![Maviatu πππ₯ΎποΈπ Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1419898934827290625/NtRB3r6i_x96.jpg)
Maviatu πππ₯ΎποΈπ
@BarakaMaviatu
Followers
150K
Following
317K
Statuses
401K
#Entrepreneur SPECIAL & SECOND HAND/MTUMBA shoes dealer πππ₯ΎποΈπ https://t.co/D0rNCR53HS |Ndugu wa CHAPO, CHAFOSA na MKWAWA WILLY BRIGHT & JOHNIEBEST
SOMEWHERE ON EARTH π
Joined March 2018
#Mtumba CONTACTS: +255718007463 WhatsAppπ,CallsβοΈ, TxTβοΈ #TUNAFANYADELIVERYπ΅π¦ #MIKOANITUNATUMA ππ¦ #return 2 days after #delivery
1
22
24
@ambwene_ Bilioni 1.8, si ni sawa na milioni @ kwa watu 1800 mbona ni hesabu mbuzi sanaa? Ni nyingi kama ingegawiwa kwa watu wachache labda 100. Vijana wangapi walipewa hiyo hela?
0
0
0
RT @spana_Konki: Air Jordan 4 RM π Size: 40-44 Bei: 95,000/= badala 110,000/= π: 0693688961 WhatsApp: 0743931620 DM @Dream_online_Tz https:β¦
0
31
0
@IamEssyA @lifeofdr3 @jwise017 Hiko suala la kidoti ni picha inauzwa hata hiyo inaweza geuzwa umegeukia kukia ikawa kushoto. Mke wake alimuacha sababu alichepuka. Mandela ametoka mzee ndio maana hata kuongoza hakuweza kaa muda mrefu. Yeye kuwakumbatia wazungu ndio kulileta hayo, inaitwa Mandela effect.
0
0
1
@Mbwana_1 @MigunaMiguna @elonmusk @netanyahu @IntlCrimCourt @Julius_S_Malema Ni watu weusi tuu utwasikia wanahubiri amani vitani.
1
0
0
RT @INFLUENCERjr: Mtoko wa Valentine usihangaike kutoka na cash au kadi maana ukikuta Lipa Hapa unamaliza kila kitu Lipa Hapa ipo Mtaani kβ¦
0
15
0
@IamEssyA @lifeofdr3 @jwise017 Watu wake walipaniki tuu kutokana na alivyotoka kabadilika. Mtu kafungwa miaka 27 unategemea atatoka yuleyule? Kama ni akili walimchezea vya kutosha, ni sisi huku ndio hatuwazi ila wenzetu walikofika wakikaa na wewe siku kadhaa ukirudi sio wewe tena.
1
0
1
@automatiki @inframe_tz @jwise017 If you're not on the table you're on the Menu. Hii ni kauli wanaipenda wenyewe. Kazi kwetu kuamua.
0
0
0
@YusuphMwafrica Hii kwenye speed imewaacha wote wawili. Maelezo yanatokea kama picha haijiulizi sanaa.
1
0
1
RT @Dream_online_Tz: Genuine leather Timberland π₯Ύ zimebaki chache sana π . Size 40-45: Bei: 95,000/= . Njoo Whatsapp Chap ποΈ: https://t.coβ¦
0
5
0
@_ThisIsAntony Unaingia gharama kuwafurahisha masikini wenzio. π Ndio haya masikini anavaa Guchi ili masikini wenzie waone ana hela. π
1
0
0
@automatiki @inframe_tz @jwise017 Unfortunately we can't. Huwezi kuhubiri amani huku mwenzio kashika upanga, tusipojifunza tutaendelea kulalamika wao hua hawajali hilo. Kazi kwetu kuamua kuendelea kua victims au kukaza.
1
0
0