Baada ya majadiliano ya muda mrefu na Rais Eng Hersi Said, Leo mdhamini na Mfadhili wa
@YoungAfricansSC
GHALIB SAID MOHAMMED ‘GSM’ AMEKUBALI KUJENGA UWANJA WA KISASA WA YANGA, Makao Makuu ya Klabu, Jangwani 🏟️
Wananchi Leo Sokoine wimbo ni mmoja Tu .. GSM GSM GSM 🤩