Kuna ambao wameandaliwa maisha bora na wazazi wao na kuna wengine tumeandaliwa kuwatengenezea maisha bora wazazi wetu. HATUFANANI, kikubwa ni kuheshimiana tu..!
Wataalam Mtueleze Sasa , Mbona Kunakua Na Shida Kati Ya Wake Zetu Ma Mama Zetu? Mbona kina Baba Wametulia Tu Na Huwezi Kukuta Anafatilia Maisha Yenu. 🤔
Nilifata Mashariti Ya Wataalam Wa Afya Kwamba Usiku Haitakiwi Ushibe Sana Unaweza Ukala Matunda Tu Na Ukalala.
Napenda Kuwaambia Sitorudia Huu Upuuzi Njaa Imeniamsha Saa 8 Usiku 😂