Kilepi Captain Jr Profile Banner
Kilepi Captain Jr Profile
Kilepi Captain Jr

@kilepi_tweve

Followers
42,222
Following
44,964
Media
2,620
Statuses
293,340

#Laiti nyumba zingekuwa Na vinywa zingetoa siri za Wengi. @Bora uanze vibaya ukamalize vyema kuliko kuanza vyema ukamaliza vibaya🤦

DaresSalaam ,Tanzania
Joined September 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Mwanetu kacheka leo akiwa huko kwao, 😂😂😂
Tweet media one
26
21
2K
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Hawa Watu Umewaweka Kwenye Wakati Mgumu Sana Wa Kimaisha Imagine Hiii Saaa Tano Ucku Mtu Anatafuta Chochote Cha Kula Na Familia Yake Kesho.😌 @SuluhuSamia
Tweet media one
29
48
489
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 months
Nadhani Msechu Nitakuwa Nimemwona mm tu,😎
Tweet media one
33
23
456
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
Vita Ya Kagera inapigwa mm nilikuwa Mwenyekiti wa Kwaya vijana Kijitonyama pale..
Tweet media one
22
23
440
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Kwani mkifunga na kupiga mswaki mnafunga ndugu zetu,🙈
33
10
359
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Kurogwa huku kusikie tu yaani, 🤣🤣
Tweet media one
56
8
312
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Ivi Iringa Kwamba hatuna vipaji Au Sioni Mchezaji Wa Mpili Mkubwa Wala Msaniii.. 😎😎
72
5
316
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
siku kama Ya leo enzi Zangu ndoo Nilikuwaga Sichezi Mbali Kabisa Na Madaftali Mapya Ambayo Hajaandikwa Majina Ila Mwenyezi Mungu Anisamehe Kwa Hii Mm 😆😆😎
19
16
313
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Kwahiyo hayo Matokeo Mkipongezana na Watoto Wenu huko Nyumbani Kwenu haitoshi hadi mtuletee huku Tweet eti...???
19
10
268
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Kwahiyo sisi wengine tuna nguvu za nn....?!😁
Tweet media one
58
21
256
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
huyu mwamba alikuja na moto frani ila sijuhi ulizimwa na nn..!
Tweet media one
50
5
240
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Mtaachana tu...😎
Tweet media one
23
8
233
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
8 months
Na adui wa mwanaume ni nani,?
Tweet media one
73
22
235
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Unamkaza mdogo wa mke wako na mama mkwe wako anajua afu anakausha mwisho wa siku sunahamia hadi kwa mama mkwe..🤨
13
11
213
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
11 days
Hayo mnayaona magari sio magari sitawasanua kila kitu Wapwaa…😂😂
Tweet media one
63
18
626
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Wasukuma watapigwa sana hela leo....😁😁
10
7
212
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Mapenzi haya aiseee....🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
43
10
209
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
27 days
Janabi na yeye mjumbe wa Simba? 😂😂
Tweet media one
14
7
221
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Familia kabisa kumbe,😄😄
Tweet media one
11
6
204
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Unaambiwa mwamba anamiaka 24 ila mkewe 36 na maisha yanasonga fresh....😁😁😎
Tweet media one
12
6
196
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Mme wangu yule Daktari aliyekuwa anakuuguza ndio mwenye huyu mtoto...🤣🤣🤣😁😁
20
14
196
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 months
CAF sio watu wakutania kabisa..😂😂
Tweet media one
10
10
203
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Nimevuta bangi leo kwa mala ya kwanza toka nizaliwe 🤔🤔
31
1
179
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
6 years
Kuoa mwanamke aliye kuwa na watoto au mtoto ni sawa na kununua shamba lenye kesi ..
32
17
177
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Herode hadi leo hujampa vyeti ujue...🙂
@rollymsouth
Madenge
1 year
Unaingia mtandaoni Profesa anaelezea jambo fresh halafu kuna form 4 felia analipinga kisa followers,tuheshimu elimu za watu followers sio akili.
289
186
2K
9
3
175
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Kwahiyo mnataka tuwe kundi moja na wakina Chiesa wa Italy sio wanangu...😂😂
12
8
156
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Machinga tunaomba mtuombee sana kipindi hichi kigumu kwetu tulicho salitiwa na watawala...🤨🤨
Tweet media one
14
6
162
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Mwanaune inabidi utumie dakika ngapi kuoga
50
1
159
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Chama cha wanaume duniani tukifika mbinguni kikao cha kwanza tutakaa na Yakobo mwamba alituangusha sana huyu,😂😂
15
17
148
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
6 years
ivi watalamu inabidi ukae dakika ngapi kuendelea la pili na mengineo baada ya lile la kwanza kabisa.🤔🤔
48
8
158
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Baba wananchi wako wanyonge hasa Machinga toka uende huko ulikoitwa kuongoza malaika,cha moto tunakipata hapa duniani tumewekewa hadi migambo safari hiii..
Tweet media one
12
16
157
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Mwanangu Kaoa mwezi wa tisa jana mke kukasanya vitu vyote ndani na hajuhi kaelekea navyo wapi hadi nguo za mwamba kasepa nazo,🤔
34
7
150
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Yule mwana aliye toka huko soweto kwa miguu hadi hapa ndio kaleta gundu hili la matokeo ya sale.....😄😄😄 kapita mikumi kwa miguu yaaaaniiiii kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiii.....!!!
14
2
143
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
6 years
Wadada wenye makalio madogo msiogee sabuni za Rungu maaana inaweza kuyatoa ikijua ni chunusi...😁😁😁😁😁😁
18
18
140
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Vitu kama hivi mtasubiri sana kuwa navyo kwenye makabati yenu Uto…😎
Tweet media one
15
6
143
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Kwenye kusaka mafanikio hakikisha haupotezi maisha...
10
18
134
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Kama Chama Cha Wanaume Tanzania Jumapili Baada Ya Misa Zote Kuisha Tutakuwa Na Kikao Kizito Sana Na Bwana Jux Huko Mwalusembe Atueleze Ukweli Kuhusu Hii Mimba Ya Dada Yetu..😁😁
11
9
134
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Huyo Jamaa mwenzio na Mon Ukute ni mtoto wa Idiamini huyu..😎
Tweet media one
15
5
129
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 months
Eti husna na wewe unateswa na Mapenzi..😊
Tweet media one
5
11
136
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
nimeshituka kinyama nilipoona picha hii mwenzenu 😏
Tweet media one
16
8
121
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
Moja Ya Ndoto Yangu Kubwa 2021 Ni , Kupima Ukimwi ☺
17
8
121
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Ogopa sana demu anae toa chozi kwaajili yako kijana chozi lake hilo linaweza kukusumbua kwenye maisha yako yote usipo kuwa makini..
23
7
124
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Hata Riadha Lenyewe Ukute Hajawahi Kukimbia Sasa Akate Moto Muanze Kusema Simba Tumemtoa Kafara Mana Utopo Hamkosagi Visingizio 😁😁,
Tweet media one
15
5
117
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Kwahiyo Serikali imepuuza ile ripoti ya CAG kuhusu hizi Ndege ama..?
11
6
115
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Ambwene Mwasongwe mtumishi wa Bwana hakika magoma yako kuna kipindi yanatufaliji sana kwenye maisha yetu sisi binadamu wenzio..🙌🏾
Tweet media one
7
9
111
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Baba tunajua fika kuwa kwako hakuna jambo gumu,bas tujalie minguvu na utimamu wa akili zitokazo kwako za kupambania Riziki zetu.🙏
Tweet media one
11
10
116
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Wazee Tuta Jenga Kweli....🤨
Tweet media one
44
6
115
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Ivi huyu jamaa ni kabila gani...?
Tweet media one
20
3
110
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Nyie sikieni tu hivihivi,😎
Tweet media one
9
6
109
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Ila mzee chuma..😂😂😂🙌
Tweet media one
9
9
105
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Kwanza inabidi uwe umekula umeshiba kabisa mana kitakacho fuata baada ya hapa…😁😁🙌
Tweet media one
8
3
111
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Ila Abwene mwasongwe anajua kuimba nyie..🙌🏾🙌🏾
11
8
108
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Sasa hawa walia au wanacheka..😂
Tweet media one
5
3
109
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Sauti inatosha wapwaa au tuongeze.. #NiMiti ,Tu!!
Tweet media one
7
11
104
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
#Kilepi Tweve “ 16/06/1996 #Ivan Tweve 😘” 16/06/2017 “Mungu na maajabu yake 🙏🏻 #Happy Birthday to sisi🎉 #TweveFamily 🙌🏾
Tweet media one
15
8
100
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
happy birthday mpwaa miaka mingi kwako mzee, @LusakoWaKwanza
Tweet media one
2
3
105
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
Kwann hiiii Kona Wasinge Ikatishia hapa.....
Tweet media one
23
4
101
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
6 months
😂😂😂😂
27
41
111
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
16500 😂😂😂🙌🏾
Tweet media one
18
4
96
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Msimu ujao wapinzani wetu hasa manyumbu na mancity mjipange ki saikolojia na kimwili tuko na hasira kama dubu..😎
Tweet media one
13
9
106
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Naona picha tu mzigo wenyewe uko wapi wazee...😁😁😁
Tweet media one
19
1
101
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Tumefikia huku....😐
Tweet media one
6
12
105
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Kifupi Serikali Ijue Na Itambue Kuwa Tozo Bado Ni Changamoto Kubwa Sana...
9
11
99
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
6 years
pale dackitali wa kike anakwambia mwanaume shika hivi vichupa kaniletee haja kubwa na ndogo..😁😁😁 aisee mm nahivyo vikopo vyake sipokea 😆😆😆😆😆
18
2
97
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Sema binadamu mko na siri nyie…🙌
Tweet media one
4
6
104
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
mm dar hapa kitambo sifi njaa....😀
Tweet media one
6
7
103
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
pambania ndoto yako kwanza kijana mabinti wapo milele na milele hawaishagi hawa wanazaliwa wazuri kila kukicha ni hayo tu mafisi wa TL ☺️
5
11
97
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Leo ndio mtajua kwann tunasema waafrica na ndugu zetu...✌️
Tweet media one
3
7
102
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Wazee wengine bhana..🤣🤣😂😂
Tweet media one
13
2
101
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Hivi yale mabakuli ya magereza yanayotumiwa na wafungwa yaliundiwa wapi Wapwaaa…😄😄😄
7
2
101
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Hivi mzee wetu Kikwete kuna mwanae yeyote aliesoma nje ya Tanzania hiiii...?
7
3
97
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
8 months
Nikifikia kwenye hatua hii, kwenye hili penzi langu jipya mniue tu Wapwa...😁
Tweet media one
14
14
100
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
Yani upo chamanzi unapata muariko madale ndanindani huko, sio bora nishindie kashata na alikasusu tu Wapwa....😔
8
6
94
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Ambulance zinatumia mafuta gani kwani,🤣
13
5
91
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
Ivi mnauhakika hiyo akaunti ya twita niya mkuu wa mkoa wa Dar Kweli Baba Keagan Mwenyewe....??
Tweet media one
7
4
94
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
sasa kipi tudai katiba au makato yapungunzwe...
12
2
93
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Bila shaka hayo mashamba mjini hapo ni ya mkinga 😊😊😎
Tweet media one
11
4
101
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
Ila Wazee Kuna Mipicha Mingine Hata Mzee Wetu Akiwa Mshindi Wa Pila Yanaweza Yakamtuliza Maumivu Akiwa Nyumbani Kwake Akiyataza hiyo 30/11/2020 😂
Tweet media one
5
7
95
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Kure wariko tusukumia ndiko Mungu anako pumzikia....
4
4
94
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Yaani unaswaki hadi meno yana toa damu ubinadamu kweli huuu jamani 😀😀
5
1
91
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Nikibahatika mbeleni huko kuoa tampenda sana mke wangu kama navyo mpenda mamaangu ❤
13
2
92
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Eeeh Mungu Baba Jalia Kesho tusikie Mambo Ya vifo Na mengineo Kupitia hii Mvua Inayoendelea Kunyesha...🙏
11
2
91
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Siku moja moja tunaulizia hata bei sio Wapwaaa 😂😂😂😁😁😎
Tweet media one
19
6
89
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 months
Hawa walikuwa wanapigia mazoezi kwenye misitu enzi hizo,😁
Tweet media one
9
7
95
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Unatonya mshua kuwa unamchumba anaanza kuuliza kabila gani huyo mchumba mwenyewe...😂😂😂
10
7
85
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Mahome Makete 😆🔥
Tweet media one
14
4
96
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Zingekuwa za Rwanda sawa hawa na hawa wa kwetu tofauti sioni wazee mniue tu nipo kijichi hapa...😎
Tweet media one
16
2
92
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Hata huyo Mwamposa wenu si dhani kama anaweza kuilipa hiii nyomi ....🙂😎
Tweet media one
4
2
89
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Ukiingia kwenye kumi Na nane za wazee wa Lugalo pale laana utayo achiwa huwezi kuisahau maisha yako yote wazee 😀😀
4
2
86
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Kipindi cha pili tunaishangaza dunia Ureno ✊🏻
11
2
78
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Hatuga Sho mbovu kmmk kwenye jiji lenu na tumewakarisha Kima nyie 😂😂
Tweet media one
5
2
88
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
4 years
Enderea Kupumzika Kwa amani mzee Wetu Vijana Wako tunakumic sana hasa Sisi Wa Rombo 😭😭😭
Tweet media one
9
3
92
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
Kuna wanaume wanasari sana na kumcha Mungu sana ila niwa zinzi kimyama aiseee 😭😭😭
11
4
91
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Watawala wetu bado wana akili za ajabu sana yaaani,😓
Tweet media one
6
4
86
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
Msije sema hakuambiwa...😂
Tweet media one
11
3
90
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 years
😂😂😂😂
Tweet media one
10
4
83
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
3 years
Tweet media one
22
5
86
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
5 years
kwamba mdogo wetu Aslay ile frashi iliyo kuwa inampa kiburi cha kuachia nyimba kila wiki imepolwa na wapiga ngeta sio 😂😂😂🤣🤣🤣🤣
9
8
87
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
Huuu ni Ugaidi…
Tweet media one
25
4
89
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
1 year
😀😀😀
Tweet media one
5
3
86