EduTalkTz Profile Banner
(---) Onesmo Mushi Profile
(---) Onesmo Mushi

@EduTalkTz

Followers
36K
Following
17K
Statuses
50K

EDUCATION | Social Justice | #SDGs 4 & 8 | Decolonizing | The People

Germany
Joined April 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
3 years
TALKING SCHOLARSHIPS Scholarships zilinileta USA 2016, zikanipeleka CHINA 2018/2019, zikanirudisha tena USA 2019 na bado zipo na mimi mpaka nikamilishe safari. Nadhani nina moral responsibility ya kuwagawia wadogo zangu maarifa ya kuzitafuta. Nisaidie kushare hii THREADπŸ™πŸΏ
Tweet media one
79
470
1K
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
17 seconds
RT @HecheJohn: Unaita vijana kwamba kuna ajira za ualimu, wanaomba ajira vijana 15,136. Alafu eti waliochaguliwa kwenda kwenye usahili hatu…
0
184
0
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
33 minutes
Britain freed slaves from who?πŸ€”
@SohailSNAhmed
Sohail Ahmed
2 days
Britain spent half its treasury to free slaves. The loan we took out in 1834 do so (we had to pay the slave owners) we only paid back fully in 2014. We freed 800,000 slaves and even policed the seas to capture slave ships to free the slaves onboard. (1/2)
2
0
0
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
58 minutes
πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
1
15
48
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
1 hour
Huwa mnawaona watanzania kama wapumbavu fulani hivi wasioelewa Dunia inapokwenda. Hivi wabunge wasingekuwa na maslahi makubwa tena mara dufu zaidi ya haya leo madaktari, wanasheria, na wafanyabiashara wakubwa wangekimbilia bungeni??
@MSAMBATAVANGUJ
JESCAH MSAMBATAVANGU
8 hours
Umewahi kuwa mbunge Martin? Jambo usilolijua ni usiku wa kiza ila mnapotosha jamii mno. Wabunge wangekuwa wanapata maslahi makubwa huyo lissu angeomba achangiwe kununua usafiri? Prof J angeanza kuchangiwa matibabu? Ofisi ya Spika ndiyo ina hayo majibu sio hao wabunge walioshindwa
1
1
4
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
Time to deliver!
Tweet media one
4
8
49
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
The minority vs. majority dichotomy has more to do with power and privilege than with the number of people. It is more about who is accorded what based on their social categorization than about how many people belong to that category.
@LibertyCappy
Declaration of Memes
11 hours
Look no further than South Africa.
Tweet media one
0
0
2
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
Tunarudi kule kule shangazi @fatma_karume , Ndugai alikosa kilichomsababisha akanyang’anywa USPIKA? Kusema nchi inakopa sana na kuonya kwamba tusipokuwa makini tutaingia matatizoni lilikuwa kosa linalomstahilisha adhabu ile??
Tweet media one
1
4
12
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
Hili jambo huwa silielewi kabisa. Mbunge huwa analipwa mshahara wa nini ikiwa kwenye kila kikao analipwa tena posho ya kitako??
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
9 hours
Maslahi ya MBUNGE wa Tanzania. Mshahara & Posho β€” Sh16.5M (mwezi) Posho kujikimu β€” Sh250,000 (siku) Posho kitako β€” Sh220,000 (siku) Kiinua mgongo β€” Sh272M (5yrs) Mkopo gari β€” Sh90M (5yrs) Mfuko wa Jimbo β€” Sh55M (mwaka) Malipo ya mafuta, katibu na dereva Posho ziara za mafunzo ughaibuni Posho za vikao kamati & semina Mkopo mkubwa – dhamana ubunge Bima ya afya kwa familia, BURE Passport hadhi ya kibalozi, BURE Mshahara hauna makato yoyote. Hakuna makato mifuko hifadhi ya jamii MBUNGE bungeni.πŸ‘‡πŸ½
Tweet media one
2
0
7
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
RT @IAMartin_: Maslahi ya MBUNGE wa Tanzania. Mshahara & Posho β€” Sh16.5M (mwezi) Posho kujikimu β€” Sh250,000 (siku) Posho kitako β€” Sh220,00…
0
140
0
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
Okay, tuligeuze hili swali kidogo. Je, kifo cha Yesu ni mpango wa Mungu au matakwa ya wanadamu? Nadhani majibu ya hili yanadetermine pia majibu ya KOSA la Yuda.
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
22 hours
Kosa la Yuda lilikuwa lipi ikiwa kifo cha Yesu kilikuwa mpango wa Mungu?πŸ€”
Tweet media one
4
1
2
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
Mbele ya watawala, wewe ni sawa na tissue paper. Watakushika kwa mkono wa kushoto, watakutumia kupanguza nyeti zao, na baada ya hapo watakutupa toilet na kuflash kwa sababu hauna thamani yoyote tena. Poor you, unahitaji kujitafakari sana!!
Tweet media one
1
3
14
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
@FrankieWh97 Kumbe tunahitaji kufanya kitu cha maana kwanza?
1
0
0
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
@Barakamaftah Kama Yuda alitimiza mpango wa Mungu, maana yake alikuwa kwenye mpango wa Mungu. Sasa hapa analaumiwa kwa kumsaliti nani ikiwa amatekeleza script?
1
0
3
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
2 hours
Aishangazi CCM kufanya walichozoea kukifanya kila mara, tunapaswa kushtuka mambo haya yakifanywa na wapinzani.
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
4 hours
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho. Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM. Soma zaidi:
Tweet media one
0
2
17
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
10 hours
1. Kwa nini baadhi ya watu wanaamini kuwa Africa inapaswa kuwa nchi moja?πŸ€” 2. Je, kuna uwezekano wowote wa hilo kutokea?πŸ€” 3. Nchi ya Africa itakuwa na nini kisichokuwepo sasa?πŸ€”
8
6
44
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
11 hours
@Roma_Mkatoliki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ simfuatilii sana lakini performance za Super Bowl kwenye miaka hii saba nane nimezifuatilia kwa ukaribu.
1
0
2
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
12 hours
@depedrodeniss Horrible, it doesn’t feel like Super Bowl at all!
2
0
0
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
13 hours
@kaghondi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
0
0
0