Kuna wakati nilijikatia tamaa
Nikaona hii Dunia Haina jema na Mimi ,kiasi kwamba kila nililogusa Kwa wakati huo lilikua halikai sawa.
Nilitamani hata kuwa jambazi, nikatamani kutafuta pesa za manyoka
Kuna siku moja nilipata mwanga nikatoka huko na kulizika na Hali yangu🌄