Wakati wananchi hamna ajira, hamna umeme, hamna maji, hamna huduma za afya, umaskini mpaka matakoni, ona mkwe wa Rais anachanga 20M kwenye harusi ya chawa wake….
Wao wana hela mpaka hawajui wazifanyie nini, huku wananchi kununua bando tu shida
.
MC wa shughuli atakuwa huyo