Mshishi 🇿🇦🌴 Profile Banner
Mshishi 🇿🇦🌴 Profile
Mshishi 🇿🇦🌴

@DolphinMshishi

Followers
10,967
Following
6,026
Media
2,037
Statuses
20,861

Brain Ujazo || Daktari wa isimu || COYG

Ocean City
Joined April 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
7 months
Usipite bila ku like hii picha 💪🏽☺️
Tweet media one
12
75
3K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Pale Wasafi Fm ndani ya Sports Arena kuna huu Usajili wa mtaalam Haatim Abdul .. Jamaa yuko Very very Smart kwenye Uchambuzi, Mtulivu, anajua Vitu Vingi sana Bongo na ata Soka la Ulaya. Itoshe kusema ni Ambangile Mpya Ndani ya Wasafi Fm 🙌🏽
Tweet media one
123
90
3K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
CHUKUA HII. Jamaa alikuwa ni mlinzi katika benki fulani, kuna siku bank hiyo ilitangaza nafasi ya kazi baada ya kuona tangazo hilo moja kwa moja akamfuata Boss wake na kumwambia “Mimi ni mhitimu wa Chuo Kikuu nimesomea Marketing Mn , Je naweza kuomba kazi iliyotangazwa Ofisini?”
Tweet media one
78
131
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 years
Ka baby 😍 kapolee Chenyewe. #Loviee
Tweet media one
Tweet media two
187
69
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Elon Musk kabadili muonekano wa like button..😳 #WWDC23   Unyama au Kazingua!?
Tweet media one
11
26
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Diamond hataki kabisa kuona wenzake wanatoboa kimziki, akiona dalili ya kupitwa tu, anaanza mikwara. Sasa Chino Ana Kosa gani!?
Tweet media one
78
66
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
7 months
Diamond katoa Mil 15, ya Maneno matupu kama zawadi.. Haji Manara kamaindi “Hizo sitaki nataka Cash kwenye Shughuli zenu kila siku nachangia hela nyingi sana”😀
Tweet media one
15
38
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Crown Media mbona itakuwa ni hatari sana hapa Town.. 🙌🏽🔝
Tweet media one
21
43
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Sergio Busquets Burgos ndani ya Morogoro, Tanzania 🇹🇿
Tweet media one
24
55
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Kila kifo na Story yake ila hii dah! It’s so Sad 😞💔 Rest in Peace Nusra. I
Tweet media one
92
45
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
4 months
Wakichomoa na leo niiteni Aisha Utamu 😂
Tweet media one
618
84
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
3 months
Mwamba hana makuu kabisa yani utafikiri sio Staa 🙌🏽
Tweet media one
85
51
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Manchester city won and Elon musk changed the like button #UCLfinal   Uki like linakaa Kombe 🙌🏽🔥🔥
Tweet media one
6
13
2K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Hiki Kidude Ukikiona Kimepaki Barazani kwako..Ujue Umetoboa 😂
Tweet media one
36
61
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Dotto Magari yeye anachoangalia ni pesa tu.. Mambo ya imani na huu mwezi kawaachia Mashekhe!! 🙌🏽 Video ipo chini Cc: LemutuzTv
Tweet media one
96
41
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Nilikuwa nasubiri kukuche tu nije kukuuliza @IdrisSultan ulikuwa unaguna nini!? 😃
130
106
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Arsenal ipo katika Mazungumzo ya kumpa Mkataba Dereva Mkongwe wa klabu ya Bayern Munich ili kuongeza Moral kuelekea Mechi 10 zilizobaki za Epl .. Arteta Projects 🔥🔥 Angalia Video yake Chini 📹
Tweet media one
34
47
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Kocha wa Makipa Azam Fc … Wanasema katoka Senegal ila Sura hii nishawahi kutana nayo Manzese pale 😃😃
Tweet media one
92
39
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 years
Mtoto wa kwanza Duniani, Kupiga picha Akiwa na Baba yake, Babu yake, Baba Ake Babu yake na Baba yake Baba wa Babu yake! 😁
Tweet media one
54
62
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Huyo Janja apo pembeni ya Steve G ni Mchezaji maarufu kwa sasa! ..Unaweza kumtaja ni Mchezaji gani!?
Tweet media one
119
33
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Kiufupi kazi wanayo!.. Watu walijua zile Sajili ni za Mangungu 😅
Tweet media one
42
36
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
6 months
Ney sasa si ungejificha kwanza mpaka Poshy apitee 😂
Tweet media one
122
47
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 years
Hii ni Ofisi kama Ofisi Nyingine tu… 😂😂
Tweet media one
88
45
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Kama ni kweli basi Fred katuzunguka 😇
Tweet media one
7
17
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Yamal anaogeshwa Kibu Mkandaji Anakandwa 😃
Tweet media one
Tweet media two
63
87
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
7 months
Hii ndio Sababu ya South Africa kufanya Vizuri Afcon 🙌🏽😀
96
147
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Tutaendelea kukumbushana Vitu Muhimu..Wanangu 😋👊🏽
Tweet media one
116
44
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Mchekeshaji Maarufu Tanzania ZIMWI anayefahamika kwa Maigizo mbalimbali ya Uchekeshaji, Yupo katika Kipindi Kigumu sana kwa hivi sasa hii ni baada ya Kuweka Wazi Miezi kadhaa iliyopita kuwa Anasumbuliwa na Ugonjwa Wa Moyo. “Nilikuwa Nasumbuliwa na Maumivu mbalimbali mara Tumbo..
Tweet media one
Tweet media two
70
125
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Mungu afanye Wepesi 🙏🏽
Tweet media one
12
106
1K
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 years
Leo nimeamka na Vibe la Movie 😁😍👌
Tweet media one
169
23
934
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Hawa ndio Ma Dj Bora wa Midundo Tanzania 🙌🏽🔥 1- Miso Misondo (Umepigaje Apooo ) 2- Dj Mushizoo (Utawauaa) 3- Pacheko Midundo 4- Dj Travella Misondo 5- Dj Azo Beats Wapewe Maua yao leo 🤩
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
86
64
967
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Kumbe ndo hawa hawa ila saivi wanavaa Suti tu 😂🙌🏽
86
158
973
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 month
Kwenye hili la Kubeba PS5 kila ninapo Safiri, Nipo pamoja na Mwamba wa Lusaka.. ✌🏽😁
Tweet media one
7
16
934
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Una Degree lakini haujui hiyo Fimbo inaitwaje kwa Kiswahili ..Aibu 😃
Tweet media one
97
42
903
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
7 months
Dullah Makabila anataka kupiga Comeback ya laaana! Hataki unyonge kabisa 🔥😂
Tweet media one
16
23
894
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Mbona kama Azam Fc wamekurupuka kwenye hii “Thank You” 🙌🏽
Tweet media one
15
15
876
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
7 months
Kikubwa ni furaha ya moyo tu. 🥺
Tweet media one
24
24
883
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
6 months
Na hili Kuna haja ya Video !? Au tuanze kujadili tu🙌🏽🤔
Tweet media one
109
31
854
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Walioleta Amapiano Tanzania watakuja Kumpigia Magoti Mbosso Very Soon.. Hii Combo ya Vitu vya Pwani 🔥🙌🏽 #Sitaki
74
122
856
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
8 months
Kumbe ni Baba’Ake Jaivah 😂😂
Tweet media one
42
24
840
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
+1 🙏🏽 🎂 HAPPY BIRTHDAY TO ME 🥂 #DolphinDay 🐬
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
163
96
838
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 month
Huyu jamaa anafanya kusudi au ndio ethics ya kazi yake 😃
Tweet media one
22
14
844
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Hii Stage ..Kama Sio Mbunifu unaweza Ukaikosa huku unaiona 😂😂😂
Tweet media one
68
33
808
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
3 months
Kuna jamaa alienda kulala kwa Demu, Asubuhi akam-prank kuwa amesahau ARVs .. Demu akazama kabatini akamtolea zake 😂😂💀
66
61
827
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Huyu Kocha Msaidizi wa Yanga kaleta Ujinga …Inawezekana Rhulani Mokwena alikuwa anamwambia Vitu Positive Aziz Ki 🧐
163
43
799
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Huyu Kaanza Maisha na Over 3.7 😂😂
Tweet media one
22
22
772
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
4 months
Hivi kwanini huwa wanafanya hivi !?
Tweet media one
64
33
756
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 month
Wamekutumaaaa…. Wamekutumaaaa… Wamekutumaaaaa Magoma, Magoma, Magoma, Magoma.. Kitenge 🙌🏽😂
Tweet media one
Tweet media two
87
75
760
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Twitter Umeme: Nikichajia Simu kwa switch ya Cooker nini kitatokea!?
Tweet media one
136
30
738
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 years
Jamaa Kakopa hela Benki kaenda kufanya Plastic Surgery ili awe kama Mbappe.. 😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
125
50
737
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
6 months
Mpaka Guede kafunga jamani..Sasa kwa hii Yanga tutamsema nani!?
Tweet media one
8
35
737
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
3 months
Baada ya kushindwa kuchana ajigeuza kuwa Mlopelo ndani ya Studio za Wasafi 🤣
Tweet media one
Tweet media two
65
30
703
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Hata kama hauna pa Kwenda amka mapema tulia zako ndani ya Net, then Fikiria kuhusu michongo, Good Morning 😎
Tweet media one
26
59
675
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
8 months
Mnawaza kama mimi ..😀
Tweet media one
Tweet media two
64
64
689
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Kwamba inaweza ikawa picha bora kwa Mwaka 2023 kwa upande wa Mitandao ya Kijamii hapa Tz!?
Tweet media one
3
33
688
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Msemo gani wa Dotto magari unaukubali..
Tweet media one
232
26
664
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Lilikuwa ni Suala la Muda tu!… Teknolojia Nyoko sana!
Tweet media one
152
41
677
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
28 days
Hamisa anakabia juu kabisa!.. Afu Kila kitu anaongoza yeye mpaka dakika hii 😂😂
Tweet media one
14
18
682
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Sasa ndo nimeelewa kwanini Lady Jaydee amenipiga Block baada ya Kumuuliza ile ishu yake na Millady 🙌🏽
Tweet media one
9
14
664
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Kila la kheri Stephano Aziz Ki 👊🏾⚽️
Tweet media one
11
18
657
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Kwenye Kipengele hiki Wakenya nawakubali Mnoo 💪🏽😃
20
69
656
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
3 months
Ooo Maaiii ..Ooooh Maiii ..Haya Chana Sasa, HipHop ina misingi yake nyiee 😂🙌🏽
125
69
655
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
“Mbona Umezileta Gorofa ya Nane tena!?..Hizo ni za kule ground floor”
Tweet media one
52
39
636
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 years
Nani Ataenda Mihogo Festival leo!? 😊😇
Tweet media one
31
16
611
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Wanaojifanya Mashabiki wa Manchester City, Waje watutajie huyu ni nani!?
Tweet media one
137
24
627
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Kesho utasikia Kaenda Kusomea Magazeti Minesotaaa😂😂
Tweet media one
46
16
601
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
4 months
Vin Jr Jeuri na Joshua Kiburi 😃🙌🏽
78
70
612
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
8 months
Jobless kuna Mchongo huo ..We Cheza na Muda Saa 6-8 Mchana!..
Tweet media one
22
16
580
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 month
Twittet Fashion: Hii Shirt inabidi ivaliwe na Suruali au Bukta ya rangi gani!?
Tweet media one
131
45
584
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 years
Wanaume Punguzeni Kujielezea jamani, Wengine hatuwezi kujizuia kucheka! 😅💔
47
21
556
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
7 months
Mganga wa Miso Misondo ana hatari ..🙌🏽
Tweet media one
12
29
580
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Hivi Kutoka Dar Mpaka HANANG nauli bei gani!?
Tweet media one
33
20
569
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
4 months
Oyaa Wakuu au mmelala ..😂😂😂
Tweet media one
70
22
569
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Hivi Kuna Jezi Kali hapa Africa Kuizidi ya @Masandawana 🇿🇦😀🏌️‍♂️ #Mamelodi
Tweet media one
Tweet media two
26
19
561
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
6 months
Twitter Madereva Nikitaka ku slow down cha kwanza kukanyaga ni brake au Clutch!?
Tweet media one
129
32
555
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Leo pale Loftus Stadium ndani utakutana na kina Allende na Mokoena then nje ya Uwanja utakutana na haka katoto ball boy .. Mzee wa kukeraa 😂🙌🏽
Tweet media one
8
19
553
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
-Ile taarifa ya Mashabiki zao kuambiwa Kuingia na Passport! -Yule official wao mmoja kupigwa na steward Uwanjani. -Second Half wale jamaa zao wawili kuzuiliwa kwa kusukumwa wasiende golini kufanya ukaguzi. Nahisi wameanza kufanya Comeback huko South Africa!… 🙌🏽
Tweet media one
30
26
546
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
6 months
Kuna siri za Mafanikio halafu kuna Mafanikio hayana Siri! 😎 Good Morning Wakuu
Tweet media one
11
35
524
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Abdallah Ambua AkA Dullah Planet ndo Mtangazaji Bora Wa Muda wote Nchini Tanzania kwa Upande wa Burudani, Kama unapingamizi njoo na hoja Mezani.. 👊🏽
Tweet media one
37
19
508
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
3 months
Simba Sc kutoshiriki Champions League hawa Jamaa kazi yao itakuwa tamu sana Msimu Ujao tukae kwa kutuliaaaa 😁
Tweet media one
4
12
512
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
4 months
Huyu jamaa kafanya nini kwani!?
Tweet media one
9
13
513
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Sabuni yako ikifika namba ngapi unaacha kuitumia!?
Tweet media one
269
27
510
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
“Adventure fungua Mlango tuongee, hatuwezi kugombana kisa Irene”
Tweet media one
21
21
496
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Nimepost hii picha ya Pacome, wakina Mokoena wamei-share mpaka saivi sijajua wanamaanisha nini 🙌🏽
Tweet media one
6
23
499
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Nipe jina lake nikupe Maua Yako!..
Tweet media one
130
11
487
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Mwenye Picha ya Bi. kidude (Fatma Binti Baraka) wakati akiitwa Fetty Enzi za Ujana wake naomba anitumie!.. 😊
Tweet media one
22
24
488
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
4 months
Mnamkumbuka Leleti Khumalo ..Yule Mdada Pisii Kwenye Movie ya Sarafina!?
Tweet media one
Tweet media two
25
17
478
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Playing Style : Sadio Mane Scoring Style : Halland Dribbling : Cristiano Ronaldo Jumping Abilitity and Header Power : Ronaldo Brain : Messi V. Adebayor 🔴
Tweet media one
7
17
465
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Boss akamwambia anaweza kuomba, Jamaa siku hiyo hiyo aka Apply Mchongo maana ilikuwa ndani ya Siku tatu tu, nafasi ya Meneja Masoko. Akatimba kwenye Interview na mwamba akapasua kibabe hatimaye akala shavu kama Meneja masoko wa Benki hiyo Wanagu Watafutaji Mlinzi Kajipata 👊🏽😀
17
10
471
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 years
Hivi ni peke yangu tu sina hiyo National ID au tupo wengi!? 🤔
34
20
429
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 months
Nitajie Wimbo mmoja ambao Utanijulisha kuwa wewe sio Mtoto wa Elfu Mbiliii!?
Tweet media one
128
20
457
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Hii ni habari kwa Picha.. Jioni ya Leo eneo hili Transformer lililipuka! Ahsanteni.
Tweet media one
49
22
446
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 year
Mpaka hapo sina cha Kusema juu ya Nchi yangu.. 🤐
Tweet media one
62
18
436
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
3 months
Kwenye hiyo FIFA 25 Ukichukua Real Madrid na mimi nachukua hiyo hiyo.. 😂😂
Tweet media one
33
26
441
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
5 months
Mayele kachokoza kubaya sana 😂
Tweet media one
22
21
439
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
2 years
Kesho nitavaa Kivazi changu cha Kuhesabiwa, Karani wangu kazi anayo! 👌
21
14
419
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
8 months
Kwahiyo Yanga haiwezi kucheza Mashindano ya FIFA CLUB WORLD CUP 2025.. 🤔
Tweet media one
24
19
429
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
1 month
Kule UBAYA UBWELA… Haji Kamalizia UDUGU UMALA… ACHOLILE KACHOLA 😂😂 Chuma kimerudi 🔥🔥
11
18
424
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
9 months
Mnajua kwanini sijamuweka Dj Tito kwenye List… Angalia hii Clip! Misondo awamu hii kapanda na Keyboard juu ya Spika 🔥🔥😂
22
50
416
@DolphinMshishi
Mshishi 🇿🇦🌴
6 months
Mzee mpili kauaaa Unamtangazia naniiiii😂
51
38
417