ItsKamala Profile Banner
Kamala Dickson Profile
Kamala Dickson

@ItsKamala

Followers
57K
Following
2K
Statuses
73K

Former Chair SADC Youth Parliament @sayof_SADC Alumni Global Youth Ambassador @theirworld |Alumni @IRIGenDem | Former EAC Youth Ambassador | @eac_yap| SDGs

Global Citizen
Joined July 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@ItsKamala
Kamala Dickson
6 years
Ukiwa Kijana kumbuka 1.Heshimu watu usimdharau mtu 2.Usipende mafanikio ya haraka 3.Penda Kujifunza Vitu vipya 4.Usiwe na mademu wengi wanakula muda na rasilimali 5.Tafuta kujitegemea usipende kuishi kwa kumtegemea mtu 6.Anzisha kisehemu chako cha uzalishaji uongeze kipato
111
836
2K
@ItsKamala
Kamala Dickson
13 minutes
RT @LSFTanzania: LSF imeendesha mafunzo kwa Wasaidizi wa Kisheria kutoka Shinyanga chini ya Mratibu wa Kanda, Bw. Henerico Masasi, ili kubo…
0
3
0
@ItsKamala
Kamala Dickson
20 hours
RT @iluminatibot: The US government issued an official report admitting that COVID 19 was man made. That means it was mass murder.
0
19K
0
@ItsKamala
Kamala Dickson
23 hours
Uchaguzi wa AU Mzee Odinga akiangalia vibaya anatupwa Nje, SADC Imetoa Maelekezo ya kumsuppost Mgombea wao, Ndani ya SADC walikuwa wagombea 2 ila Mauritius imejitoa kwenye Kinyonga Yuri na kubakiza Madagascar SADC wana kura 16 ngoja tuone EAC na ECOWAS wanasemaje Interesting
Tweet media one
1
0
2
@ItsKamala
Kamala Dickson
23 hours
@MarekaMalili @nsamila Mnakula bata tu
0
0
1
@ItsKamala
Kamala Dickson
23 hours
RT @RosethRwegasira: If you know talented University Students 🇹🇿🇹🇿 and those early graduates building in tech & manufacturing, we are look…
0
41
0
@ItsKamala
Kamala Dickson
24 hours
@HarryGM54 @Eric__Bernard Dogo hakuwa anaishi kwao alikuwa near small town alikuwa anakuja home anakaa two days anachomoka na kadi anarudisha kadi home alafu anarudi getto kwake
1
0
0
@ItsKamala
Kamala Dickson
24 hours
@_denyoh @Eric__Bernard Nimesema kijijini sio wote wenye uelewa wa simple tech tunazitumia mjini na ukiwa na account ya benk not necessary uwe na Sim banking
0
0
0
@ItsKamala
Kamala Dickson
1 day
@mackphason Vijijini hawanaga hata sim banking wao ni dirishani ama ATM sasa siku anaenda kuulizia salio ndio akagundua, Meneja akamwambia unamjua huyu mtu? Akakuta ni picha ya kijana wake na yeye alipokuwa anazitoa anaondoka home kwao, Wastaafu wametapeliwa sana
0
0
1
@ItsKamala
Kamala Dickson
1 day
Walimu wastaafu wa Vijijini wanapitia mengi,Mwalimu kastaafu mke wake siku moja akampa kadi ya benki mtoto wao achukue fedha za Nyumbani, dogo baada ya kujua password akawa anaiba kadi anatoa hela bila wao kujua siku mwalimu anastuka dogo ameshadrow 22M na amekula bata na wana
15
8
109
@ItsKamala
Kamala Dickson
2 days
@EJ_Mwita Mwanza ni mji uliodumaaa
0
0
0
@ItsKamala
Kamala Dickson
2 days
Walikulaga 500K first year nikaishia kuwagawia washikaji yale madawa, Naikumbukaga sana hela yangu
@Tanganyikan
Uncle Fafi
2 days
Dogo mwaka wa kwanza kashadakwa na wale jamaa network marketing kajazwa ndoto za utajiri, nimetiwa sound ya mtaji wa kuanzia nikajaribu kumuelewesha ila naona kichwa ngumu. Plan ni kumpa hiyo hela aingie kichwa kichwa, product zimdodee halafu arudi mwenyewe default settings.
0
0
0
@ItsKamala
Kamala Dickson
2 days
@WemaKako Pole sana kaka
1
0
2
@ItsKamala
Kamala Dickson
2 days
The elections of the African Union (AU) Commission leadership are expected to dominate the 38th Ordinary Session of the African Union (AU) Assembly (AU Summit) scheduled to take place from 12 to 16 February 2025 #AUElection2025
Tweet media one
0
0
1
@ItsKamala
Kamala Dickson
2 days
RT @ECSA_HC: Official Announcement: Dr. Ntuli Angyelile Kapologwe Appointed as ECSA-HC Director General! 🌍👏 At the #74ECSAHMC, the HMC Cha…
0
124
0
@ItsKamala
Kamala Dickson
3 days
RT @Afruturist: What's the national priority brother?
0
1
0
@ItsKamala
Kamala Dickson
3 days
Project ya Building Better Tomorrow (BBT). inaendeleaje Vijana? Kuna recruitment ya Vijana wapya Mwaka huu tuombe ama kukoje huko ? Mwenye kujua
Tweet media one
43
44
745
@ItsKamala
Kamala Dickson
3 days
Tuseme Enzi za Kilimo ni uti wa Mgongo ukienda kwenye Radio na TV zote kuna contents za kilimo was it Market Choice? or state Position? Kwa mfano ukiweka matangazo mengi ya Betting kwenye Media target yake ni nini? Service Offered should be detected by National priority
@Afruturist
Jumanne Mtambalike
3 days
From a business perspective it makes sense. Hao vijana wa kusikiliza kilimo wako wapi? The market has a tendency to shape the product or service offered. It's a catch-22 situation.
0
0
3
@ItsKamala
Kamala Dickson
3 days
Ubepari (Imperialism) ni mbaya unaweza kumpa mtu 1 power ya kuendesha mamilioni ya watu na akaamua waishije na hakuna wa kumgusa, Unamuona Bwana Trump na Elon wanavyoendesha ulimwengu? Wakiamka wakasema wewe ni mbaya ule sanctions unakula na hakuna wa kuhoji
9
1
58
@ItsKamala
Kamala Dickson
3 days
@rollymsouth Happy Birthday Baba Lee
1
0
2