Hawa Watu Umewaweka Kwenye Wakati Mgumu Sana Wa Kimaisha Imagine Hiii Saaa Tano Ucku Mtu Anatafuta Chochote Cha Kula Na Familia Yake Kesho.😌
@SuluhuSamia
siku kama Ya leo enzi Zangu ndoo Nilikuwaga Sichezi Mbali Kabisa Na Madaftali Mapya Ambayo Hajaandikwa Majina Ila Mwenyezi Mungu Anisamehe Kwa Hii Mm 😆😆😎
Baba wananchi wako wanyonge hasa Machinga toka uende huko ulikoitwa kuongoza malaika,cha moto tunakipata hapa duniani tumewekewa hadi migambo safari hiii..
Yule mwana aliye toka huko soweto kwa miguu hadi hapa ndio kaleta gundu hili la matokeo ya sale.....😄😄😄 kapita mikumi kwa miguu yaaaaniiiii kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiii.....!!!
Kama Chama Cha Wanaume Tanzania Jumapili Baada Ya Misa Zote Kuisha Tutakuwa Na Kikao Kizito Sana Na Bwana Jux Huko Mwalusembe Atueleze Ukweli Kuhusu Hii Mimba Ya Dada Yetu..😁😁