LusakoWaKwanza Profile Banner
LusakoWaKwanza Profile
LusakoWaKwanza

@LusakoWaKwanza

Followers
520
Following
205
Media
477
Statuses
6,154

Father, Husband and Farmer Baba Lusako na Busara. Bodaboda

Mbeya, Tanzania
Joined June 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
4 months
Mapenzi sio Pesa, Pesa sio Mapenzi. Toa penzi upate Pesa, toa Pesa upate penzi. Sauti ya mtaa..✊️
1
7
21
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Niingie Rodi sasa nikawatafutie Maisha Watoto wangu ili badaye waje waimbe "NANI KAMA MAMA" 😁
Tweet media one
Tweet media two
47
38
776
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Bodaboda ambaye sina size ya Helmet...dah 😂😂😂😂
Tweet media one
67
26
649
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Leo tena Mungu ametupa uhai mapambano yanaendelea jamani hakuna kukata tamaa, 🙏
Tweet media one
6
20
149
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Good morning watu wa Mungu nipo kijiwe sasa nasubiri atokee mtu ambaye sina miahadi naye aje aniambie nimpeleke anakoenda.. NB; Hiyo Helmet hapo ni ya abiria mimi yangu sijapata bado..😁😁
Tweet media one
13
13
132
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Mwanza kuna Barbershop moja pale Kona ya Bwiru inaitwa #OnPointBarbershop hawa jamaa wananyoa nywele mitindo yote hata vichwa vilivyoshindikana yaani... Bila kusahau massage safi kutoka kwa warembo..
Tweet media one
Tweet media two
6
7
37
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Ilikuwa tarehe 5/02/2019 nilitoka Mbeya to Mwanza kuifata hii pisi nikikumbuka huwa nacheka mwenyewe 😂😂 Hilo shati bado lipo ila saizi linanibana dah..! Anyway living legend bado nipo na bado nampenda chaupole wangu..🥰😄
Tweet media one
Tweet media two
7
3
22
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
20 days
Mjomba anawasalimia..😂😂
Tweet media one
4
5
22
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
1 month
Humu ndani hampandagi bodaboda jamani...heee em pigeni simu jamani tupate hela za kuhonga kuku basi..dah Location; Kyela Mbeya Simu; 0622126133
Tweet media one
2
13
22
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Amini yaani
Tweet media one
@Heradkj
Herode the 3rd.
3 months
Hakika!
Tweet media one
12
14
282
7
3
19
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Ngoja niupatie mwili chochote kabla abiria hawajaanza kupiga simu..😁
Tweet media one
2
1
19
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
29 days
Kwamba humu X waliopo Kyela ni mimi tu mbona hamnipigii simu nije kuwabeba na boda au maisha mazuri wenzangu mna magari eti.. Em nipigieni kwenye hii namba aisee 0622126133 wote tupate ridhiki jamani.. Onesha upendo piga RT hapo uenda abiria wangu yupo kwa TL yako..
Tweet media one
1
11
18
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Chochote unachofanya kukabiliana na Umasikini, fanya kwa nguvu zote. Sauti kutoka mtaani..✊️
Tweet media one
2
6
19
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
1 month
Kuna watu hawajaishuhudia Chelsea wakiitumia hii Jersey ya Samsung humu...😁😁
Tweet media one
3
3
17
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
20 days
Mdogo wake wife leo anamaliza mitihani ya darasa la saba, wife kapika pilau tumekula.. hapa kula pilau tena mpaka december kwenye krismas....dah 😁
Tweet media one
6
3
11
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
12 days
Milima haikutani kaka... tuombe uzima tu.🙏😆
Tweet media one
@hancymachemba
Hancy Machemba
13 days
Wakati flani kikosi kazi kilikuwa Dodoma. Sijui hawa watu wapo wapi. Hapa @mpambazi akawa anahisi pua yake ndogo kuliko yangu😂😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
13
5
69
2
2
11
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Nimejaribu leo kufua nguo zangu na za watoto nilivyomaliza tu nikasema nilalepo nipumzike...aaah saizi Mama Busara ndo ananiamsha kwamba chakula tayari niamke nile aisee..😂😂 Mungu awalinde sana wanawake dah..
3
1
11
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Nimerudi home sasa, Mungu mwema niko salama nioge nile nishike simu sasa nianze kuwafollow wana sasa..
Tweet media one
1
2
11
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
28 days
Kama umeoa hakikisha mke wako asikuzoee sana..
2
1
11
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Mbona mnatuchanganya wengine jua wengine mvua..
Tweet media one
1
0
10
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Vile nikimuangalia ndugu yangu Salome akipikwa na wanaNchi..dah 😂😂😂😂
Tweet media one
2
1
10
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
12 days
Huku kwa sumbe ne mbelele syope siliko nkamu ...😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@gabyconscious
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷
12 days
@LusakoWaKwanza kaka shemeji amesema ulete usipa😂
0
0
1
4
5
9
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Wanawake kitu cha ajabu sana, mtu unamwambia sambaratisha moyo wangu yeye anakazana kuomba hela kila muda..😂😂😂😂
0
1
9
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Hassan anawachomesha wenye suzuki dakika za lala salama na kusababisha wenye Magari kuchukua point 3 muhimu huku wakiongozwa na mshambuliaji wao mahili Tecla aliyepiga shuti kali na kusababisha nyavu kuchanika..😁😁 #XVar
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
4
9
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Leo ni humu ✊️ Rehema zako Mungu zikawe juu yetu leo ukabariki kazi za mikono yetu..🙏
Tweet media one
3
0
9
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
4 months
Good morning watu wa Mungu 🙏 #HomeSweetHome Kyela
Tweet media one
1
5
9
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
21 days
Nimevumilia nimeshindwa nipe lipa namba ya hapo nilipie juice ya Tropical, mengine nakuja DM tuyaongee Vanne..🥰
@VannesserMalick
Vanessa A. Mkagilage
21 days
Maisha yetu ni Fumbo, usiache kuishi! #Kamwene !
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
443
93
1K
4
2
8
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
14 days
Tweet media one
@Daktariwawatoto
ClassMonitor 🧑‍⚕️
14 days
Bila Kutaja Kazi Yako Andika Kifaa Chochote Kinachopatikana Kazini Kwako Alafu Mimi Ntakuambia ni Kazi Gani Unafanya 👇🏿👇🏿
289
56
578
1
2
8
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
19 days
Kama mmekorofishana na Mpenzi au Mkeo tafuta wimbo wa Mwana FA ft Linah unaitwa "Yalaiti" Utanishukuru baadaye... Sio kila kitu mpaka ufundishwe..
Tweet media one
0
1
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
11 days
Siku ya 4 leo hujibu DM huyo mpenzi utakutana naye kwenye daladala tu
@jesca_robby
Jesca Robby
12 days
Kwaiyo nimekosa mpenzi uku X 😒
Tweet media one
Tweet media two
123
25
588
2
0
8
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Ndugu zetu,marafiki wetu na jamaa zetu hata watuache leo. Sisi tunaye Mungu mchungaji wa mioyo yetu. Sifa zote ziende kwake.. 🙏
2
5
8
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Kutwa kupost mipicha yako humu ila kupika aaah..niokoo
@itc__reyna
Reyna_Farm_company
3 months
Kutongoza tu ila Kutoa Pesa aaaaah😅😅 mfyuuu
Tweet media one
184
34
1K
1
0
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Mmelala au niwaletee hii...😁😁 Nani anaikumbuka hii..!? #LiveRoyalTravelRoyal
Tweet media one
3
2
8
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Sema kingine kaka...😁😁
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
@Mwlzkapinga
Mwl.Zephania kapinga⭐️
2 months
2
0
0
3
1
8
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
21 days
Kuna mtu kasema eti maji mengi viazi vinaweza kuota upya hivyo...😂😂
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
21 days
Tupike pilau kuku sasa.😋
Tweet media one
49
27
376
4
0
8
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Leo nilikuwa na Mzee nimepata madini mawili matatu siku imeenda poa sana.. Mungu aendelee kumtunza mzee wangu 🙏
Tweet media one
3
1
8
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Humu tu...
Tweet media one
@kalage_jr
John kalage 🇹🇿
2 months
Quote hii post na Biashara yako, Sisi tuta Repost.
7
9
123
1
3
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
24 days
Acha gubu katibiwe upate nafasi ya kula uache kuwaona wenye nafasi ya kula ni wezi..
0
0
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
20 days
Sasa ndio naelewa kwanini Roma alisema Nakwenda Zimbabwe, em fikiria ningekuwa Zimbabwe saizi ningekuwa na miaka yangu 26 maana kule saizi ni mwaka 2017 dah..😔
Tweet media one
2
3
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Na hili je..!? 😂
Tweet media one
@Adventure_36
Adventure-360
3 months
Madereva wa saiv wakoje? Ushawahi kuona hii gari imeanguka?
Tweet media one
115
42
759
2
2
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
17 days
Sema kutafuta Hela pamoja na watoto kwa pamoja ni kazi ngumu sana, chagua kimoja uanze nacho kama watoto zaa sana ukifikisha 30 anza kutafuta Hela, kama ni hela tafuta sana hela ukifikisha 30 anza kutafuta watoto hii imekaa poa ila ukijichanganya hapo usilaumu watu..😆😆
Tweet media one
0
2
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Nitafute nguvu ya kwenda kujitafuta sasa..😋
Tweet media one
2
3
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
4 months
Ukiona unauliza swali na wewe ukaulizwa bila kujibiwa kwanza jua umeshafika Tanzania. #ElimikaWikiendi
0
1
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Matunda ya dada yetu Mobeto yameanza kuonekana kwa kii anapiga hovyo hovyo tu..😂😂😂
1
2
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
12 days
Mimi leo ile natoa pikipiki tu asubuhi nimekutana na bonge la tabasamu amesimama mlangoni, nikajua tu leo nimeisha hapa guess nini kilichofuata hapo....😆😆😆😂
@MarekaMalili
Lubasha Jr
12 days
Wamama wanaamka wanashika kalamu na karatasi we jua tuu weekend yako ishagawanyika mara mbili 😂
31
50
817
0
1
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Sema Mbeya, Songwe na Iringa wangetuacha tuwe Malawi 🇲🇼 tu.😂
1
0
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
21 days
Taifa Stars wakawasili uwanja wa ndege baada ya kutoka kuichakaza Guinea...😂😂🔥🔥🔥
2
4
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
18 days
Game ya Uto utafikiri mtu anacheza game kwenye PS..😂😂😂
1
2
7
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Jamani nimeuona ukuu wa Mungu mkuu alie Hai, Hakika ashukuriwe yeye kwa kila jambo..🙏
Tweet media one
0
0
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Wanyakyusa bana unampa mtoto jina zuri tu la Aggrey, halafu wao wanaita 'Gelea'
Tweet media one
0
3
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
12 days
Watu wa Mungu mmeamkaje, tuamke tukapambanie matumbo yetu sasa bila kusahau kuomba Mungu akapate kutia mkono kwa kile unaenda kufanya Amen..🙏
1
3
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
20 days
Nyie watu ukipata nafasi ya kula wewe kula tena sana, mambo ni mengi watu wanakosa nafasi kama hizi.. sio kwamba wanapenda hapana..
2
2
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Mzazi ndio unakua umeshindwa, huwezi kusema huyu mtoto ameshindikana na ni mtoto wako kabisa wa kumzaa maanake wewe ndio unafeli kama mzazi, na chanzo ni malezi wazazi wengi wanadai wako bize hata muda wa kukaa na watoto wao hawana..
@MarekaMalili
Lubasha Jr
2 months
Hivi mtoto uwa anashindikana, wewe mzazi ndio unakua umemshindwa mtoto?
112
56
653
0
1
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
1 month
Tz Nchi yangu..😭😭
Tweet media one
0
1
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
4 months
Ahsante Mungu kwa siku nyingine tena.. 🙏
1
3
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
26 days
Kama umebahatika hujaoa ila unaweza kuzalisha watoto na kulea na kuhudumia vizuri, basi fanya hivyo ndugu yangu ila usiingie kwenye ndoa.
0
0
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Nimeikuta sehemu hii...😂😂😂
Tweet media one
0
4
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
12 days
Mambo mrembo, Mtaani kwetu sijapata mtu wa kunipenda naomba unipende wewe tupendane serious naongea..😔❤️
@_ireneseverin
Irene S.C
12 days
Thanks God It's Friday!👊🏾😽
Tweet media one
Tweet media two
20
32
510
3
0
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
20 days
Tuamke tukateseke sasa ili watoto wetu wapate kubadilisha milo na kwenda chooni...
2
2
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
4 months
Kama mnataka Mali mtaipata Shambani.. Ngonga , Nsasa Kyela
Tweet media one
Tweet media two
1
2
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Wengi walitamani kuwepo lakini hawapo, mimi na wewe ametufanya tuwepo sisi ni nani..!? Mshukuru Mungu kwa kila jambo 🙏
1
1
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Roho Mbaya FC
Tweet media one
@BridgetNBrina
Bridget Nahwera
3 months
Quote this with a picture that you can never delete from your gallery!
102
62
331
0
1
6
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Mtu unahamaje kwenu wakati Baba yako ndio inatakiwa ahame aende kwao wewe ubaki kwenu..
Tweet media one
2
3
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
1 month
Miaka mingi kwako kaka mkubwa @hamzaalbhanj sisi Roho Mbaya tunakutakia maisa marefu..
Tweet media one
0
2
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
1 month
Binadamu tumeumbiwa kusahau jamani acha niwakumbushe...😂😂 Good morning nawasalimia kwa jina Mwenyezi Mungu aliye Hai.
Tweet media one
0
0
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Kigoma hakuna mapenzi kuna migebuka, ogopa matapeli..😂😂
@zipporah_zealot
Zee Money💰💵💶
3 months
Nikiolewa na mpambazi wangapi mtanichangia harusi yangu jamanii ma Shemejiiii????
14
3
89
0
1
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Hata urubani wanasomea miaka 7, sasa wewe hiyo 10 unataka uwe nani..!?😂😂😂😂
@Officielsajah
Sabrina🌷
2 months
Mahusiano Miaka 10 ananiambia kwao hawataki MPARE.
174
47
679
4
0
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
18 days
Man U acheni ujinga nimewapa magoli matatu mjue..😂😂
1
1
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Aziz kii anaondoka Aziz kii bado Yanga, Funjo na yupo Yanga Funjo Philipo. 👇😂 na Philipo 👇😂
Tweet media one
Tweet media two
0
1
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
12 days
Umeoa halafu mke wako marafiki zake wakubwa ni wale walioachika kwenye ndoa, Bro mbona utaomba likizo mwenyewe..😆😆
0
1
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Mungu mwema ni siku nyingine tena 🙏
1
1
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
31 😊
Tweet media one
@Iameniolamyde
DemiLade
3 months
20yrs - 45yrs old , bless us with your picture/video. Let’s see you and appreciate God’s creatures.
439
127
843
1
1
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
12 days
Hee..
Tweet media one
@Religion_ATR
ATR Mtiling’ati
12 days
Love is a beautiful thing Happy birthday @PoeticTricy mtu mwenye madini yake ishi sana
Tweet media one
5
2
8
1
0
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
24 days
Husband material ndio wanatoka ibadani saizi si ndio..!? 😁😁
1
1
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Niuze mpunga ninunue bodaboda niingie road nianze kukunja bukubuku tu hakuna namna sasa mapambano yaendelee tu...🙏✊️
0
1
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Alichoongea Hamis Bagaile kama kina kitu vile au na mimi ni mbumbumbu kama wewe tu hatuko upande wake..!? 😂😂 cc. @funjojr @PhitMathematic
1
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Ni siku nyingine tena ahsante Mungu 🙏
0
1
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
4 months
Taifa la Mungu tumsifu Yesu kristo. 🙏
2
2
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
19 days
Ukishakuwa mkubwa kiumri lakini ukikosa Busara basi wewe ni Mpumbavu.. Sauti ya mtaa...✊️
1
2
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
12 days
Huwa naplay haka ka video..😆😆
@jwise017
NYANI MZEE
12 days
Ukiwa na hasira sana huwa unafanya nini ili kutuliza hasira zako?
16
3
76
1
2
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Sio 10k tu ni vile wewe unapenda na mnavoishi na familia yako nyumbani, Mfano mimi niko na familia ya watu 3 nyumbani mimi wa 4 lakini naacha 10k na maisha yanaenda saafi tu hakuna kiwango maalumu ni wewe tu.. ila ni vile nyie mnavyoishi.
@kalage_jr
John kalage 🇹🇿
2 months
Kwahiyo ukioa inabidi kila siku uwe unaacha elfu kumi nyumbani.?
Tweet media one
120
54
946
0
0
5
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Wanyakyusa bana mtu anaitwa Andrew wao wanamuita ANDELEA. 😂😂
1
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
16 days
Mkali @maestrowafact natumai mmemaliza salama space mkali nakusalimia ....😆😆
1
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Ainuliwe Mungu wa mbinguni, Ainuliwe ametenda mema.
0
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
4 months
Akina Ertugrul leo wana jambo lao..😄
0
2
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
3 months
Kyela nazani tumepata sehemu ya kutumia hela sasa..🔥🔥
Tweet media one
1
1
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
20 days
Hakikisha huna mazoea na mwanamke yeyote yule hata kama ni Mkeo hakikisha hasikuzoee..
2
2
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
4 months
Sema hii Nchi ikimkuta mtu anaongea peke yake achana naye na wewe itafika zamu yako..
1
2
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
18 days
Tweet media one
@Big_Nicky01
Big_Nicky✊️
18 days
Lets see your Black and White Pic 😊👇👇
83
25
159
0
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Jamani salamaa humu ndani..!
2
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Huyu sasa anaweza anza kumaliza hela za Bodaboda... Hee 😔😁 Em fanya hivyo basi..
Tweet media one
@idriss4_khadija
kimani_69🇹🇿🦋
2 months
I’m a red flag but the material is quality 😄💋
Tweet media one
59
50
752
1
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
12 days
Mshahara wenye sifuri 8 ndio sh ngapi ndugu waajiriwa...😆😆
0
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
16 days
Tweet media one
@JH_Churchill
James H. Churchill
16 days
Mtu anavaa jinsi anakunja miguuni kama anavuka mto, kwanini asiwe muoga? 😀
2
0
4
1
1
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Wazee wa kukata mitaa hapa ni wapi..!?
Tweet media one
2
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
1 month
Mwezi uliopita kuna dada nilenda kwake kumsaidia kufunga net, leo ananipigia simu anasema anatamani muda wote awe anasikia harufu ya vumbi lililomwagiliwa maji.. atakuwa anaumwa mafua huyu sio bure eti wadau..!?
Tweet media one
0
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
2 months
Eeeh kulikoni jamani naona TL yangu imejaa mapicha picha ya vita vita yaani ...😂😂
0
0
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
11 days
Hata Weekend hamna pa kwenda nyie watu naona mnazurura tu X nyie ni watu gani sasa...😆😆
1
1
4
@LusakoWaKwanza
LusakoWaKwanza
22 days
Kuna wanawake wanafuga Matako aisee, yaani unakuta Mwanamke ana Mitako kama kachukua mitako ya ukoo wake wote
1
1
4