Kuwa Single Mother hakukufanyi ww kuwa BABA. Na wala Haitotokea Siku hata moja ukawa BABA hadi siku Jua litachomoza Magharibi na Kuzama Mashariki. Usimrithishe Mtoto Chuki yako kwa Mzazi mwezio hayo ni matatzo yako na Sio Ajabu yaliletwa na Hilo Domo lako.
#HappyFathersDay2020
Nilipigwa Hii Picha kama Kumbukumbu ya Kushuhudia
@yangasc1935
ikitinga Hatua ya Robo Fainali
#CAFCC
In Shaa Allah Weekend Ijayo nitapigwa tena Picha ya Kumbukumbu kushuhudia Yanga Ikitinga Nusu Fainal..........
Imani ya
#Wananchi
ni Kubwa Sana , Morali Ipo Juu Sana In Shaa Allah Tarehe 3 tutafanya kilichotarajiwa na
#Wananchi
wengi na Tarehe 4 kutakua na Mapokezi tukiwa na Kombe letu.
Kwa tunaojua mpango wa wakala Kwa Mchezaji wake halitutishtui hili, Wakala yupo tayari kufanya chochote Mchezaji wake apate "mileage" Wakala alimleta Mchezaji Tz kama njia panda, Wakala alishanunua sana "Airtime" ya Mchezaji wake katika Page Kubwa, Wakala hashindwi Kununua Tuzo.
Ndani ya Miezi Miwili Mwamba kasimama "kuhutubia" kwenye Podium za Ikulu Tatu Tofauti.
Ikumbukwe Ikulu huendi bila kuwa na Sababu.... Sio Tu unajiprintia tu Majina kwenye Jersey zako utegemee utaalikwa Ikulu.
Others Can't relate.
Alhamdulillah.
Nimeweza kukamilisha Ubunifu wangu wa Machine ya Kugawia Taulo za Kike (Sanitary Pads Vending machine). Machine hii itamuwezesha Binti kupata Taulo Bure kabisa kwa kutumia kadi yake Maalumu (inafanya kazi kama ATM Machine).
Vijana wengi Mnapenda Maisha mtelezo Ila vijana kujenga ni kitu rahisi sana Mfano ukiwa na 6M unatoa Nyumba kaliiiii.
1M unanunua kiwanja
800k Msingi
2.5M unanyanyua boma
1M unachukua Msouth mkalii bugurun pale
inabaki finish hii inakula ela lakin inategemea na mkono wa fundi
Tumeanza na Kombe la Jersey Kali... Tutakuja Kombe la Tamasha Kali la Wananchi, Tutakuja Ngao ya Jamii, Ligi kuu Tanzania Bara, Azam Sports FC , then CAFCL.
Kama Kawaida yetu. Hakuna Kitu tunaancha msimu huu.
Tofauti ya Yanga na Timu "zingine"
1. Yanga ina Tajiri ambae Pesa yake Ipo "Mfuko wa Shati"
2. Ina Viongozi Vijana wenye Maono Mapya ya Kuupeleka Mbele Mpira wetu.
3. Uishirikiano Kuanzia Staff wa chini kabisa Hadi Staff wa Juu upo madhubuti Sana.
4.Hakuna Usajili wa 10%
Naambiwa hapa kuna watu (watoto) kama 3k hivi wamepewa Tickets za Bure Kwa ajili ya kwenda kuimba wimbo wa Taifa na Kutengeneza Shape ya Jina La "Tajiri".
Kiukweli nimeshindwa kabisa kupata video clip ya Magoal manne ya Jana sasa Kwa kutumia video hii Fatadhali Angalia Hadi goal la 4 Tu, wakati tunaendelea kutafuta clip ya Magoal yote.
Kwa upole kabisa mtu aelezee kwanini Ile timu nyingine (Wazoefu wa haya Mashindano FC) haipo hapa, bila Jazba wala Kuhamaki,
Comments ndefu ndefu hatutosoma.