Nakumbuka hatukuwa na hela ya kuingia banda la video kwenda kuangalia hii movie, kuna mwamba alikuwa balaa kwa kusimulia movie ndo ikabidi tumchangie akaangalie then aje atusimulie jamaa alikuwa anasimulia movie ile balaa mpaka siku nakuja kuiona ilikuwa kama narudia hivi 😂😂🙌🏾