White Dove 🕊️ Profile Banner
White Dove 🕊️ Profile
White Dove 🕊️

@BinLaaden__

Followers
9,672
Following
1,915
Media
3,272
Statuses
128,199

Virgo♍ || Trouble in paradise || T.I & Alikiba die hard fan || MamaB ||Music&Happiness lives here || Nauza & kushona makapu

Tanzania 🇹🇿
Joined April 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 months
Baba yangu alinichukua kwa mama nikiwa na mwaka mmoja na nusu, mpka napata akili nikiamka asubuhi mtu wa kwanza namuona machoni kwangu ni Baba, nimepewa kila nilichostahili kutoka kwa mzazi na Baba, nimekuja kumuona mama yangu nikiwa darasa la nne. Baba hakuwahi kunijaza chuki..
192
411
3K
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
5 months
Tunaoweka fridge Sebuleni roll call..! 👋
Tweet media one
128
68
1K
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
5 months
Mzee amefariki ameacha nyumba kubwa na watoto wa 5, mmoja akaanza fujo anataka nyumba iuzwe kila mtu afe na chake, wale wanne wakapiga hesabu thamani ya nyumba na mgao utavyokua then kijana wa 5 akapewa gawio lake akaenda kula bata, hela zimemuishia Hana pa kuishi anarudi........
121
66
1K
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 months
Hustle zetu zikajipe.☺️
Tweet media one
40
91
1K
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
20 days
Umeolewa, umelipiwa mahari lazima uage ukitaka kutoa taarifa fuata taratibu na wewe ulipe mahari uanze kutoa taarifa. Ukiolewa ni kama umenunuliwa Kuna vitu huwezi kujifanyia maamuzi kama hutaki haya yote usiolewe. Hiyo 50/50 ndo inafanya watu wanapigwa na talaka zinatoka nyingi.
110
146
997
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
5 months
February 8 sikio la upande wa kushoto lilianza kuwasha nikaweka kidole sikioni kidole kikatoka na maji maji mazito yana shombo kama ya samaki, ushauri ushauri wa watu wa karibu pale nikaenda pharmacy chap kununua dawa ya matone, siku ya kwanza nimeweka ikafika siku ya pili...
198
96
914
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 month
Nimeshashiba ugali sasa niwa motivate.🙂 Since it's Thursday acha tuishi nayo.👍 Nyumbani Sio matajiri Wala maskini sisi tunakula Milo 3 asubuhi chai mihogo, mchana ugali dagaa, usiku wali maharage. Mahitaji madogo madogo ya binadamu aliye hai yanapatikana. Na sheria ni.......
72
118
889
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
6 months
Yote kwa yote ukihitaji Matokeo ya haraka Shem piga hizo namba 0785 991 499, 0621 600 056 Anasafiri mpaka mikoani huyo, Akipokea mwambie tu namba nimepewa na Rehema Sele limeisha hilo. Utaamua wewe kama tuzike au tusafirishe.
@kalage_jr
John kalage 🇹🇿
6 months
Kuhusu kuibiwa ni kwamba jamaa alinipigia kwa Namba 0672855446 alidai anafanya kazi tabata Shule (Ile zahanati pale karibu na kituo cha daladala) Sasa nilipofika akaniambia nimsubiri Kuna mgonjwa anamalizana nae. Basi nikawa na ngoja. Baada ya muda Akanipigia simu akanieleza
738
159
1K
389
150
867
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
7 months
Nakumbuka sekondari watu walikua wanakimbia morning speech vibaya mno, mpaka ikawekwa ratiba Ikafika siku ya mkimbiaji sugu kuongea alipanda pale juu akatusalimia "Good morning my fellow students, my short story is about Pepsi, Pepsi Dare for More" huyo akaishia zake 😁😁😂
92
94
841
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
13 days
Kumbe vijiwe vya Bodaboda Kuna kiingilio kabla ujawa mwanachama wao..? Kuna sehemu nimepita nikaongea na Mwenyekiti wao anasema Ili uwe mwanachama wao kiingilio ni shilingi laki 3 nkashangaa akasema "unashangaa nini sister wakat pale magufuli stand ni laki 8" nlikua sijui hili.😧
68
64
823
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 years
Khanga thread 😊
Tweet media one
61
18
756
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
7 months
Sema hii Dar es salaam mtu unaweza kufa na watu wanakuangalia tu yaani🥹 niwape kastory kidogo... Leo wakati natoka kazini nipo kwenye pikipiki barabara ya kigogo mburahati pale Kuna kanjia unakafata unatokea daraja la kigogo, mbele yetu kulikua na Mzee anatembea na kifurushi
165
98
810
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
25 days
Yule Binti anaweza kujiua asipopata msaada wa haraka. Ile video inasikitisha sana.💔
85
37
777
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
6 months
Chanika na Chamazi Kuna shida gani mbona nyumba zinauzwa sana na bei zake rahisi tu..?🤔
52
43
777
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 months
I think mnaopush hashtag mngetulia tu kwasasa hatuwahitaji kwenye hili, tuambiane tu kwa lugha nzuri yenye maelewano tukikata msaada wenu tutawashirikisha.🙏
44
179
754
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
6 months
Zikifikaga Story za Dini naonaga Bora kunyamaza tu. Since nimezaliwa na wazazi waislam, nikalelewa na Shangazi mkristo, nikalelewa na Baba mkubwa Alhaji, nikazaa na Kijana wa kikristo na Nina Mtoto mkristo. Sina Neno kwakweli.🙌
89
77
732
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
Nimepita kitambaa cheupe Sinza, kwakweli hali ni mbaya sana 🥹 Wanawake tutafute kazi na hela.
113
30
722
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
7 months
Tanesco 💔 TRA 💔 Sukari 💔 Nauli 💔 Ongeza lingine.
134
105
707
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
4 months
Kupitia hii App nimepata oda kubwa ya makapu mpaka nachanganyikiwa 🥹 mteja amelipa na advance kabisa yaani nitashona makapu mpaka Mikono iseme nyie Mungu ni mwema sana. shukrani kwa wote wanaoendelea ku like na ki rt makapu yangu.🫶 Alhamdulillah Alhamdulillah Alhamdulillah.🙏
60
150
702
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 years
Saizi mtu aki like tweet Yako unatakiwa kumuheshimu kweli😂🥹
32
32
690
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 years
Umevaa Nini mkononi ?😎
Tweet media one
152
27
645
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 month
Maisha yamekua magumu mpka Albino nao wanapora ukimkimbiza anapiga kelele "Ananiuaa" 🥹🤣🤣🤣
111
78
691
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
11 months
Tangazo liko straight Halina kelele,halina dakika nyingi,halichoshi.
Tweet media one
79
37
672
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
20 days
Nikikumbuka niliomba ruhusa niende kwa kaka yangu kumsalimia msasani nikanyimwa na mtu yupo zake Masasi huko kauli ilitoka tu kwa simu "Usiende mpka mwezi wa 8" Na nikabaki nyumbani wakati hata ningeenda asingejua afu unakuja humu unaambiwa utoe taarifa Nachoka mwili na miguu.😂
Tweet media one
64
50
670
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 years
Happy new month lovers 🥂
Tweet media one
69
31
575
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 months
Kuna zile sala mnazisemaga ndugu zetu wakristo zaburi ngapi sijui na ile Rita wa kashia ukipata muda kuanzia kesho tuanze kufunga na kuzisoma kwa wing sana, waislamu wenzangu tunajua Cha kufanya pia, waganga na wapiga ramli pia tuanze hizi Sala kesho wakati michango inaendelea.🙏
51
99
624
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
hawa mbona wanatuchanganyaaa😫😂😂🤣
88
75
608
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
11 months
Nimepita Riverside,Pako safi peupeee panang'aa kama hapana dhambi vile.😂
Tweet media one
89
43
588
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
11 months
Njoeni niwakopeshe pikipiki.🙂😐
Tweet media one
99
71
582
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
Kondeee🔥🙌 Dia eksi muvu oni.
39
71
586
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
Unakutana na mtu hospital unaanza kumtongoza. 🌚
223
48
576
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
"Bongo movie ilikua wakati wa kanumba" Kanumba mwenyewe sasa😂🤣🤣🤣 🙌
121
90
552
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 months
Watumiaji wa pikipiki za tvs na wanaotarajia kununua pia nawaomba hapa.☺️ Kumekua na malalamiko mengi sana kuhusu ishu ya plug kwamba bike zinasumbua mno kwenye upande wa plug. Inaweza kuwa ni kweli lakini pia inawezekana tatizo sio plug au pengine tatizo.....
33
97
558
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
4 years
✍️If u would be loved Love and be lovable.
49
140
510
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 months
Mama mwenye nyumba wangu ananipenda sana, nikichelewa kurudi namkuta nje ananisubiri anasema "nilikua na wasiwasi sana nikazani usafiri umekusumbua" 😁🫶
70
42
547
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
5 months
Tweet media one
101
75
543
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
26 days
Sema Alikiba Mimi kipengele Cha " Wa vikombe vingi mnyamaaaa" kinanichekeshaga sana.😂🤣🤣🤣🤣
48
41
555
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 years
Slogan ni ile ile "Watu wenye akili timamu wapo kibao humu angalia na mtu wa kudate nae......utadharirika Kuna watu ni wendawazimu na hawana Cha kupoteza.
51
45
534
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
6 months
Binti amekutana na kaka mjini Daslama wamependana mapenzi yamenoga wamepanga chumba, kaka anapiga tu mission town Binti ana kibanda Cha Mpesa miez imekata Binti puu ujauzito huu hapa wanalea siku moja amerudi nyumbani kaka akamwambia nenda Temeke Kuna rafiki yangu ana mzigo wangu
108
68
548
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
25 days
Mwanaume ameumbiwa tamaa, anaweza kukupenda akakuoa na ukaishi nae ndani vizuri tu lakini bado ataendelea kutamani huko nje hiyo haimaanishi kwamba hakupendi. hao wenzetu wanaweza kuacha kupenda lakini hawawezi kuacha kutaman Fikiria zaidi hapa kabla hujafanya maamuzi ya kijinga.
56
82
545
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
9 months
0623623274 kama upo serious kweli.
@daktarimtalii
Dr. Rutasingwa, MD.
9 months
Check around your circle. Hakuna mtu akakuonea huruma.
Tweet media one
9
1
59
128
23
530
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
25 days
Unarudi kuzurula kwenye siku ya wananchi unakuta mwenye nyumba wako amekuwekea kichane Cha ndizi mlangoni, huyu Muhaya ataniua kwa Raha nyie.🥲☺️😍😍😍
Tweet media one
50
27
535
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 years
Alhamdulillah Yarab🙏 +1🎉 26 looks good on me
Tweet media one
87
28
485
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 months
Wiki ya mitihani maLegend wanasoma kwenye daladala. swala ni Lile lile ng'ombe ananenepa siku ya mnada na anauzwa.😂😂😂
Tweet media one
99
55
527
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 years
Mtu anakutaka unampa muda wa kumchungza taratibu alafu sku unaamua kupendana nae unakuta uvumulivu ulimshinda amependana na mtu mwngne khaaa😖 Aya pendaneni Kila la kheri 🙌
83
20
507
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
6 months
Nini kinapelekea ujenzi wa hivi, Ni majirani kushindwa kuelewana au ndo hawataki shobo..?😁
Tweet media one
102
37
501
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 years
Jumaah Mubarak From us 2 u ✨
Tweet media one
Tweet media two
60
16
468
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
17 days
Mchungaji Hananja anasema " Wapumbavu wanajiita wachawi walileta njiwa mwenye barua kwangu nikamchinja nikala, wengine wakaja kuvunja Nazi uwanjani kwangu mchana kweupe nikaikuna nimeunga samaki nikala na wanangu na nipo mpaka Leo" 😂😂😂
19
33
506
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
9 months
Ngoja Leo niwasimulie hadithi yangu ya kutisha kidogo, Mimi nimesoma shule za msingi 5 hizo zote nilikua nahamishwa na zingine najihamisha mwenyewe, sasa 2007 nikiwa darasa la sita Aunt yangu alinihamisha shule nimfate kijijini kwake alikopangiwa Aunt alikua mwalimu wa shule ya
48
49
495
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
10 months
Tunashukuru sana Serikali ya awamu ya sita Jana tumevunja danguro lingine Lupaso 💚💛💚💛
59
120
490
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
11 months
Hii App ukidate na mtu then mkaachana ni kisanga, though wachache tuliweza ku survive Kuna watu wanachukulia ku break up ni ugomvi unatakiwa kuwa na moyo wa Remmy Ongala kabisa.😆
93
59
490
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
Mfalme naomba gusa miguu yangu nibarikiwe.
Tweet media one
@Heradkj
Herode the 3rd.
1 year
Jamani inatosha sasa!
578
491
4K
54
20
476
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 years
Ongeeni sauti zenu halisi,mtajikojolea🌚
49
17
471
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
16 days
Sio wote wanaopinga upuuzi ni Wafuasi wa Chadema wengine hatuna hata Kadi za chama chochote lakini hatuwezi kukubali kila takataka. Na hatuwezi kununulika kwa vijisenti Senti vya kulipia bill za Luku na dawasco.
28
91
492
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
11 months
Jobless Nile ndizi Kuku nilale.☺️🙂
Tweet media one
75
30
484
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 years
Twitter Madaktari,hivi nini kinasababisha mtu akiamka asubuhi macho yanakuwa mekundu?
Tweet media one
103
21
463
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
6 months
Nakumbuka niliwahi kuachwa nikalia sana, nilibembeleza mpaka kamasi ya mwisho🥹 Nilisahau pochi na baadhi ya vitu nyumbani kwa muhusika nikaomba anitumi, akatuma then boom after two days ananipigia kwenye pochi yangu alikua anafanyia saving kulikua na hela ko akaomba kama.....
90
50
472
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
9 months
Nakumbuka mwanangu tulimpa jina kabla hajazaliwa baadhi walishangaa lakini baba yake alisema huyu ataitwa Albert tu..."nataka aje kuwa kama Albert Einstein" miaka imepita sio kwa uwezo wetu,Leo hii Albert wangu ni mzuri sana kwenye mathematics Jamani GOD thank you 🙏
39
49
466
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
6 months
Wala huitaji kuzunguka zunguka Mahiwangu.☺️😂😂😂
Tweet media one
39
48
465
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
11 months
Jobless mwenzangu umekula..?
Tweet media one
58
30
448
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 years
9 September +27 yrs today Alhamdulillah 🎉 Allahumma inni as'aluka al afiyah 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
101
44
438
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
14 days
Konda anasema "Mliokaa wote naomba mnipe, acheni kusingizia m'mekaa vibaya mbona wenzenu wamesimama na wamenipa vizuri tu" Gari Zima watu wanacheka kiswahili kina tafsiriwa sana.😁😂😂😂
37
44
452
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
9 months
Chuck Norris ☺️😎
Tweet media one
73
47
432
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 month
Watoto wa Daslama wanakupita shwaaa hawasalimii, ukajifanya uAfrica umekukolea ukamuamkia "Shikamoo" Anajibu Marahaba.🤣🤣😂
26
42
448
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 month
Kama Kuna kaka au dada mumejiweka kwenye situation ya Urafiki na kuheshimiana zaidi, Jitahidi Usimtongoze unaweza kupoteza vitu vingi vya msingi na kujishushia heshima mliyotengeneza kati yenu, Acha mapenzi ya flow yenyewe tu kama imepangwa nyie wawili kuwa pamoja *USIMTONGOZE*
82
66
430
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
11 months
Bodaboda amekoswa koswa kwenye barabara ya mwendo Kasi hapa magomeni Mikumi, dereva wa mwendokasi ameshuka amemtia vibao vya kwenda plus kelebu moja matata😂😂😂 alitaka kutonesha binzari nyekundu asubuhi asubuhi.
41
34
424
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
10 months
😂😂😂😂
Tweet media one
84
45
414
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
9 months
Nimeyaona magari ya mwendo Kasi mapya Tazara pale, aiseeh ni mazuri sana though ni madogo.🙂
56
33
420
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 months
Kazini umeambiwa kuripoti ni saa mbili kamili, wewe unakuja saa moja kamili unataka wenzio waonekane hawapo serious au unataka kuwagombanisha na boss...?🌚
48
42
424
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
7 months
Hata kama age is just a number,ndo mwanamke 1974 na mwanaume 1998 kweli...!!🥺
55
35
419
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
5 months
Kuna tofauti kati ya TIGOPESA na Tigopesa.😂
75
51
408
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 months
Mnawezaje kudate na mtu unafanya nae kazi pamoja..?🥺
55
33
416
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
Kuna namna nashindwa kuongea ila Mungu asante sana kwaajili huyu Kaka,sijui kwanini hukumleta siku zote hizo 🥹dia GOD I'm speechless 😭
49
12
413
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 months
Hakuna watu wanaishi maisha magumu kama wanafunzi wanaosoma shule za serikali Dar. 💔
20
32
414
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 months
Licha ya mambo yote magumu Alhamdulillah Nina kijana mwenye miaka 31 anaenipenda na kunivumilia sana.😍❤️ Grateful.🙏
38
53
407
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
9 months
Niolewe sasa nikafue suruali za vitambaa za yule afisa na kumsafishia viatu vyake vya mchongoko afu nizae mashost zangu na Vijana tumfilisi.☺️
36
39
400
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
6 months
Namna nyingine ya kujilinda na wezi wa majumbani.😂😂😂
Tweet media one
72
46
397
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
10 months
Darasa la nne wanafanya mitihani yao ya taifa Leo Mwaka gani ulifanya mtahani wa darasa la nne.? Mimi 2005.🙂
166
25
404
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
4 months
Donnie Yen.🙂 甄子丹 😎
Tweet media one
81
66
401
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
8 months
Toto la TAMISEMI 😆😂😂
Tweet media one
39
16
388
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
9.9.1995 Hello 28 ☺️ Greatness 🙏
Tweet media one
Tweet media two
119
62
392
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 years
Kama hujawahi date mchaga... hujawahi kupendwa😎 hawa watu wanajua kupenda bhana shot out Kwa mchaga wangu Nakupenda, Nakupenda,alafu Nakupenda tenaa 😍😍😇
67
24
383
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
Nikilikumbuka haya mapenzi mwili mzima unaishiwa nguvu🥹🥲😭
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
46
21
381
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
11 days
Shuka la @YoungAfricansSC 💚💛🔥🔥🔥Timu itaniua kwa kisukari hii.☺️
Tweet media one
43
28
395
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
28 days
Nimejificha sana Leo Bora tu niseme Mimi ndo yule jirani wa Msaki.😂😂😂 @raphyrodrick
Tweet media one
59
38
394
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
10 months
😂😂😂😂Nimecheka sanaa.
53
46
390
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
3 months
"Konda naomba msaada nafika hapo temeke nauli yangu imepungua" Konda :haya panda Kaka amepanda imefika wakati wa kutoa nauli anatoa mia.😂😂😂 Tupo tunashuhudia ugomvi mpka saizi konda anasema "nilikubali lakini hukusema kama nauli uliyonayo ni mia" abiria anasema sishuki.😂😂
49
33
388
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
4 months
Zamani nilikua nikiomba pesa kwa Baba yangu mfano elf 40 anakupa mara mbili yake, Afu pesa hiyo hiyo nikiomba kwa kaka zangu napewa nusu yake😁 siku hizi sasa nikimuomba Baba napewa nusu then kaka zangu wananipa pesa kamili.😂 Mambo mvurugano.
28
37
385
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
10 months
Hii nilizani ni Mimi tu peke yangu au zimenikataa kumbe tupo wengi.
@SharonMontana20
Mishy🇲🇫
10 months
Pole Sana Jitahidi Kujicontrol Tu my dear
Tweet media one
67
10
346
75
19
378
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
7 months
Upo kituo ambacho magari yanaanzia safari zake,umekosa siti unasimama na mtoto mgongoni kwanini usisubiri gari lingine.? Lawama zinatafutwa kwa nguvu sana.
47
36
382
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
20 days
Hii App ina watu wema wengi sana na hawataki kujulikana. 🤍
20
42
385
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
9 months
"Wanaume wawili mkigundua mko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mmoja, atakayeshinda na kufanikiwa kubaki na huyo mwanamke ndiye mwanaume dhaifu zaidi." @MaunduMwingizi
52
55
379
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 years
Usinune Kama hauna uhakika wa kubembelezwa.
26
28
355
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 month
Unaenda kwenye interview umejiandaa na Oral mwenyewe unakuja kule Paaaah, unakutana na Aptitude test unapigwa mamichoro Mingi Mingi kama unatafuta hazina za Wajerumani hivi, Oyaaah Sina akili hizo jamani mnikome.🥹😭
31
46
374
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
2 months
Umedate na watu saba ko katika saba wote hakuna mwenye tabia nzuri na mkaendana wewe tu ndo mkamilifu na huna kasoro. Fresh mwanetu tuendelee kuhesabu body count.☺️
25
45
373
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
9 months
Kwa heshima ya watu walonifata Dm huko naliacha hili hapa, "hakuna mtu yoyote wa kunipika humu Wala kunipangia maisha yangu" muwe na wiki njema wanangu sana 🫶❤️
30
31
360
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
4 months
Hivi mitandao ya simu ukomo wa kuweka pesa ni kiasi gani.? I mean Tigopesa, Mpesa,Tpesa,Halopesa na Airtel money.
33
32
366
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
1 year
Tweet media one
34
12
360
@BinLaaden__
White Dove 🕊️
5 months
Twita Uhamiaji, ukitaka kwenda Zanzibar afu kitambulisho umesahau nyumbani ila kwenye simu unacho I mean umekipiga picha pande zote. vipi pale kwenye kukata tiketi watakubali au kifuatwe tu nyumbani mambo yasiwe mengi.?🙂
51
37
358