Kumekua na sintofahamu nyingi kuhusiana na marejesho ya mikopo ya 10% itolewayo na Halmashauri hasa wanufaika kutoweka bila kurejesha fedha. Tunataka kusikia kutoka kwako mdau nini kifanyike kuboresha marejesho? Ungana na
@UNATanzania
Ijumaa hii:
#UNASpace
Kuelekea uchaguzi mkuu utaofanyika oktoba 2020 mheshimiwa
@LazaroNyalandu
anakusudia kuungana na makada wengine kuomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya Chadema katika uchaguzi mkuu. Nini maoni yako?
Special thanks to the Lord and everyone who has been instrumental in my life. I pray for many more heavenly days like today.
Happy birthday to me!
🥂🎉🎊🎀🍴🍻❤️❤️
Lord, thank you for blessing me with a new year.🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Today, I’m conquering another day of my life and I’m so happy to be surrounded by all my families and friends.
Happy birthday to me🍴🎂🎉😘
📸
@OptimusAlpha27
Ni kweli kwamba kukosa andiko bora la biashara hufanya vikundi vinavyoomba mkopo wa 10% wa Halmashauri kupoteza lengo na kupelekea kutumia fedha hizi kinyume na mipango?
Karibu kwenye space ya
@UNATanzania
kupitia link hii utuambie: 👇🏼👇🏼
#UNASpace
Kwako mwalimu
@bajabiri
kuna adhabu ambazo ukimpa mwanafunzi zitamjenga. Mfano kumpa adhabu ya kuandika insha ya maneno 3000 ni adhabu lakini anajifunza
#SioLazima
viboko.
Kuna haja ya kuwa na utaratibu wa urejeshwaji wa wiki,hadi siku ili kuboresha marejesho ya mikopo ya 10% ya Halmashauri?
Tungependa kusikia kutoka kwako, karibu ujiunge kwenye space ya
@UNATanzania
Ijumaa hii.Ili kushiriki bonyeza link 👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
#UNASpace
je wajua mwanamke shujaa wa singida aliyepambana na wajerumani kwa kutumia nyuki?.
Ni Litti Kidanka aliyewaongoza kabila la Wanyaturu katika mapambano dhidi ya utawala wa wakoloni wa kijerumani kati ya mwaka 1903 hadi 1908.
#ElimikaWikiendi
Je wajua
Huyu ndiye paka mkubwa kuliko wote duniani anapatikana Myrtle Beach Safari, kusini wa Carolina anashikilia Record ya Kitabu cha Guinness cha mwaka 2014 maana ana kilo zipatazo 418, urefu wake ni sentimita 332.
#ElimikaWikiendi
Je unaitambua kanuni ya utoaji na usimamizi wa mikopo ya 10% kutoka Halmashauri kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, Kutambua hili na mengine mengi usikose kushiriki ijumaa hii kupitia twitter space ya
@UNATanzania
,kupitia link hii:
#UNASpace
Ni kweli Halmashauri zinatoa mikopo ya 10% bila riba lakini mazingira ya upatikanaji na urejeshwaji ni rafiki kushawishi vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kuchukua mikopo hii? Tutazungumza zaidi leo ifikapo saa 8 mchana. Shiriki kupitia
#UNASpace
Siku tuliokuwa tukiisubiri kwa hamu ndio leo, wadau wa masuala ya maendeleo ya vijana wanawake na watu wenye ulemavu tutakutana kuzungumzia maboresho ya mkopo wa 10% unaotolewa na Halmashauri. Ungana na
@UNATanzania
kwenye 'spaces' kupitia
#UNASpace
TUNAKUMBUSHANA TAREHE 28/10/2019 VYUO VINAFUNGULIWA
MCHUMBA HASOMESHWI
wazazi wake hawakumsomesha sababu walijua mapungufu yake je wewe ni nani ndugu yangu😄😄😄😄🕺🏻🕺🏻
Usawa katika vyombo vya Habari huchochea nguvu kazi ya utendaji hususani kwa wanawake.Kutokuwa na usawa hurudisha nyuma Maendeleo kwa baadhi ya Wanawake
#WomenInMediaTz
#WanawakeWanaweza
@TAMWA_