Ahmed Ally Profile
Ahmed Ally

@ahmed__ally

Followers
696K
Following
33
Statuses
2K

Media & Communication Manager Simba Sports

Joined January 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@ahmed__ally
Ahmed Ally
7 days
Shamrashara za uzinduzi wa Tawi la Simba la Airport lililopo wilaya ya Mpanda, Katavi. #WenyeNchi #NguvuMoja
18
43
777
@ahmed__ally
Ahmed Ally
8 days
Sio tuu kumkumbatia Nyuki sisi tumelala nae kabisa
Tweet media one
112
163
3K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
9 days
Nimefanya Ubaya Ubwela wa hali wa juuu leo… Nimeisaidia timu ya Wabunge wa Simba kushinda goli 4-0 dhidi ya Wabunge wa Nyuma Mwiko
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
125
137
3K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
10 days
Shule ya Kirinjko Islamic Secondary inawakaribisha Wanafunzi wote waliowahi kusoma shule hiyo tangu mwaka 2000-2025 katika maadhimisho ya miaka ya 25 ya Taasisi hiyo Maadhimisho yatafanyika April 19 Shuleni Kirinjiko Same Mkoani Kilimanjaro Kwa Wanafunzi waliopo Dar Es Salaam kutakua na usafiri wa pamoja kwenda na kurudi kwa utaratibu unaosimamiwa na kamati maalumu Kwa maelezo zaidi wasiliana na Ahmed Ally : ( Semaji)- Mwenyekiti Iddi O Iddi : 0783658577 - Katibu Ibrahim Sebo : 0718989660 Mratibu π—žπ—Άπ—Ώπ—Άπ—»π—·π—Άπ—Έπ—Ό 𝗻𝗢 π˜€π—Άπ˜€π—Ά
Tweet media one
33
37
534
@ahmed__ally
Ahmed Ally
21 days
Tumefurahi hamjafuzu
Tweet media one
Tweet media two
283
359
5K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
22 days
Hatukutana kuongoza kundi ili tukutane na vibonde, Robo Finali hakuna vibonde!! Vibonde wote wa Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho wameshatolewa
Tweet media one
127
266
4K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
23 days
Robo Fainali mfululizo ya Klabu Bingwa sio kwa kila timu
Tweet media one
490
625
9K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
24 days
Jumapili January 19 sintaenda Uwanjani nitaungana na Wana Simba wenzangu katika Viwanja wa vya Mwembe Yanga kutazama mechi kwa pamoja
64
64
2K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
26 days
π“π”ππ€π–π€π‰πˆππˆπŠπ€ ππ€πŒπŽπ‰π€. #WenyeNchi #NguvuMoja
Tweet media one
114
85
1K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
26 days
Baada ya jana kupokea hukumu ya CAF kuhusu kufungiwa Mashabiki katika mchezo wetu dhidi Costantine kumekua na mawazo na maoni mengi. Wapo wanaosema tiketi ziendelee kuuzwa ili Wana Simba tuchangie faini iliyotozwa klabu yetu Wapo wanaosema klabu iandae utaratibu maalumu watu wachangie kuipunguzia klabu mzigo wa adhabu ya faini hiyo Na wengi wamesisitiza ziandaliwe sehemu maalumu Wana Simba wengi tukutane tuangalie kwa pamoja mechi Kwanza niseme nimefurahishwa na fikra za Wana Simba kulichukua hili kama tatizo letu sote na tuko tayari kulitatua kwa pamoja Pili niwaombe Wana Simba tutulie wakati huu ambao Viongozi wetu wakiangalia namna sahihi ya kuliendea jambo hili Tatu niwatoe hofu Wana Simba kuwa adhabu yetu inahusu mechi moja tuu ya Jumapili, Robo Fainali tutaendelea na utaratibu wetu kama kawaida wa kwenda Uwanjani Nichukue nafasi hii kuwapa pole Wana Simba wote ambao tumeumizwa na kadhia hii iliyotokea kwa mara ya kwanza katika maisha yetu Mwisho kabisa ili kuepuka kupata maumivu kama haya ya kukosa kuiona Live timu yetu ikicheza mchezo muhimu kama huu hatuna budi sisi Mashabiki kujifunza kupitia sakata ili lisijirudie tena Nguvu Moja - Ubaya Ubwela
Tweet media one
215
164
2K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
28 days
Tweet media one
38
82
1K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
28 days
Sisi hatujafufua matumaini, Sisi tumefuzu Robo Fainali tayari
Tweet media one
301
230
4K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
29 days
Tweet media one
80
127
3K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
29 days
Robo Fainali is loading …….
Tweet media one
50
43
987
@ahmed__ally
Ahmed Ally
1 month
Tumefanya mazoezi hii leo katika Uwanja wa Novembro 11 Wachezaji wetu wote wapo katika hali nzuri na mazoezi yamemalizika salama
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
70
1K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
1 month
Safari ya kwenda Angola…Kuipeleka Simba Robo Fainali Insha Allah
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
66
1K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
1 month
Semaji
Tweet media one
73
103
4K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
1 month
Weekend hii zimechezwa mechi 16 za CAF, Ligi ya Mabingwa 8 na Kombe la Shirikisho 8 ambazo ni sawa na timu 32 Katika mechi zote 16, ni timu mbili tuu ndizo zimepata ushindi ugenini ambazo ni Simba Sports na Berkane Wana Simba tunakila sababu ya kutamba na kuvimba na ushindi huu dhidi ya Sfaxien
Tweet media one
84
96
2K
@ahmed__ally
Ahmed Ally
1 month
Tumerejea Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
32
73
2K