Kwa Umoja wetu wote tuweke Rt Kama ishara ya kupaza sauti
Sauti hii itaenda kutufungua macho nakutuonesha alipo
@Sativa255
Sauti hii itaenda kumlinda
@Sativa255
huko alipo
Sauti hii iende kuangamiza wote ambao wanalengo baya na
@Sativa255
Eeh mwenyezi mungu tusaidie katika