(---) Onesmo Mushi Profile Banner
(---) Onesmo Mushi Profile
(---) Onesmo Mushi

@EduTalkTz

Followers
31,352
Following
1,160
Media
8,444
Statuses
43,095

EDUCATION | Social Justice | #SDGs 4 & 8 | Decolonizing | The People

Germany
Joined April 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 years
TALKING SCHOLARSHIPS Scholarships zilinileta USA 2016, zikanipeleka CHINA 2018/2019, zikanirudisha tena USA 2019 na bado zipo na mimi mpaka nikamilishe safari. Nadhani nina moral responsibility ya kuwagawia wadogo zangu maarifa ya kuzitafuta. Nisaidie kushare hii THREAD🙏🏿
Tweet media one
73
453
950
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 years
#MotiovationPill Nimeenda dukani leo nikamnunulia mke wangu iPhone 14 Pro Max. Nilipomkabidhi, akanikumbatia kisha nikamsikia analia. Nilipouliza kulikoni, akanikumbusha siku alipojifungua tulishindwa kununua pedi. Nikamwambia “it was meant to be temporary babe.” Amini tu!💪
Tweet media one
208
258
3K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
7 months
Kwa wenzetu hii art ya huyu mtoto ingeweza kuwa utajiri wake.
Tweet media one
142
208
3K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
8 months
Mzee Mwinyi alioa mapacha?🤔
Tweet media one
42
59
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Sharing is caring: Nilipoenda na mke wangu clinic kwa sababu ya mtoto wetu mchanga, tulifundishwa haya; waBABA tuna jukumu la kuwasaidia wake zetu kuyafanikisha⬇️ 1. Jitahidi mara nyingi mtoto mchanga apate joto la wazazi. Mvue nguo mara kadhaa kisha hakikisha unamkumbatia na
Tweet media one
160
585
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Nimeenda grocery shopping sehemu moja hapa NewYork leo nikanunua nyanya chungu nusu kilo na bamia robo tatu kwa dola 11$ (Kama elfu 26 hivi ya Tanzania). Nimejikuta najiuliza, hivi Tanzania tukijikita kwenye kilimo cha mboga mboga kwa malengo ya biashara za kimataifa, hatutoboi?
Tweet media one
425
232
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
Tufanye 2025 wamesimama hawa wawili na hakuna kura ya siri, unaenda na nani na kwa nini?⬇️
Tweet media one
Tweet media two
779
102
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
123
660
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 months
Ndugu zangu wananchi, tutavumilia haya mpaka lini??
166
397
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
@ESPNFC One of the most selfish celebrations I have seen in the history of football.
9
8
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 months
Rais @SuluhuSamia , embu kwenye nafasi ya huyu kijana aliyelala hapa mweke Abdul, how would you feel?🤔 Vipi siku moja raia wakiamua kuyafanya hayo kwako, familia yako, ndugu zako, na watu wako wa karibu?🤔 Kipi hicho chenye thamani ya kulindwa kuliko uhai wa watanzania?🤔
Tweet media one
Tweet media two
134
378
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
27 days
Usikute Samia ndio aliyekuwa shetani anayemshauri vibaya Rais Magufuli kama Cromwell na King Henry.🤔
Tweet media one
101
132
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 years
Nikiwa Tanzania ni mchaga, nikiwa ughaibuni ni Masai. Life is a game, learn how to play it.
Tweet media one
90
63
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Mafuta yanapandishwa Bei kiholela kutoka 2700 mpaka 3100, UMENYAMAZA. Bandari zetu zinapeanwa kwa Waarabu kwa mkataba wenye vipengele vya HOVYO kabisa, UMENYAMAZA. CAG anatangaza mabilioni ya fedha za watanzania maskini zinafujwa na kuibiwa na watawala wachache kila kukicha,
Tweet media one
154
309
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 months
Hapo unakuta Waziri amepanda treni halafu dereva anakimbiza V8 barabarani kutoka Dar mpaka Dodoma ili kuwahi stesheni kumpokea. Nchi yetu!!
Tweet media one
137
106
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Tunaweza kuona sifa lakini huu ni ujinga.
Tweet media one
275
67
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
23 days
TAPELI WA MADHABAHU.
Tweet media one
189
221
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Inspirational Tip: Girl friend wangu alipopata mimba, kila mtu alinishauri tuitoe. Ndugu, jamaa, na marafiki wakaniambia lea mtoto lakini achana na mwanamke, atakuharibia mipango ya maisha. Kwa kuwa sikutaka mtoto wangu aishi bila baba na wala sikuwa tayari kumtoa mimba,
Tweet media one
164
171
2K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
8 months
Ila maisha bhana, hapa ndio amelazwa mtu aliyekuwa na nguvu kuliko watu wote Tanzania kati ya mwaka 1984-1995. Alikuwa na uwezo wa kuliamrisha jeshi kufanya chochote likamtii, uwezo wa kuamua uelekeo wa nchi, na alikuwa anapewa taarifa zote za nchi na kulindwa wakati wote.
Tweet media one
152
102
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Haujamwelewa @TunduALissu Haujamwelewa Dr. Slaa Haujamwelewa Prof. @IssaShivji Haujamwelewa Prof. Lipumba Haujamwelewa Mbowe Haujamwelewa Prof. @AnnaTibaijuka Haujawalewa Shirikika la Haki za Binadamu @humanrightstz Haujawaelewa @TanganyikaLaw My friend, wewe ni tatizo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
148
339
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 months
Hypothetical: Tufanye CCM wamemsimamisha Makamba, ACT wana Zitto, na CHADEMA wamemweka Lissu kugombea nafasi ya Urais. 1. Kura yako utampa nani? 2. Kwa nini?⬇️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
861
85
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Prof. Mruma anaulizwa kwa dharau kabisa “Je, hivi ndivyo utakavyowafundisha wanafunzi wako wa kada ya madini na miamba pale Chuo Kikuu cha Daresalaam?”🤔 Hili swali😰!
390
386
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
9 months
Nchi yetu bhana, Wamasai wote Zanzibar wananyimwa kutembea na sime na fimbo, vifaa vyao vya kitamaduni, sababu ya msingi eti kuna wamasai wachache wamejeruhi wakiwa wanajihami. Halafu hapo hapo kuna mtanzania ameingiziwa chupa matakoni na kiongozi wa umma na kesi ikaondolewa
Tweet media one
Tweet media two
260
131
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 years
Mwaka 2017, nikiwa nimeadhibiwa vizuri na maisha, nilisikia ile Warsha ya “Fursa, Anzia Sokoni” inakuja Morogoro. Nilikuwa nimeshajikatia tamaa kabisa ila kuna kitu moyoni kikaniambia “jaribu kukutana na Ruge Mutahaba umwombe ushauri, ameshasaidia vijana wengi kama ww”⬇️ #Thread
Tweet media one
82
98
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Sijaelewa mchungaji anatumia Logic gani kutoa huu ushauri.
Tweet media one
341
45
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
Lengo la Mpina lilikuwa kuufahamisha umma kuhusu madudu ya mtukufu “ @HusseinBashe “ na lilifanikiwa kwa asilimia zote. Haya mengine yalikuwa matangazo ya vifo tu!💪
Tweet media one
44
109
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Wakili Mwabukusi ajengewe sanamu pale Posta, bonge moja la mwanaharakati. Anaongea na mamlaka kwa lugha inayostahili Bila kupepesa macho. Ukimwondoa @TunduALissu , sijaona mwingine mwenye ujasiri huu. Ni furaha sana kuwa watu kama huyu.
Tweet media one
64
170
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 months
Kipanya anamaanisha nini hapa?🤔
Tweet media one
252
86
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Mhe. Rais @SuluhuSamia , tafadhali waambie vijana wako wakina @Nnauye_Nape na wengine wajiheshimu. Wananchi tuna haki kamili ya kuizungumzia nchi yetu na viongozi tuliowaweka madarakani kadiri tunavyoona sisi. Ninyi ni watumishi wetu, hamna mamlaka yoyote ya kutupangia cha kusema
Tweet media one
139
205
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 months
Mpina amecheza nafasi nzuri sana ya kuisimamia serikali kwenye hii awamu ya imla, anastahili pongezi!!
49
154
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Moja ya UTAPELI mkubwa unaofanywa na serikali ya awamu ya sita na CHAWA WAKE ni huu wa kumficha Rais @SuluhuSamia nyuma ya narrative ya “MAMA” kisha kutumia hiyo identity kunyamazisha watu. 1. Samia aliapa kuwa Rais wa JMT, sio mama wa watanzania 2. Samia analipwa kwa kodi za
Tweet media one
192
188
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
@BarcaTimes If you knew Ronaldinho well, you would consider it blasphemous to compare him to Neymar. Gaucho was orgasmic.
8
22
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 month
Wakati Rais @SuluhuSamia amelala na mume wake leo usingizi mwororo, mama Ally Kibao hajalala akiomboleza msiba wa mumewe baada ya kuporwa uhai wake na watawala. Wakati Abdul na dada yake wanaendelea kufurahia uwepo wa baba yao, watoto wa Ally Kibao hawatokaa wamwone tena baba
Tweet media one
Tweet media two
61
224
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
22 days
Can’t submit myself to a thug masquerading as a leader, never. #NotMyPresident
Tweet media one
94
314
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
Maandamano Kenya kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na deni la taifa. Nimemsikia Seneta mmoja akisema Ruto analazimika kutoza raia wake kodi kubwa ili aweze kuhudumia deni la taifa, vinginevyo itamlazimu a-default. Mwaka jana Ruto mwenyewe alisema kama sio kuongeza kodi mara
Tweet media one
169
169
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Kwenye ile video kuna mahali Prof. Mruma anaulizwa, kwa nini hajamuweka mwanazuoni mwenzake, Prof. Sospeter Muhongo, ambaye sio tu alikuwa mtaalam wa geologia na madini waliyefanya nae kazi pamoja pale Chuo Kikuu cha Daresalaam, bali pia alikuwa Waziri wa Nishati na Madini
Tweet media one
Tweet media two
77
163
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 months
Kibao cha tako tatu kinakupeleka magereza maisha, may you rot there.
Tweet media one
90
52
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
8 months
Chairman Mbowe’s malemarization of history.💪💪💪😎😎
47
220
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
27 days
Jina: Boniface Jacob. Kosa: Kusema ukweli dhidi ya watawala. Mlalamijaji geresha: Jeshi la polisi @tanpol Mlalamikaji kamili: Samia Suluhu @SuluhuSamia
Tweet media one
24
211
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 years
Hongera Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia kwa kuipatia Uturuki msaada wa Dola za Kimarekani 1,000,000$, unatuheshimisha sana.🙏🏿 #DonaKantri
Tweet media one
Tweet media two
180
128
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
22 days
Mhe. Mwenyekiti @freemanmbowetz , hongera kwa kazi kubwa uliyoifanya jana. Kazi kubwa uliyoifanya jana ime-expose mambo mawili nyeti sana ambayo ni ushindi mkubwa. 1. Umefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuivua nguo serikali dikteta uchwara na kuiweka uchi wa mnyama mbele ya
Tweet media one
Tweet media two
164
202
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 months
Nini kilichofanya @JMakamba apokonywe uwaziri?? La Nape lipo wazi ila natamani kufahamu sababu iliyomwondoa, isije ikawa yale ya funika kombe haraka mwanaharamu apite.
Tweet media one
111
57
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 month
Dr. Nchimbi amekuwa “misguided” akalala mbele😎 as “EXPECTED.” Pole @chiefodemba , umefanya nafasi yako kwa weledi mkubwa. 💪
Tweet media one
Tweet media two
57
113
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 months
Tapeli wa madhabahu na tapeli wa kisiasa.
Tweet media one
82
84
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
8 months
😂😂😂😂😂
Tweet media one
87
90
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
Ni hatari sana kuruhusu nchi kuongozwa na mtu anayewaza mikopo tu!
Tweet media one
131
148
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Mh. Rais @SuluhuSamia , please reduce your motorcade for God’s sake. Kuna sababu yoyote ya msingi ya kutembea na msafara mkubwa kiasi hiki kwenye nchi ambayo watoto hawana madawati wala matundu ya vyoo wala vitabu? Wewe unatembea na convoy kubwa hivi, Spika umempa ndege binafsi;
Tweet media one
194
133
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
12 days
Katuni yenye PAWA!😂
Tweet media one
18
111
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 months
Angalia kazi anayoifanya @chiefodemba halafu jiulize ni kwa kiasi gani umma unadhulumiwa na watawala wanaotumia fedha kugeuza waandishi wote wa habari kuwa CHAWA wao. Umma una jukumu la kuwalinda waandishi kama Odemba kwa wivu mkubwa sana. Kwenye macho ya watawala, Odemba ni
Tweet media one
82
152
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 months
Mkurugenzi ubungo amejengewa nyumba ya million 600. Hatuwezi kuwa serious!!
Tweet media one
102
200
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
9 months
Sheria za Zanzibar haziruhusu kutembea na silaha.😎
Tweet media one
106
105
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Hawa ndio wanaambiwa walipe BIMA za afya 192,000 kwa ajili yao, waongeze 120,000 kwa kila mtoto mmoja waliyenaye, na kama wana wazazi, wawalipie 360,000. Anayewapangia haya yeye yupo kwenye V8 inayojazwa mafuta na serikali, dereva analipwa na serikali, na kila mwezi anaingiza
Tweet media one
129
174
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 months
Mwambie bibi Tax aje amchukue mjukuu wake huku😎😎!!
Tweet media one
58
77
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
8 months
Namkumbuka Madam Jema pale Kigonsera, aisee, mwalimu alikuwa hata akicheka tu huko ofisini lazima tuweke mikono mfukoni.😎
Tweet media one
102
47
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Hatimaye waumini wa kanisa katoliki zaidi ya milioni 20 nchi nzima wamesomewa TAMKO la KUPINGA WIZI WA RASILIMALI ZETU unaotaka kufanywa na serikali ya Rais @SuluhuSamia kupitia MKATABA WA BANDARI na WAARABU WA DUBAI. Kanisa limeamua kusimamia KWELI💪
93
213
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Wiki nne zilizopita mwanangu aliniuliza; “BABA KWA NINI MIMI SINA CREDIT CARD?” Nikamjibu, “UTAKUWA NA CREDIT CARD SIKU UKIANZA KUFANYA KAZI NA KUINGIZA HELA.” Akaendelea, “NATAKA KUFANYA KAZI AND MAKE MONEY.” Baada ya kuongea kwa muda, tukaliacha pending. Siku moja tukiwa
Tweet media one
118
140
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
6 months
Rais yupi mwenye sera bora zilizolenga maendeleo ya watu kwa ujumla?😎 Turudie poll⬇️
1. Benjamin Mkapa
5333
2. Jakaya Kikwete
2850
3. John Magufuli
12639
4. Samia Suluhu
847
300
238
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
WAKE WA VIONGOZI WASTAAFU KULIPWA. Tupo serious kweli? Tuna uchungu kweli na kodi za watanzania maskini?? Huyu mama mme wake amekuwa Mbunge miaka 10 akala posho, viinua mgongo, na mishahara minene. Akawa Waziri kwa miaka 10, akala raha zote za Dunia. Akawa Rais kwa miaka 10
Tweet media one
258
197
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Mhe. Rais @SuluhuSamia , maswali anayoulizwa Prof. Mruma kwenye hii video na majibu anayoyatoa vinatosha kukuonesha kwa nini tunapinga vipengele vya hovyo kwenye mkataba wa bandari na DP World. Prof. Mruma anaulizwa - wewe ni mtaalam wa madini na ulipitia maombi ya leseni ya
154
461
998
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
9 months
#Olemushi Mwaka jana Gazeti la Mwananchi lilireport kuwa kati ya mwaka 2017-23, matukio zaidi ya 6,461 ya ubakaji, na ulawiti yaliripotiwa Zanzibar. Je, tutakuwa sahihi tukisema Wazanzibar wote ni wabakaji na walawiti??🤔 Ni ukatili, unyama, na ubaguzi wa hali ya juu
Tweet media one
156
100
995
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 months
Opportunist katika moja na mbili, brainchild ya mtu mwingine anajipa credit mtu mwingine.
Tweet media one
120
69
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
8 months
Rostam Aziz ni nani/nini Tanzania?🤔
Tweet media one
144
55
994
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Waziri, Mkuu wa mkoa, wilaya, au mkurugenzi, anatembelea gari ya milioni 300+ wakati mwanao hata dawati la kukalia tu darasani hana, achilia mbali tundu la choo cha shimo. Cha ajabu kesho anakuja kiongozi huyu huyu anakwambia “silali ninapigania maendeleo yako” na wewe unapiga
Tweet media one
135
117
972
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
6 months
Karne ya Artificial Intelligence ukionesha vitu kama hivi unaonekana kituko tu.
Tweet media one
242
63
974
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
20 days
Itanichukua muda mrefu sana kuamini yafuatayo; 1. Kuamini kwamba Rais Magufuli alikuwa anafanya ukatili peke yake bila Samia, makamu wake, kuhusika. 2. Kuamini kwamba Makamu wa Rais, Samia, alimtembelea Lissu kule Nairobi mwenyewe kwa maamuzi yake pasipo kuelekezwa kufanya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
105
168
980
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
16 days
Hivi Mwl. Nyerere naye alikuwa akienda kwenye mikutano ya hadhara mikoani anabeba wasanii wote Dar?🤔
Tweet media one
Tweet media two
183
89
981
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 months
Jamaa anasema hii ni hali ya Afrika. Kuna ukweli au “ni porojo tu?“🤔
Tweet media one
111
77
959
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Mhe. @Nnauye_Nape , Ujinga (Ignorance) sio tusi; ujinga ni ukosefu wa uelewa au maarifa fulani tu. Hata Mwl. Nyerere alitueleza wazi, “ujinga ni kutokujua” na “ukielezwa ujinga wako unakwisha” maana sasa unaelewa. Unaweza kuwa na ujinga fulani ukakusababisha kufanya mambo bila
Tweet media one
321
126
923
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Yesu alipoona dhulma, wizi, ufisadi, etc., hakunyamaza wala kumumunya maneno. Aliingia hekaluni akavunjavunja meza za wezi; aliwaangalia mafarisayo na masadukayo usoni akawaambia ninyi ni wanafki; in short, Yesu alikuwa straight. Dini yoyote inayoonea aibu wizi, dhulma,
Tweet media one
92
73
927
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
9 months
Amen, barikiwa sana mtumishi!🙏🏿🙏🏿🙏🏿 @SuluhuSamia
Tweet media one
22
171
937
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
Nchi hii watu wanafungwa kwa kesi za kipumbavu sana, yani mtu anafungwa jela miaka mitano kwa kuandika kwenye mtandao kuwa Rais @SuluhuSamia ana utajiri wa Bilioni 11? Seriously?🤔🤔 Unanifunga miaka mitano jela kwa kuspeculate utajiri wa Samia wakati kuna maelfu ya wezi na
Tweet media one
Tweet media two
95
186
939
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 month
Huyu kijana na Mzee Ally Kibao wameuliwa na polisi mchana kweupe Mungu akiangalia na hajafanya chochote kuzuia vifo vyao. Huo ni ujumbe tosha kwamba Mungu hahangaiki na mambo yanayoendelea kwenye nchi yetu. Tuamke kwa pamoja tukadai mabadiliko, tuachane na biashara ya
Tweet media one
Tweet media two
131
179
938
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
7 months
Swali langu ni moja tu: Kipindi cha Magufuli umeme ulitoka wapi?🙏🏿 Ukinijengea hoja zenye ushahidi badala ya conspiracy kama vile (viwanda vilinyimwa umeme) nitashukuru sana.🙏🏿
Tweet media one
152
60
935
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Mpaka Wizara ya Sanaa??🤔🤔🤔 Kwani hawa Mawaziri huwa wanafahamu kila kitu?🤔
Tweet media one
173
59
911
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Umesoma FEZA mdogo wangu, ni vigumu kuelewa kwa nini watu wengi wanafeli mitihani ya NECTA wakati wewe unaiona ni mirahisi kabisa. Hata hivyo nimeipenda hoja yako na nakubaliana nayo kabisa! @wizara_elimuTz @NectaTz
407
185
905
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
Waziri wa Fedha kusimama kwenye podium ya Bunge la Wananchi na kusema umma hautafuatwa kulipa deni la taifa ni kiwango cha juu kabisa cha arrogance.
Tweet media one
127
96
902
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Falsafa zangu 8 za ndoa. 1. Sikumuoa mke wangu, tulioana. 2. Mke wangu haishi kwangu, tunaishi pamoja kwetu. 3. Chochote kilichopo kwenye familia yetu ni cha kwetu; hakuna cha baba wala cha mama. 4. Mke wangu sio mfanyakazi wangu, majukumu yote ya familia ni ya kwetu;
Tweet media one
229
232
902
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
18 days
Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa. Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa.
Tweet media one
117
163
913
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Mhe. Rais @SuluhuSamia , sakata la mkataba la mkataba wa DPW limenifundisha mambo matatu kuhusu team yako. 1. Kuna uwezekano umezungukwa na watu wenye uwezo mdogo sana kifikra. Hata kujenga hoja tu za kushawishi UMMA hawawezi. 2. Kama wana uwezo mkubwa, basi wanakuogopa na
Tweet media one
123
124
888
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
Dada mkubwa @TweveDevota , kaka mkubwa @Eng_Matarra anarudi uraiani kutokana na kazi njema sana uliyoifanya kwa masaa nane. Kongole sana!!👊👊 Wanatwitter wote mliopambana kufanikisha hili, we promise to be there for you muda wowote. Hugs!🫂🫂🫂🫂
Tweet media one
13
113
895
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Nimeiuliza ChatGPT, “who is Issa Shivji?” Ikanipatia biography iliyokamilika. Nikaiuliza tena, “who is sheikh Mwaipopo?” Ikaniambia hata haimjui. Nikajikuta nasema, “pumbavu na nusu.”
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
138
114
889
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
9 months
Serikali inasema Wamasai wakifika Zanzibar wafuate tamaduni za Watu wa Zanzibar😎.
111
141
883
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
29 days
Mpina anakabia juu juu 😂😂, @HusseinBashe usijifanye haujaona hii!!
12
148
892
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
8 months
Hivi shule za sekondari za kata ndio ilikuwa brainchild ya Lowassa eehh, au nimesahau?🤔
Tweet media one
66
36
872
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
In solidarity with honorable Luhaga Mpina, MP! Serikali ya wezi na wabadhirifu itatumia njia yoyote kukunyamazisha, hii ni gharama unayolipa kwa kupigania maslahi mapana ya umma. Be of good courage, umma upo nyuma yako. Amandla💪💪 #IStandWithLuagaMpina
Tweet media one
42
157
876
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 month
Damu ya hawa watanzania wenzetu inatudai uwajibikaji!!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
152
876
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
10 months
Leo kijiji chetu kimepata msiba mkubwa sana. Huyu mama alikuwa Nurse wa Zahanati ya Kijiji, naweza kusema zaidi ya nusu ya vijana wa umri wangu tulizaliwa kupitia kwenye mikono yake. Hakuishia hapo tu, alizalisha wake zetu pia. Utamkuta saa Tisa za usiku na taa yake ya chemli
Tweet media one
144
79
874
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 months
Kaka mkubwa @Mwabuk2Boniface , sitaki kukupongeza kwa “ushindi,” nitakupongeza siku nitakapoona umeyafanya yale uliyoyaahidi. Umma unakufuatilia kwa karibu with high hopes!! 🔬🔬
Tweet media one
33
93
879
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
7 months
Kifo cha Rais Magufuli sijawahi kukielewa mpaka leo, yalikuwa ni mazingira ya ajabu sana ya Rais wa Nchi kufariki. Kimekaa kama kifo cha kwenye draft.
Tweet media one
73
50
858
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Dr. Nshala “Muungwana akivuliwa nguo uchutama” yeye Rais “kavuliwa nguo, badala ya kuchutama kachanua.” Rais Samia “Ukinikuna vizuri na Mimi nitakukuna na kukupapasa huku nikikupuliza.” Kama ambavyo Rais @SuluhuSamia alikuwa huru kutumia maneno kuwasilisha Ujumbe wake,
Tweet media one
Tweet media two
106
86
858
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Asubuhi ya jana nilipata bahati ya kipekee sana kuingia labor (chumba Cha kujifungulia) na kushuhudia mchakato mzima wa kuzaliwa mtoto wetu wa tatu. Niliona maumivu anayopitia mke wangu kwa masaa sita ya uchungu. Nikaona namna mfuko wa mimba unavyosogea karibu na mlango wa uke
Tweet media one
198
75
858
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Alaaniwe mtawala yeyote yule anachukua kodi watanzania maskini kisha anaitumia kodi hiyo kununua Gari la kutembelea la milioni 500 huku mtoto wa huyo mtanzania akishindwa kununuliwa hata kitabu na dawati shuleni. Alaaniwe pia yeyote anayepigia makofi udhalimu huu.
Tweet media one
69
160
852
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
11 months
Choice ya kitabu inaongea mengi sana kwenye hizi picha.
Tweet media one
Tweet media two
61
83
849
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 months
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kiongozi wa dini na tapeli wa madhabahu.
60
212
857
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Pengine hatufahamu thamani ya baadhi ya Wasomi tulionao ndio maana inakuwa rahisi kuji-“ropokea tu” kadiri midomo yetu inavyojisikia (ashakum si matusi). Tufanye jambo moja, umiza kichwa uwezavyo kisha nitajie CRITICAL SCHOLARS watano tu Tanzania halafu kwenye hiyo list Prof.
Tweet media one
77
80
837
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 months
Huyu tapeli wa madhabahu kwa nini hakuwazuia wale waliokanyagana wakafa wakigombania “mafuta ya upako” kwenye mkutano wake kule Moshi?” Au angewafufua, si ana miujiza? Huyu ni mhalifu aliyepaswa kuwa magereza, ana bahati sana watawala wanamkingia kifua kwa maslahi yao.
Tweet media one
Tweet media two
265
90
838
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
26 days
Mhe. Rais @SuluhuSamia , achana na @ExMayorUbungo anayemzungumzia kibaraka wako Mafwele, Lissu alisema wewe na mwanao Abdul mnasambaza rushwa na hongo kununua wapinzani. Unaenda kumshtaki lini kwa kusambaza “taarifa za uongo?”🤔🤔🤔
Tweet media one
28
134
848
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 months
Punchline: “Tanzania mna starehe sana, airtime ya nchi mnatumia kuongelea chakula?”🤔🤔 Kwa lugha nyingine jamaa anasema “Watanzania hamjitambui.”
138
105
833
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 year
Hivi ni kipi kinachoipa hii picha ya Monalisa ya Da Vinci umaarufu iliyonayo Duniani?🤔
Tweet media one
117
35
820
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 months
😂😂😂😂😂😂 “mtukufu Rais”
Tweet media one
106
82
817