Afisa Ugavi 🇨🇦 Profile Banner
Afisa Ugavi 🇨🇦 Profile
Afisa Ugavi 🇨🇦

@Mkuruzenzi

Followers
58,530
Following
4,865
Media
6,792
Statuses
105,367

🤓 Techie at heart 💻 | Innovating my way through life 🛠️ | Football fanatic ⚽️ | Funny moments keep me going 😅 | A dude you might know

View my catalog
Joined July 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 month
Kabla ya msimu kuanza tujue combination yako ni ipi? Simba SC + Man UTD Simba SC + Arsenal Simba SC + Liverpool Simba SC + Man City Simba SC + Chelsea Yanga SC + Man UTD Yanga SC + Arsenal Yanga SC + Liverpool Yanga SC + Man City Yanga SC + Chelsea Azam FC + Man City Tuambie👇
18
4
32
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
RETWEET LIKE kwa CHAMA kwa AZIZ KI
Tweet media one
Tweet media two
29
770
2K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Huyu nani mbona anatrend sana?
Tweet media one
194
72
2K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Huyu ndiye mtumishi pekee ninayeweza kumpa sikio langu.
Tweet media one
164
120
2K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Sasa kama hawa ni wanafunzi wa Sayansi je wa Arts watakuwaje? 😎
Tweet media one
149
51
2K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 months
Kumbe kivumbi kilikuwa kikali hivi 😂😂 Angalia video mpaka mwisho.
36
544
2K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Hii kitaalamu inaitwaje?
Tweet media one
143
35
2K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Wote wamecheza mechi mbili na wana magoli mawili... Nani unamuona kwenye kiatu cha mfungaji bora? Like kwa Phiri. Retweet kwa Mayele.
Tweet media one
Tweet media two
64
191
2K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
3 months
Hivi huyu baba aliendaga wapi?
Tweet media one
110
45
2K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Kama una Wallpaper kali kushinda hii dondosha hapa niibe. 😎
Tweet media one
305
53
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Unaambiwa Kibu kapiga goli kali halijawahi tokea duniani... Bonge la pasi kutoka kwa Saidoo 🔥🔥 Video kwenye comment.
Tweet media one
20
26
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Malezi ya kidijitali 😎
Tweet media one
108
39
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Comments ziwe fupi fupi 😎
Tweet media one
290
25
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Haya tushtue ubongo chap 😎
Tweet media one
373
45
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
11 months
Duru zinasema mwanetu ni dereva wa IT 😂 Kumbe zile ndinga mwanetu anavimba nazo anachomiliki ni zile plate numbers za kuchonga tu. Unaambiwa akifika mahali anapaki pembeni anaanza kutengeneza kontenti za kuinspaya vijana 😂😂😂
Tweet media one
81
31
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
9 months
Vipiiii? 😂😂
154
339
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Nasikia huyu jamaa hanywi pombe, hajawahi kunywa pombe na ameokoka anampenda Yesu. 😃
Tweet media one
91
30
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Bahati nzuri mishahara ya bankers inajulikana na hakuna media bongo hapa inalipa 10m 😂😂😂
Tweet media one
110
43
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Mchungaji Katibu Na Mama Na Mama Mchungaji 😎 Mchungaji 😂
Tweet media one
105
56
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 month
Muwe mnatuambia ukweli. 🥺
12
189
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
I've never seen this call 😭
Tweet media one
180
72
1K
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Kajamaa kamekamatika leo 😂🤣🤣 Video kwenye comment 👇
Tweet media one
185
65
992
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
10 months
Wakishua watajua mboga imemwagika. 😂
Tweet media one
173
90
973
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
10 months
Afisa upanuaji 😎
Tweet media one
179
42
938
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
7 months
Yaani hili amapiano lilopigwa humu ni mchanganyiko wa Jaivah, Chinno wana man, na Marioo kama kifungashio 😂😂😂
Tweet media one
36
41
935
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Tatizo ni wale waliosema Mitchey niliongea nae halafu leo tunaambiwa she never existed 😂😂😂 sijui siku nikihama huku twita nihamie wapi? 🤔
131
20
886
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Kuna binti nilimchukua akawa anakaa na bi mkubwa kutokana na maisha magumu ya familia yake. Mwanzo alikuwa na mazingira magumu hata kwenye upande wa elimu, nikasema nitakuwa namnunulia mahitaji yote ya shule ili asome. Jana nimepigiwa simu naambiwa amekuwa wa kwanza darasani.🙏
59
57
923
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Imagine unamwita bro mtoto wa 1997 kisa ana followers wengi 🤕
162
26
866
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
10 months
Venga akikaa vibaya napindua meza 😂😂
Tweet media one
35
19
902
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Muongoza ndege - Rubani Muongoza meli - Nahodha Muongoza gari - Dereva Muongoza treni - ???????? 🤔
317
30
893
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Imenichukia muda mwingi sana kutweet hii kitu ila natweet nikiwa wazi kabisa kuwa Bro umenikosea heshima sana, nilikuheshimu ila umejivunjia heshima. @ZaynSalma1 ni PARODY na inamilikiwa na bro ambae nlimuheshimu sana. Sitamtaja kwa sasa ila asiponichek tuyamalize ntamuanika.🤒
Tweet media one
227
40
814
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
5 years
Mimi nani hadi nisiongee kingereza, narudia kuanzia sasa mimi ni kingereza tu antilii yu stei outisaid 😢 Tuheshimiane 🕵 #Mkuruzenzi
252
64
818
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
5 years
Amkeni amkeniiiiiii... Na mi si nimedaka haka kazawadi kutoka @Pepsi_TZ sasa chakufanya ni kidogo tu wanangu, nachotaka ni #Likes tu ili niweze kupata hii zawadi chap! Support kwa MKURUNZENZI wenu niondoke na hii zawadi. #PepsiTz #LiveForNowTz #MkubwaWao #XmasNaPepsi Pls RT
Tweet media one
35
168
798
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
85
162
792
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Kama unahis dalili hizi 1 Kichwa kuuma 2 Kutoona vizuri 3 Hali ya joto kias 4 Kukosa usingizi 5 Kuwa na hasira za haraka 6 Uchovu wa ovyo Hiyo sio COVID-19 Hizo ni dalili za mtu asiye na pesa na inaitwa (POVID-20) Poverty Virus Disease 2020. Katafute hela utakufa umbwa we 🤓
99
71
771
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
10 months
Nilitaka kujiuliza wamewezaje kuvuka hapa kwenda kwenye supu? Nikakumbuka kumbe ni vyura 😂
Tweet media one
63
54
810
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Natest mitambo! Rate it out of 10.
Tweet media one
102
29
778
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Huna kitambulisho cha NIDA, Huna cheti cha kuzaliwa, huna passport, huna gari, huna simu nzuri, huna nyumba, huna hata pisi kali 🤔 Sasa tofauti yako wewe na mbuzi ni nini? 🤓😂 #MorningFAM
146
32
734
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 months
Hizi hela za hawa masnitch ziwe zinarudishwa kama vocha wahangaike nazo 😂😂😂😂
77
69
790
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Nioneshe picha ya Prof aliyevaa jezi ya utopolo nikuoneshe Ng'ombe wa Mayele alivyopandishwa kwenye ndege kwenda Misri. 😎
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
37
51
762
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
11 months
+1 Alhamdulillah. Ombi langu kwa Mungu anipe umri mrefu utakaompendeza 🙏🏾
Tweet media one
153
106
754
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Umezaa nae? 🤔
@Sativa255
SATIVA17
2 years
Mmakonde Jana kaenda na mtoto USIKU wa manane CLUB. Hatuwezi kumjadili wakuu?😎
Tweet media one
167
20
899
164
42
718
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Mbona bwana Dijito Meneja hatupostii vitu kama hivi? 😂😂😂😂
134
190
734
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Tumekwisha leo humu 😂😂😂
Tweet media one
65
34
709
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Taja msanii wa Bongo Flava mwenye hizi Lyrics 😎
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
154
37
719
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Kweli wapwa mmejua kuniinua...nashukuru sana kufika 100k followers. Hebu tuendelee kuinuana wapwa. Nifollow kisha weka handle yako nikufollow back chap! 😎
Tweet media one
171
29
669
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Huwa unapata hisia gani ukipita kwenye hivi vidude?
Tweet media one
247
37
712
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Milioni 15 Milioni 7
Tweet media one
Tweet media two
75
36
715
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Hii ni picha kali sana iliyopo kwenye simu yangu, hebu tuone yako kali ni ipi? 👇
Tweet media one
90
22
698
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
3 months
Kumbe Sarafina kawa mzungu.
Tweet media one
41
11
708
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
5 years
Twitter kuna • Wanaharakati • Wafanyabiashara • Wachambuzi • Wanafunzi • Walimu • Wanasiasa • Watoa burudani .... Na wengine kibao. Je wewe upo kwenye kundi gani?
230
26
674
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
5 months
Hebu andika "Mku" tuone keyboard yako itamaliziiaje 😂😂
Tweet media one
168
26
688
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
3 months
Kitaalamu hii huwa ina maana gani?
Tweet media one
57
20
694
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Sasa twitter imeamua sisi wenye simu zinazoeleweka tuwe tunatuma voice tweet sasa nyie ambao bado huduma hii haijawafikia endeleeni kuwa wapole 🤓 Play Apo Usikie 😲😲😲 👇👇👇👇👇👇 ▶ 🔘────────────── 01:15
96
6
653
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Kumbe haya makombe yanauzwa kama mtumba 😂😂😂
Tweet media one
@SimbaScTweet
𝐒𝐈𝐌𝐁𝐀 𝐌𝐬𝐢𝐦𝐛𝐚𝐳𝐢👑
1 year
Hilo kombe liliagizwa kikuu nini?
Tweet media one
6
2
61
7
16
677
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Kuanzia January niwe serious sasa kuuza hizi Anti-Bluerays Glasses niokoe macho ya vijana. Ikiwa unatumia muda mrefu kwenye simu, laptop, TV, ama kifaa chochote chenye mwanga basi hii itakusaidia Inasaidia kupunguza mionzi ambayo husababisha shida ya macho na maumivu ya kichwa.
Tweet media one
122
131
679
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
11 months
Ila huyu dogo anajua kwenda na script asee 🙌🏽
41
101
686
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Nione nani mtaalamu wa caption. Mwenye caption kali anakula buku 2 la bando. Twende sasaaa.....
Tweet media one
133
23
679
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
5 years
Mama kaenda chachi kamuachia genge mtoto wake, yuko anauza nyanya moja Tsh 100 genge limefurika 😂😂😂 Yaani maza akirudi atakufa na presha leo 🤒
41
34
655
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Hatimaye full video imepatikana 😂😂😂 "I don't want peace, I want problems always"
31
202
653
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Itafika mahali Robertinho tutashindwa kumvumilia maana kama kumvumilia tumeshamvumilia sana.
Tweet media one
63
26
661
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
5 years
Mwambieni @moodewji kwamba #Mkuruzenzi anatamani Logo mpya ya Simba iwe namna hii. #NguvuMoja #Mkuruzenzi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
93
110
638
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Asa itakuwaje? 🤔
Tweet media one
63
26
638
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Toka Mungu amuulize Adam "uko wapi?" Wanaume hatupendi kabisa hili swali 😂😂😂
59
48
630
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Hadi SIACHI HELA ameacha HELA. 😂😂😂
Tweet media one
44
41
637
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Wale wazee walisema gambe inafukuza COVID-19 mna habari kuwa Pierre Likwidi ana Corona? 🤠
66
27
602
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
3 years
Pole sana @fazoboya jioni tutakuletea juisi ya mengo na mkate wa kumimina 😂😂😂
Tweet media one
19
24
614
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Una miaka 25 huna hata passport, sasa tofauti yako na ng'ombe wa Mayele ni nini? 🤔
Tweet media one
145
12
607
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
9 months
This kid needs time ana kitu.
Tweet media one
11
12
636
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Kumbe mshenzi alipiga bingo 😂😂
Tweet media one
85
38
603
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
8 months
Kuna wajinga wanahisi watatoboa hapa 😂😂😂
Tweet media one
55
31
603
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
On this day, 3yrs ago my douta was born. Thanks God for this amazing gift 😊 I always pray for this kid to grow old & wise. Happy birthday my daughter, daddy loves you. ❤
Tweet media one
113
38
566
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
5 months
Ningekuwa sijui kutengeneza pizza ningelala na njaa leo 😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
71
28
591
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Unahisi huyo dogo anajiuliza swali gani?
Tweet media one
36
10
578
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 months
Hakikisha ukiwa kwenye vibanda vya kupata huduma za kifedha unakuwa makini sana, usimuamini mtu yeyote. Watu wamekosa utu kabisa. Angalia video kwenye comment jamaa alivyomvamia mteja na panga.
Tweet media one
52
47
582
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Ndevu kidogo kamsaliti Yesu 😂
Tweet media one
73
15
555
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Comments ziwe fupifupi 😂😂😂
Tweet media one
49
22
566
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
3 years
Mpaka sasa panzi amekusaidiaga nini? 😂
Tweet media one
71
21
528
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Kwa sisi ambao tulilelewa na mzazi mmoja especially mama, huwezi kutuambia kitu kuhusu hawa wamama tukakuelewa... Mungu awabariki sana mama zetu. 🙏
48
47
527
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Before & After
Tweet media one
49
24
539
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Leo tuinuane tu siku nzima 🤓
145
22
524
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Sema humu twita kuna watu wana moyo 😊 Imagine mtu anaweza jitwitia, akajilaikia halafu akajiritwitia 😂
99
15
516
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Ila Mussa Banzi alikuwa anatuonaje kwani? 😂😂
78
74
545
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
#WapwaTuinuane Dondosha handle yako hapo chini kisha follow kila ataeLike na kuRetweet tweet hii.... Haya twende sasa chaaap kabla watu hawajalala
Tweet media one
243
52
507
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Haya leo ngoja tuinuane 🤓. Kama una followers chini ya 1000 weka handle yako na umfollow kila ataeLike na kuRetweet hii tweet. Anza na kumfollow @JWandil
235
53
508
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
8 months
Mbona Manula kama anatucheka hivi? 😂😂
Tweet media one
27
12
531
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Leo kibonge kakamatika sasa, kajamaa kanalipa hasira zake 😂😂😂 Video kwenye comments 👇
Tweet media one
45
27
531
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Watu walifurahi baada ya kusikia kuwa iP15 itakuwa na inasupport USB Type C wakawa wameanza kuandaa charger zao za Oraimoo 😂😂 Apple wanasemajeeee... Bado hamjasema Mpaka msemeee. 😂
Tweet media one
66
31
535
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
10 months
Watoto wa 2000 hamruhusiwi kucomment chochote hapa.
89
109
529
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Fanya ufanyavyo ila usiende instagram ukasearch "tiktokgirl70" Please DO NOT 🚫 usiseme sijakwambia.
129
20
509
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
11 months
Mimi ni Graphics Deaigner na nimeshafanya kazi nyingi sana za Design na hili nitalisema wazi bila kuweka ushabiki. Poster ya Yanga ni MBOVU japo mnajaribu kuipush ili ionekane nzuri, na kama ni Agenda mmepewa ya kusifia poster basi hiyo poster ni MBOVU. Nilichokiona kwenye
@MiriamMkanaka
MIRIAM💜
11 months
Ukweli usemwe Graphic Designer wa Yanga anaupigaaa mwingi mno aongezewe mshahara 😂
Tweet media one
Tweet media two
160
66
1K
216
54
532
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
3 years
Mi siwezi mshika manaume mwenzangu hivi, "ova mai dedi bodi" 🤕
Tweet media one
83
12
502
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
4 years
Ukiwa msibani na usikie wamama wanaongea "Yaani huyu kijana anakujaga misibani kula tu" 😂
Tweet media one
59
22
506
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Jana sikuwa na bando, Hongera Mayele 😎
Tweet media one
47
11
519
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Happy Women's Day
Tweet media one
50
53
498
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
10 months
Ukienda kule kwenye WhatsApp channels ndio utajua tofauti yao na sisi.
Tweet media one
Tweet media two
121
33
518
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
AY once said__________?
Tweet media one
67
9
500
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Ila haka kajamaa kanadance bana 🔥🔥🔥 Angalia mpaka mwisho. 🙌🏽
56
71
503
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
1 year
Daaah nimecheka kinoma 😂😂😂😂 Angalia mpaka mwisho
74
171
506
@Mkuruzenzi
Afisa Ugavi 🇨🇦
2 years
Poleni sana mashabiki wa Yanga 😂😂😂😂
Tweet media one
80
18
485