Mange Kimambi Profile Banner
Mange Kimambi Profile
Mange Kimambi

@mangekimambi

Followers
270,819
Following
85
Media
472
Statuses
5,922

Dada wa taifa WhatApp +1-424-537-3057. Download Mange Kimambi App

Los Angeles, CA
Joined June 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@mangekimambi
Mange Kimambi
22 days
Hivi mara ya mwisho mtu kamuona huyu kijana au kuongea nae ilikuwa lini? I have a really bad feeling about this.
Tweet media one
225
466
6K
@mangekimambi
Mange Kimambi
24 days
I think nilisema kwa mara ya kwanza kabisa siku ambayo Bashite alirudishwa kwenye system niliwaambia giza limerudi napia miezi michache iliyopita niliwarudia nikawaambia kwa mara ingine, giza limerudi. Kuna walioniona mimi kichaa au naropoka. Jamani mi siongeagi tu ili
Tweet media one
458
432
5K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Huyu mtu yupo nani mzima ila yuko vacation anatikisa wezere. Kachukua livu yake ya mwaka. Na soon mtamuona. . Ila kwa vile mmemuongelea sana they are trying to create drama ambayo haipo.
Tweet media one
173
190
5K
@mangekimambi
Mange Kimambi
20 days
Tarehe 23 September 2024 ni siku ya kubadili maisha yenu kwa kufanya maandamano ya amani…….. . Kama dada yenu wa taifa, I have done my part. Nimepambana miaka na miaka kupigania haki zenu. Magufuli ilibaki kidogo aniue huku huku Marekani ila sikuogopa wala kurudi nyuma. Hata
459
658
4K
@mangekimambi
Mange Kimambi
15 days
Huyo mrembua macho asituletee mifano ya kipuuzi . Eti Trump
348
380
4K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
@Acyn He just lost whatever black men vote he had left… I swear Trump is a gift that keeps on giving to dems. LMAO….
168
134
4K
@mangekimambi
Mange Kimambi
1 month
🤔🤔🤔🤔
Tweet media one
236
456
4K
@mangekimambi
Mange Kimambi
7 days
MANGE KIMAMBI EXCLUSIVE: Najua wengi mlipata shock Ummy alivyotumbuliwa maana alikuwa bonge la shosti wa Samia. . Sasa ni hivi kilichomwondoa Ummy ni kwamba Ummy alirekodiwa akiongelea tabia za Samia na plans za CCm. Ummy alisema huyo maza ni mlevi kama walevi wengine na kwamba
Tweet media one
875
401
4K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Mnamfahamu huyo mwanamke anaetembea nyuma ya Rais??? Nitawarudia….
Tweet media one
Tweet media two
400
165
4K
@mangekimambi
Mange Kimambi
8 days
Hakuna binadamu asie na mapungufu. Kama Mtanzania ambae sina chama na wala sijali mambo ya chama ila najali demokrasia ya nchi naomba leo niseme huyu jamaa ni mwanaume…. . Mbowe ni kiongozi na ni mpinzani kweli. Again, narudia simaamishi kuwa hana mapungufu ila jamaa anajua
Tweet media one
343
455
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
15 days
Ndugu zangu nafungua website ya kukomboa taifa…. . Nafungua website maana siku hizi sina raha, nachamba serikali kwa wasiwasi na kwa adabu sababu natumia mitandao ya watu anytime naweza kufungiwa account. Kwenye website hakuna wakunifungia bosi ni mimi mwenyewe… . Sasa cha
351
399
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
15 days
Haki mpaka natetemeka kwa hasıra. Aisee hivi mmesikiliza kilichoongea hiko kimama leo? . Imagine ana compare mauaji ya wananchi kwa wananchi na maaji ya kiongozi wa upinzani yalitokea mchana kweupe, watu wakiwa wamebeba mitutu ya bunduki walimshusha kwenye basi mbele za watu bila
Tweet media one
465
334
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
13 days
Maandamano ya amani ni haki ya kila Mtanzania na yamelindwa kwenye katiba ya Tanzania……….. : Tarehe 23 September Watanzania mmepata nafasi ya kubadilisha mwelekeo wa nchi yenu……..
Tweet media one
197
497
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Mnaoweka matangazo kwenye posti zangu mjue nimeanza kutembeza block… Mnatuharibia flow ya comments…. Hii ni page ya taifa, iheshimiwe. Pia machawa wa sagaji mnatembezewa block vile vile….
Tweet media one
463
144
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Moja ya sababu zilizofanya nikaacha kuandika hapa X ni sababu nilitaka kuwaonyesha Watanzania kuwa Mtanzania mmoja tu ndio anaefanya serikali inafungia mtandao wa X. Nilitaka kuwaonyesha kuwa serikali inaogopa mtanzania mmoja tu kiasi cha kufungia mtandao wa nchi nzima.
Tweet media one
370
160
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
@krassenstein I don’t think outcome on X will change. X is MAGA country.
313
36
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
BREAKING NEWS: Samia ame double mishahara ya diplomats. Kwa mfano hapa Marekani diplomats kutoka TZ walikuwa wanalipwa $6,000 per month , hiyo ni nje ya marupurupu na pia wanalipiwa cost zooote kama day care za watoto etc. Kuanzia mwezi July diplomats hawa sasa wanalipwa $14,000
Tweet media one
490
398
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
13 days
Tunawaomba msikimbie nchi tena. Jamani msikimbie tena. Mkikimbia tumekwisha… . Tunawaombea Mungu muwe strong mpambane mpaka mwisho ila msikimbie nchi… . Jiwekeni tu tayari kisaikolojia kuwa kuanzia sasa mtapitia mapito mazito kushinda kipindi cha Magufuli maana Samia kesha
Tweet media one
287
383
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
8 days
Aunty Lulu kafunguka… Watakavyomsaka dada wa watu sasa, mfyuuuu
214
639
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Angalizo kwa watanzania woote, Kwanza soma posti niliyoandika kabla ya hii. (posti niliyopin hapo juu) Pili jua kuwa kila atakachoongea Bashite kwenye hiyo press conference katumwa na huyo mrembua macho… it’s all part of her plan to gain absolute power by gaslighting
Tweet media one
239
201
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Mnakumbuka kipindi cha Magufuli, mwanzoni kabisa tulikuwa tunasema Bashite kamloga Magu kwa jinsi ambavyo Bashite aliweza kumcontrol Magu na Magu alikuwa hasikii haoni kwa Bashite. Kwenye kipindi hiki ile nafasi ya Bashite kwa Rais anayo huyu jambazi anaitwa Waziri Salum. Kwa
Tweet media one
440
153
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Huyu Waziri ( msaidizi wa Samia) Anajiweka kwenye mitandao ya jamii kama mtu wa busara, Mshika dini na mwana familia lakini vitendo vyake ni opposite na hivyo vitu anaandika. Ametengeneza public persona tofauti. Anajitia anafuatilia dini wala hana lolote. Ushirikina, wizi,
Tweet media one
441
152
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
1 month
Inaumiza kama wananchi kuona mama yako anauza rasilimali za nchi wa Waarabu. Inaumiza kuona mama yako anavyowanyanyasa wamasai ili auze ardhi yao kwa Waarabu. Inaumiza kama wananchi kuona jinsi mama yako anawanyanyasa viongozi wa upinzani na huku aliingia madarakani kwa gia za
@CrownMediaTZ
Crown Media
1 month
“Inaumiza kama mtoto kuona mzazi anarushiwa maneno mitandaoni na katika kipindi ambacho muda wake wote amewekeza kwa Taifa, muda mwingi anakuwa mbali na familia, lakini ni Mtu imara sana namfahamu hajawahi kutetereka kwenye hilo”, Wanu Hafidh Ameir kwenye #KasriLaKikeke
Tweet media one
257
67
1K
347
345
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
12 days
This video broke my heart… Kweli Tanzania tumerudi hapa? Hii yoote ni uchu wa madaraka wa mtu…. . Tarehe 23 September ni siku ya ukombizu…
138
383
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Part 2. Naendelea na vita nayopigwa sasa hivi na Abdul na mama yake na serikali nzima ya Tanzania. 2. Wamenifungulia kesi ya money laundering huko Tz, na wameitumia kesi hiyo kuitaka FBI kunirudisha TZ niface justice. Kwanza walijaribu kutumia kesi ya zile connection ila im
Tweet media one
423
205
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
22 days
Kifo cha huyu mzee kilikuwa na nia moja tu, kuwatia uwoga viongozi wa upinzani ili wakimbie nchi tena kuokoa maisha yao. Kifo cha huyu Mzee nia kuu ilikuwa ni kurudisha woga tena kwenye nchi ili kila mtu akae pembeni kama tulivyofanya kipindi cha Magufuli…. Samia anajaribu
Tweet media one
282
350
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
PART 1. Wengi mnaniuliza why niko kimya, wengine mnarudia kuniambia nimelipwa na CCM na ndio maana nipo kimya…… . Hapana sijalipwa chochote ni mambo mnahisi kama mlivyohisi kipindi cha Magu nilipoamua kukaa kimya….. . Sasa ni hivi nataka kurudi kufanya siasa upya ila under
Tweet media one
543
387
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Kama nilivyowaambia before, Samia anafatisha kila kitu kilichomuwezesha Magufuli kuwa dikteta na kumfikisha sehemu ambayo hata katiba ilikuwa inaenda kubadilishwa. Kila mtu aliemuwezesha Magufuli kupata absolute power anarudishwa serikalini na kila mtu ambae alimpinga Magufuli
Tweet media one
345
200
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
You won’t believe upuuzi na utumizi mbovu wa resources za nchi. Ndo nimepokea habari sasa hivi kuwa baada ya kile kichambo cha April ilianzishwa kamati ya kudili na mimi na pia kutafuta ni nani ananilipa ili nimtukane Raisi. Kamati iko made up na 1. Usalama wa taifa 2. TCRA
Tweet media one
550
173
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Leo kateuliwa mtu ambae kafariki tangu tarehe 4 🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️…. Ndo mjue hiyo serikali inaongozwa na ma zero brain. Nimechoka kabisaaa…. Imagine serikali haijui mtu alieteuliwa kafariki , hawa ndio wataleta maendeleo?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
381
235
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Haki hii kazi ya kuchamba serikali na viongozi wake huwa inanipa amani ya roho ya furaha maana I know I’m making a difference in the world. Ile kazi ya umbea huwa nafanyia njaa tu.. . . Hiki kinyimbo cha shogangu king’ang’a nakipendaga mnoooo…..
375
194
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
7 days
Anachoweza ni kutishia wananchi wasiandamane basi…….
Tweet media one
251
243
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Either kesho au next few days Daudi Bashite atafanya press conference ambayo itarushwa live kwenye media. . Bashite anakuja kudai kuwa alipewa sumu na watu huko CCM ambao wanampinga Samia. Hii ni plan ya Samia ya kuanza drama kama za kipindi cha Magu ili kuwa destruct wananchi
Tweet media one
349
245
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
18 days
Matajiri wa Tanzania, someni hii kwa makini…… Anzeni kuondoa pesa zenu Tanzania. Nawarudia anzeni kuondoa pesa zenu Tanzania. Balaa la tokomozea matajiri linarudi upya. Why??? Samia amejaribu kila kitu kufanya Watanzania wamkubali ila imeshindika , wananchi wamegoma. Kabaki
Tweet media one
518
308
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
1 month
Machozi yamenitoka listening to this, haki nimelia machozi 😭😭😭😭…. Watoto wa Wamasai wanalala mbugani leo siku ya 5 ila Rais ndo kwanza anapanda stejini anachamba… . Jamani roho inaniumaaaaa. @ccmtanzania Huyu mama hana utu, sio wa kumpa nomination in 2025. Hafai.
173
407
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
19 days
PART 2. @ccmtanzania Nawaita mara 3. CCM mnaiingiza nchi kwenye giza mara ya pili, CCM mnauza nchi kwa mara ya pili. Mara ya kwanza Mungu aliingilia kati akatupigania. . . Wazee wa CCM, Jakaya, Makamba, Warioba na wengineo ni hivi hivi mlitulia na kumwangalia Magufuli
Tweet media one
316
338
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
11 days
Mimi bado nalia na hawa wazee wa CCM. I’m 100% sure hawasapoti kinachoendelea Tanzania. . Hivi hawa wazee wanne leo wakijitokezea na kutangaza kuwa na wao watakuwa kwenye maandamano Jumatatu hivi mnajua impact yake itakuwa kubwa kiasi gani? . Tatizo ni kwamba hawana ushujaa
Tweet media one
353
264
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
6 months
Juna au Julius wa Kwenye voicenote alietumwa kupanga mauaji yangu ndio huyu.
Tweet media one
Tweet media two
262
136
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
23 days
Si bora awe amelala na mume wake. Huyo mzee hajaona uchi wa huyo mama miaka sasa… Mume bwege huyo.
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
24 days
Wakati Rais @SuluhuSamia amelala na mume wake leo usingizi mwororo, mama Ally Kibao hajalala akiomboleza msiba wa mumewe baada ya kuporwa uhai wake na watawala. Wakati Abdul na dada yake wanaendelea kufurahia uwepo wa baba yao, watoto wa Ally Kibao hawatokaa wamwone tena baba
Tweet media one
Tweet media two
61
224
1K
225
174
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
18 days
Watanzania amkeniiiiiiiiiiii…….. . Serikali ilifuta kufuta kesi ya Sabaya kwasababu moja tu, ilikuwa ni amri kutoka kwa Rais wa nchi. Hii ilikuwa ni direct order kutoka kwa Samia mwenyewe kuwa DPP afute kesi. . Samia alitoa order hii sababu aliona anamuhitaji Sabaya aje
Tweet media one
302
299
3K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Niwapeni tu za ndani, hakuna kipindi kuna ufisadi Tanzania kama sasa hivi. Ni hivi hakuna uwekezaji unaofanyika Tanzania bila kupitia kwa Abdul. Yani hakuna. Hakuna mwekezaji anawekeza kabla ya kupitia kwa Abdul. Abdul anachukua chake kwanza ndo dili la uwekezaji linapita.
Tweet media one
585
177
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Jamani wapotezeeni wapuuzi wanaosema eti nitarudishwa Tz. Hakuna wa kunirudisha TZ. Siku nikirudi Tz nitarudi kwa raha zangu mwenyewe ila sio kwa nchi ya Marekani kunikabidhi kwa Samia na mwanae Abdul. Hiyo haitokaaa itokeee… . Wanajifurahisha hao. Na kama kumtukana maza wao,
Tweet media one
271
138
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
18 days
Watanzania swala la kutishiwa na polisi kuwa msiandamane sio geni na wala hakuna mtu aliedhani watatoa kibali. . . Hakuna serikali ya kidikteta duniani iliyowahi kutoa kibali cha maandamano makubwa ya kupinga serikali. Huko Kenya hawapewagwi vibali pia. . Mabadiliko kwenye nchi
Tweet media one
278
491
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
13 days
BREAKING NEWS: Kimama kimekimbia mkutano wa UN (UNGA) and instead anamtuma Majaliwa aje kumwakilisha….. . Haki maisha yanaenda resi mnoooo, huyu mama aliingia madarakani kwa gia za kuifungua nchi leo anakimbia mikutano ya kuifungua nchi sababu ameona ni muhimu zaidi yeye
Tweet media one
388
245
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
8 days
Kila mwezi kuwe na siku ya maandamano ya amani Tanzania. Mpaka hapo tutakuwa tumeshinda. . Mtalii gani ataenda nchi ambayo kila mwezi polisi wamejaa barabarani na mitutu kuzuia maandamano? mwekezaji gani anawekeza kwenye nchi ambayo kila mwezi ni mitutu barabarani? Mpaka
Tweet media one
355
299
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
19 days
PART 1. Huyu baba hana muda mrefu CCM….. Naombeni msevu hii posti na nitawaambia kwanini hana muda mrefu. . Nchimbi ni old school CCM, nikisema old school namaanisha kwamba Nchimbi anazile beliefs za kwamba CCM ina hati miliki ya nchi ya Tanzania na haki ya kutawala milele ila
Tweet media one
258
325
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Kuna watu humu X nawaonaga wana akili ila sometimes huwa hawaoni the bigger picture kwenye issues Blindly wengi walifurahia Nape na January kutumbuliwa. Wengine wakafurahia na Kinana kujiuzulu. Guys hii kitu ilitakiwa kuwafanya Watanzania mpanick mnooo instead mkawa mnafanya
Tweet media one
Tweet media two
387
236
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Part 1. Nilikuwa nataka kusubiria account yangu irudi ndio niwape story ya kilichonikuta toka niwaambie Watanzania ukweli kuhusu Mama Samia…. . Jamani kuna mengi sijui hata naanzia wapi. Kama mtakumbuka nilimchamba Samia kama wiki na kitu hivi. Kuanzia April mwanzoni mpaka
Tweet media one
324
229
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
10 days
Kesho tukaibadili Tanzania……. . Hakuna watu wenye maisha magumu kama askari polisi au wanajeshi. Trust me napowaambia wao pia wanatamani kuandamana ili hawana pa kuanzia. Kesho Watanzania mkiandamama kwa uwingi wenu mtaona jinsi polisi watakavyotulia.
Tweet media one
186
346
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Jamani Bashite karudi mjini. Nyambaf, live zote za mainstream TV zimekuwa cancelled sababu ya posti zangu kabaki anarushwa live na online media….🤣🤣🤣 . . Hapo msimuone Bashite yuko calm, amedata hapo maana plan yao yooote imeharibika🤣🤣🤣🤣🤣… . Kuna watu huko CCM leo
Tweet media one
Tweet media two
226
169
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
5 months
Waambieni walioandamana leo nimeposti hii sasa hivi. Wakaandamane tena na kesho. This time wakanishtaki kwa Biden kabisa. I’m ready. Endeleeni kunichokonoa tu nikilipuka sitaki lawama
Tweet media one
Tweet media two
632
153
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
19 days
Ulitaka tu nikuposti, kuma kibuyu wewe…. Hivi ushaona kuna uchafu wowote unaotokaga Tanzania kuja Los Angeles na ukapata nafasi ya kuonana na mimi? Huyo mtoto wa Rais mwenyewe alitumia nguvu ya hali ya juu kuonana na mimi. Ilibidi awatumie watu ninao waheshimu kupita maelezo,
@MwijakuBurton
mwijaku
20 days
Leo nimealikwa na dada yangu @mangekimambi kwenda kula wali na maharage . Huu ndio uzalendo nilio kua nautaka . Asante dada see you sooon .
Tweet media one
134
43
2K
498
150
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Samia hakuna unachoweza kumwambia juu ya Abdul. Hapo ni 2018 Abdul akiwa mume wa mtu alipomuoa mdada anaitwa Jacky ambae alizaa nae huyo kwenye picha na mama yake Samia akaenda kukata viuno harusini, na kutunzwa juu. Yani anachotaka Abdul ndio Samia anachofanya. Imagine hapo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
478
141
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
10 days
Ni kwa heshima ya dada yangu Loveness nilienda New York n kupiga picha na mwanamke ambae leo amegeuka kuwa mtekaji na muuaji wa Watanzania wanaompinga. Na simlaumu dada yangu sababu na mimi ni mtu mzima na nilifanya decision yangu mwenyewe kumsapoti Samia nilidhani kwa vile ni
Tweet media one
Tweet media two
299
233
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
13 days
Dada wa taifa hii ni leo.. wamasai wa monduli wameandamana.. wamefunga barabara wanataka kuongea na Rais.. na hii njia wataliii wengi ndo huwa wanatumia Makonda akaja na watu wa usalama wakakataza watu kurecord video
121
316
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
10 days
As you all know I’m not a fan of Nape Nnaye and I have never been ila kama mtakumbuka vizuri siku Nape na January walipoondolewa nilikaa kimya kama sipo, nikawa nawachora watu humu X mkishangalia na kumcheka Nape. Haki nilipata shock kidogo kuona wale wanaojiita ma genius wa nchi
Tweet media one
253
182
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
1 month
Ndugu zangu nimechekaaaa leo, kimama kifupi kinene kimeona bora kichambane tu hakuna namna… NAKOJOAAAAAAAAA🤣🤣🤣🤣🤣 . Ukiona Rais amefika stage ya kuchambana na wananchi we jua amekubali kimoyo moyo kuwa hakubalikiiiiiiii na wananchi. Amekubali nchi imemshinda kaona bora
487
248
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
15 days
Samia hana tofauti na Magufuli, actually unaweza kusema Samia ni more dangerous than Magufuli, why? Magufuli was an open book, what you saw is what you got! Hakujaribu kuficha ukatili wake which means ilikuwa ni rahisi zaidi kudili na Magufuli ila Samia is a sneaky evil person,
199
297
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Hiyo ndio ripoti ya siri kuhusu RC aliemlawiti binti… Binti kashurutishwa na serikali na kupewa pesa mpaka kafuta kesi. Ninazo picha za binti akiwa ametoka kununua iPhone nne. Sasa sijajua sheria za kumwanika victim wa sexual assault zikoje…. Eti wanaweka na machata ya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
363
180
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
1 month
Unajipendekeza bure tu kaka yangu, the only reason hujatumbuliwa same time kama wenzio ni ili kutokuleta taharuki… Ila eventually wewe pia utawekwa benchi….
@ridhiwankikwete
Ridhiwani Jakaya Kikwete, Ndc
1 month
Kamanda wa Vita!!!! Chapa kazi Mama Tanzania.
Tweet media one
195
61
728
147
141
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
He humu X kumbe mnalipwa na Elon kwa kupiga spana tu na hamsemi? Nimeamka nakutana na notification naambiwa nitaanza kulipwa kwa kuposti humu… NYIEEEEE!!!
Tweet media one
127
103
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Watu wengi wananisifia kuwa ni bora siku hizi namkosoa Samia bila matusi. . Nyie watu mnaosema hivyo sijui mnawaza nini? Hivi mnadhani huwa nakosoa serikali kwa matusi sababu mi chizi au vipi? Huwa nakosoa kwa matusi sababu that’s the only way ya kukosolewa CCM huwa wanaelewa…
Tweet media one
263
145
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
@JoeBiden Wow, we Love you Biden, thank you for doing what’s right. You really Love your country. Wow. Dems? Now let’s go kick Trump’s ass!!!
369
42
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
15 days
Ukisikiliza speech ya Samia ya leo huwezi kuwa na doubt yoyote kuwa yeye ndio aliewatumia hao watu…. . Na kama upinzani wasipokimbia nchi tena hili halitokuwa tukio la mwisho kwa upinzani. Tuko hapa! Mtakuja kuniambia. Samia anachotaka ni kwamba upinzani wakimbie, wamsusie nchi
150
334
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Hela za walipa kodi hizo. Hapo ndio wala sijaanza kazi, bado nawagusa gusa tu
Tweet media one
259
136
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Part 5. Najua woote mnasubiria details za mkutano wangu na Abdul, mtoto wa Rais wenu. . Kwenye ule mkutano Abdul aliniomba niwaeleze followers wangu kuwa ule mkataba wa DP world una manufaa makubwa kwa Watanzania na kwamba mama kaingia mkataba ule kwa manufaa ya watanzania.
Tweet media one
367
162
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
ni wodi ya wazazi Temeke, video ni ya last week. We made sure no patient is recognizable in the video for their own privacy, except for that nurse ambae hakuwa akiwasaidia hao wamama. Wamama hata kulala hawawezi, inabidi wakae wima kama hivyo maana wako 3 mpaka 4 kwa kitanda
274
195
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Huyu ndio demu aliehongwa 100M na msaidizi wa Rais wa Tanzania, Waziri Salum Demu anaitwa Pamela. Hapo mnapoona ni kapostiwa kwenye page ya mke mhusika. Yes jamaa ni mshenzi wa kiasi hiki. Side chick anakuwa comfortable mpaka anaenda kununua nguo kwa mke mtu na mke hajui
Tweet media one
422
110
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
13 days
BREAKING NEWS: Huyu muuaji na mtekaji amekimbia mkutano wa UN (UNGA) and instead anamtuma Majaliwa aje kumwakilisha….. . Haki maisha yanaenda resi mnoooo, huyu mama aliingia madarakani kwa gia za kuifungua nchi leo anakimbia mikutano ya kuifungua nchi sababu ameona ni muhimu
Tweet media one
178
209
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Kesi ya money laundering walionitengenezea huko Tanzania mpaka kunifungia account zangu za bank na kujaribu kuwajaza FBI imebuma na kuangukia pua sasa wanajaribu kuniletea hiyo kesi huku Marekani. . Ila hawa mazero brain. They really think I will fall for this sillyness….
Tweet media one
322
104
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
23 days
Hizo SGR zenyewe zimeshamshinda kuziendesha…. Ila mwambie kuuza mali asılı za nchi kwa Waarabu, weeee hapo chap ana perform . . Dada Mange Hapa ni morogoro tren ya Abilia imeshindwa kufanya safari, kuelekea dar ,mwanzo ilikuwa imepangwa ifanyike saa 16:20, lakin mpaka muda huu
233
228
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Again kama kawaida Watanzania wanapeleka focus kwa mtu ambae ni replaceable, mtu ambae anafata orders tu….. . There’s no way huyu Awadhi au jeshi la polisi linaweza kuwanyanyasa upinzani without direct order kutoka kwa Rais wa nchi. Kumbukeni kuwa siku ya kwanza tu Samia
Tweet media one
187
209
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Dada wa taifa bora leo umetuletea huyu tapeli wa taifa Kashoba. Hassan anamuoa Sheryly Jumanne Kishimba, na hapo ka target pesa tu. Jamaa ni tapeli wa mapenzi kama Kitenge tu. Ukaribu wake na Mchengerwa ni zaidi ya uchawa. Mchengerwa kampa kazi anazunguka kusikilizia mtu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
202
125
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
All I know is dharau za serikali ya CCM, dharau za hiko kimama kwa watanzania kuna siku zitakwisha na hiyo siku inakuja. Trust me… . . Naamini soon Watanzania wataogopewa na kuheshimiwa na serikali yao. Naamini soon Watanzania wataipata katiba mpya, naamini soon hali ya maisha
156
333
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
12 days
I have my accounts back….. Pyeeee
128
91
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
6 days
Haya jamani, narudi kwenye umbea kidogo ili nipate hela. Nitarudi tena kwenye siasa, actually nitajaribu ku mix. Sasa sio niwe busy kidogo na umbea then muanze kunichamba oooh kalipwa na chura kiziwi… Maana huwa ndo zenu, nikisema nifanye umbea kidogo ili watoto waende chooni
169
89
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Kinachoendelea huko kwenye magroup ya UVCCM. Hivi hiyo narrative yao kwa kwamba kuna watu wananituma wameitoa wapi? Alafu huwa hawawataji hao watu wanaonituma au wanasubiri mpaka wamrudishe Musiba mjini ndio awataje hao wanaonituma??? Maana alianza Bashite kuwa natumwa na
Tweet media one
Tweet media two
280
127
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Part 4. Bado naendelea na vita nayopigwa na Abdul na mama yake kwa kuitumia serikali ya Tanzania. . 4. Kwa mlionoti kama wiki 3 hivi zilizopita website zooote za ngono TZ zilifunguliwa pamoja na App yangu. Zikawa zinapatikana bila VPN wala nini. Zilifunguliwa kWa ajili yangu.
Tweet media one
215
141
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Haya itaneni ndugu zangu, Mnaikumbuka hii project ambayo Magufuli aliishiia katikati akaachana nayo??? Hii project ilikuwa estimated worth about $650 million. NSSF waliingia mkataba na jamaa anaitwa Akbar ambae ndo alikuwa mmiliki wa hii ardhi. Sasa baada ya Samia kuchukua
Tweet media one
308
147
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Sorry to be the bearer of bad news, naomba niongeze kuwa mbali na hizo $14,000 ambazo anawapa watu wake kama diplomats pia wake au waume za hao diplomats wanalipwa 1/3 ya mshahara wa diplomat. Kwa mfano kwa sasa mke wa Diplomat ambae mumewe anapokea $14,000 per month , serikali
Tweet media one
225
219
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Wakati wananchi hamna ajira, hamna umeme, hamna maji, hamna huduma za afya, umaskini mpaka matakoni, ona mkwe wa Rais anachanga 20M kwenye harusi ya chawa wake…. Wao wana hela mpaka hawajui wazifanyie nini, huku wananchi kununua bando tu shida . MC wa shughuli atakuwa huyo
Tweet media one
Tweet media two
269
139
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Kudadeki walahi, embu ngoja kwanza, ni mkopo tu umefanya kauza sehemu ya bahari ya hindi na madini? Mkopo ambao inabidi tuurudishe anyways?? Sagaji la taifa katika ubora wake……
@VOASwahili
VOA Swahili
4 months
Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
342
266
691
202
128
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Kuna mapya, kaeni mkao wa kula..
169
62
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Posti ya kusevu hii….. . Magufuli alipotaka kuongezewa muda wa urais alitumia wabunge wa chama chake na makada wa CCM. İn 2026 kelele za SAMIA aongezewe muda wa urais zitaanza kutoka kwa wasanii. Hawa kwenye picha pamoja na wenzao wengine ndio wataongoza agenda ya katiba
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
200
194
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Wow, the most unselfish act I have ever witnessed in my life time. We love you Biden. Thank you for putting the country first.
@JoeBiden
Joe Biden
2 months
Tweet media one
89K
181K
1M
204
90
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Just watched her Milwaukee rally. WOW!! She is going to be a problem. Ladies and gentlemen, this woman is going to be the next president of the United States of America…. #HARRIS2024 #HarrisKelly2024 #Kamala2024 #KAMALAHARRIS #Election2024
Tweet media one
245
78
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Haya ni maoni ya wengi au ? Nakojoaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
168
73
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
But she is not traveling to beg, she is traveling to find the highest bidder for the natural resources. The begging is just a cover. Hilo maza halisafiri kuomba omba kivile, linasafiri kutafuta wanunuzi wa mali za Tanganyika.
@lifeofmshaba
Think Different
4 months
Mfikishieni mama hii
Tweet media one
67
201
1K
100
146
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
13 days
Tanzania tulishaanza kusahau haya mambo ila ona mtu mmoja kaingia Ikulu kaona madaraka matamu, yeye na wanae wanatajirika sasa hataki tena kutoka madarakani na matokeo yake ndio haya…. . . Nawarudia Watanzania, niliwaambia mwaka jana mimi baada ya Bashite kurudishwa kwenye
Tweet media one
116
257
2K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Kikwete alikuwa karibu na maza kipindi maza kaanza Urais. Baadae walikuja kukorofishana baada ya Bashite kupeleka sumu kuwa JK kapanga mama asiwe mgombea wa CCM 2025. Samia ukitaka amchukie mtu ndani ya dakika mbili kamwambie flani hataki uwe Rais 2025. Na ndo kina Bashite
@muniydrik
Mbaruk Hamad
4 months
@mangekimambi Mara kikwete ndio anaongoza nchi mara Abdul tuwaeleweje?😃😃😃
14
0
18
309
110
1K
@mangekimambi
Mange Kimambi
11 days
Siku aliporudishwa kwenye system nilitoa onyo kwa nchi kuwa giza nene linaingia kwenye nchi ya Tanzania. Kuna waliosema naongea sababu simpendi… . Na msidhani Bashite ni mjinga kiasi cha kuongea hivi kwa kujiamulia tu. Ametumwa na Samia alete huu ujumbe…. . . Tarehe 23
117
174
1K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Tatizo Samia na serikali yake ni cowards, wanadai wanaifungia Twitter sababu ya porn, haya watueleze why waliifungia clubhouse?? Na club house kulikuwa na porn?? Clubhouse walikuwa wanapigwa spana zaidi ya hapa Twitter (x). Ndio wakaamua kuifungia. Mimi huwa nasikiliza sana
Tweet media one
136
150
1K
@mangekimambi
Mange Kimambi
6 months
Jamani amkeniiiiiii, @ccmtanzania wakoserious na kunitoa uhai. Huyo mnaemsikia hapo anaitwa Julius Deckasoni almaarufu kama Juna huko UVCCM. Huyu kijana aliwawahigi kutaka kugombea nafasi ya mwenyeketi UVCCM baada ya James Henry kutolewa sijui ilikuwaje akahairisha kugombea.
230
158
1K
@mangekimambi
Mange Kimambi
2 months
Huyu mama mkimuona kapostiwa kwenye nchi fulani jueni tu kuna jambo ambalo haliko kwenye best interest of the country. Kama alivyopostiwa Dubai- Burj Khalifa watu wakasifia kumbe malaya mzee alikuwa keshauza bandari kwa waarabu…
@ItsKamala
Kamala Dickson
2 months
Tanzania 🇹🇿 in Zimbabwe President @SuluhuSamia #SADCSummit2024
Tweet media one
51
30
167
161
117
1K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Kama mnavyoona hizi email ni wiki baada ya kuwaambia ukweli kuhusu mama Samia…. . Yani exactly 1 week baada ya vile vichambo, account zangu za CRDB zikkawa frozen na wakanifungulia kesi ya money laundering. . Yani ni hivi ni kama kıpindi cha Magu alivyokuwa anatumia kesi za
Tweet media one
Tweet media two
300
119
1K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
This fake crisis is being created na serikali ya Tanzania ili kuleta sababu ya kufungia tena twitter. Wameshawalipa machawa wao ili watrendishe hii kitu…. Ni hivi huku twitter mmewazidi nguvu wa Zanzibary wanaoitawala na kuiuza Tanganyika. Kama nilivyowaambia before tunarudi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
304
143
1K
@mangekimambi
Mange Kimambi
4 months
Part 3. Lawyer wangu though his contacts huko FBI ameweza kufind out how serious my issue is. . Serikali ya TZ inawatishia FBI kuwa kama wao wanagoma kuwapa wahalifu wanaotafutwa Tz kwa kesi kubwa başı na wao kuanzia sasa wataacha kuwapa FBI wahalifu wanaowatafuta kutoka Tz.
Tweet media one
201
120
1K
@mangekimambi
Mange Kimambi
6 months
Ndani ya masaa 5 page yangu imefungwa na kufunguliwa mara 3.Instagram wananitumia hiyo email ya kuniomba msamaha kila wanapoifungua. . Something fishy is going on, even instagram can’t figure it out. Nimewaambia instagram wacheki logs kuona employee anae access acc yangu.
Tweet media one
260
94
1K