Paschal sam Profile Banner
Paschal sam Profile
Paschal sam

@PaschalSam1

Followers
77,076
Following
4,950
Media
5,458
Statuses
167,279

A good heart will attract blessings.

Mwanza, Tanzania
Joined October 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
Kuna ambao wameandaliwa maisha bora na wazazi wao na kuna wengine tumeandaliwa kuwatengenezea maisha bora wazazi wetu. HATUFANANI, kikubwa ni kuheshimiana tu..!
27
83
303
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Wasanii wa kufukuzwa pale WCB ni Lava Lava na Diamond..!
119
44
1K
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
Taja msemo wake mmoja.. 😁
Tweet media one
287
32
1K
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Ni Mtaa Gani Ambao Kila Mkoa Upo?
825
28
1K
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Mwanaume ukiwa ujaoa unaitwa BACHELOR Je mwanamke akiwa ajaolewa anaitwa nani?
581
42
1K
@PaschalSam1
Paschal sam
3 months
Sema hapa watani mna mtu.🙌
Tweet media one
8
23
1K
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Nyumba Inaungua Moto Ndani Yupo MwanaFA Roma Niki Wa 2 Inatakiwa Umuokoe Mmoja Utamuokoa Nani?
585
39
1K
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Hii COVID19 ndo MwanaFA Alisema Bora CORONA Kuliko Malari? 😭😭
68
18
995
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Manara ameondolewa simba. Nini maoni yako kama Mshabiki na mdau wa soccer.? 🤔
160
26
848
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
"Kwa hiyo unasema nilikua namnunulia kila mtu"
Tweet media one
74
60
833
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Unavikumbuka??
Tweet media one
146
36
776
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
"Ili ufanikiwe , hamu yako ya kufanikiwa inabidi iwe kubwa kuliko hofu yako ya kutofaulu".!
47
125
727
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
Oya Uncle @Big0047 tafadhali Niwekee chapati hapo bembeni niishi nazo.😁
Tweet media one
21
17
747
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Huyu Fredi Vunjabei anatuchukuliaje yani? Hayo maneno mbona alikua hayasemi kipindi bado kapuku? 😀
76
19
710
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Ni mambo gani maskini na tajiri wana share? 🤔👇
217
9
699
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
Kwa hiyo na hii inauwezo wa kwenda km160 kwa saa? 😂
Tweet media one
Tweet media two
135
27
693
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
RATIBA YA MSIBA Napenda Kutoa taarifa Kwa ufupi kuwa Mwili wa Mpendwa wetu MARTINE ELLY (Balozimtaa) utaagwa Hapa Moshi-Mwika jumatatu. Jumanne alfajiri tutaondoka kuelekea nyumbani Mkoani Mara-Shirati . Mazishi yatafanyika jumatano.
71
109
694
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
MAKONDA DC wa wapi?? 🤔
64
11
673
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Kwa hiyo ukinunua umeme wa Elfu moja unapata units ngapi? 🤔
122
17
671
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Ukipata Nafasi Ya Kukutana Na Shetani Utamshauri Nini? ☺️
132
17
622
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Upo Umetulia Zako Unawza Mambo Ya Mbinguni Mara Ghafla Feona Anapost....😭😭
Tweet media one
120
15
623
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
Ni nyimbo gani uliielewa sana kutoka Kwa huyu legend.?
Tweet media one
141
13
617
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Unamjua? 🤔 Basi taja nyimbo yake 1 iliokukosha zaidi. 👇
Tweet media one
128
9
590
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Umejifunza nini kutoka kwa Shemasi, maisha aliokua anaishi mwanzo na maisha anayoishi sasa humu Twitter.??
111
30
574
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Alaf Mama Mnafiki Anarudi Kusema Kwamb Anaenuna Anune Anefurahi Afurahi Amemlenga Bashiru Nini? 🤣🤣
28
17
557
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Ukimfumania Mkeo, Usimpige, Wala Usimfukuze! Wee kaa Kimya Usimuulize Chochote Utanishukuru badae ✊
75
27
552
@PaschalSam1
Paschal sam
1 year
"Kimavazi bado sana" 😁
Tweet media one
63
13
566
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Kiswahili cha neno LEGACY ni kipi?
85
6
548
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Konde Boy Alijiingiza Kwenye Mahusiano Ambayo Hakujua Yanahusiana Na Nini! 😁😁
40
14
542
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Alikiba Ni Mwizi Kama Wezi Wengine, Nashangaa Mbona Hamsemi Au Labda Angekua Yule Wa Tandale? 😎😎
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
162
19
538
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Ukute Shilole Alisimama Na Uchebe Wakapanga Mkono Sema Tu Akazidiwa 😂😂
45
13
532
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
+1 🙏
Tweet media one
164
58
549
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Chelsea wamechukua UEFA zuji tu dunia nzima imesha sahau. Hii inamaana gani?? 🤭
75
7
526
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Kulikua na msanii anaitwa Mirror , nini kilimkuta?? 🤔
86
13
524
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Kwa Nini Yesu Alikua Na Wanafunzi Wa Kiume Pekee? 🙏
88
15
517
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Wanaume Wenzangu Hua Unajiskiaje Mwanamke Akikutongoza? 🤔
66
10
505
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Ni application (App) gani hata itokee nini huwezi kuzifuta kwenye sim yako?? 🤔
67
6
502
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
1_ Dar Ya Makonda 2_ Dar Ya Kunenge Ip Ni Dar Yenye Amani?😁
51
8
486
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Humu unaweza ukawa umekazana kumuita mtu Bro au Sister kumbe ni katoto ka 2000.😂😂
53
10
477
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Nisaidieni Kidogo, Kama Ulikua Umejiandikisha Mkoa Mwingine Na Uchaguzi Ukakutia Mkoa Mwingine Unaruhusiwa Kupiga Kura ?
106
18
482
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Hivi kumbe unaweza ukawa na pesa, alafu bado ukawa ni mshamba? 🤔
58
11
482
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Ni Uhuni Gani Hutokuja Kufanya Labda Dunia Ipinduke 😀
114
12
460
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Kwa mfano , Simba akapindua meza na akashinda , nyie mashabiki wa kukodi wa kaizer chiefs mtakua na lipi la kusema?? 🤔
76
10
446
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Nilikua najiuliza, jana simba imecheza mpira gani ule? Kumbe majibu ndo haya.. 🤪
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
60
38
457
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Mama Mbona Anapenda Kufanya Teuzi Usiku???😳😳
Tweet media one
72
19
454
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
Hivi Mayele ameshafikia japo nusu ya ubora ule aliokua nao Kagere.? 🤔
49
14
461
@PaschalSam1
Paschal sam
5 years
Saa zingine raha jipe mwenyewe, Nunua pampas Jifunge kisha jinyee.
61
21
450
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Mmeshaona Account Ambazo Mh. Rais Amezi- Follow? 🤔
26
13
434
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
yuko wapi MAUNDA ZORRO ?🤔
48
8
432
@PaschalSam1
Paschal sam
1 year
Real Madrid tafadhalini sana mkitaka kuuza WAZEE mtushitue..😂
Tweet media one
30
30
462
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Masanja Anataka Aachiwe Yeye Mwenyewe Alime Mpunga😂😂
26
5
433
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Hivi kuna msanii yeyote ambae amesha onyesha kuzungumzia swala hili na "Kodi ya mashikamano" 🤔
75
12
433
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Story Ya @IdrisSultan Kuanzia Alipopata Pesa Za Big Brother Hadi Alipo Sasa Hivi Ina Somo Kubwa Sana La Kujifunza. Hongera Sana Brother ✊
9
11
447
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Mimi mshabiki wa Man u , mnanishauri ninywe chai na nini hasubuhi hii?? 😢😢
58
5
425
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Kwa Iyo Shilole Alivo kua Anampiga Nuh Mziwanda Alijikuta Matawi Malipo Ni Hapa Hapa Duniani 😀😀
52
16
422
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Vodacom Wamerudisha 😀😀
Tweet media one
105
16
423
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Mchaga Ni Mtu Ambae Anaweza Funga Ndoa Saa 11:30 jion Alafu Saa 12:00 Akaenda Kufungua Duka 😂😂
24
10
415
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Omba Likizo Ya Wiki 2 Kazini Kwako, Alaf Umdanganye Girlfriend Wako Kua Umefukuzwa Kazi, Ili Ujue Tabia Zake Zingine!
25
18
412
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Nimekatiza Maeneo Ya Ubungo Stendi Kila Konda Ninayekutana Nae Ananiuliza "Musoma Au Shinyanga" Sjui Shida Itakua Nini? ☺️
33
5
419
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
Unaruhusiwa kupiga kelele, unaruhusiwa kulia, lakini usikate tamaa..! Asubuhi njema.👋
15
40
421
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Msaada.... Nimekula Nimeshiba Nifanye Nini Tena? 😎😎
125
5
409
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Yupi Analitangaza Taifa Vizuri Huku Nje Kwa Sasa? 1. Mbwana Samatta 2. Simon Msuva
69
5
417
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Msaada Ukitak Kua motivational speaker Inatakiwa ufanye nini?
76
10
401
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Usipo Tumia Uwezo Wako Kutimiza Ndoto Zako ,Watatumia Uwezo Wako Kutimiza Ndoto Zao ✍️
16
33
413
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Ukitaka Ufanikiwe Katika Maisha.. Uwe Na Roho Mbaya...Ila Uhakikishe Usimnyanyase Mtu Wala Usimkwaze Mtu..!📍
34
23
414
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Labda Ndugai Alikua Anamaanisha Hawa Vijana Wa JkT 854? 🤔
16
11
393
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Hivi Mahari Mwisho Shingapi Wadau Mbona Nahisi Kama Nataka Kupigwa😌😌
57
10
394
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Kama ungekua kocha ungependa acheze nafasi gani uwanjani? 😂😂
Tweet media one
127
15
393
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Kwa jinsi kipepe anavyo itete degree yake , unadhani getto kwake atakua ameiweka sehemu gani? 😂😂
35
14
391
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Wataalam Mtueleze Sasa , Mbona Kunakua Na Shida Kati Ya Wake Zetu Ma Mama Zetu? Mbona kina Baba Wametulia Tu Na Huwezi Kukuta Anafatilia Maisha Yenu. 🤔
45
18
380
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Ukiambiwa Uhame Tanzania Kwa Wakati Huu Utahamia Nchi Gani?
144
9
376
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Nilifata Mashariti Ya Wataalam Wa Afya Kwamba Usiku Haitakiwi Ushibe Sana Unaweza Ukala Matunda Tu Na Ukalala. Napenda Kuwaambia Sitorudia Huu Upuuzi Njaa Imeniamsha Saa 8 Usiku 😂
48
20
391
@PaschalSam1
Paschal sam
1 year
Asanteni sana AJAX hatuna cha kuwalipa ila MUNGU pekee ndie atakae walipa.🙌
Tweet media one
12
10
405
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
Huu mjadala si umeisha au bado ? 🤔
Tweet media one
Tweet media two
41
12
398
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
"Abiria nielekezeni vizuri , Mnakoenda ni wapi"?? 😂😂
Tweet media one
27
11
377
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Kanumba Alikua Anakula Mtoto (Lulu) Mbona Hamkupiga Makelele? Au Mlikua Amjajiunga Twitter? 🙄🙄
22
7
372
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
"Njia nzuri ya Kuendelea kusubiri neema yako na baraka zako ni kuendelea Kupambana tu" ✍️
12
33
367
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Vip Vifurushi Vya TTCL viko Vizuri Kwa Wenye Laini Ya TTCL? 🤔
37
3
378
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Nyie Mnaosema Paula Ni Mwanafunzi, Anasoma Shule gani? 😎
26
4
368
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Sikilizeni sasa niwaambie, Simba Sihami na Man United Sihami.. 😂
36
26
357
@PaschalSam1
Paschal sam
2 years
Mchezaji gani wa Yanga ambae inatakiwa ajifunze kutoka kwa Opa Clement? 🤔
Tweet media one
40
9
368
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
500K Ni Mshahara Wa Mtu Mwenye Level Gani Ya Elimu? 😀
40
4
345
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Samahani Kidogo.... Nini Maana Ya Neno MATAGA?😀
22
5
344
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Yanga TOT, mmepanga kumchezesha Madenge nafasi gani uwanjani?? 😂😂
16
5
360
@PaschalSam1
Paschal sam
5 years
Mwanaume anae oga Mara 3 kwa siku tunamuweka kundi gani?
105
0
352
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Jamani Hapa Tuna Tia Nini?😁😁
Tweet media one
22
7
351
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Mkosoe Mtu Kwa Nia Ya Kumrekebisa Na Sio Kumdhalilisha📌
16
36
347
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
"Kama Unaona Hufanikiwi, Badilisha Mbinu Na Sio Malengo". 📌
10
32
341
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
"wakati mwingine watu hawataki kuskia ukweli , kwa Sababu hawataki uwongo wao uangamizwe"📌
16
27
332
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Umeme ni nchi nzima?? 😳😳
51
7
331
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
hivi ukipewa 500Tsh ununue kitu ambacho kinaanzia na herufi ya kwanza kwenye jina lako utanunua nini? mimi: Pipi😂😂
152
3
329
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Kijana Kama Hauna Kiwanja Usipanic Uwanja Wa Taifa Ni Wetu Sote 😒😒
14
9
334
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Hauitaji kua bora zaidi ya mtu mwingine bali Jitahidi kua bora zaidi ya ulivyokua jana!!!
15
27
325
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Ukiwa Na Options Nyingi Katika Safari Ya Kuyasaka Mafanikio Unaweza Usifikie Malengo Yako! 📌
16
20
316
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
"Tunatukuza Harusi kuliko ndoa , Mapenzi kuliko Upendo , pete ya ndoa kuliko kiapo , na Uzazi kuliko malezi". 📌 ~ @tonytogolani
8
59
335
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Dunia Haiwezi Kusimama Eti Kisa Una Pitia Wakati Mgumu, Au Kisa Una Maumivu Makubwa. Dunia Inasonga Mbele Cha Msingi Umia Kidogo Songa Mbele .✍️
12
20
315
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
Prof. Assad Anatema Madini... Au Anatafuta Sifa Ili Arudishwe Kwenye U-CAG? Maana Sio Kwa Madini Haya!🤔
24
6
315
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Kwa jinsi Samatta Alivyo Na nyota 1.ubingwa na simba 2.ubingwa na tp mzembe 3.ubingwa na Genk 4.ubingwa na Aston Villa utaki jinyeeeeee😁😁😁😁
17
12
314
@PaschalSam1
Paschal sam
3 years
WAKAZI hapewi heshima inayostahili hasa katika industry ya muziki..
35
18
322
@PaschalSam1
Paschal sam
1 year
Shukrani nyingi kwa mwenyezi MUNGU kwa kuniongezea mwaka mwingine.🙏 Happy birthday to me.
Tweet media one
132
65
324
@PaschalSam1
Paschal sam
4 years
Kelvin John a.k.a Mbape Bado Ni Under 20? 🤔
Tweet media one
36
0
308