DevotaTweve Profile Banner
DevotaTweve Profile
DevotaTweve

@TweveDevota

Followers
83,760
Following
893
Media
4,413
Statuses
86,153

Journalist | SRHR & Gender Champion | Instagram

Tanzania
Joined July 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Kama ningekuwa Maarufu😀ndo nimetangaza nia ya UBUNGE, ningesomwa kwenye taarifa ya habari kama hivi(sikiliza), ASANTENI wote kwa maoni yenu @ManenoIzaak @SophiaKessy @Mkuruzenzi @bajabiri @MustaphaBurhani @badrujumah @LusakoWaKwanza @musapambeje @DosaRahma @abdulazackabdul
164
80
732
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Mungu ni mwema👸🙏
Tweet media one
485
132
4K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Sikiliza namna ninavyosoma Taarifa ya Habari 🎤📻
750
323
3K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Mungu awakumbuke wanaohitaji ndoa na watoto kama nilivyokumbukwa🙏 (ni kasichana 😻).
Tweet media one
269
124
3K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Today is my birthday 🎂 😻
Tweet media one
378
84
2K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Me tamkumbuka Mh Mwanri kwa kauli yake ya Somaaa hiyooooooo🤣 Wewe utamkumbuka kwa kauli gani?
Tweet media one
470
66
2K
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
Nyie watu🙏
Tweet media one
153
294
2K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Habari Tanzania 🇹🇿 neno langu la asubuhi hii, natamani Ubunge nao uwe na kikomo cha awamu mbili kama ilivyo Urais, tunahitaji kupata mawazo mapya ili kuleta chachu ya maendeleo.
201
101
2K
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
GOOD News. Japhet Matarra is free. Shukrani kwa kila aliyeshiriki kupigania uhuru wake. We did it.👏🏽
133
463
2K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Wanaume wote heshima kwenu nawathamini, nawapenda na kuwaombea mfanikiwe katika mishe zenu🙏
226
84
2K
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Usiku wa kuamkia leo watu wasiojulikana wamemuua baba yangu mdogo kwa risasi maeneo ya mji mdogo wa Mlowo, Mbozi. Inasikitisha sana😪
317
93
2K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Raha ya kuku wa kienyeji unakula hadi mifupa😀
Tweet media one
190
43
2K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Dear future husband, wife material nakuahidi kutopasha viporo🤣
Tweet media one
165
31
2K
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Fikiria umeumiza sehemu zako za siri kwa iphone 13 halafu unasimangwa ni feki😪
123
41
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
Njooni hapa tujibu swali la Mhe. Waziri Gwajima kuhusu sakata la Sativa. #JusticeForSativa
Tweet media one
173
139
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Mahusiano siyo ajira, kama unaifanya kukuingizia kipato ujue wewe ni mdangaji na usiseme wanaume ni bahili.
172
189
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Nyie nimekutana na Nabii Tito🤣🤣
Tweet media one
Tweet media two
259
29
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Yani unakuja DM unaniuliza niko kwenye mahusiano kweli🤪we rusha nyavu tajua nifanye nini🤣
195
29
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Enzi izo nakula nauli 😅
Tweet media one
Tweet media two
250
40
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Mkimuona Okonko mwambieni namtafuta🤣
Tweet media one
260
18
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
Inadaiwa @Eng_Matarra yuko jela kutokana na makosa ya kimtandao. Tunahitaji kushirikiana kwa pamoja kupata taarifa zake ili tuweze kumtoa gerezani. Bado hatujachelewa🙏
Tweet media one
51
456
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Nyie kumbe @bbcswahili walipita hapa, asante sana🙏
Tweet media one
90
50
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
29 days
Asanteni @MiriamMkanaka @INFLUENCERjr kwa kwenda nyumbani kwa akina @Eng_Matarra kutembelea na kukabidhi kilichobaki. Siwezi kuwasahau @TitoMagoti @Mrema , Mawakili na Watanzania wote waliotoa michango yao. Asante na Mbarikiwe sana🙏
Tweet media one
74
247
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
Watanzania wenzangu kama tunaweza kupata namba ya mke wa @Eng_Matarra au ndugu ambaye inadaiwa kafungwa jela miaka 10 itapendeza zaidi ili tujue tunaanzia wapi na kwanini alifungwa. Umoja ni nguvu tusimuache mwenzetu huko, tujaribu kama tunaweza mtoa @TitoMagoti @PMadeleka
Tweet media one
85
438
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Ukitaka kudumu kwenye mahusiano yako usipige mizinga🤣
Tweet media one
199
26
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Jamani me mgeni humu mnifollow, naitwa Devotha nina miaka 20 niko chuo Mwaka wa 1🤣
Tweet media one
234
36
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Je, wajua? Wilaya ya Mbozi, Songwe inaongoza kwa kuwa na pisi kali, hata Mwenyekiti wa Pisi kali Tanzania anatokea Mbozi. #ElimikaWikiendi
Tweet media one
309
38
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
“Devota, kwa mara ya kwanza leo ndio sijasikia kengele, nimelala muda huu kwakweli siamini kama nimetoka, Mungu ni wa ajabu sana” @Eng_Matarra
31
154
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Jamani me ndiyo naenda zangu shule hivi 🤣🤣
Tweet media one
Tweet media two
189
13
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Nimerudi kulima nyumbani kwetu🥰 karibuni Mbozi, Songwe.
Tweet media one
197
18
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Challenge accepted 🤣🤣🤣
Tweet media one
Tweet media two
256
27
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Tuombeane uzima hali yangu ya kiafya ni mbaya sijaweza kuamka kwa siku ya leo.
212
33
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Humu tunachati na watoto sana ambao wengine hata hawajui maisha nini, hawana majukumu na bado wanategemea kulishwa ndiyo maana wanachowaza wao ni kutrend na matusi tu.
138
98
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Mshahara hautoshi tunapambana kupitia kilimo, ingawa bei ya mbolea ni maumivu kwetu. Karibuni Mbozi😻
Tweet media one
103
36
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
NEC sijawaelewa kabisa yani mtu ana LESENI anaruhusiwa kupiga kura? kuna uhakika gani kama ni halali? kuna utaratibu gani uliowekwa kupitia LESENI hizo kabla ya kupiga kura? Nina maswali mengi sielewi🤔
149
99
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
WE DID IT, FAMILY 🙌🏿🔥🔥🔥 Tumefikia lengo na zaidi. Lipa Namba: 2,800,000 Mpesa: 4,400,000 Jumla = 7,2000,000 Kesho tutatoa taarifa ya mrejesho wa kulipa faini na kumtoa Matara gerezani. Mungu awabariki🙏 #Justice4Matara
171
431
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Hata me nilikuwa miongoni mwa “God when” lakini leo Mungu ni mwema.
Tweet media one
67
48
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Nyie kuwa Mwanaharakati inahitaji moyo sana, leo nilikuwa kibamba ndani huko kufatilia kesi ya ukatili, vibaka walitaka kunipora simu ikabidi nijidekeze na kujifanya msela wao, ni vijana wadogo wanavuta bangi na wanakunywa pombe kali aisee, hapo ni sehemu ambayo ni bondeni.
Tweet media one
190
34
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Hii nchi hatuna waliosomea uchumi?
181
45
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
29 days
Wameona tumeungana wameanza kuogopa, tusikubali kugawanyika kwasababu ya chuki na siasa zao.
40
170
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Je, ni Kweli wavulana hawapendi kutumia kondomu? Kwanini?
Tweet media one
320
53
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Yani daladala nzima nimevaa barakoa peke yangu wananishangaa aisee, hivi tumefikia hatua hii🤔
117
32
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Mtoto wa darasa la 7 amekunywa sumu na kupoteza maisha baada ya kugundua dawa anazokunywa kwa muda wote ambazo anapewa na mama yake ni kwa sababu yeye ni muathirika wa UKIMWI.
106
60
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
TAARIFA YA MAKUSANYO YA MCHANGO WA MATARA Makusanyo: 10,030,000 Matumizi: 5,210,000 Kiasi kilichobaki: 4,820,000 Pesa iliyobaki atatutumiwa Matara. Asanteni nyote. Mbarikiwe sana🙏
58
203
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Kesho 25/5 ni birthday ya Mwenyekiti wa Pisi Kali 🇹🇿
Tweet media one
153
39
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Tetemeko limepita Kigamboni dakika hii, nimeogopa😓
119
23
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
25 days
Habari @CrownMediaTZ Lengo la twit hii ni kuomba nafasi katika kipindi hiki cha michezo naona hakina mwanamke ili kuongeza ladha zaidi. Mimi sio maarufu lakini nina ujuzi katika tasnia ya habari hususani kipindi cha michezo. Asante Wako katika ujenzi wa taifa Devota Tweve 😅
@CrownMediaTZ
Crown Media
25 days
Karibu Nyumbani @jemedarisaid 🏆
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
80
63
2K
128
334
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Dada usiumize sehemu zako za siri kwa iPhone 📱 13.
123
48
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Hali yake haimzuii kufurahia maisha na kutimiza ndoto zake😍. #keshoyangu
Tweet media one
Tweet media two
48
72
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Nikizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondary Nambinzo, Mbozi kuhusu masuala ya afya ya uzazi na ukatili.
Tweet media one
102
52
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Ukiona mshikaji wako kasema hana hela hata kama ameajiriwa muelewe, mishahara inayolipwa ni aibu na inaumiza.
66
78
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Leo nimeibiwa simu ya Samsung niliyopewa na #UN kama zawadi Kutokana na mchango wangu wa kupinga ukatili katika nchi yangu.
134
39
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Birthday geloo 🥰
Tweet media one
191
24
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Msichana kutoka Mbozi, Songwe aliyekuja mjini kutafuta maisha, ipo siku maisha yake yatakuwa Ukombozi kwa wengine 🙏
Tweet media one
136
21
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Kesho 25/5/1985🤪nilizaliwa, siwezi kusubiri hadi saa 6 nitakuwa nimelala, naomba nianze kupokea wishes zenu mapema. Happy birthday to me 🎂 Happy birthday Andunje🤪 Happy birthday Devotha Tweve
Tweet media one
338
29
994
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Jamani nahitaji gari la Million 1 na nusu, please check me DM🤣🤣
155
18
978
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Dear future husband tunawachelewesha watoto shule hunicheleweshi me🤣
105
26
971
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Unanisimanga ohoo kakichwa kadogo, kembamba mara kafupi lakini kuna mtu humwambii kitu kuhusu me, acha wivu🤪
Tweet media one
243
14
960
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Dear future husband nitahakikisha unasahau maumivu yote uliyoyapitia kabla ya kukutana na me😍
114
26
967
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Leo nimepima uzito nimekuta nina KG 40 nimepungua kilo 1, wapendwa nawezaje kufikia KG 50?
220
17
971
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
Kuhusu tumelipa faini shingapi, fedha iliyobaki na matumizi yote tutatoa update, Asante kwa kuniamini katika hili mmeonyesha upendo ambao kibinadamu hauelezeki. Tubarikiwe sote🙏
41
137
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Sahizi na kilo 43 kutoka 40😜
Tweet media one
146
9
966
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Ila sisi masikini ndiyo huwa tunahangaika na mavazi, muangalie Moo😆
Tweet media one
185
21
947
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
“Namshukuru Mungu kwa upendo wenu, siamini “ @Eng_Matarra
Tweet media one
Tweet media two
31
177
1K
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Kuna watu mmenisimanga alafu DM mnanisumbua, tamwaga DM mbwai mbwai tu😅
148
16
930
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Hilda Newton @HildaNewton21 ameshinda kura za maoni kuwania Ubunge Viti Maalum jimbo la Temeke. #uchaguzi2020
Tweet media one
66
33
951
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Unaweza kuwa na Degree au PhD lakini ukawa mjinga.
157
33
918
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
Mitandao ya simu imekuwa ikitunyonya wateja wake, kuleta usumbufu na kujipatia faida kwa kutoa namba zetu kwenye kampuni mbalimbali ambazo zimekuwa zikituma matangazo yao kwetu bila idhini yetu. Hili halitakiwi kufumbiwa macho maana wanakera sana.
73
171
972
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Gwajima akitembea kwenye mafuriko. #UchaguziMkuu2020 #napigakura
347
90
936
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Pisi kali kutokea Mlowo, Mbozi Songwe🤪
Tweet media one
192
16
927
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Ukizama DM rusha nyavu zako, usiulize una boyfriend hiyo siyo kazi yako😅 #ElimikaWikiendi
91
20
908
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Yani Kigamboni mvua imenyesha viatu nilivyovaa vimeloa alafu nafika Kawe jua linawaka, hii kitaalamu tunaiitaje🤣🤣
146
18
901
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
“Nilikua natakiwa kupelekwa gereza la adhabu Kitai, Ruvuma. Tulikua wafungwa 20” @Eng_Matarra
35
97
954
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
TBT 2009
Tweet media one
67
24
913
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Me Devotha Tweve natangaza nia ya kugombea Ubunge 2020 katika jimbo 1 linalopatikana mkoani Songwe, naamini chama changu kitanipa ridhaa ya kuwania kiti hiki ili nitatue changamoto wanazozipitia vijana wenzangu na jamii kwa ujumla, naombeni sapoti yenu😃 #IWD2020 #EqualforEach
Tweet media one
179
77
899
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Mum Brianna 😍
Tweet media one
Tweet media two
83
31
913
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Kwanini wanaume wengi siku hizi wanafuga ndevu sana?
204
10
904
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Wanawake wote ambao ni natural peponi😅
Tweet media one
183
12
890
@TweveDevota
DevotaTweve
5 months
Watanzania wenzangu nimewasogezea hii.
49
221
942
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Hivi kwanini wanaotushauri tujiajiri wao wameajiriwa, ni me siwaelewi au na nyie🤔
88
27
897
@TweveDevota
DevotaTweve
29 days
Kesi ya aliyekuwa RC wa Simiyu kumlawiti mwanachuo imefikia wapi?
76
129
941
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Mume wangu amechangia sana me kunenepa 😻
Tweet media one
180
38
888
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Aisee @Tigo_TZ siyo baba wala mama yangu, yani GB 2 elfu 3000? bora Halotel mara mia.
160
17
888
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Leo nabahati mbaya kila twit ninayokutana nayo inahusu ngono tu halafu za wadada, hivi TL wadada hawana content zingine zaidi ya kutwit ngono tu?
146
36
884
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Pisi kali😍
Tweet media one
198
23
874
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Hivi umri wa mwanamke/mwanaume kuolewa/kuoa ni miaka mingapi🤔
195
21
881
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Hivi ni wapi wameandika mwanaume tu ndiye anayetakiwa kumuaproch mwanamke🤔
166
12
858
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Dear future husband nitahakikisha mshahara wangu wote nakukabidhi wewe uupangie matumizi🤣
168
18
858
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
UPDATE: Jitihada za kulipa faini ya Japhet Matarra hazijafua dafu leo. Leo tumekwama kurejesha faili kutoka Mahakama ya Rufani kurudi Wilaya. Kesho Mawakili wataendelea na kazi na tuna imani suala hili litakamilika. Kazi nzuri sisi sote. #JusticeForMatarra
46
183
916
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Jinsi wewe unavyohangaika kupata pesa hata wanaume ni hivyo hivyo, usiwasimange kama hawana hela.
73
41
860
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Dear future husband upweke umenichosha nimechoka kusubiri🤪
150
13
863
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Hata wanaume wananionea wivu me kuwa Mwenyekiti wa pisi kali wameweka vikao kila kona hahaaa NB: Naskia wanataka kunipindua, nasipinduliki kizembe, tukutane ulingoni.
158
17
856
@TweveDevota
DevotaTweve
3 years
Ukitaka mwanaume mwenye pesa hakikisha na wewe unazako. Jinsi unavyopata shida kuzitafuta hata wao wanapata vivyo hivyo.
98
102
863
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Boyfriend sahihi ni yule asiyeomba sex kabla ya ndoa na girlfriend sahihi ni yule asiyeomba hela🤣🤣🤣
129
35
838
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Hivi ukisikia Dar es Salaam ni kitu gani kinakujia kichwani haraka.
218
12
814
@TweveDevota
DevotaTweve
2 months
It’s My Birthday 🎂🙏
Tweet media one
Tweet media two
205
93
855
@TweveDevota
DevotaTweve
1 month
Upendo huu tuliouonyesha kwa wenzetu hawa (Sativa na Matara) uendelee kwa wengine. Asanteni nyote🙏
23
141
860
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Mwenyekiti wa Pisi Kali😍
Tweet media one
114
7
819
@TweveDevota
DevotaTweve
2 years
Wanaume mjitahidi kulia kuepuka tatizo la nguvu za kiume.
Tweet media one
161
41
812
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Ukitaka Mrs Okonko wako awe na tumbo kama langu nichek🤪
Tweet media one
224
18
802
@TweveDevota
DevotaTweve
4 years
Mwenyekiti wa PISI kali🤪
Tweet media one
Tweet media two
149
23
803