Philip Profile Banner
Philip Profile
Philip

@PhitMathematic

Followers
14,457
Following
2,803
Media
1,186
Statuses
196,982

Founder - intOgroup Creative & Safaris

+255
Joined January 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@PhitMathematic
Philip
6 years
Haicost chochote kumsalimia mlinzi/ mfanya usafi na kumuaga kwa kumwambia asante, pale unapoenda ofisi yoyote. hujui tu vile hujisikia amani pale unapojali uwepo wake.
35
219
871
@PhitMathematic
Philip
3 years
Furaha Na Chuki ni vitu ambavyo Binadamu hawezi kuvificha 😀
Tweet media one
Tweet media two
61
103
2K
@PhitMathematic
Philip
2 months
Siku izi Kamwe akipata Deal anamshutua Mwanae Ahmed ivo ivo kwa Ahmed pia… wanasukuma Pamoja Sio Yule Mzee wao alifanya Mpira Vita
66
87
2K
@PhitMathematic
Philip
5 years
Unamkumbuka yule Anko ako alikuwa anakuja kukaaa kwenu kipindi Hana mchongo wowote uamuona huyu jamaa Vipi, Haya saivi wewe ndo yule Anko sasa😀, Kaa kwa kutulia.
97
133
1K
@PhitMathematic
Philip
4 years
BLACK RHINO ACADEMY KARATU TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
33
144
1K
@PhitMathematic
Philip
5 years
Kuna watu wana masihara sana na maisha ya watu😂😂
268
228
1K
@PhitMathematic
Philip
2 years
Ivi GSM ilikuaje kuaje tu Ghafla wakaipenda Yanga Jamaniiii?😀
58
27
1K
@PhitMathematic
Philip
3 years
Sema nini Mwanenu anazingua halafu Mshambaa
118
27
1K
@PhitMathematic
Philip
3 years
Vile Maulid Kitenge anaagwa na Boss wake Chibu na namna anavyopokelewa na Boss wake wa Zamani Majizzo Ina maana Kubwa sana💪🏼💪🏼💪🏼
27
42
994
@PhitMathematic
Philip
3 years
Unaijua Kosovo wewe😀
Tweet media one
134
45
985
@PhitMathematic
Philip
4 years
Ukiwa Chuo unasumbua Kijana wa watu Asubuhi asubuhi unataka upelekwe Hotel ukale OMELETTE na CAPUCCINO, Ona Sahii unapasha Kipolo cha wali maharage na Chai ya Rangi Ule na wadogo zako halafu utenge Maharage ya Mchana.
91
70
961
@PhitMathematic
Philip
2 years
Maana ya Halisi Bongo kugumu,...Cheki HESHIMA anayopewa Samata hapo mjini Genk #videobyKRCgenk
37
115
852
@PhitMathematic
Philip
3 years
Eeeh bhana eeeh Uzi letu la Mabingwa bhana
Tweet media one
Tweet media two
26
32
832
@PhitMathematic
Philip
5 years
Hakuna mahali kuna Vipaji kama Bongo sema ndo vile tu
89
154
809
@PhitMathematic
Philip
5 years
Hakuna Mtu falaaa ka Eric Omond Sema Alhamis WaKenya watafurahia Show😂😂😂
94
210
808
@PhitMathematic
Philip
2 years
Mtu anakuwa Mad kisa kakuta Lovebite Shingoni ambayo ulijing’ata bahati mbaya Tena kwenye Shingo yako mwenyewe… Dunia hiiii
118
73
813
@PhitMathematic
Philip
4 years
Imagine Piliipiliii na Mwijakuuu Eti wanachambua Ripoti ya CAG
60
26
805
@PhitMathematic
Philip
3 months
Mzee Magoma ana Ujumbe hapa😂
106
106
816
@PhitMathematic
Philip
2 years
Nadhani watu waliokuwa na hali ngumu kwenye Show ya Kizz ni Machawa kuwatuliza Maboss wao😂😂
27
30
781
@PhitMathematic
Philip
4 years
ShoMadjozi yuko na Love ❤️ sana na Tanzania🇹🇿
61
155
772
@PhitMathematic
Philip
3 years
Eeh Kwaiyo Watu wa Twitter mkikutanaga kwenye Daladala mnajificha ficha 😀 Standard zitaua watu......
64
26
748
@PhitMathematic
Philip
3 years
Sema Kiba kaweka mlima mkubwa sana kwa Mwanetu wa Tandale.... Standard ni kubwa😀
35
17
749
@PhitMathematic
Philip
4 years
Nyie Nyie Uswahilini Burudani sana😀
77
159
747
@PhitMathematic
Philip
3 years
Hakuna mahali kama Chuga ...Aaah Mwanza ....Aaah Tz🇹🇿🇹🇿
Tweet media one
Tweet media two
62
33
732
@PhitMathematic
Philip
3 years
Majizzo ndo kama “Ruge” mpya sahii kwa Kiwanda cha Burudani....
39
14
704
@PhitMathematic
Philip
2 years
Nimebahatika kuziona Jezi mpya za Simba Nyieeee Sio poa mjue🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
27
24
687
@PhitMathematic
Philip
2 years
Iyo Kiingereza ya kusikilizia Album ya Kendrick unayo?😎
53
22
679
@PhitMathematic
Philip
3 years
“Babra utaondoka Simba utaniacha”
40
35
671
@PhitMathematic
Philip
4 years
La Saba umemaliza 1991 ila mpaka leo Upo UVCCM
66
31
653
@PhitMathematic
Philip
2 years
Vikishajua kiingereza Vikaenda na shule kidogo vikapata “Kaprofeshno” fulani bhas vinaona tayari… vikogo sahihii mda wote… kumbe vijinga na vigonjwa vya Akili
84
40
640
@PhitMathematic
Philip
3 years
Mtavaa hamvai Au mtataka Twiga mwenye Rangi ya Njano😂😂😂
Tweet media one
65
23
620
@PhitMathematic
Philip
2 years
Shabiki wa Simba Weka hapa alama ya fireeeee uwakere majirani🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
144
36
610
@PhitMathematic
Philip
1 year
Hiii Julai Litakufa Jitu aseee🔥🔥🔥
69
68
619
@PhitMathematic
Philip
11 days
Washua wamepata Ngoma Yao… Asagwile once again 🔥🔥 Inaenda kuwa Ngoma kubwa Sanaaaaaaa
26
95
624
@PhitMathematic
Philip
3 years
Hii Mada inaenda inarudi Karibu miaka mitano, Na yote unachangiaga tu, Mbaya ni kwamba kila ikirudi inakukuta bado hujaolewa 😎
48
25
592
@PhitMathematic
Philip
5 years
Kama unamjua Huyu Oa Braza
Tweet media one
120
19
596
@PhitMathematic
Philip
4 years
Unakuta Mtu alishafulishwa sana Pika sanaa kwenye Relationships kama Saba ivi na zote Akaachwa unadhani atakuelewa 😂
57
37
583
@PhitMathematic
Philip
5 years
Ulishawahi kuwa na safari ya asubuhi sana na tiketi ushakata Ile unastuka unafungua Dirisha Unakutana na mwanga wa jua unakupiga Usoni😀
63
27
588
@PhitMathematic
Philip
3 years
Oyaa HK tusamehe sana sisi Jamuhuri ya Twitter ulikuwa Sahihi sana Masta......
22
17
577
@PhitMathematic
Philip
2 years
Dejan nimejitahidi sana kumvumilia, kumtetea kwa Washabiki wenzangu ila sasa nimechoka.... Hamna kitu pale😀
52
19
571
@PhitMathematic
Philip
6 years
Kuna Marapper halafu kuna MrBlue ..............
40
67
552
@PhitMathematic
Philip
3 years
Celeb wa Twitter wanajiona wako Level moja na Chibu😀
48
29
554
@PhitMathematic
Philip
3 years
Sema Manzi akiwa Avungi kwenye kula Burudani sana.....
35
16
556
@PhitMathematic
Philip
3 years
Manara anaongea huku analia Wasafi fm Mastaa aliipenda sana Simba😀
19
4
527
@PhitMathematic
Philip
4 years
Mr Forex anatoa Swali, Ana jijibu mwenyewe halafu anajipa na zawadi😂😂😂 Nchi ngumu hii
42
11
529
@PhitMathematic
Philip
2 years
Mkishaenda Semina mbili tatu tu mnajijua tayari mna Haki ya kuwa Viongozi😎
22
21
528
@PhitMathematic
Philip
5 years
Mwana kabla hajatoboa Ulikuwa unaweza mpigia simu mda wowote na akapokea mda huo huo, Ukamuita mahala popote na akaja haraka, Ukamuagiza mahali chap akaenda, Note: Alikuwa hana cha kufanya now anacho cha kufanya acha Uswahili kuanza kumsema anavimba.
23
103
530
@PhitMathematic
Philip
4 years
Iyo PS5 unaenda kuchezea kwenye screen inch ngapi? Nunua TV kwanza😂😂 acha Mbwembwe
32
12
524
@PhitMathematic
Philip
4 years
Sisi Kama Mashabiki wa Simba hata hatuhitaji CV yake.😀 CEO yupo Bulbul
Tweet media one
44
27
522
@PhitMathematic
Philip
3 years
Chemical Mwanafunzi Bora UDSM ... kachukua Shahada yake ya pili... kapata Udhamini kwa Ajili Ya PhD yake Scotland..... kwenye chuo Kizuri.... makelele hata sio mengi sanaa😀 Kina Mwafulani sasa ilikuwa balaaa😀
22
31
520
@PhitMathematic
Philip
6 years
Ukiachana na zile Story za hapa na pale Bado uwezo wa Chid Upo juu mda utaongea
50
68
502
@PhitMathematic
Philip
3 years
Wachekeni Yanga Hapa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
144
11
496
@PhitMathematic
Philip
2 years
“Ukikapiga Tukio kanaanza Kumpost Boyfriend wake”
22
11
501
@PhitMathematic
Philip
2 years
Ujuaji ukizidi ni Ujinga vile vile, Huwezi fahamu kila kitu, “Google” isikufanye ujione unajua kila jambo vizuri😀
18
34
501
@PhitMathematic
Philip
3 years
Watu wa Ovyo ndo Taifa lililo Huru zaidi kwenye Ulimwengu wa Twitter😀 Hawana mtu wa kuwapangia
33
24
491
@PhitMathematic
Philip
3 years
Humu wanakujaza Wanakujaza halafu yakikukuta kila mtu anaanza kukuhusia😀
44
14
483
@PhitMathematic
Philip
4 years
Pisi ya Kienyeji iwe imevaa Dera halafu nywele zimevurugika iko inafanya fanya Usafi asubuhi ni 🔥🔥😀
36
14
493
@PhitMathematic
Philip
2 years
Shuka kwanza Wife anapiga...
35
12
484
@PhitMathematic
Philip
4 years
Nafsi inaniambia kabisa Yanga anakufa Leo😀
60
1
480
@PhitMathematic
Philip
4 years
Nimeona kuna mahali Tajiri wa Kwenye “Real life “ kaambiwa huna Hela wewe na Tajiri wa Twitter😂😂
44
16
482
@PhitMathematic
Philip
7 months
F A M I L I A📷 M A A S A I🇰🇪🇹🇿
Tweet media one
26
37
498
@PhitMathematic
Philip
4 years
Tweet ya Gill ikisambaa WhatsApp, Wengi wataamka hawajisikii vizuri kesho, TUTAWASHANGAZA😀
27
9
473
@PhitMathematic
Philip
2 years
ESAMI 2022
Tweet media one
87
27
481
@PhitMathematic
Philip
3 years
Nilipatakaga Binti akaanza kuleta habari za kunipa Vifungu vya Bibilia vya kusoma halafu kesho yake anauliza nimejifunza nini😀😀 aiseee Yalinishindaa 😂
42
18
456
@PhitMathematic
Philip
2 years
Millard haendi Arumeru kufatilia Habari ya watu kupigwa Mawe? 😀
53
10
463
@PhitMathematic
Philip
3 years
Kisa humu Twitter tunajua una Gari Bhas Usiogope kushukia Sayansi pale ukija na Daladala ...Usije shukia Victoria au ITV utembee ni mbali pia Jua ni kali mno😂
25
14
458
@PhitMathematic
Philip
2 years
Eti Shabiki wa Simba avae jezi za Yanga akapambane Nabi aondoke….. ivi Kumbe mnakuwaga Hamna Akili mnakuwa Miili tu😂
43
21
463
@PhitMathematic
Philip
6 years
Muhuni anaishi ndoto zake " niwe msanii mkubwa nipanda ndege"😂😂
21
52
452
@PhitMathematic
Philip
4 years
Aki Mama akiendelea ivi ivi anaua Ajira za Baadhi ya Wanaharakati
30
15
455
@PhitMathematic
Philip
4 years
UKIMWI BADO UPO
41
28
448
@PhitMathematic
Philip
3 years
Mnatetea Mtu alikuwa “anatabasamia” Camera
32
12
444
@PhitMathematic
Philip
3 years
Kwaiyo wewe hapo ni Bff wa Mke wa mtu na unaona Rahaaaa😂
19
11
447
@PhitMathematic
Philip
4 years
Tatizo linaanzia pale pambo la ndani Lina kitambi😎
53
14
438
@PhitMathematic
Philip
2 years
Unaweza kuwa na Shida na Buku na wa pembeni yako ana Laki, Ukamuomba Buku na asikupatie, hutakiwi kulalamika hata kidogo Heshimu maamuzi yake na Usimchukie
22
34
447
@PhitMathematic
Philip
2 years
Mke/Mme hatafutiwi kanisani
43
26
451
@PhitMathematic
Philip
3 years
Familia ya Zai kutoka Bara Jana walikuwa wakali😂
34
16
434
@PhitMathematic
Philip
2 years
OmmyDimpoz kafanya Bonge la “Marketing” kwenye Utalii wa Bongo kwa Wachezaji wa Man U, HighSeason ijayo lazima Ilipe Heshima kwake💪🏼
5
15
440
@PhitMathematic
Philip
5 years
Ukimsaidia Mtu usitake bhas aendelee kuwa Mtumwa wako kisa wewe ndo ulisababisha awe na mafanikio aliyo nayo.
20
44
435
@PhitMathematic
Philip
2 years
Usiombe kukutana na D student aliyetoboa Maisha halafu bado hazimo….. Halafu wewe ndo ulikuwa “A” student Bado nchencheme nchenchemee😂
33
20
444
@PhitMathematic
Philip
5 years
Rasmi @diamondplatnumz ni Legend ,Huko Guinea Bissau, Magharibi Mwa Africa⭐️🔥
29
78
425
@PhitMathematic
Philip
2 years
Mmekaa na Wife hamna Ugomvi wala hakujatokea tatizo unaona status kapost “Hilo nalo litapita”
65
24
440
@PhitMathematic
Philip
4 years
Watu Weusi ni Wabaguzi kuliko Wazungu
32
29
424
@PhitMathematic
Philip
3 years
+1 A n o t h er Year O l d e r #Msela #Mathematic
Tweet media one
111
26
419
@PhitMathematic
Philip
2 years
M A S T A -M A T H E M A T I C📷📷
Tweet media one
Tweet media two
25
18
417
@PhitMathematic
Philip
3 years
Babra asingeshtuka na Kigoma kwenye Azam Cup tungepigwa 😂
23
17
422
@PhitMathematic
Philip
2 years
Sema Mandonga Angeshinda isingekuwa Hata Mzuka😂
13
8
421
@PhitMathematic
Philip
1 year
Ile Thread ya Wanaijeria inaonyesha wanamjua Vizuri Kwevo na wanamfatilia Sasa kilichobaki apige Copy ya Last Last shughuli iiishe kabisa😂
44
29
434
@PhitMathematic
Philip
2 years
Mkishafika kwa Mh mnakuwa “Asante sana kwa Nafasi hii” na kuanza kucheka cheka then Picha 😎
30
12
424
@PhitMathematic
Philip
4 years
Unadhani unakumbatiwa kumbe unanuswa 😂😂
35
13
412
@PhitMathematic
Philip
3 months
Sandaland Yeye anachukuaga rangi nyekundu anachanganya na nyeupe anaprint MoExtraa na Mbetii kamaliza😀
51
48
430
@PhitMathematic
Philip
3 years
Wengine Pombe hawanywi na NURU haipo Saa itakuaje?😎
20
8
403
@PhitMathematic
Philip
2 years
Dickson Job ni Bonge la Mchezaji aondoke zake Mapema Bongo Wabongo hatuna Subira Lasivyo kwa hii Vita anakutana nayo plus na vita ya Raia kwa mjomba wake anaweza jikuta IHEFU
23
6
413
@PhitMathematic
Philip
2 years
Jana tu alikuwa anatusimulia Hadithi Kumbe ndo alikuwa anatuaga Eliza Nenda Bibi
25
20
404
@PhitMathematic
Philip
3 years
Zile Afcon tukiwa machaliii zilikuwa na kaVibe fulani ivi hizi za sasa kama zinamis ivi
34
7
402
@PhitMathematic
Philip
2 years
Kwa mbwembwe zenu humu mngekuwa mshachukua meza kwa Kizz tungekuwa tushajua 😂
17
10
402
@PhitMathematic
Philip
3 years
Unakuta Dada enu anazo zake mbili tatu kwa Simu yake😀😀
21
8
405
@PhitMathematic
Philip
3 years
Kama hujui kuhusu jambo fulani.... please usichangie itakusaidia kuficha Ujinga Ujinga wako
23
46
396
@PhitMathematic
Philip
1 year
Usipende pende kuuliza watu “Unafanya kazi wapi” “Hapa kwako unalipa Sh. ngapi” “Una miaka mingapi” “Hospitali unaenda kufanya Nini” “Pale wanakulipa Sh. ngapi”
41
70
409
@PhitMathematic
Philip
2 years
….M A S T A …this Is siMba📷📷 #Rasta #Msela #Mathematic
Tweet media one
28
15
401
@PhitMathematic
Philip
3 years
Hayaa Ulimuacha Msela unasema hana future ya mahusiano, haya huko ulipoenda unaolewa lini Dada yetu Mwezi wa 12 ndo huo hapo tayari😂
18
25
393