winharder_ Profile Banner
winharder_ Profile
winharder_

@winharder_

Followers
15,974
Following
7,579
Media
6,104
Statuses
164,357

Entrepreneur/ Teacher/ SocialMediaInfluencer/ Safe Online Space Diplomat / #SOSDiplomats #UstawiSalamaMtandaoni #RoadSafetyAmbassador / #YangaSc

Dar es salaam
Joined September 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@winharder_
winharder_
1 year
Tafadhali naomba retweet yako dear♥️ Price: 36,000/=Tsh Call:0689 840 261 WhatsApp: 0769 733304 Location: kariakoo-Dar es salaam Mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa #SokoLetu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
122
135
@winharder_
winharder_
1 year
+1 Thank you Lord 🙏🏻🎂
Tweet media one
203
120
2K
@winharder_
winharder_
2 years
+1 Thank you Lord 🙏🏻🎂
Tweet media one
148
76
1K
@winharder_
winharder_
4 years
Mapenzi ni nin? Mapenzi ni kampuni kubwa ya utapeli ambayo makao yake makuu ni Tanzania😂😂😂😂
104
48
1K
@winharder_
winharder_
2 years
Kumekua na sintofahamu nyingi kuhusiana na marejesho ya mikopo ya 10% itolewayo na Halmashauri hasa wanufaika kutoweka bila kurejesha fedha. Tunataka kusikia kutoka kwako mdau nini kifanyike kuboresha marejesho? Ungana na @UNATanzania Ijumaa hii: #UNASpace
Tweet media one
64
45
923
@winharder_
winharder_
3 years
Kama umekula hizi pipi vaa barakoa mzee mwenzangu😂😂
Tweet media one
109
41
844
@winharder_
winharder_
4 years
Kuelekea uchaguzi mkuu utaofanyika oktoba 2020 mheshimiwa @LazaroNyalandu anakusudia kuungana na makada wengine kuomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya Chadema katika uchaguzi mkuu. Nini maoni yako?
Tweet media one
73
19
757
@winharder_
winharder_
3 years
Je ni kitu gani ambacho watu wanadhani unacho kumbe huna?
183
13
594
@winharder_
winharder_
5 years
Dear future husband naomba usijisumbue kabisa kunisomesha kichwa chenyewe kigumu hiki utapoteza tu pesa zako😅😅🙉🙉
95
22
572
@winharder_
winharder_
2 years
Je wajua.. Kuku jike ana uwezo wa kujibadilisha jinsia kutoka kuku jike hadi kuwa jogoo. #ElimikaWikiendi
Tweet media one
218
43
571
@winharder_
winharder_
4 months
+1 Thank you God🙏
Tweet media one
154
68
569
@winharder_
winharder_
4 years
Special thanks to the Lord and everyone who has been instrumental in my life. I pray for many more heavenly days like today. Happy birthday to me! 🥂🎉🎊🎀🍴🍻❤️❤️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
53
49
496
@winharder_
winharder_
4 years
Hivi kwenda kwa boyfriend wako kumfulia nguo ni u wife material au ndo kujipendekeza?
95
9
440
@winharder_
winharder_
3 years
Lord, thank you for blessing me with a new year.🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Today, I’m conquering another day of my life and I’m so happy to be surrounded by all my families and friends. Happy birthday to me🍴🎂🎉😘 📸 @OptimusAlpha27
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
109
38
446
@winharder_
winharder_
3 years
Kwani space ndo nini
42
9
422
@winharder_
winharder_
3 years
Unampeleka boyfriend wako kwenu anaanza kucheka viatu Vya babaako
35
8
394
@winharder_
winharder_
2 years
Ni kweli kwamba kukosa andiko bora la biashara hufanya vikundi vinavyoomba mkopo wa 10% wa Halmashauri kupoteza lengo na kupelekea kutumia fedha hizi kinyume na mipango? Karibu kwenye space ya @UNATanzania kupitia link hii utuambie: 👇🏼👇🏼 #UNASpace
Tweet media one
7
30
408
@winharder_
winharder_
1 year
Kwako mwalimu @bajabiri kuna adhabu ambazo ukimpa mwanafunzi zitamjenga. Mfano kumpa adhabu ya kuandika insha ya maneno 3000 ni adhabu lakini anajifunza #SioLazima viboko.
Tweet media one
121
31
407
@winharder_
winharder_
4 years
Hivi kwanini usipokuwa na pesa njaa huuma sana?
38
2
338
@winharder_
winharder_
3 years
Humtaki mtu na bado hutaki awe na mtu mwingine.
33
10
338
@winharder_
winharder_
3 years
Utajiri wa kudumu ni kuwa na watu wanaokuthamini na kukujali🤗
Tweet media one
24
22
326
@winharder_
winharder_
5 years
Mafanikio sio mpaka umiliki magari na nyumba,hata kuwa na amani ya moyo ni moja ya mafanikio makubwa sana katika maisha. Asubuhi njema
24
24
309
@winharder_
winharder_
4 years
Hakuna kitu nachukia kama hii kukanyagana kwenye daladala.
37
0
295
@winharder_
winharder_
4 years
Huwezi kumfurahisha kila mtu,Hata mungu hakuhangaika na mataifa yote alichagua taifa moja tu likawa teule.
13
9
295
@winharder_
winharder_
3 years
Kuna muda natamani kuwa mchawi niwaroge wanaonidhulumu pesa.
30
7
289
@winharder_
winharder_
2 years
Kuna haja ya kuwa na utaratibu wa urejeshwaji wa wiki,hadi siku ili kuboresha marejesho ya mikopo ya 10% ya Halmashauri? Tungependa kusikia kutoka kwako, karibu ujiunge kwenye space ya @UNATanzania Ijumaa hii.Ili kushiriki bonyeza link 👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼 #UNASpace
Tweet media one
7
15
295
@winharder_
winharder_
3 years
je wajua mwanamke shujaa wa singida aliyepambana na wajerumani kwa kutumia nyuki?. Ni Litti Kidanka aliyewaongoza kabila la Wanyaturu katika mapambano dhidi ya utawala wa wakoloni wa kijerumani kati ya mwaka 1903 hadi 1908. #ElimikaWikiendi
Tweet media one
27
67
288
@winharder_
winharder_
3 years
Sema @hancymachemba ni mtu poa sana🙌🏻🙌🏻
Tweet media one
16
10
281
@winharder_
winharder_
3 years
Tweet media one
22
12
272
@winharder_
winharder_
4 years
Wananchi tuna jambo letu badae kidogo 💛💚💚💛💛 #DaimaMbeleNyumaMwiko @yangasc1935
Tweet media one
28
10
270
@winharder_
winharder_
2 years
Je wajua Huyu ndiye paka mkubwa kuliko wote duniani anapatikana Myrtle Beach Safari, kusini wa Carolina anashikilia Record ya Kitabu cha Guinness cha mwaka 2014 maana ana kilo zipatazo 418, urefu wake ni sentimita 332. #ElimikaWikiendi
Tweet media one
46
22
268
@winharder_
winharder_
3 years
Umeamka salama ni suala la kumshukuru Mungu
11
0
253
@winharder_
winharder_
3 years
Wakazi Wa jiji la Ilala ndo tunaamka.
16
2
242
@winharder_
winharder_
4 years
Mtu akiona ulivyo bize na kazi utadhani upo siriaz na maisha kumbe unatafuta hela ukahonge.
24
5
254
@winharder_
winharder_
3 years
Mafanikio ya kudumu hayaji kwa siku Moja
12
12
244
@winharder_
winharder_
4 years
Kula nanasi halafu shushia na maji
30
0
237
@winharder_
winharder_
3 years
Huku tunaendelea na mishe mishe za kujiingizia kipato tusisahau kujilinda na virusi vya #COVID19 kwa kuvaa barakoa #BarakoaInaokoa
Tweet media one
16
22
246
@winharder_
winharder_
3 years
Raha ya kuwa mfupi Kisigino Kikiwasha unajikuna tu hauna haja ya kuinama.
28
6
237
@winharder_
winharder_
3 years
Unafanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya.Haufananishwi na kitu kingine.
10
10
226
@winharder_
winharder_
4 years
Usijenge urafiki na starehe wakati shida ni jirani yako.
8
13
222
@winharder_
winharder_
2 years
Je unaitambua kanuni ya utoaji na usimamizi wa mikopo ya 10% kutoka Halmashauri kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, Kutambua hili na mengine mengi usikose kushiriki ijumaa hii kupitia twitter space ya @UNATanzania ,kupitia link hii: #UNASpace
Tweet media one
3
39
231
@winharder_
winharder_
4 years
Mchana sipati pesa na usiku sipati usingizi..
45
3
224
@winharder_
winharder_
3 years
Kama hauna kipato Kama chao, usiwe na matumizi Kama yao.
12
23
217
@winharder_
winharder_
4 years
Katika maisha ukiamua kufanya jambo lako we fanya tu na usijali fulani atasema nini.
14
7
225
@winharder_
winharder_
3 years
Kuamka salama ni suala la kumshukuru Mungu
8
6
212
@winharder_
winharder_
4 years
Hii mvua ya kiangazi inatoka wapi 🤷‍♀️🤷‍♀️
37
5
211
@winharder_
winharder_
4 years
Tweet media one
Tweet media two
14
6
215
@winharder_
winharder_
4 years
Mdada usikubali kutolewa out na mwanaume pasipo kuwa na hela ya akiba mfukoni.
13
3
206
@winharder_
winharder_
3 years
Social media is not a media. The key is to listen, engage, and build relationships~|David Alston #SOSDiplomats #UstawiSalamaMtandaoni #SafeSpacesTz
Tweet media one
13
36
209
@winharder_
winharder_
4 years
Watu wenye matokeo makubwa kwenye maisha yako hukaa Kwa muda mfupi. Asubuhi njema
17
7
200
@winharder_
winharder_
3 years
Kumekucha Mungu ni mwema
17
5
204
@winharder_
winharder_
2 years
Ni kweli Halmashauri zinatoa mikopo ya 10% bila riba lakini mazingira ya upatikanaji na urejeshwaji ni rafiki kushawishi vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kuchukua mikopo hii? Tutazungumza zaidi leo ifikapo saa 8 mchana. Shiriki kupitia #UNASpace
Tweet media one
5
14
210
@winharder_
winharder_
3 years
Huwezi kuwa rafiki na mtu mnayetofautiana mitazamo
7
4
195
@winharder_
winharder_
3 years
Mzazi mmoja anaweza kulea watoto kumi lakini watoto kumi kumlea mzazi mmoja ni changamoto.
13
16
199
@winharder_
winharder_
4 years
Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako. Muwe na siku njema
10
7
192
@winharder_
winharder_
4 years
Ni kheri yule anayekupa nyavu ukavue kuliko anaye kugawia samaki. Muwe na Siku njema...
8
4
186
@winharder_
winharder_
3 years
Tunaposema #DaimaMbeleNyumaMwiko muwe mnatuelewa😂😂😂
Tweet media one
11
15
186
@winharder_
winharder_
3 years
Ukianza kuwa Serious Sana na Maisha yako jiandae kupoteza Marafiki wengi sana.
13
15
183
@winharder_
winharder_
3 years
Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako
8
11
171
@winharder_
winharder_
3 years
Maiti inakimbia??
Tweet media one
30
5
178
@winharder_
winharder_
3 years
Kuuona mwezi mpya ni baraka. Tumshukuru Mungu
8
3
177
@winharder_
winharder_
3 years
Mmekula?
Tweet media one
27
6
170
@winharder_
winharder_
2 years
Kila ulifanyalo anza na Mungu
15
28
183
@winharder_
winharder_
4 years
#DaimaMbeleNyumaMwiko 💚💚💛💛
Tweet media one
22
7
178
@winharder_
winharder_
4 years
I love my country 😂😂😂😂😂
Tweet media one
13
2
178
@winharder_
winharder_
3 years
Watu wasiri sana humu😂
Tweet media one
15
5
169
@winharder_
winharder_
3 years
Huu Umeme ni Tanzania nzima au?
28
3
159
@winharder_
winharder_
3 years
Pozi la kuingilia #TOTBonanza
Tweet media one
18
4
170
@winharder_
winharder_
3 years
Unadate na mtu lakini utasema unadate na refa kila saa anatafuta makosa😅😅
18
5
170
@winharder_
winharder_
3 years
Usivae barakoa kufunika sehemu ya pua au mdomo tu hakikisha sehemu zote zimefunikwa vizuri. #BarakoaInaokoa tusipuuze. @UNICEFTanzania
Tweet media one
17
25
171
@winharder_
winharder_
3 years
Et jamani miaka ya kuwa single ni mingapi nisije nikapitiliza.
29
2
166
@winharder_
winharder_
3 years
Ukiona husikilizwi tafuta pesa. #ElimikaWikiendi
7
10
162
@winharder_
winharder_
4 years
Hii si dharau kweli mtu unayemdai kachukua uber wakati mwenyewe umebanana kwenye daladala
15
2
154
@winharder_
winharder_
4 years
#TOTBonanza 🔥🔥🔥
Tweet media one
10
4
162
@winharder_
winharder_
3 years
Kuvaa barakoa husaidia kukulinda wewe na watu wanaokuzunguka dhidi ya #COVID19 .Barakoa hudhibiti matone yako ya kupumua na inaweza kuyazuia yasifikie watu wengine.Popote ulipo #BarakoaInaokoa @UNICEFTanzania @ElimikaWikiendi
Tweet media one
11
27
158
@winharder_
winharder_
3 years
Mashabiki Wa simba wanajifanya wapo kanisani.
12
1
153
@winharder_
winharder_
4 years
#DearNyerere saivi mtaani tunaomiliki Tecno tunadharaulika sana na wenye iPhone wakati zote ni simu tu.
15
4
153
@winharder_
winharder_
3 years
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia🙌🏻
11
9
157
@winharder_
winharder_
2 years
Siku tuliokuwa tukiisubiri kwa hamu ndio leo, wadau wa masuala ya maendeleo ya vijana wanawake na watu wenye ulemavu tutakutana kuzungumzia maboresho ya mkopo wa 10% unaotolewa na Halmashauri. Ungana na @UNATanzania kwenye 'spaces' kupitia #UNASpace
Tweet media one
1
16
161
@winharder_
winharder_
3 years
Tunaposema #WanawakeWanaweza wapewe fursa tunamaanisha wapewe kutokana na uwezo wao walionao na sio kwa kigezo cha jinsia ya kike. @TAMWA_
Tweet media one
10
22
161
@winharder_
winharder_
4 years
Sabato njema watu Wa Mungu
9
6
153
@winharder_
winharder_
3 years
Nakushukuru Mungu Kwa kuamka salama
5
7
145
@winharder_
winharder_
4 years
Mti mwema hauwezi kuzaa Matunda mabaya na mti mwovu hauwezi kuzaa Matunda mema
5
3
147
@winharder_
winharder_
3 years
Mtaji Wa masikini ni nguvu zake mwenyewe
7
7
149
@winharder_
winharder_
5 years
TUNAKUMBUSHANA TAREHE 28/10/2019 VYUO VINAFUNGULIWA MCHUMBA HASOMESHWI wazazi wake hawakumsomesha sababu walijua mapungufu yake je wewe ni nani ndugu yangu😄😄😄😄🕺🏻🕺🏻
18
5
143
@winharder_
winharder_
3 years
Asante Mungu Leo ni siku nyingine
2
6
149
@winharder_
winharder_
3 years
Usawa katika vyombo vya Habari huchochea nguvu kazi ya utendaji hususani kwa wanawake.Kutokuwa na usawa hurudisha nyuma Maendeleo kwa baadhi ya Wanawake #WomenInMediaTz #WanawakeWanaweza @TAMWA_
Tweet media one
2
19
156
@winharder_
winharder_
3 years
Tuwashukuru watu ambao wameleta tofauti katika maisha yetu.
10
7
152
@winharder_
winharder_
3 years
Aisee amkeni mapema kesho nina jambo langu🔥🔥🔥 #ElimikaWikiendi 👇🏻👇🏻👇🏻
Tweet media one
17
28
156
@winharder_
winharder_
4 years
Tanesco nao wamechukua umeme wao
13
4
152
@winharder_
winharder_
2 years
Mungu akubariki wewe na familia yako🙏🏻
19
10
149
@winharder_
winharder_
3 years
Ahsante Mungu Kwa kuiona siku ya leo
15
1
145
@winharder_
winharder_
3 years
All the best mabigwa wa kihistoria @yangasc1935 💛💚💛💚
Tweet media one
8
23
148
@winharder_
winharder_
3 years
Kumbe simba mwenyewe ndo huyu😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
13
12
152
@winharder_
winharder_
3 years
Popote unapokuwa hakikisha husahau kuvaa barakoa #BarakoaInaokoa @UNICEFTanzania
Tweet media one
5
23
147
@winharder_
winharder_
2 years
Ukiona mambo yako yanaenda bila kupambana sana basi tambua kuna mtu alikupambania.
12
19
151
@winharder_
winharder_
3 years
Ahsante Mungu Ni siku nyingine tena
9
4
136
@winharder_
winharder_
4 years
Tafuta pesa upunguze kujielezea.
8
4
139