(---) Onesmo Mushi
1 year
Hawa ndio wanaambiwa walipe
BIMA za afya 192,000 kwa ajili yao, waongeze 120,000 kwa kila mtoto mmoja waliyenaye, na kama wana wazazi, wawalipie 360,000. Anayewapangia haya yeye yupo kwenye V8 inayojazwa mafuta na serikali, dereva analipwa na serikali, na kila mwezi anaingiza