Kama wewe ni mfanyabiashara dont involve yourself kwenye Siasa, majibizano na ugomvi usiokua wa msingi sababu iko siku lazima utaharibu kitu unachotumia nguvu kukijenga.
We all deserve to smell good and it doesn’t have to be expensive right?👌🏼 Jipatie Popular designer perfume and smell alike kwa
50mls - 30,000
100mls- 60,000
#TwitterGulio
#TwitterGulio
Text or Call 0782710365
Delivery ipo
Kuna Mashabiki ambao wanaibeba sana Yanga popote ilipo na mara nyingi huwakosi uwanjani wangeenda tu hata Pass za Kusafiria na Mengineyo Club ingesaidia. Mfano ni hawa Majamaa Pichani.
Bora Mimi ila alichofanya Mpemba wa chake chake. 😀😀
Na nyie Wa Congo mtuambiage mnacho fanya kina maana gani. 😊
Msisahau Jana nilitoa assist. 😀
#TeacherThings
😀
"The average entrepreneurs' life is three days in one day. So if is 7 years of being in business, it is equivalent to 21 years of experience." -
@VusiThembekwayo
#Beyond2020
NDANI YA BOKSI JUMAPILI HII ;
Eti Sio Habari ni Habari?? Majibu tutayapata kutoka kwa mwenyewe
@IdrisSultan
Na ni nani huyu anayesumbuliwa na mapenzi? 🤔
Habari zote ni NDANI YA BOKSI juma pili hii saa 12:00 jioni kupitia Azam Two ya
@azamtvtz
usikose!
@halima_shebuge
"Mwanamke hata kama mpambanaji kiasi gani, hata awe ana nguvu kiasi gani , anahitaji sauti ya mwanaume ambayo itamuwezesha yeye kusonga mbele" - Mohamed
@voicetweetz
#IWD2020
"Kaduka chenyewe kadogo"
It's not about how big the shop is.. it's about what 'real' customers get out of it, most definately what they look at is
1. Value
2. Quality of the product
3. Experience and many others.
Ushauri wangu tu kwa vijana wenzetu mliopata bahati ya kupata mafanikio mapema either kifedha 💵ubunifu,high paying job 📊kusafiri sana nje✈️.
Acheni show off,Acheni fake life,Acheni kupost post hata vitu ni personal staffs.
"Ukipata hela usipige nazo picha"
Huo ni Ushamba
Hakuna kitu kizuri kama Kukinai, huwezi pata tabu kisa nani kafanya nini, nani kavaa nini, nani ana nini au nani kaenda wapi.. Ukijijua uwezo wako na kushkuru kwa ulichonacho hutojidhalilisha wala hutoadhirika Abadan🙅🏻♂️
What a great day to be alive as a
@yangasc1935
fan. I'm truly the happiest man alive. Siku nzuri sana hii. Ahsante wachezaji, dawati la ufundi na uongozi. Great contribution. BTW, nimekula shilingi laki mbili na elfu ishirini taslimu. Kila mchezaji atakula afu tatu 👏
#mwananchi
If you want to attend
#SaharaSparks
, I have discounted😋 tickets.
Email : communications
@saharaventures
.com with Code "NAJMASS19" . Ama nicheki nikupe maelekezo.