Tangu mchezo wa Al Ahly SC na Simba pale Cairo AYOUB LAKRED Hakurejea na Team Nchini badala yake Alichukua Ndege kwenda Nchini kwao Morroco kuhudhuria Mazishi ya baba yake mdogo aliemlea
Ayoub Lakred alicheza mchezo ule akiwa na huzuni kubwa moyoni, Amemaliza Jambo lake na muda
Maisha ya Mpira kwa chezaji ni ingia toka,
Hivi umemuona Keneddy Juma alivyocheza Leo utaamini ni mchezaji wa bench tuu Mara zote...
Kakichafua kweli 🙌🙌
Mmoja wa mashabiki wetu🦁 wa kulia kabisa, Mr Sameer anaendelea kuiwakilisha vyema timu ya moyoni mwake katika anga za kimataifa zaidi baada ya kutinga na skafu ya Simba ndani ya moja ya uwanja mkubwa na maarufu dunaini, Old Trafford. Hongera sana Mr Sameer kwa kuipenda Simba
Whydad Lazima Akae💪💪🙏
Hesabu za
@SimbaSCTanzania
.
Namfunga Wyda Casablanca kwa mkapa, Namfunga Asec Abijan, Natoa sale na Wyda kwake, namfunga Galaxy kwa mkapa point 12 naenda robo Fainal.🫡
Hesabu nzuri sana kwa Mnyama🦁🦁🦁
Klabu Namba 1 Afrika Mashariki
Klabu Namba 7 Afrika
Inawatikia kheri ya sikukuu ya krismasi 🎉
Iwe siku ya baraka na furaha kwa Wanasimba na watu wote duniani.
#WenyeNchi
#NguvuMoja
JAY-Z yupo hapa Wembley stadium kwaajili ya kumtazama kijana wake Vinicius. Kumbuka Vinicius anasimamiwa na kampuni ya JAY -Z Katika maswala yake ya soka.
Usiichukulie Power Dynamos FC kitoto🧨
Ni mabingwa wa ligi kuu Zambia watashiriki Klabu bingwa Afrika 🤩.
Kaizer Chiefs wameshika nafasi ya 5 ligi kuu Afrika Kusini haitashiriki mashindano yoyote ya Afrika unayojua wewe 😝
Kiukweli hela niliochangia wakati wa seke seke la ZANZIBAR FINEST
@IamFeisalSalum
liliomkuta sijajutia kabisa maana Anavofanya uwanjani naridhika kabisaaaaa🙌🙌
Congratulations ZANZIBAR FINEST
@IamFeisalSalum
endelea kukaza kamba🔥