CHURA WA LAUTI MKALI Profile Banner
CHURA WA LAUTI MKALI Profile
CHURA WA LAUTI MKALI

@maestrowafact

Followers
7,010
Following
713
Media
1,328
Statuses
30,713

political analyst and prophet, extremely non partisan.I tweet my thoughts and raley what GOD commands, JPM'S DISCIPLE.

Mbezi - Dar-Es-Salaam.
Joined May 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
3 days
ENEO LA UFUKWENI LINAUZWA MAHALI: Mwanza Tanzania, Ilemela. UKUBWA: Hekari 3.5 SIFA ZA ZIADA: Eneo lipo mita 500 kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwanza. MATUMIZI: Unaweza Jenga HOTEL ama Apartments BEI: 550,000,000 tsh (negotiable) MAW: 0761419399
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
16
21
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Mkali Sativa wakikufuata wakupe HELA kusudi upindishe ukweli ili wao waokoe reputation zao nakuomba usikubali, waambie na ndugu zako wasije ingiwa na tamaa hususan Patrick, sisi kama tunaweza kuchanga matibabu na fedha za kukusogeza hadi utakaposimama tena hatushindwi🤲🤝
77
349
2K
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Ben itakua alivyoona notification ya sms ya M-PESA imethibitishwa alitabasamu akijua ni Odo ndo kafanya maajabu kuja kufungua kumbe ni marejesho ya dhambi zake 😅😅😅
Tweet media one
66
103
974
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Nilikutana na Amina mimilicious pae barakuda aisee kidogo nipige simu maliasili kuna kiboko anazurula mjini
104
77
955
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Mdada kumpenda mkaka asiye na hela ni kujiongezea matatizo yasiyo ya lazima.
140
22
820
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
18 days
UTI imeamua kutrend 🚮🚮🚮🚮🚮
Tweet media one
74
32
849
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Eti kuna umuhimu wowote kufanya mapenzi na mchumba wako kabla ya kuoana?
146
18
580
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Mwanamke sio chombo cha starehe.
152
19
570
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Mm mkali kwanza ashaniblock nimefanya sababu ya upendo na kuthamini zawadi ya uhai hata angekua mtesi na muuaji BEN naye ningemfanyia tu. Mambo mengine sio lazima yawe na sababu wakali, uhai wa mtu ni zawadi tunayotakiwa kuiheshimu maana huja mara moja tu.
18
64
606
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Wanaume wenye kibamia huwa wanapenda kufanya mapenzi kwenye giza.
106
17
545
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Eti ni kweli kufanya mapenzi mara kwa mara na mpenzi wako kunasababisha akupunde sana?
83
14
534
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Mnaona mnavyoumia crew ya hashtag kublokiwa sasa sisi wakali ndo maisha yetu hayo kila siku kutoka kwa warembo wa humu😅😅😅
48
40
533
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Wakali hapo mapokezi kuna target wanne hiv kisingizio kinaweza kuwa kukusanyika bila kibali na kuharibu utaratibu wa shughuli za airport amini kuweni makini.
11
64
509
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Palipo na mwanaume mwenye mafanikio nyuma yake kuna mwanamke.
86
21
457
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Yule mwingine tukimsanua Sema ni mjuaji na nguli wa mbanga eti yeye ana connection ya vigogo wa chama na kaskazini aya ngoja tuusome mchezo MUNGU amlinde lakini na hivi ni mlevi haya.
28
33
474
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Maisha ya ajabu sana Msigwa ameoa ukoo wa Magufuli chuma alimuomba aende CCM atambariki wadhifa mchungaji alikaza,akakubali kukaa jela aliteswa mara kadhaa, shamba lake na mifugo vilipigwa tanchi yote alivumilia ila leo kaja kuhama kisa hataki kuwa Mwanachama wa kawaida daah 😅😅
22
49
473
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Yaani yule janja Timberland hana akili nini au bangi inapukutisha busara? Hajui mileage tumeenda na kuhatarisha mangapi kuzuia lile jambo? Anyways mkali wenu ni mzima MUNGU awabariki sana endeleeni na maisha yenu.
30
36
475
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Unaposhangaa Sativa Kupigwa risasi ya kichwa na kupona kisha kutupwa kwenye msitu wenye wanyama wakali akiwa anavuja damu kisha akaweza kujiburuta hadi barabarani bila kuzulika. Ni mda sasa kama ulikua huamini uwepo wa MUNGU uanze kuamini nenda kanisani mwambie MUNGU asante.
10
67
462
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
1 month
Alafu kwenye ile familia mzuri kuliko wote ndo hua hajipost ila kina Chai Jaba sasa daily
49
37
461
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Mimi ukinitukana humu ndani tukaja kukutana live usije ukaniletea habari "za bro samahani it's just twitter" lazima zineswe kwanza
32
34
426
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Kufanya mapenzi kwenye Gari kunaharibu spiringi za Gari.
50
7
388
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Kupendeza kunaficha umasikini.
21
23
316
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Ila yule malaya wa Kahama anazingua yani anajua kabisa Kawaka ila bado anagawa mbunye kwa bei sawa na bure😭😭😭
24
16
308
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Nimelianzisha novena siku ya Kwanza Mt Rita wa Kashia
Tweet media one
Tweet media two
28
27
285
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Wakali ni jambo jema kwenda kumpokea ndugu yetu pale airport ila sasa unapoenda kila mtu awe makini na achunge usalama wake pale wataenda wengi wengine watakua na nia ya kumpokea kweli mhanga ila wengine wataenda kwa ajili ya kuwapokea wapokeaji.
20
40
270
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Hapo ni Crown tu ukienda DOCHI WELLE sijui itakuwaje
@TillahBlessed
Blessed Tillah (MBARIKIWA)
2 months
Sasa hivi hata usiponi-attack ila ukacomment ujinga kwenye post ya mtu wangu wa karibu unakula block 👋🏾
67
21
416
65
17
262
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Naapa kwa jina takatifu la MUNGU kuwa ntaishi kwa wema, uaminifu na na uvumilivu na familia ya WAKALI hawa watu wamekua muhimu sana kwenye maisha yangu amini.
22
53
259
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
17 days
Arusha sio tu wanatokea magangster hadi wajinga wapo🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
31
16
227
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Ivi na wewe ni kama mimi umesoma chuo mpaka unamaliza hujasex na mwanafunzi mwenzio?
48
5
199
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
1 month
Niupatie mwili lolote Jambo Chimbo ni Andys Ghana mkabala na Sparrow wakali
Tweet media one
Tweet media two
16
10
209
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Kama huamini uwepo wa MUNGU basi ila MUNGU wa ajabu sana imagine wanakunyakua kimwewe wanakukung'uta haswa mjinga m1 anaenda haribu mtandaoni kelele zinaanza, wanataka wakupeleke polisi wanagundua umeumia sana polisi hawawez kubali wanakutupa hifadhi uliwe na wanyama ila unaishi
7
40
203
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Nimetoka kuangalia movie ya BOYKA hapa UNDISPUTED aisee nimeiva kinoma mtu asije akajaa anga zangu wakali
29
26
204
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
13 days
Tujipost wakali
Tweet media one
29
24
203
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Waziri katagiwa umefuta tweet sasa hiv unataka hadi kujinyea sasa, wewe ndo unataka upewe live location uzinese na wakali? Madogo wa humu wanabalehe vibaya sana😅😅😅
13
16
200
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Hili kwenye Space ntaliweka sawa wakali hata Taivina nilimwambia leo ataonekana Sema kwa matarijio yangu ingekua polisi Sasa baada ya makelele kuzidi na kuwa wamembonda sana walijua polisi wangemkataa wakamtupa porini kidizaini ntasema yote amini labda waniwahi hapa bar nilipo
Tweet media one
@Celsius015
celsius
2 months
@maestrowafact kuna ziada ulikua unayajua ambayo sisi hatuyajui mkali?? 🤔
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
24
52
21
66
193
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Mwanaume akiacha pombe na michepuko anakuwa tajiri.
43
6
168
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Dada wa Asali nyege zipo karibu kinoma
21
15
176
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
10 months
Yule Daktari Kazaa na mme wa Mtu lakini kutwa kusema maadili humu mitandaoni!!
20
16
170
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Mkali naomba haya niyaseme kwenye Space akifungua @MiriamMkanaka Alafu pia niliongea na @iamFallacy nikamweleza ilivyo
@Celsius015
celsius
2 months
@maestrowafact kuna ziada ulikua unayajua ambayo sisi hatuyajui mkali?? 🤔
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
24
52
13
36
160
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
8 months
Samahani dada Estri whatever pronounced, Sponsor Willy anauliza mbona hajatokea kwenye frame yoyote yani imekuwaje mmemcrop na yeye ndo alilipa kila kitu?
Tweet media one
Tweet media two
29
16
159
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Alipishana na wanaoiunga mkono serikal akatekwa akateswa umma ukamchangia atibiwe. Aliandika kuhusu ukwasi uliopitiliza wa viongoz wakuu wa serikal akahukumiwa miaka 5 umma ukachanga atolewe. Ni mda sasa serikal ijisahihishe hii ni dalili wananch wamechoka matendo ya kidhalimu
5
31
159
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Julip kizungu kingi kumbe anafanya kazi TAMISEMI aagh
11
8
159
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Mmoja aanzishe space niwaeleze huu mchezo ulivyofanyika Nakusanya data kamili leo na majina ntataja labda mniwahi hapa bar kumanina zenu Binti wa watu kajitoa kwa hali na mali kafanya kwa utakatifu na uaminifu nyie walinda taswira mnataka kumchafua hivi hiv Wakali msiyumbe.
12
33
153
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Wakali mwenye namba za huyu mkali anaitwa @Kingston_Kappa huyu mkali alitishiwa maisha na muhuni mmoja humu twitter baada ya hapo hajaonekana tena Kuna uwezekano kabebwa kinyamwela mwenye namba yake anisaidie wakali amini inatisha
Tweet media one
Tweet media two
14
47
146
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Malaya ndo hua hakatai pesa hata kama mteja ananuka govi
@Jacquetorro
Jacque
2 months
Hela haikataliwi jaman
19
5
101
24
17
144
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Hoja zake wameziacha sasa hivi wanamshughulikia mtoa hoja Ila hii nchi jamani! Tumuombee Luhaga Mpina
Tweet media one
4
20
139
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Matoto ya masingle mazas ya siku hizi majinga majinga hayana adabu kabisa mtu unamuweka town mama yake lenyewe linakuzimia tv mara likuvute masikio hujakaa sawa linakumwagia maziwa Aisee huyu kama kashindwa lilea hili litoto mm najiweka pembeni siwezi teswa na upendo wangu😪😪
31
29
135
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Block zimetembea nahisi hadi Elon atakua anajiuliza twitter ya Tz imepatwa na nn🤣🤣🤣
9
24
133
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Eti ni nyimbo gani nzuri kusikiliza ukiwa na stress?
49
4
122
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Eti mkaka mwenye tatizo la nguvu za kiume ndio anakuwa hana nguvu hata za kubeba mizigo?
27
3
121
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
11 days
Sema yule binti naye aliomba parefu sana 460k yani laki nne na siting daaah
9
6
127
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Nipate chochote kitu
Tweet media one
13
14
127
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Huu mwaka kuna timu hashtag atakufa kwa msongo wa mawazo imagine umezulumiwa na watu wakikuona kwenye reli wanatembeza block 🤣🤣🤣🤣🤣
3
19
125
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
5 months
Huyu ndo Shangazi Zuhura Rwebangira aka bi Zuu au Miss Platinums Ukishindwa kabisa muite Mlezi Wa Wapwa hana baya bibie kigagula wa maana kabisa
45
15
121
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
10 months
Shamu kafaidi bana
Tweet media one
22
10
117
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
22 days
Mkali wa kuchoma picha ya Manyota daaah😪😪😪
12
12
119
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
"Boni na Martin wanashikwa wanapelekwa mahakaman wewe unashikwa unapelekwa msituni" haya sio majungu kweli 🤣🤣🤣
6
11
120
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Nimekumbuka story ya mkali alimbutua mshua wake kama milioni 800+ hiv aisee tuligeuka madon watoto nchi hii ilikua bata hapa bata pale, dinya huyu dinya yule, lala hotel hii lala ile, katika harakati za udananda mwamba alinipaga 4M baadae akaja kufulia ananidai badi leo😆😆😆🤣🤣
13
19
121
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Akigharamia tu matibabu na story nzima itapinda daaah sina la kuongezea nawaachia wenyewe
9
15
119
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Zee la kupita nazo.
Tweet media one
14
6
117
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Ila Janja wa timberland kila nikikumbuka naishiwa nguvu Sema fresh tuish tu wakali😅😅😅
@mswahili___
Mswahili___💡
2 months
Wakikwambia elezea ushikaji wa kweli , Waonyeshe hii picha 👇🏿❤️ TAIVINA✊🏿 SATIVA ✊🏿
Tweet media one
62
432
3K
12
9
116
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Kudandia tu content kupaza sauti kapotea aaaanh aaaanh
@mshambuliaji
Maulid Kitenge
2 months
Video hii ya Edgar Edson Mwakalebela (Sativa) imesambaa mitandaoni ambaye picha zake pia zilisambaa mitandaoni toka usiku wa tarehe 23 June, 2024 kuwa hajulikani alipo, leo asubuhi video hii imeanza kusambaa twitter kuwa amepatikana akiwa amepigwa na kuumizwa. #KitengeUpdates
250
51
573
24
29
115
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Pichan ni Mkali Kevin Monari maarufu kama @Osama_otero alikua Mratibu maandamano ya kupinga mswaada wa fedha 2024 kule Kenya baadae Serikali inasemekana ikamnunua(5M kshs) jamaa akawa anataja majina na kuchoma wenzie kwa vyombo vya dola Wakenya wamempa zawadi ya Usnitch
Tweet media one
6
17
110
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Mimi Yule dogo ananidiss anaona kama na msakama kidizaini ila Ile inshu imebadirika ina sura tofaut sasa, mwambieni awe makini kuna wahuni wanamuona ni nuksi awe makini yupo rada za wanaharamu maana yeye peke yake ndo ameonekana ana msimamo MUNGU wa mbinguni amlinde sana.
10
18
111
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
10 months
Sio Kiba hadi Shafii na Stamina. Huyu si ndo AbduKiba alimuimba kwenye HUYO SIO DEMU
Tweet media one
@Walker960Chriss
Chriss walker960🇹🇿
10 months
@Maestrowafact Adi kiba kapiga ? Kmmk
0
0
4
15
6
106
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Najuta kutoa hii video Mwanza tumeingia matopeni kwa mara ya tatu😭😭😭
13
5
110
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
22 days
Yani unatoa amri walio chini yako wamdinye kwa kikundi anayekuibia bwana, wanarekodi wakutumie ushahidi fundi simu anavujisha video, Unamtafuta binti unampa hela na unamtisha atoroke☹️ Msije shangaa uchunguzi wa wakali wa kaki ukaja kutuambia ile video ni ya zamani 😁
12
13
108
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Wakaka wengi siku hizi wakipiga kabao kamoja wanalala fofo nguvu zote zimeisha.
66
9
97
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Miaka miwili?? hata serikali hailimbikizi mishahara namna hii huu ni ukatili aisee
7
16
108
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Janja wa Timberland kipindi wewe unanunua Timberland ya kwanza mm nilikua Navuta Vanguard Full umeme unaona hizo levels? Wakati wewe unachagua kiatu cha kukupa balance usibebwe na upepo mm nilikua nachagua chuma la kuball nalo town amini sikuseti.
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Una brag kuhonga mademu wa watu? Hata chura Og wana akili kukuzidi amini kwamba.
5
2
42
41
12
105
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Jamaa kasema Ben Odo naye atekwe amwagiwe hata mawese🤣🤣🤣🤣🤣
5
8
100
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
12 days
Fallacy anaenda dukani anasema "nipe kofia kama za wakazi" madogo ya Mbeya hivi yakoje 😅😅😅
5
7
101
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Mimi nampa ushauri wa janja wa Kamari, ana haki kabisa ya kutumia akaunti yake atakavyo lakini hakuna ulazima wa kuwajibu kijeuri watu wanaohoji mwenendo wake. Anaweza tu akawapotezea, watu wanaudhi lakini bado wanastahili kuheshimiwa walihusika kwa hali mali alipopata madhira.
5
15
98
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Sasa hivi crew hashtag wanasema eti wamebadirika 🤣🤣🤣🤣
11
13
99
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
6 days
Mtu anataka tu kufit in ili aonekane. Walioitwa Mbwa ni wale wanaokosoa serikali sasa wewe msukuma Hashtag satire ya MBWA inakuhusu nn?
6
6
99
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Ule wa milioni ulirudi au? Naomba taarifa wakali
7
10
96
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
5 months
Huyu komodo dragon ukikuta anaseti standards kuhusu pisi mara vibung'o mara mnawezaje sijui nyoko nyoko Unaweza kusema mchizi bonge la gangster kumbe kwa DM mambo ni tofati anakaribisha pisi mbezi🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
10
95
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Maisha yalivyo ya ajabu unaweza kuta BEN ODO mkavu kabisa anakula na kunywa kwa raha 😅😅😅😅
6
16
94
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Yani Shemeji yangu anakaza kabisa anatetea wanaonewa ila lijamaa kutwa lipo na director wake kama fala yani
3
13
94
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
18 days
Sa hivi hata ukiitiwa mwizi kimasihara hutoboi hali ni mbaya sana kitaa
6
12
95
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Leo crew ya hashtag itakua na kikao kizito sana🤣🤣🤣🤣
6
10
94
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
1 month
Mkali @bonichengula iPhone 15 pro napata nataka iwe delivered kwa anayeusambaratisha moyo wangu
9
17
92
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
22 days
Hata kama ila Ile sura ya allien sio ya kutumiwa 20M never ever
10
13
92
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Mtu katoa mimba tatu, ana mtoto ana miaka 15 alafu hataki kuitwa shangazi yule Rasta ni kichaa
16
8
94
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
23 days
Niwaguse kete hawa majanja wa mafia
Tweet media one
Tweet media two
9
8
93
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
11 days
Ishengoma kaona siri za kuiba mafuta zinataka kuvuja kaniwahi block🤣🤣🤣
10
4
91
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Janja wa Timberland anacheza game la nyoka nn?
@iamcleopatricia
Ms Bee🌹
2 months
Was nice to meet you guys..... tumempa furaha sativa❤️🙏
Tweet media one
130
186
2K
19
6
90
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Ile harusi ilifana kumbe ni jasho la ma influencer aloo dunia haina huruma hii
9
11
89
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Novena inaendelea tutakua tunasali NOVENA KWA SPACE KWA SIKU 13 kuanzia kesho Kama upo interested reply cc @paka2104 na uandae maombi Mtakatifu Rita wa Kashia ni novena ya ajabu na ina jibu kwa speed sana.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
30
89
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
14 days
Dada wa kapeti Kaambiwa buku 10 alizotunza kwenye kibubu ndo ujira aliokua anapewa na wakali waliodinya, kama ni kweli aisee basi kuna viungo vya mabinti vinateseka jaman😪😪
11
11
88
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
1 month
Mwenye anauza TV INCH 50 nina laki tano 500,000/= tshs mfuko wa shati nipo MWANZA anicheki 0761419399
8
9
89
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Yule muhuni hakumdeserve kabisa yule manzi ni vile tu hata walevi hua wana bahati
6
10
86
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Majanja wa hashtag amini mkisurvive huu upepo wa TUFANI LA KIUCHUMI amini hakuna jambo gumu katika maisha litawashinda😅😅😅
5
14
86
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Niupatie mwili lolote jambo Ishengoma inatokea au @EsirEid
Tweet media one
Tweet media two
7
9
85
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
17 days
Yule daktari tangu azalishwe na mme wa mtu harakati kaacha kabisa Wakali kuna nguvu katika mdinyo🤣🤣🤣🤣
7
8
84
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Kwenye kumsaka Manyota hakutoka kuviamrisha vyombo vihakikishe anapatikana Hakuviamrisha vyombo vihakikishe watekaji wanakamatwa na kuifanya Jamhuri sehemu salama. Ila manyota kaona ni busara kugharimia matibabu na kutengeneza taswira nzuri kisiasa kuwa ana upendo basi sawa.
8
26
84
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Ben awajibishwe na Umma hadi awaambie mabwana zake wamrudishe SATIVA tuendelee kumripoti na kumuunfollow
1
22
82
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
Kuna maza namjua ni mke wa mjeshi mstaafu(Meja) ana kulger nyeusi walifunga ndoa since 2009, hawakuwahi kupata mtoto hangaika wee hospital na kote mnapopajua hola 2017 kama zari wakaenda kutest kwa ZUMARIDI aisee yule mama alibeba mimba tangu hapo niliacha kukejeli iman za watu
Tweet media one
14
9
80
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
2 months
F1 waziri wa mambo ya Ndani Yusufu Masauni mwenye dhamana ya kusimamia na kuongoza jeshi la polisi F2. SZPC Dar Jumanne Muliro F3. OCS OysterBay Vincent Kazengwe(Unverified) Hawa wote inatakiwa kutueleza kwa nini kituo cha polisi Obey kimegeuka sehemu ya kufichia wanaotekwa?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
27
80
@maestrowafact
CHURA WA LAUTI MKALI
4 years
Ivi Nigeria ipo Afrika?
25
2
72