hancymachemba Profile Banner
Hancy Machemba Profile
Hancy Machemba

@hancymachemba

Followers
133K
Following
109K
Statuses
153K

Co Director Nasar General Supplies, Mkulima, Mfugaji TANZANIA KWANZA 🏟Team CHELSEA

Dsm
Joined February 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@hancymachemba
Hancy Machemba
3 months
Ngoja niwaibie siri. Kwa mahitaji ya pipes & fittings karibu kwetu NASAR GENERAL SUPPLIES tukuhudumie. Iwe kwa mahitaji ya nyumbani au miradi mikubwa ya maji unakaribishwa sana. Tupo kariakoo gerzani,mtaa wa mbaruku. Au tupigie katika 0787047022.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
38
79
@hancymachemba
Hancy Machemba
5 hours
@NikoMasonda6 @rollymsouth 4hrs ulikuwa wapi?
Tweet media one
0
0
0
@hancymachemba
Hancy Machemba
5 hours
@JrMalcolm88 Ww unanielewa vizuri kaka ila wengine wanaona kushinda team ni Bora sanaπŸ˜‚πŸ˜‚
1
0
1
@hancymachemba
Hancy Machemba
5 hours
RT @JrMalcolm88: @hancymachemba Tuna changamoto sana second half, hatuna Subs kabisa, tofauti na Mavambo 🏹, akina Barua, Mukwala na Mutale…
0
1
0
@hancymachemba
Hancy Machemba
6 hours
Wakipata wao draw wanageuka waimba taarab. Ila simba ikipata draw sasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
@privaldinho
Privaldinho
13 hours
Unaposhindana siku zote lazima utambue kuna wakati utashinda, utashindwa na mtatoshana nguvu. Huwezi kushinda kila siku labda kama unashindana mwenyewe. Kosa sio kuanguka, kosa ni kushindwa kusimama tena. Msimu uliopita tulipata sare mbili, msimu huu tuna sare moja. Ligi ni safari na bado tunaendelea na safari. Ndege mmoja aliyepo bandani ni wathamani, lakini tunapaswa kupambana kupata ndege wengine waliopo porini.
0
0
4
@hancymachemba
Hancy Machemba
6 hours
Ila hii simba aiseeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
@SportsarenatzTz
SportsArenaTz
10 hours
Mabibi na Mabwana huyu ni tapeli 😜
0
0
1
@hancymachemba
Hancy Machemba
6 hours
@HemedDaud15910 @teammodewji @simbascfans__ Kwanza umenipeleka kwenye mashabiki wa vyura πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
1
0
2
@hancymachemba
Hancy Machemba
6 hours
@Aaron_bushnel @mswahili___ Team ni nn? Au washambuliaji ni makocha?
1
0
0
@hancymachemba
Hancy Machemba
6 hours
@HancyFame πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜Ž Yaani hata magoli ya wazi ujikoseshe kwa makusudi kwaajili ya game zijazo ngumu?
1
0
0
@hancymachemba
Hancy Machemba
6 hours
RT @BERNARDKOMBA: @hancymachemba Tupo pamoja kiwango kibovu, ushambuliaji ni tatizo kubwa Simba
0
1
0
@hancymachemba
Hancy Machemba
6 hours
@DMsangii Unarelax na kukosa magoli ya wazi kabisa? Hakuna excuse ni ubovu tu wala sio kingine
2
0
1
@hancymachemba
Hancy Machemba
7 hours
@wakulembwesa Issue ni kukimbizana au yale magoli ya kijinga walioyokuwa wanakosa?
0
0
1
@hancymachemba
Hancy Machemba
7 hours
@Wolfugang2 Yaani hukuona magoli ya wazi wanakosa hilo nalo ni la kocha
2
0
3
@hancymachemba
Hancy Machemba
7 hours
@michaelfanuel22 @Eng_ZSamsoni Yaani kutunza energy hata kwenye magoli ya wazi kabisa hakuna kufunga?
0
0
0
@hancymachemba
Hancy Machemba
7 hours
@robkidayo_ We umeona magoli mangapi wamekosa ya wazi kabisa?
1
0
0
@hancymachemba
Hancy Machemba
7 hours
@icon___08 Umakini wa wafungaji haupo kabisa
1
0
0
@hancymachemba
Hancy Machemba
9 hours
@Eng_ZSamsoni Kipindi cha pili hovyo sana
2
0
8