How Profile Banner
How Profile
How

@donah_finesse

Followers
3,001
Following
1,153
Media
567
Statuses
12,082

God is Able 🙏. DON'T TOUCH MY KIZA!

Nairobi, Kenya
Joined December 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
🌍kwahiyo wakuu saivi hamniungishi tena mashati ya Dogydogy🤣🤣 Haya nipo uyole mjesasa chapchap mwendo wa ngiri mkia juu
Tweet media one
Tweet media two
2
5
13
@donah_finesse
How
11 months
🌍Palikuwa na tukio la ujambazi Lililotokea siku kuna barafu kali (Snow day) Lakin kila mmoja kati ya hawa watu Wanne alikiri kuwa siku hiyi alikuwa Nyumbani. Ila mmoja ni muongo. UNADHANI MWIZI NI NANI KATI YA -ALEX -BEN -RICK NA -MARIA??? Pia na nikwanini?
Tweet media one
111
26
291
@donah_finesse
How
2 months
🌍Bado 24hrs tuu Mimi nikiipata hiyo 100k ninaenda kuongezea mtaji wangu wa mashati ya Dogydogy Huu nilio nao ni mdogo kwahiyo nazungushia hapa hapa mbeya mjini,nikiongezea mtaji nitakua naenda hadi chunya,tunduma,Sumbawanga na makete.🫂🫂🫂
Tweet media one
Tweet media two
@Psiteshio1
P'site Shio
3 months
Kama umemaliza UNIVERSITY mwaka huu na huna mchongo wa kufanya… Kama ni JOBLESS umekaa Geto na huna Skills za kukupatia Pesa… Unaishi na wazazi mpaka Leo na hujui hata utawezaje kuondoka kwasababu huna Pesa… Kama una familia lakini mishe HAZIENDI kabisa… Kama umeajiriwa
Tweet media one
30
59
135
11
94
152
@donah_finesse
How
11 months
🌍Hivi mnanikumbuka kwelii??
Tweet media one
5
6
41
@donah_finesse
How
5 months
🌍Mwogope sana mtu anae kusifia mbele za watu,wakati ukiwa nae hakupi hizo sifa. GOOD MORNING 🌅 🌄🌅🌄🌅🌄🌅🌄
10
17
39
@donah_finesse
How
5 months
🌍Nyie 43 kesho naamka na nyie mapema mapema .😡 Shusha handle yako tukufollow🔥🔥🔥🔥🔥Hakikisha unfollow back
Tweet media one
12
1
37
Tweet media one
0
0
38
@donah_finesse
How
10 months
🌍Ukiwa Rombo Huu no mojawapo ya msosi Unaooatikana. Kwa kichaGA Tunaita NYAMA NA SUBU YA BILIBILI 😂😂😂😂😂 Tuoneshe chakula kinachopatikan Ukienda kwenu. Na mnaitaje
Tweet media one
3
8
36
@prossoff Pigan nao wanao pigan nasii
1
1
33
@donah_finesse
How
10 months
🌍Tunao lalia vitanda Vya PALLET Tujuane 👇👇👇👇👇👇
Tweet media one
5
8
33
Kudadeq🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hata hakujakucha vizuri Tanesco washafanya yao 🤣🤣🤣🤣 Hii siku ya leo itakua ndefu sana mbona.😥😡😡
Tweet media one
7
7
28
@donah_finesse
How
3 months
🌍 HAPPY BIRTHDAY 🎂 🎂🎂🎈🎂🎈🎂🎈🎂🎈🎂🎈🎂🎈🎂🎈 TO ME. THANKSA GOD FOR YOUR PROTECTION SINCE A WAS BORN.🙏🙏🙏🙏 🙏🙏🎂🎂🎂🎂🎂🙏🙏🙏
Tweet media one
11
11
30
@donah_finesse
How
4 months
🌍 Good morning 🌅🌄🌅🌄 CHAMPIONs Jana ilikuwa uyole leo zamu ya usangu Igurusi. Harakati zetu zikapate kibali mbele zake mwenyezi MUNGU tukapate kubarikiwa kila tuingiapo na tutokapo. Usisaha kusikiliza nyimbo ya Neema gospal quire-Nikurjeshee🎵🎶🎵🎶 Utabarikiwa sana🙏
Tweet media one
4
10
31
🌍KABLA HUJALALA SALI SALA HIII Malaika mlinzi wangu, unilinde katika hatari zote, za roho na za mwili. Amina. Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu. Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele. Amina🙏 HII SALA INANGUVU SANA ,HASA WAKATI WA USIKU. MUWE NA USIKU MWEMA.
Tweet media one
4
10
28
🌍 Weka handle yako hapa tukufollow chap chap 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
24
6
26
Karibu ujipatie maukali 🔥 📛 👩‍🚒 Ya kwenda na wakati 🧥🧥🧥🧥🧥🧥 Its only 15k Location:UYOLE MBEYA Free delivery hata wa mikoani
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
18
27
@donah_finesse
How
4 months
🌍HISTORIA FUPI YA MWIMBAJI ISRAEL MBONYI Alizaliwa mnamo mwaka tarehe 20/5/1992 katika nchi ya demokrasia ya kongo, Alipata maendeleo yake ya kimuziki akiwa na umri mdogo sana, Mbonyi ana elimu ya shahada ya famasia aliyoipata INDIA, 👇👇👇👇👇👇
Tweet media one
1
7
27
Tunavuna followers huku🔥🔥🔥🔥🔥
19
11
26
@donah_finesse
How
3 months
🌍Wewe Dj ongeza sauti kudadeq nipo na tajiri yenu hapa @EsirEid Ila huyu jamaa uzee wake ataenjoy sana,venye anaishi kidgitali saivi,hata uzeeni atakua hivi hivi Nyie wenye Roho zenu za kutu ndio mkizeeka mnakunjamana sura🤣🤣🤣🤣 #TajiriLaKihaya
Tweet media one
6
2
26
@donah_finesse
How
3 months
🌍Weka handle yako tukufollow chap 🔥🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
13
3
26
🌍SOMA LA LEO KATIKA KITABU CHA INJILI YA Mt. 25: 1-13 Yesu aliwaambia wafuasi wake: Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi. Watano wao walikuwa wapumbavu na watano wenye busara.... Go read 📚 kwa kina.
Tweet media one
2
8
22
🌍MAOKOTO NI MENGI SANA🔥💯 Siku zote weka akili mwako na kumbuka kuwa Kwa maisha tunayoishi hapa duniani,ni lazima utumie pesa ndio upate pesa,TAKA USI TAKE😎 Ukiwa na blue tick unaweza pata maokoto 😎 Vigezo vya blue tick: • Account Yako iwe na bio, profile picture na majina
Tweet media one
6
12
20
🌍 Wanaume ukimpa kitu mwanamke huruhusiwi kukichukia au kumnyanganya. Hivyo bhasi usimpe mwanamke kitu chochote isipokua MIMBA TUU😂😂 Ili yeye akudai malezi tuu😂🙌 Good morning 🌞🌄🌞🌄 CHAMPIONs
7
7
22
@donah_finesse
How
3 months
0
2
24
@donah_finesse
How
11 months
🌍Niwakumbushe tuuuu Kabla hujamkopea ndugu au Rafiki ako Mkumbatie kwa mara ya mwisho 😂😂😂😂 Kuna uwezekano mkubwa sana Msionane tena. GOOD MORNING MY FUREND
Tweet media one
1
9
22
🌍NAANZA KUWAINUA WATU 100 WATAKAO LIKE HAPA 👇👇👇👇👇 TWENDE KAZI. LIKE NIKUINUE CHAP
3
4
22
Good morning 🙏 🌄 ☺ Watu wa Mungu, Kama umeamka salama mwambie Mungu asante kwa zawadi ya uhai.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
5
6
22
@donah_finesse
How
2 months
🌍 Good morning 🌅🌄🌅🌄 CHAMPIONs Harakati zetu zikajipe tena siku hii ya leo tukaweze kupata chochote kitu tusirudi mikono mitupu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tweet media one
5
9
23
🌍SIKU YAKO IKAWE YENYE KHERI NA BARAKA TELE ZAKE MWENYEZI MUNGU. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 BIKIRA MARIA ULIEUMBWA PASIPO DHAMBI YA ASILI. UTUOMBEE.🙏🙏 Karibuni nauza Mashati Ya DOGYDOGY.
Tweet media one
5
14
22