Rais Samia airejesha Tume ya Mipango kwa sura mpya ili kuchochea maendeleo nchini - Mama Yuko Kazini
Serikali chini ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan anaiunda upya Tume ya Mipango ambayo itakuwa chini ya Rais ikiwa na jukumu la kubuni, kupanga, kuratibu na kusimamia mipango ya maendeleo ili...