privaldinho Profile Banner
Privaldinho Profile
Privaldinho

@privaldinho

Followers
947K
Following
15K
Statuses
25K

YANGA SC DIGITAL MANAGER…… Author || Lawyer || Sports Pundit ||

Tanzania
Joined August 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@privaldinho
Privaldinho
11 months
Mwananchiii 🔰🔰tiketi ya MUDA Day inakusubiri !! Nagawa tiketi 10 kutoka CRDB kwa mashabiki watakaojibu swali chap kuelekea siku ya MUDA day, washindi wote nitawatangaza siku ya Alhamis saa kumi na mbili jioni. #kwaokamakwetu
Tweet media one
105
37
609
@privaldinho
Privaldinho
12 hours
😂
@gingerkevin_r
🧸ྀི
4 days
Miss this era
1
0
17
@privaldinho
Privaldinho
13 hours
Espanyol wamefungwa 2-1 na Sociedad lakini mchezaji wake Puado amekuwa mchezaji bora wa mchezo
11
3
280
@privaldinho
Privaldinho
14 hours
DIGALA
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
14 hours
Katika vitu ambavyo uongozi wa @YoungAfricansSC umefanikiwa kujipambanua ni namna wameweza kuigusa jamiii ya wapenda soka hususani mashabiki wa timu yao kwa kubuni programs mbali mbali zinazowagusa moja kwa moja,binafsi nawapa KONGOLE viongozi wote wa Yanga kwa hizi jitihada. @Caamil8 @Arafat__AH @AliKamwe @privaldinho
16
2
112
@privaldinho
Privaldinho
14 hours
Mwaka jana Singida wameuza mchezaji dola laki 500,000 plus. Wameuza wachezaji kadhaa. Singida ina makampuni kama 7 ambao ni Sponsors wake. Wana Lodhia, wana Airtle, GSM, wana kampuni ya kamari, wana benk, hujagusia package kutoka Azam TV, Wanapata mapato ya uwanjani, wana hao wafadhili nk. Wana vyanzo vingi tu vya mapato ndugu Mdude
@mdudenyagali
Mdude Nyagali
1 day
Fikirieni waziri wenu wa fedha anamiliki timu ambayo matumizi yake kwa mwezi ni milion 100+. Mshahara wa waziri huyo kwa mwezi ni milion 20. Unajiuliza huyu waziri anawezaje kuendesha timu inayotumia milion 100+ kwa mwezi wakati kipato chake ni milion 20? Au akipokea mshahara wote milion 20 anabet kwa kutafuta odds 4 za uhakika kwa @Sativa255 zinamletea milion 100+ za kuendeshea timu na familia?
124
13
332
@privaldinho
Privaldinho
14 hours
@ndembo255 😂😂😂
0
0
0
@privaldinho
Privaldinho
1 day
Mechi ijayo tutampanga ahmedy Ally, kibendera Rabbi Hume na upande mwingine mweken mwenyekiti.
@SimbaSCFansPage
Simba SC Fan Page🦁
2 days
TAARIFA KWA UMMA ..
Tweet media one
22
1
174
@privaldinho
Privaldinho
1 day
@mpambazi 😂😂
0
0
1
@privaldinho
Privaldinho
2 days
RT @Nassibmkomwa_: Kiukweli sijawahi kuona Afisa Habari anakera kama Ali Kamwe, ana masimango sana....😀😀, UTANI WA JADI.
0
22
0
@privaldinho
Privaldinho
2 days
Ungekuwa wewe ungetoka nchini kwako wakati kama huu 😂😂😂?? Yaan nchini kwako kuna machafuko na waasi wanasema wanataka kuja mji mkuu??
@EsirEid
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
2 days
@Jambotv_ Huyu jamaa kumtetea inakua ngumu kila uchao
5
0
44
@privaldinho
Privaldinho
2 days
Mimi nafikiri mfumo wa hoteli uwe wa muda pia. Yaani nikiingia saa moja nitoke saa moja every after 24 hours. Hili nalo mhehsimiwa unalionaje? Mfano hakuna balance ya huduma na gharama. Kwa mfano 📌Aliyeingia saa tatu asubuhi atakaa mpaka saa nne asubuhi siku inayokuja 📌Ila aliyeingia saa nane usiku atatoka saa nne asubuhi Mtu anapaswa kukaa hotelin 24 hours before kucheck out. Hawa jamaa kimsingi wananufaika sana na hii habari ya kucheck out saa nne asubuhi
@godbless_lema
Godbless E.J. Lema
2 days
Hii tabia unalala hotel wkt unatoka unaacha taa zikiwa zinawaka bila kujali ni ukosefu wa Spirit of Excellence. Wateja wanaweza sana kusaidia wamiliki wa Hotel kukata gharama za uendeshaji kama watajali kuwa na utu , jana nilikuwa mahali nakula nikamuona mtu anachukua toothpick kama nusu kopo anaweka kwenye mfuko wa shati na huku akitumia Tissue paper kufutia viatu vyake , hii imenifanya leo niandike haya maneno. Hata mimi nilishawahi kuwa na tabia kama hizi , lakini Neema alijitahidi sana kuninyoosha. Ni muhimu sana ku embrace the Spirit of Excellence kwani kuna mahausiano sana na ukuaji wa uchumi na biashara.
6
1
50
@privaldinho
Privaldinho
2 days
Sawa, sasa nakupa Eksikulusivu, hebu uliza makolo wanaokutumikisha kama pedi, zile hela utapeli waliotapeli mashabiki walikusanya ngapiii? Story kubwa sana bwana Bumunda
@MickyJnr__
Micky Jnr
2 days
AS FAR have been informed Fadlu Davids is 𝐍𝐎𝐓 available. 🚨🇿🇦 He continues with Simba SC. 🦁 A coach with integrity and dedicated to the Simba leadership and fans. 👏 #AfricanFootball #ASFAR #NguvuMoja
Tweet media one
169
7
250
@privaldinho
Privaldinho
2 days
Piga spana
@sabelostorm
SabeloStorm
2 days
Youre no longer posting about Simba sc cause you see that the league is gone there 😂😂😂
1
0
14
@privaldinho
Privaldinho
2 days
Tshedeki mjanja amegundua akiondoka tu nchini watu wanampindua. 😀
@LarryMadowo
Larry Madowo
2 days
BREAKING: Emergency joint meeting of EAC and SADC leaders on eastern DRC crisis kicks off in Tanzania. 🇷🇼 President Kagame attending, 🇨🇩 President Tshisekedi joining virtually and 🇿🇦 President Ramaphosa represented by Foreign minister
Tweet media one
Tweet media two
6
0
68
@privaldinho
Privaldinho
2 days
Huyu Hojlund ni namba 9 ya kutengenezewa au ni namba 10. Nina wasiwasi hatumtumii jamaa kulingana na attributes zake
6
0
113
@privaldinho
Privaldinho
2 days
Safii. Bado Ganacho. Naona leo ana upepo mzuri kuliko Amad. Ganacho anabdi atufugie hesabu sasa
@privaldinho
Privaldinho
2 days
Haya mwanetu ziikizee tuokoee basi hata leo
2
0
58
@privaldinho
Privaldinho
2 days
@GeorgeJob14 Kuna kajamaa nimekaona leo kanatumia mguu wa kushoto ila kanacheza wingback ya kulia
1
0
4
@privaldinho
Privaldinho
2 days
Haya mwanetu ziikizee tuokoee basi hata leo
8
2
110
@privaldinho
Privaldinho
3 days
Wataalam, tusaidieni kwenye quick play, inaweza kufanyika sehemu yoyote au ni eneo sahihi ambalo faulo ilifanyika?
Tweet media one
140
24
1K