Mkuruzenzi Profile Banner
MWAGITO Profile
MWAGITO

@Mkuruzenzi

Followers
60K
Following
192K
Media
7K
Statuses
112K

🤓 Techie at heart 💻 | Innovating my way through life 🛠️ | Football fanatic ⚽️ | Funny moments keep me going 😅 | A dude you might know

View my catalog
Joined July 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Mkuruzenzi
MWAGITO
3 months
Najua pengine wengine mlikuwa katika majukumu ya kulijenga Taifa, wengine mlikuwa hospitali, wengine mahabusu, wengine migodini ama sehemu yoyote ambayo ilisababisha mshindwe kuiona mechi hii. Naomba mpate dk 2 za kushuhudia chuma zote 3 ambazo Uto alishenyentwa na warina asali.
4
12
26
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
RETWEET LIKE.kwa CHAMA kwa AZIZ KI
Tweet media one
Tweet media two
26
762
2K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Huyu nani mbona anatrend sana?
Tweet media one
193
72
2K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Huyu ndiye mtumishi pekee ninayeweza kumpa sikio langu.
Tweet media one
163
116
2K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Sasa kama hawa ni wanafunzi wa Sayansi je wa Arts watakuwaje? 😎
Tweet media one
149
49
2K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
8 months
Kumbe kivumbi kilikuwa kikali hivi 😂😂. Angalia video mpaka mwisho.
36
532
2K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Hii kitaalamu inaitwaje?
Tweet media one
141
34
2K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Wote wamecheza mechi mbili na wana magoli mawili. Nani unamuona kwenye kiatu cha mfungaji bora?. Like kwa Phiri. Retweet kwa Mayele.
Tweet media one
Tweet media two
63
187
2K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
8 months
Hivi huyu baba aliendaga wapi?
Tweet media one
110
42
2K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 months
Huyo bwana kama hakujikojolea sijui?! 😂😂😂😂
80
339
2K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Kama una Wallpaper kali kushinda hii dondosha hapa niibe. 😎
Tweet media one
301
52
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Unaambiwa Kibu kapiga goli kali halijawahi tokea duniani. Bonge la pasi kutoka kwa Saidoo 🔥🔥. Video kwenye comment.
Tweet media one
20
26
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 months
Hii taarifa kwa UMMA ya Simba nahisi kaandika @Sativa255 maana alivyomtaja RC direct ni kama anavyomtaja Mafwele 😂😂😂
Tweet media one
54
76
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Malezi ya kidijitali 😎
Tweet media one
108
40
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Comments ziwe fupi fupi 😎
Tweet media one
289
26
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 months
Aliyetusanua na hii CRICFy TV App akifa aende peponi moja kwa moja.
61
127
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Haya tushtue ubongo chap 😎
Tweet media one
372
45
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Duru zinasema mwanetu ni dereva wa IT 😂.Kumbe zile ndinga mwanetu anavimba nazo anachomiliki ni zile plate numbers za kuchonga tu. Unaambiwa akifika mahali anapaki pembeni anaanza kutengeneza kontenti za kuinspaya vijana 😂😂😂
Tweet media one
81
32
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Vipiiii? 😂😂
153
330
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Nasikia huyu jamaa hanywi pombe, hajawahi kunywa pombe na ameokoka anampenda Yesu. 😃
Tweet media one
89
26
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Bahati nzuri mishahara ya bankers inajulikana na hakuna media bongo hapa inalipa 10m 😂😂😂
Tweet media one
109
42
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 month
Kulala ukweni kidogo tu ushakuwa na undugu na Mbowee 😂.
104
78
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Mchungaji Katibu.Na Mama Na Mama.Mchungaji 😎 Mchungaji 😂
Tweet media one
105
56
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
I've never seen this call 😭
Tweet media one
180
72
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
7 months
Muwe mnatuambia ukweli. 🥺
12
185
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Kajamaa kamekamatika leo 😂🤣🤣. Video kwenye comment 👇
Tweet media one
184
64
984
@Mkuruzenzi
MWAGITO
11 days
Hizo Diploma mnazozungumzia labda Diploma za Hotel Management. Ila Diploma za Engineering mziache kama zilivyo. Unaenda chuo unakutana na hesabu imepinda kmmk mpaka kichwa inawaka moto.
58
50
1K
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 months
So sad! 😢
42
126
992
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Wakishua watajua mboga imemwagika. 😂
Tweet media one
171
88
960
@Mkuruzenzi
MWAGITO
3 years
Kuna binti nilimchukua akawa anakaa na bi mkubwa kutokana na maisha magumu ya familia yake. Mwanzo alikuwa na mazingira magumu hata kwenye upande wa elimu, nikasema nitakuwa namnunulia mahitaji yote ya shule ili asome. Jana nimepigiwa simu naambiwa amekuwa wa kwanza darasani.🙏.
62
60
938
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Afisa upanuaji 😎
Tweet media one
177
43
922
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Yaani hili amapiano lilopigwa humu ni mchanganyiko wa Jaivah, Chinno wana man, na Marioo kama kifungashio 😂😂😂
Tweet media one
35
40
921
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Tatizo ni wale waliosema Mitchey niliongea nae halafu leo tunaambiwa she never existed 😂😂😂 sijui siku nikihama huku twita nihamie wapi? 🤔.
130
20
882
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Imagine unamwita bro mtoto wa 1997 kisa ana followers wengi 🤕.
162
26
859
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Venga akikaa vibaya napindua meza 😂😂
Tweet media one
35
19
896
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Muongoza ndege - Rubani.Muongoza meli - Nahodha.Muongoza gari - Dereva.Muongoza treni - ???????? 🤔.
314
29
883
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 months
Hapa giza liingie niende dukani kwa yule Msukuma 😂
Tweet media one
76
36
871
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Imenichukia muda mwingi sana kutweet hii kitu ila natweet nikiwa wazi kabisa kuwa Bro umenikosea heshima sana, nilikuheshimu ila umejivunjia heshima. @ZaynSalma1 ni PARODY na inamilikiwa na bro ambae nlimuheshimu sana. Sitamtaja kwa sasa ila asiponichek tuyamalize ntamuanika.🤒
Tweet media one
226
40
812
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Mimi nani hadi nisiongee kingereza, narudia kuanzia sasa mimi ni kingereza tu antilii yu stei outisaid 😢. Tuheshimiane 🕵. #Mkuruzenzi
252
63
813
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Amkeni amkeniiiiiii. Na mi si nimedaka haka kazawadi kutoka @Pepsi_TZ sasa chakufanya ni kidogo tu wanangu, nachotaka ni #Likes tu ili niweze kupata hii zawadi chap! . Support kwa MKURUNZENZI wenu niondoke na hii zawadi. #PepsiTz #LiveForNowTz #MkubwaWao #XmasNaPepsi. Pls RT
Tweet media one
34
168
796
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 months
Jamaa kajiongopea mpaka mwenyewe kajicheka 😂😂😂
45
118
803
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
84
157
784
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Kama unahis dalili hizi. 1 Kichwa kuuma.2 Kutoona vizuri.3 Hali ya joto kias.4 Kukosa usingizi .5 Kuwa na hasira za haraka.6 Uchovu wa ovyo. Hiyo sio COVID-19. Hizo ni dalili za mtu asiye na pesa na inaitwa (POVID-20).Poverty Virus Disease 2020. Katafute hela utakufa umbwa we 🤓.
98
72
769
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Nilitaka kujiuliza wamewezaje kuvuka hapa kwenda kwenye supu? Nikakumbuka kumbe ni vyura 😂
Tweet media one
62
53
806
@Mkuruzenzi
MWAGITO
3 years
Natest mitambo! Rate it out of 10.
Tweet media one
102
29
768
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Huna kitambulisho cha NIDA, Huna cheti cha kuzaliwa, huna passport, huna gari, huna simu nzuri, huna nyumba, huna hata pisi kali 🤔. Sasa tofauti yako wewe na mbuzi ni nini? 🤓😂. #MorningFAM.
145
32
732
@Mkuruzenzi
MWAGITO
7 months
Hizi hela za hawa masnitch ziwe zinarudishwa kama vocha wahangaike nazo 😂😂😂😂.
76
67
782
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Nioneshe picha ya Prof aliyevaa jezi ya utopolo nikuoneshe Ng'ombe wa Mayele alivyopandishwa kwenye ndege kwenda Misri. 😎
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
36
50
758
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
+1 Alhamdulillah. Ombi langu kwa Mungu anipe umri mrefu utakaompendeza 🙏🏾
Tweet media one
148
105
745
@Mkuruzenzi
MWAGITO
3 years
Umezaa nae? 🤔.
@Sativa255
SATIVA17
3 years
Mmakonde Jana kaenda na mtoto USIKU wa manane CLUB. Hatuwezi kumjadili wakuu?😎
Tweet media one
164
42
714
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Mbona bwana Dijito Meneja hatupostii vitu kama hivi? 😂😂😂😂
133
190
728
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Tumekwisha leo humu 😂😂😂
Tweet media one
64
33
700
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Taja msanii wa Bongo Flava mwenye hizi Lyrics 😎
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
154
36
715
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Kweli wapwa mmejua kuniinua. nashukuru sana kufika 100k followers. Hebu tuendelee kuinuana wapwa. Nifollow kisha weka handle yako nikufollow back chap! 😎
Tweet media one
169
29
665
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Huwa unapata hisia gani ukipita kwenye hivi vidude?
Tweet media one
247
36
707
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Milioni 15 Milioni 7
Tweet media one
Tweet media two
74
37
708
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Hii ni picha kali sana iliyopo kwenye simu yangu, hebu tuone yako kali ni ipi? 👇
Tweet media one
90
22
694
@Mkuruzenzi
MWAGITO
8 months
Kumbe Sarafina kawa mzungu.
Tweet media one
39
8
693
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Twitter kuna.• Wanaharakati.• Wafanyabiashara.• Wachambuzi.• Wanafunzi.• Walimu.• Wanasiasa.• Watoa burudani. Na wengine kibao. Je wewe upo kwenye kundi gani?.
229
25
670
@Mkuruzenzi
MWAGITO
11 months
Hebu andika "Mku" tuone keyboard yako itamaliziiaje 😂😂
Tweet media one
163
25
670
@Mkuruzenzi
MWAGITO
8 months
Kitaalamu hii huwa ina maana gani?
Tweet media one
57
18
684
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Sasa twitter imeamua sisi wenye simu zinazoeleweka tuwe tunatuma voice tweet sasa nyie ambao bado huduma hii haijawafikia endeleeni kuwa wapole 🤓. Play Apo Usikie 😲😲😲. 👇👇👇👇👇👇. ▶ 🔘────────────── 01:15.
95
6
650
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Kumbe haya makombe yanauzwa kama mtumba 😂😂😂
Tweet media one
@SimbaScTweet
𝐒𝐈𝐌𝐁𝐀 𝐌𝐬𝐢𝐦𝐛𝐚𝐳𝐢👑
2 years
Hilo kombe liliagizwa kikuu nini?
Tweet media one
7
16
674
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Kuanzia January niwe serious sasa kuuza hizi Anti-Bluerays Glasses niokoe macho ya vijana. Ikiwa unatumia muda mrefu kwenye simu, laptop, TV, ama kifaa chochote chenye mwanga basi hii itakusaidia. Inasaidia kupunguza mionzi ambayo husababisha shida ya macho na maumivu ya kichwa.
Tweet media one
122
128
675
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Ila huyu dogo anajua kwenda na script asee 🙌🏽
41
101
682
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Nione nani mtaalamu wa caption. Mwenye caption kali anakula buku 2 la bando. Twende sasaaa.
Tweet media one
133
23
677
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Mama kaenda chachi kamuachia genge mtoto wake, yuko anauza nyanya moja Tsh 100 genge limefurika 😂😂😂. Yaani maza akirudi atakufa na presha leo 🤒.
41
33
654
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Hatimaye full video imepatikana 😂😂😂. "I don't want peace, I want problems always"
30
199
638
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Itafika mahali Robertinho tutashindwa kumvumilia maana kama kumvumilia tumeshamvumilia sana.
Tweet media one
63
25
656
@Mkuruzenzi
MWAGITO
18 days
Heri ya kumbukuzi ya siku ya kuzaliwa janja, more blessings. @Sativa255
Tweet media one
9
26
669
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Mwambieni @moodewji kwamba #Mkuruzenzi anatamani Logo mpya ya Simba iwe namna hii. #NguvuMoja. #Mkuruzenzi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
93
110
637
@Mkuruzenzi
MWAGITO
3 years
Asa itakuwaje? 🤔
Tweet media one
63
25
629
@Mkuruzenzi
MWAGITO
3 years
Toka Mungu amuulize Adam "uko wapi?" Wanaume hatupendi kabisa hili swali 😂😂😂.
59
47
628
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Hadi SIACHI HELA ameacha HELA. 😂😂😂
Tweet media one
44
39
629
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Wale wazee walisema gambe inafukuza COVID-19 mna habari kuwa Pierre Likwidi ana Corona? 🤠.
66
27
599
@Mkuruzenzi
MWAGITO
3 years
Pole sana @fazoboya jioni tutakuletea juisi ya mengo na mkate wa kumimina 😂😂😂
Tweet media one
18
24
611
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
This kid needs time ana kitu.
Tweet media one
11
13
629
@Mkuruzenzi
MWAGITO
3 years
Una miaka 25 huna hata passport, sasa tofauti yako na ng'ombe wa Mayele ni nini? 🤔
Tweet media one
144
12
601
@Mkuruzenzi
MWAGITO
4 months
Kwamfano huyu rais mi ntamkumbuka kwa lipi? 😂😂😂.
94
49
637
@Mkuruzenzi
MWAGITO
3 years
Kumbe mshenzi alipiga bingo 😂😂
Tweet media one
85
38
600
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Kuna wajinga wanahisi watatoboa hapa 😂😂😂
Tweet media one
55
30
597
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
On this day, 3yrs ago my douta was born. Thanks God for this amazing gift 😊. I always pray for this kid to grow old & wise. Happy birthday my daughter, daddy loves you. ❤
Tweet media one
113
38
563
@Mkuruzenzi
MWAGITO
10 months
Ningekuwa sijui kutengeneza pizza ningelala na njaa leo 😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
70
26
582
@Mkuruzenzi
MWAGITO
9 months
Hakikisha ukiwa kwenye vibanda vya kupata huduma za kifedha unakuwa makini sana, usimuamini mtu yeyote. Watu wamekosa utu kabisa. Angalia video kwenye comment jamaa alivyomvamia mteja na panga.
Tweet media one
52
47
571
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Unahisi huyo dogo anajiuliza swali gani?
Tweet media one
36
11
575
@Mkuruzenzi
MWAGITO
4 years
Ndevu kidogo kamsaliti Yesu 😂
Tweet media one
72
15
552
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Comments ziwe fupifupi 😂😂😂
Tweet media one
49
21
564
@Mkuruzenzi
MWAGITO
4 years
Mpaka sasa panzi amekusaidiaga nini? 😂
Tweet media one
71
21
523
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Before & After
Tweet media one
49
25
534
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Kwa sisi ambao tulilelewa na mzazi mmoja especially mama, huwezi kutuambia kitu kuhusu hawa wamama tukakuelewa. Mungu awabariki sana mama zetu. 🙏.
48
47
527
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Leo tuinuane tu siku nzima 🤓.
143
22
517
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Ila Mussa Banzi alikuwa anatuonaje kwani? 😂😂
78
69
540
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 months
Sijakuza mdogo fala. Umetisha mdogo wetu @Sativa255
Tweet media one
6
34
556
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Sema humu twita kuna watu wana moyo 😊.Imagine mtu anaweza jitwitia, akajilaikia halafu akajiritwitia 😂.
99
15
515
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
#WapwaTuinuane. Dondosha handle yako hapo chini kisha follow kila ataeLike na kuRetweet tweet hii. Haya twende sasa chaaap kabla watu hawajalala
Tweet media one
240
51
506
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Haya leo ngoja tuinuane 🤓. Kama una followers chini ya 1000 weka handle yako na umfollow kila ataeLike na kuRetweet hii tweet. Anza na kumfollow @JWandil.
234
52
502
@Mkuruzenzi
MWAGITO
2 years
Leo kibonge kakamatika sasa, kajamaa kanalipa hasira zake 😂😂😂. Video kwenye comments 👇
Tweet media one
45
27
529
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Mbona Manula kama anatucheka hivi? 😂😂
Tweet media one
26
11
522
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Watu walifurahi baada ya kusikia kuwa iP15 itakuwa na inasupport USB Type C wakawa wameanza kuandaa charger zao za Oraimoo 😂😂. Apple wanasemajeeee. Bado hamjasema. Mpaka msemeee. 😂
Tweet media one
66
31
528
@Mkuruzenzi
MWAGITO
1 year
Watoto wa 2000 hamruhusiwi kucomment chochote hapa.
88
105
524
@Mkuruzenzi
MWAGITO
5 years
Fanya ufanyavyo ila usiende instagram ukasearch "tiktokgirl70" . Please DO NOT 🚫. usiseme sijakwambia.
129
20
506