bali ni lazima. Na ndio maana serikali tunakopa kupeleka umeme vijijini. Tumeitengeneza TANESCO iweze kupeleka umeme vijijini."- Mhe. Samia Suluhu Hassan
15
20
75
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
“Naomba mniombee na mnipe msaada na ushirikiano mkubwa ili kazi ya kuendesha Taifa hili iwe rahisi kwangu.” - Rais Samia Suluhu #mamayukokazini
Tweet media one
17
20
142
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
“Elimu sio njia ya kuepuka umaskini, bali ni silaha ya kupambana nao.” - Mwalimu Nyerere Mwonekano wa sehemu ya madarasa 14 yaliyojengwa Shule ya Sekondari Semkiwa mkoani Tanga ambapo kila darasa lina madawati 50, na miundombinu muhimu ikiwemo umeme. #MamaYukoKazini
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
22
145
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Wanafunzi wote waliofaulu kidato cha kwanza kesho wataanza masomo wote kwa pamoja, ikiwa ni mara ya kwanza tangu uhuru hilo kuwezekana. Mafanikio hayo ni matokeo ya Mhe. Rais Samia Suluhu kujenga madarasa 15,000, ili kutoa fursa sawa ya elimu kwa watoto wote. #MamaYukoKazini
Tweet media one
11
36
133
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu anaendelea kuwa mfano wa kuigwa kwa mabinti na wasichana ndani na nje ya nchi. Georgina Magesa (8) ni mmoja wa wengi, leo ametimiza ndoto yake ya kuonana na Rais na kumzawadia kitabu alichoandika. Anaamini atakuwa Rais wa Tanzania miaka ijayo.
Tweet media one
2
46
131
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
8 months
🤝 Tunasimama pamoja nyakati zote.
Tweet media one
7
42
129
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
11 months
Kutoka kijiweni. #MamaYukoKazini
Tweet media one
2
54
120
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
13 days
“Maendeleo ni safari.” - Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan #MamaYukoKazini
Tweet media one
22
57
134
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Vyama vya siasa ruksa kufanya mikutano ya kisiasa, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza. #MamaYukoKazini
9
48
119
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
𝐌𝐇𝐄. 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐀𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐌𝐀𝐁𝐈𝐋𝐈𝐎𝐍𝐈 𝐘𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐔𝐌𝐈𝐒𝐇𝐈 Watumishi 14,398 wamelipwa TZS bilioni 25.66 ambazo ni malimbikizo ya mishahara kati ya Julai 2022 na Machi 2023. Fedha hizi zinaendelea kuongeza mzunguko wa fedha na ukuaji wa uchumi maeneo mbalimbali
Tweet media one
22
43
120
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
4 months
𝐌𝐄𝐈 𝐌𝐎𝐒𝐈. #MamaYukoKazini
Tweet media one
32
92
106
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
9 months
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu amefupisha safari yake Dubai na anarejea nchini kutokana na mafuriko yaliyotokea wilayani Hanang, Manyara. Aidha, ameelekeza Serikali igharamie mazishi ya waliofariki, majeruhi wapatiwe matibabu bure na wasio na makazi wapatiwe makazi ya muda.
Tweet media one
6
63
118
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
#HappyBirthdayMama #Miaka63 Salaam na kheri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kutoka kwa Sugu kwenda kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan. #MamaYukoKazini
8
38
116
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Umoja wa Falme za Kiarabu umeiwezesha Tanzania kutekeleza miradi inayogusa maisha ya Watanzania kama hospitali, barabara, maji & kiwanda. Mazungumzo ya Mhe. Rais Samia na Mwanamfalme wa Abu Dhabi, Mohamed Nahyan yanalenga kukuza ushirikiano kwa maslahi ya Taifa. #MamaYukoKazini
Tweet media one
5
37
113
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Msisitizo wa Mhe. Rais Samia Suluhu ni wananchi kuzingatia lishe bora ili kujikinga dhidi ya magonjwa, na kwa ustawi wa Taifa. #MamaYukoKazini
Tweet media one
1
21
117
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
DJ Ally B anasema #MiakaMiwiliYaMama maneno kidogo, kazi imefanyika kwa wingi. #MamaYukoKazini
5
53
112
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Umeme unaongeza fursa na umeendelea kusambazwa na kupatikana kwa wananchi wengi zaidi nchini. Katika kufanikisha hili mwananchi akiomba kufungiwa umeme: 1. Nguzo ni bure 2. Nyaya ni bure 3. Mita ni bure 4. Gharama za kuunganishwa ni shilingi 27,000. #mamayukokazini
19
21
110
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
8 months
Umoja wetu ndio nguvu yetu.
Tweet media one
4
68
113
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐇𝐀𝐍𝐀 𝐌𝐁𝐀𝐌𝐁𝐀𝐌𝐁𝐀 Ni Fiston Mayele akitoa shukrani zake kwa Mheshimiwa Rais kwa heshima kubwa aliyoipa Yanga SC. #MamaYukoKazini
3
62
111
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
9 months
Watani wa Jadi, Mama amezingatia viwango, uwanja ni wenu. #MamaYukoKazini
Tweet media one
1
42
113
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
11 months
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesisitiza kuwa Katiba ni misingi ya maadili na itikadi zilizokubaliwa na Watanzania kuwa hizo ndio zitakazowaongoza. #MamaYukoKazini
9
67
111
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Baada ya kujenga madarasa 15,000 na kuwezesha wanafunzi wote waliofaulu kujiunga kidato cha kwanza, Serikali ya Mhe. Rais Samia Suluhu inaelekeza nguvu kwenye ajira za walimu na mtundu ya vyoo. Azma ni kuimarisha ubora wa elimu kwa manufaa ya wananchi na Taifa. #MamaYukoKazini
Tweet media one
18
28
109
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Siku 9, kilometa zaidi ya 2000, mikoa zaidi ya 5, mikutano na wananchi vijiji na miji midogo 61 na utatuzi wa changamoto zao kuboresha maisha, wakati huo huo mandhari ya nchi yetu ikirekodiwa kuitangaza zaidi kimataifa, kutupa fursa zaidi za uwekezaji na utalii. #mamayukokazini
Tweet media one
13
20
104
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Sudan Kusini yawasilisha maombi yake kwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu: 1. Kutumia Bandari ya Dar es Salaam 2. Walimu wa Kiswahili 3. Kununua chakula Tanzania 4. Kusafirisha bidhaa kupitia SGR (ikikamilika) #mamayukokazini
Tweet media one
6
11
107
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
4 months
𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐃𝐈𝐏𝐋𝐎𝐌𝐀𝐒𝐈𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝐌𝐎𝐉𝐀 𝐖𝐀 𝐍𝐂𝐇𝐈 𝐘𝐄𝐓𝐔 Akizungumza, anasikilizwa. #MamaYukoKazini
Tweet media one
2
81
90
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
9 months
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu amewataka wasanii kuzingatia maadili ya Kitanzania katika kazi zao. #MamaYukoKazini
1
66
97
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
9 months
Mwanamageuzi wa kweli. #MamaYukoKazini
Tweet media one
5
65
100
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 month
Nasaha za 𝐌𝐀𝐌𝐀 👏 #MamaYukoKazini
Tweet media one
17
83
108
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 month
Ujumbe wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu katika maadhimisho ya Siku ya Kiswalihi Duniani. #MamaYukoKazini
16
85
107
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
16 days
𝐌𝐀𝐌𝐁𝐎 𝐘𝐀𝐍𝐀𝐙𝐈𝐃𝐈 𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐙𝐔𝐑𝐈 #MamaYukoKazini
Tweet media one
6
62
104
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
10 months
Ujenzi unaokwenda kufanyika; 🚢 Meli moja ya mizigo Ziwa Tanganyika 🚢 Meli moja mizigo Ziwa Victoria 🚢 Kiwanda cha Kujengea meli Ziwa Tanganyika Sekta ya uchukuzi haijawahi kushuhudia mageuzi makubwa kama sasa. #MamaYukoKazini
Tweet media one
5
63
102
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Kituo cha Afya Kitulo sasa kimekamilika. Kituo hiki ni moja ya maelfu ya vituo vya afya vinavyoendelea kujengwa maeneo mbalimbali nchini kwa juhudi na uongozi imara wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu. Huduma za afya zinazidi kusogezwa karibu na wananchi. #MamaYukoKazini
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
25
100
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
10 months
𝐄𝐋𝐈𝐌𝐔 𝐁𝐎𝐑𝐀 ni jambo la 𝐌𝐀𝐌𝐀. #MamaYukoKazini
Tweet media one
13
50
99
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
BIMA YA AFYA KWA WATANZANIA WOTE “Nataka niwape habari njema kwamba Bunge litakalokaa mwezi huu wa Tisa linakwenda kupitisha Sheria ya Bima ya Afya kwa Watanzania wote.” - Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia #MamaYukoKazini
Tweet media one
9
25
94
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 month
MAMA anajenga jamii yenye kuheshimiana na uwajibikaji. #MamaYukoKazini
19
95
104
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
8 months
𝐌𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐇𝐔𝐑𝐔𝐌𝐀 𝐍𝐀 𝐀𝐍𝐀𝐘𝐄𝐉𝐀𝐋𝐈 Serikali chini ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu imemchangia Prof. Jay TZS milioni 97 kwa ajili ya taasisi yake ya kusaidia wagonjwa wa Figo na kumwezesha kupandikiza figo. #MamaYukoKazini
Tweet media one
4
57
97
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
11 months
📍Hospitali ya Wilaya ya Ileje, Songwe Sadaruki (ICU) imekamilika. Wananchi wamshukuru kiongozi wao, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kwa kuyagusa yao. #MamaYukoKazini
Tweet media one
6
52
98
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Jana majira ya saa mbili usiku MV Serene Theodora imetia nanga katika Bandari ya Dar ikiwa na tani 38,500 za Salfa. Huu ni mzigo mkubwa zaidi wa Salfa katika historia ya bandari Tanzania. Salfa hutumika viwandani kwa uzalishaji wa bidhaa mbalimbali mfano mbolea. #mamayukokazini
Tweet media one
9
10
93
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 months
Kuanzia Novemba 18, 2024, Shirika la Ndege la Ufaransa litafanya safari tatu kwa wiki kati ya Paris na Kilimanjaro (Tanzania). Haya ni matokeo ya Diplomasia ya Uchumi chini ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu ambayo yatakuza utalii na biashara baina ya nchi hizi. #MamaYukoKazini
Tweet media one
24
91
100
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
11 months
DAR KAMA MBELE 🔥 Mambo yanazidi kuwa mazuri. #MamaYukoKazini
Tweet media one
4
48
94
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
Mheshimiwa Rais ametimiza ahadi, shilingi milioni 35 kwa Simba SC. #MiakaMiwiliYaMama #MamaYukoKazini
Tweet media one
0
20
97
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
Tanzania imeweka historia barani Afrika ikiwa nchi ya kwanza kuwa na ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F. #MamaYukoKazini
Tweet media one
5
44
96
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
TAKUKURU yatangaza nafasi 320 za kazi kwa vijana. Bonyeza kiungio kutuma maombi #MamaYukoKazini
Tweet media one
1
48
91
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Kampuni ya Australia, BHP inawekeza TZS bilioni 230 katika mradi wa Kabanga Nickel mkoani Kagera, kuzalisha madini yanayohitajika kutengeneza betri na magari ya umeme. Tanzania itanufaika kwa kuongeza mapato ya serikali, ajira na kukua kwa biashara ya madini. #MamaYukoKazini
Tweet media one
14
32
92
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
10 months
Anazilinda 𝐓𝐔𝐍𝐔 na 𝐀𝐋𝐀𝐌𝐀 za taifa. Anaendeleza maono na falsafa za Baba wa Taifa. #MamaYukoKazini
Tweet media one
4
41
97
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Jitihada za serikali kukuza Kiswahili zinafanikiwa baada ya Umoja wa Afrika kuanza kukitumia kama lugha ya kazi. Utekelezaji huo umekifanya Kiswahili kuwa lugha pekee ya Kiafrika inayotumika kwenye umoja huo, na utakuza mtangamano wa Afrika na kukuza lugha hiyo. #MamaYukoKazini
Tweet media one
7
27
89
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
"Mimi ni muumini mkubwa kwamba kilimo kinaweza kuivusha nchi... Nimefanya kazi kwa miaka tisa kwenye kilimo chini ya Shirika la Chakula Duniani, na nimeona ni vitu gani vikifanywa, kilimo kinakwenda kukua."- Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan #MamaYukoKazini
Tweet media one
6
37
86
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
11 months
Yanayojiri mitaani. #MamaYukoKazini
Tweet media one
8
63
92
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Mpigania Uhuru Mwasisi & Mwenyekiti #1 wa UWT Mbunge #1 wa Rufiji Naibu Waziri wa Afya wa #1 Mwanamke Jina lake ni Bibi Titi Mohammed Rais Samia atazindua mnara maalum kutambua na kuenzi mchango wake kwa maendeleo ya Wanawake na taifa letu. #mamayukokazini
Tweet media one
2
27
91
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 months
Maboresho ya Bandari ya Dar yameanza kulipa Tumepokea meli kubwa zaidi ya makontena kuwahi kutia nanga katika Bandari ya Dar es Salaam. #MamaYukoKazini
32
103
97
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 month
Dhamira ya 𝐌𝐀𝐌𝐀. #MamaYukoKazini #ZiaraYaMamaRukwa
Tweet media one
8
74
94
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 months
#BajetiYaSerikali 𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐀𝐌𝐄𝐒𝐈𝐊𝐈𝐀, 𝐀𝐌𝐄𝐂𝐇𝐔𝐊𝐔𝐀 𝐇𝐀𝐓𝐔𝐀 Ameongeza malipo ya mkupuo ya pensheni kwa wastaafu kutoka asilimia 33 ya sasa hadi asilimia 40. #MamaYukoKazini
Tweet media one
23
83
93
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Hospitali ya Muhimbili imekuwa hospitali pekee nchini inayoweza kutenganisha damu baada ya kupata mashine (Apheresis) inayotenganisha damu kwa urahisi kwa kuruhusu au kubadili viambata visivyotakiwa. Itaimarisha matibabu, utalii wa afya na kurahisisha matibabu. #mamayukokazini
Tweet media one
5
14
92
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 month
𝐊𝐀𝐓𝐀𝐕𝐈 𝐖𝐀𝐌𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐁𝐀𝐒𝐇𝐀𝐒𝐇𝐀 #SautiZaWananchi wa Katavi zilizojawa furaha zikimkaribisha kiongozi wao mkoani humo. #ZiaraYaMamaKatavi #MamaYukoKazini
11
97
93
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
Makazi Bora kwa watumishi ni motisha nyingine kutoka kwa Mheshimiwa Rais katika kuhakikisha watumishi wa umma waongeza juhudi katika kutumikia Wananchi. Hapa ni Nyang'hwale, na #MamaYukoKazini .
Tweet media one
9
50
88
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
7 months
💡 Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) Majaribio ya mtambo namba 9 yamefanyika kwa mafanikio. Sasa kinachofuata ni kuwasha mtambo ili kuanza uzalishaji wa umeme. #MamaYukoKazini
Tweet media one
11
60
90
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
10 months
"Takribani asilimia 35 ya Watanzania ni vijana wenye umri kati ya miaka 15 hadi 35 na ndio tegemeo kuu la nguvu kazi kwa ajili ya ujenzi wa taifa letu. Nguvu kazi hii ikikosa mwelekeo na kushindwa kutumika ipasavyo, inaweza kugeuka na kuwa mzigo mkubwa kwa taifa."- Mheshimiwa
Tweet media one
14
60
92
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
"Utamaduni ni kiini na roho ya Taifa lolote. Nchi isiyokuwa na utamaduni wake ni sawa na mkusanyiko wa watu wasiokuwa na roho inayowafanya kuwa Taifa."- Mwalimu Julius Nyerere #MamaYukoKazini akiyaishi hayo akitambua utamaduni ni ajira, utambulisho wa Taifa na chachu ya utalii.
7
26
89
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
11 months
“Chuo cha Diplomasia sasa rasmi kitakuwa kinaitwa Dkt. Salim Ahmed Salim Centre for Foreign Relations.” - Mheshimiwa Rais Samia Suluhu #MamaYukoKazini
Tweet media one
3
54
93
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akitilia mkazo suala la wanafunzi waliokatisha masomo kwa sababu mbalimbali kurudi shule pamoja na mfumo wa elimu mbadala kwa wale watakaoshindwa kurudi. #mamayukokazini
10
14
87
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
11 months
📍Dodoma & Arusha Viwanja vipya viwili vya michezo ya kisasa viko njiani, kila kimoja kitachukua watu 30,000. #MamaYukoKazini
6
48
91
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
9 months
Kijiji kwa Kijiji Mtaa kwa Mtaa Kitongoji kwa Kitongoji Lengo ni kila mwananchi apate majisafi ndani ya mita 400. #MamaYukoKazini
Tweet media one
7
61
89
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
9 months
Kutoka kwa Massawe na Ochieng. #MamaYukoKazini
Tweet media one
4
52
89
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
TEKNOLOJIA KUONGEZA USALAMA BARABARANI Barabara kuu za Dar es Salaam na Morogoro kufungwa kamera za usalama ili kurahisisha utambuzi wa madereva wanaovunja sheria. Hii ni moja ya njia za kukabiliana na uhalifu pamoja ongezeko la ajali zinazogharimu maisha na mali za watu.
Tweet media one
11
47
86
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
10 months
Kumbukizi ya miaka 24 ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere.
Tweet media one
1
51
89
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
#MamaYukoKazini TBT Coco Beach ya ZAMANI vs Coco Beach ya SASA
Tweet media one
9
45
78
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
Mageuzi ya kilomita 67 za mkeka wa Ifakara - Kidatu ◉ Muda wa safari umepungua kutoka saa tatu hadi dakika 45 hadi 60 ◉ Imeunganisha kata 14 za Jimbo la Kilombero ◉ Mizigo inasafirishwa kwa urahisi ◉ Uhalifu uliochangiwa na ubovu wa barabara umepungua #MamaYukoKazini
Tweet media one
5
70
85
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Mei 2021 Mhe. Rais Samia Suluhu aliagiza PSSSF kulipa madeni yote ya muda mrefu kwa wastaafu. Februari 2022 PSSSF imekamilisha kulipa madeni hayo ya TZS trilioni 1.15 kwa wanufaika 51,078. Haki yao waliyoisubiri kwa muda mrefu, imepatikana. #MamaYukoKazini #MwakaMmojaNaSamia
Tweet media one
7
35
82
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Filamu zimekuwa njia ya kueneza utamaduni na ajenda duniani, pia ni ajira, utambulisho wa Taifa & burudani. Tanzania inawekeza kukuza sekta hii ambapo kupitia TZS bilioni 2.5 za maendeleo ya sanaa na michezo, wasanii wanapewa mikopo isiyo na riba kuandaa kazi zao. #MamaYukoKazini
Tweet media one
6
33
84
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
4 months
📍Soko la ghorofa sita (na mbili chini ya ardhi) Wajasiriamali zaidi ya 2,300 watanufaika. Soko hili ni la kisasa na salama zaidi. Biashara zitaanza mwanzoni mwa 2024/25. #MamaYukoKazini
Tweet media one
1
46
90
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Tanzania: The Royal Tour; 🗻 Itaionesha dunia urithi, mandhari ya kipekee na utajiri wa kihistoria (maliasili, utamaduni & rasilimali) 🪘Itatangaza sanaa na michezo Lengo ni kuvutia watalii na wawekezaji watakaowezesha kukua kwa mchango wa utalii kwenye uchumi. #MamaYukoKazini
Tweet media one
2
27
84
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
𝐔𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐢 𝐰𝐚 𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐧𝐢 𝐔𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐢 𝐰𝐚 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 TZS milioni 25 kutoka kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kwenda Yanga SC kwa ajili ya tiketi 5,000 za mashabiki kuelekea mchezo wa Yanga dhidi ya USM Alger. #MamaYukoKazini
Tweet media one
6
43
86
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
9 months
Kila analofanya linaboresha maisha ya wananchi. #MamaYukoKazini
Tweet media one
4
56
84
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
KAZI ZINAZOENDELEA SEKTA YA UCHUKUZI ◉ Ujenzi wa SGR ◉ Ununuzi wa mabehewa na vichwa vya treni ◉ Uboreshaji wa bandari ◉ Ujenzi wa barabara kuu (zaidi ya Kilomita 2,000) ◉ Uboreshaji barabara za vijijini (Kilomita 144,429) ◉ Ujenzi/ukarabati wa viwanja vya ndege ◉
Tweet media one
19
60
86
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
FILAMU MPYA YA UTALII YAREKODIWA Matokeo ya Royal Tour yakiendelea kuonekana, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu amerekodi filamu nyingine 'Karibu Kijiji cha Milele' kwa kushiriki mwigizaji kutoka China, Jin Dong, ili kuvutia watalii kutoka nchini humo. #MamaYukoKazini
7
66
85
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
9 months
Serikali ya vitendo. #MamaYukoKazini
Tweet media one
5
54
85
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Ahadi ya Mhe. Rais Samia ni kila mtoto atapata haki ya elimu popote nchini. Kilometa 130 kutoka Njombe Mjini inapatikana Shule Shikizi ya Tembeli ambayo mazingira ya kusomea yameboreshwa, sasa watoto hawatolazimika kutembea umbali wa 30km kwenda Shule ya Madeke. #MamaYukoKazini
Tweet media one
5
46
77
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
11 months
AWAMU YA MAMA NI YA KUANDIKA HISTORIA Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa michuano ya Mataifa ya Africa (AFCON) mwaka 2027, pamoja na Kenya na Uganda. Mbali na Uwanja wa Benjamin Mkapa, Serikali inajenga viwanja viwili (Dodoma na Arusha) vinavyotarajiwa kutumika kwenye
Tweet media one
3
55
83
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
10 months
#ZiaraYaMamaIndia "Heshima hii [Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Honoris Causa)] naielekeza kwa watoto wa kike nchini Tanzania, ambao wanaishi vijijini. Ninawataka wajue kuwa, kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma, vikwazo vyote wanaweza kuvivuka."- Mheshimiwa Rais
Tweet media one
1
56
85
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
10 months
Temeke kama mbele. #MamaYukoKazini
3
54
83
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
25 days
MAMA anaipa elimu msukumo mkubwa zaidi kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu. #MamaYukoKazini
7
80
89
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
📍Ikulu Chamwino | Dodoma Mheshimiwa Rais Samia Suluhu akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri mapema leo. #MamaYukoKazini
Tweet media one
4
55
87
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
𝐘𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐭𝐮, 𝐤𝐰𝐚 𝐠𝐡𝐚𝐫𝐚𝐦𝐚 𝐳𝐞𝐭𝐮, 𝐢𝐧𝐚𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐞𝐭𝐮 Rubani Mtanzania, Neema Swai ndiye anaileta nchini ndege mpya ya mizigo ya Tanzania (Boeing 767-300F) kutokea nchini Marekani. #MamaYukoKazini
Tweet media one
1
48
83
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
10 months
#ZiaraYaMamaIndia | 𝐒𝐇𝐀𝐍𝐆𝐖𝐄 𝐙𝐀𝐈𝐃𝐈 KWA WAKULIMA WA 𝐌𝐁𝐀𝐀𝐙𝐈 Amepata uhakika wa soko la Mbaazi zaidi ya tani 200,000 kwa mwaka. #MamaYukoKazini
1
57
85
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 month
🏥 Hospitali ya Mbagala Rangi Tatu, Dar es Salaam Itakuwa na hadhi ya Hospitali ya Wilaya. Huduma zitaongezwa kukidhi mahitaji ya wananchi. #MamaYukoKazini
4
77
87
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 months
𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 🤝 𝐌𝐒𝐔𝐌𝐁𝐈𝐉𝐈 Ndugu. Marafiki wa nyakati zote. Washirika wa kimkakati. #MamaYukoKazini
23
83
86
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
1 year
Mji Mkuu wa Serikali, Dodoma. #MamaYukoKazini
Tweet media one
5
54
86
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
25 days
Dhamira ya 𝐌𝐀𝐌𝐀 inalenga kuandaa kizazi cha kizalendo kitakacholitumikia Taifa kwa uadilifu na upendo. #MamaYukoKazini
7
67
88
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 years
Biashara kati ya Tanzania na Kenya imefikia thamani ya TZS trilioni 2.1 kuanzia Januari - Novemba 2021, matokeo ya mazungumzo ya viongozi wa nchi hizi. Thamani ya mauzo ya Tanzania nchini Kenya ni TZS trilioni 1.16, na imenunua kutoka Kenya TZS bilioni 935.03. #MamaYukoKazini
Tweet media one
6
31
82
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
3 years
Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo anaadhimisha kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa ambapo ametimiza miaka 62. Katika siku hii muhimu kwake, wito wake kwa Watanzania ni kufanya kazi kwa bidii kwani wao ndio wajenzi wa nchi yao. #MamaYukoKazini
12
25
86
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
9 months
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesaini Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote kuwa sheria kamili. Mpango huo utamwezesha kila Mtanzania kupata huduma za afya pasipo kikwazo cha kifedha, ikiwa ni hatua kubwa kufikia huduma bora za afya kwa wote. #MamaYukoKazini
Tweet media one
5
48
82
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
28 days
Tushindwe wenyewe. Ahsante Mama. #MamaYukoKazini
Tweet media one
9
62
84