VOA Swahili Profile Banner
VOA Swahili Profile
VOA Swahili

@VOASwahili

Followers
33,477
Following
197
Media
5,606
Statuses
27,813

Tufuate kwa habari moto moto kuhusu Afrika Mashariki na pahali pengine duniani

Washington, DC
Joined January 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Msafara wa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema Tundu Lissu waripotiwa kupigwa mabomu ya machozi Mkoani Mara
49
292
2K
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Tanzania: Wanachama 19 wa Chadema wavuliwa uanachama
Tweet media one
33
102
1K
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania kusimamisha kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Upinzani Chadema, Tundu Lissu wazua mvutano
34
274
1K
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
HRW Yasema Tanzania yakandamiza uhuru kuelekea uchaguzi mkuu
Tweet media one
59
76
844
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Shirika la kutetea haki za binadamu la THRDC lasitisha shughuli zake Tanzania.
Tweet media one
53
70
815
@VOASwahili
VOA Swahili
3 months
Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
343
265
692
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
8
77
667
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema kinamuunga mkono mgombea wa ACT-Wazalendo Zanzibar Maalim Seif na mgombea wake ameridhia kujiondoa katika kinyang'anyiro hicho cha urais
8
82
642
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Marekani, Uingereza zakerwa na ukandamizaji wa haki za kisheria Tanzania
Tweet media one
24
61
522
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Chadema yampitisha Tundu Lissu kugombea urais Tanzania
3
58
455
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Makonda apigwa marufuku kuingia Marekani
Tweet media one
35
53
441
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Usikose kuangalia mdahalo wa kwanza Uchaguzi Marekani 2020 kati ya mgombea urais wa Chama cha Demokratik Joe Biden na mgombea wa Chama cha Republikan Donald Trump, Jumanne, Septemba 29 , saa 9 PM/Jumatano, Septemba 30 saa 01:00 UTC. #VOAElections2020 #election
Tweet media one
18
75
438
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Amnesty, HRW zaishutumu Tanzania kwa ukandamizaji
Tweet media one
23
70
385
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Tume ya uchaguzi Uganda yapiga marufuku mikusanyiko ya watu katika kampeni
Tweet media one
44
20
391
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Mwandishi wa habari atekwa Tanzania
Tweet media one
13
82
317
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Tume ya uchaguzi Uganda yatishia kumuadhibu Museveni endapo hafuati masharti katika kampeni.
Tweet media one
29
18
318
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Uganda: Watu 3 wauawa katika makabiliano na polisi
Tweet media one
10
14
265
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Mwanasiasa wa Tanzania Godbless Lema akimbilia Kenya, akamatwa Pamoja na familia
Tweet media one
7
14
249
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Bunge jipya halitakuwa na sauti ya upinzani
Tweet media one
5
29
243
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Museveni: Mipaka ya Uganda itaendelea kufungwa kwa siku 21 zaidi
Tweet media one
9
20
227
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Tanzania : Magufuli amfuta uwaziri Januari Makamba
Tweet media one
11
17
202
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Tanzania Miongoni mwa Nchi ambazo huenda Zikawekewa Masharti ya Visa na Marekani
Tweet media one
23
28
188
@VOASwahili
VOA Swahili
3 years
Polisi nchini Afrika Kusini walikuwa Jumatatu wakisubiri amri ya Mahakama iwapo wamkamate Rais wa zamani Jacob Zuma.
3
22
152
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
ACT - Wazalendo yampitisha Membe na Maalim Seif kugombea urais
1
18
149
@VOASwahili
VOA Swahili
7 years
Matukio ya mauaji, kutekwa Tanzania: Waziri, IGP watakiwa kujiuzulu
Tweet media one
14
61
129
@VOASwahili
VOA Swahili
6 years
Mkutano wa Watanzania, Washington : Lissu ataka wauaji wote wawajibishwe
Tweet media one
2
21
127
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Wanajeshi waloasi Mali wadi wanamshikilia Rais Ibrahim Boubacar Keita
Tweet media one
7
13
127
@VOASwahili
VOA Swahili
6 years
Tanzania yatakiwa kutekeleza masharti ya Benki ya Dunia
Tweet media one
7
31
114
@VOASwahili
VOA Swahili
7 years
'Watawala wanataka nchi yetu irudi kwenye chama kimoja'
Tweet media one
8
29
115
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Tanzania : CHADEMA yatangaza kutoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa
Tweet media one
7
11
102
@VOASwahili
VOA Swahili
6 years
Maandamano dhidi ya utawala wa Magufuli yafanyika Washington
Tweet media one
3
16
88
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Upinzani wapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu Tanzania 2020
Tweet media one
2
11
88
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Rais Kenyatta asema Ripoti ya jopo la maridhiano ya BBI itakuwa suluhu ya matatizo mengi yanayoikabili Kenya
3
10
87
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Marekani kusaidia mageuzi ya kisiasa Ethopia
Tweet media one
0
8
79
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Pakistani yamzuia mratibu wa CPJ kuingia nchini
Tweet media one
1
9
80
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Vyombo vya habari Uganda vyakataa kupeperusha hotuba ya Museveni
Tweet media one
9
8
76
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Guterres: Nina wasiwasi mkubwa kuhusu korona barani Afrika
Tweet media one
20
11
64
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Upinzani washinda uchaguzi Ushelisheli
Tweet media one
1
11
66
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Korona : Mkazi wa Dar es Salaam : Kama tulivyo aminishwa katika maombi .... "Tunaiomba serikali itoe kauli wananchi wafanye nini kujikinga na COVID-19."
5
19
64
@VOASwahili
VOA Swahili
6 years
Polisi wamnyima dhamana Halima Mdee wa Chadema
Tweet media one
6
17
63
@VOASwahili
VOA Swahili
2 years
Zelenskiy asema jeshi la Russia linaua kiholela raia katika mji wa Kherson
7
1
63
@VOASwahili
VOA Swahili
5 years
Tanzania yailaumu Canada baada ya mkulima wa Afrika Kusini kukamata ndege yake
Tweet media one
15
14
59
@VOASwahili
VOA Swahili
6 years
Uhamiaji -Tanzania yambana Abdul Nondo athibitishe uraia wake
Tweet media one
6
8
56
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Rais wa Tanzania John Magufuli adai kuwa kuna baadhi ya watu walitoka nje ya nchi kwenda kupatiwa chanjo na wamerudi na "wametuletea corona ambayo ni ya ajabu ajabu." Asema "...Chanjo hazifai."
5
9
49
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Museveni: Nitaondoka tu iwapo kuna mtu wa maana nitakayeona naweza kumuachia Uganda.
Tweet media one
20
5
51
@VOASwahili
VOA Swahili
4 years
Rais Donald Trump na mpinzani wake makamu wa rais wa zamani Joe Biden wako jukwaani tayari kwa mdahalo wa kwanza urais 2020
0
6
49