COSMASI MBABA Profile Banner
COSMASI MBABA Profile
COSMASI MBABA

@CosmasiMbaba__

Followers
24,069
Following
2,989
Media
2,213
Statuses
73,005

Msemaji wa #Manchester_City 🔥🔥

Tanzania
Joined September 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Sema Man City kuna pisi kali mno huu mwaka tusipobeba UEFA mniite mbwa niko nimekaa pale😁😁😂
Tweet media one
228
150
2K
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
6 months
Huyu mwamba ukileta za kuleta mtandaoni anakuchana na ukizingua anakutukana....ukibisha uliza mawaziri wako wakina Ummy wanamjua vyema moto wake😁 Na uraiani anatimba kama hivi anapata Self na Askari wenu mnaotegemea wamkamate😁😂🙌
Tweet media one
104
155
2K
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Hivi ilikuwaje mpaka Kajala akahukumiwa kwenda jera.....?🤔
Tweet media one
90
68
2K
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
11 months
Anaitwa Rodrigo Hernandez 1: Huyu jamaa hana Tattoo yeyote ile mwilini mwake. 2. Hatumii mitandao ya kijamii yaani hana account ya Twitter, FB, WhatsApp, Instagram, TikTok, Nk. 3. Hajawahi kumchit mpenzi wake. 4. Kila mwezi hutoa asilimia 75 ya mshahara wake kuwapa yatima 🙌
Tweet media one
76
52
1K
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
10 months
Micah Richards: "Nilipojiunga na Fiorentina sikuwa na uwezo wa kuzungumza Kiitaliano, hivyo nilimuomba Mario Balotelli anifundishe baadhi ya maneno ninapomsalimia mtu. Alinipa vidokezo, kisha nikaenda kukutana na kocha, Montella. Nikampa mkono, na kusema: "Testa di Cazzo"👇
Tweet media one
23
46
1K
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
#UZI MFAHAMU ROSALIA LOMBARDO MTOTO ALIYE FARIKI LAKINI BAADHI YA VIUNGO VYAKE VINAFANYA KAZI IKIWEMO KUENDELEA KUTOA SAUTI😪 Shuka nao uzi huu mdogomdoga hapo chini👇 Hufahamika zaidi kama mtoto mrembo aliyelala....alizaliwa 13/12/1918 huko palermo Italy ni mtoto pekee wa
Tweet media one
Tweet media two
35
178
958
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Msaada Tutani Twitter magari Hivi hilo neno LONG VEHICLE lina maana gani kwenye Lori...?
Tweet media one
113
51
839
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Ukweli usemwe simba mmetupanga hakuna kocha hapa😁🤣
Tweet media one
89
46
816
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
5 months
Shambani Kidogo💪 Ninamshukuru Mama Rais Samia kama asingekuwa yeye hizi ndizi zisinge iva namna Hiii 😁😂
Tweet media one
121
68
820
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Ukiachana na Vitunguu kitugani kingine umekiona hapo...?😁
Tweet media one
205
43
791
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 months
Alafu kuna fala anakwambia Man City haina mashabiki wengi.....😂😁😁
Tweet media one
168
55
806
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
LEMA: "Bodaboda nikazi yenye Lana". CCM: "Aliyesema bodaboda ni kazi yenye lana labda yeye mwenyewe ndio kalaniwa". Bodaboda wenyewe sasa👇 (R.I.P)
Tweet media one
102
58
777
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Sijibu labda mniue😁😂😁😂 Sema jobless na mapenzi tunateseka sana vitu vidogo kama hivi tayari kuna hatihati mahusiano kufa.
Tweet media one
140
73
729
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Mtu akikushauri uwekeze kwenye kilimo hakikisha presha na kisukari hauna😫
Tweet media one
90
51
732
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Elewa kwanza kilicho andikwa hapo hatuzungumzii KUNI😁
Tweet media one
50
62
673
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
11 months
Nimeshindwa kutoa hako kadude ikabidi nishinde njaa nimsubiri wife aje atoe yeye.... maana nilivuta hivyo vikamba then vikakatika🤨
Tweet media one
Tweet media two
109
36
663
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Imagine kunamtu Dada yake anakatwa na hii mbuzi😁
Tweet media one
108
38
622
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Ukiianza siku na kuimaliza salama mshukuru Mungu🙏 Tayari nimesha vunja mkono aisee😪
Tweet media one
Tweet media two
114
47
585
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Ukisema Moro ni ya Abood me nasema Moro ni ya BM sababu namba zinajieleza😎
Tweet media one
18
45
560
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Hii ngoma ya Ney wa mitago unaipa asilimia ngapi....?😀
Tweet media one
100
54
513
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Peku au Unavaa...?😎
Tweet media one
105
39
418
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Peku au Unavaa.....?😎
Tweet media one
92
38
422
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Leo 26/9/2022 tumempoteza shabiki mwenzetu wa Manchester City ambaye alikuwa akitumia Handle ya PUNDIT WA ETIHAD . R.I.P #PunditWaEtihad umeondoka bila kuishuhudia city ikichukua uefa msimu huu😭😪😪
Tweet media one
85
37
415
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Maisha yanaenda kasi sana yani saizi €100 inanunua mchezaji kutoka ligi laini mwenye takwimu za magoli 8 na assist 2😁😂
Tweet media one
79
38
400
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Umeona nini......? Mimi nimeona Gari la mwendokasi 😁
Tweet media one
117
40
396
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Mandonga mtu kazi kapotelea wapi? Maana hasikiki kabisa au upepo umesha kata......?🤔
Tweet media one
Tweet media two
40
42
398
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
UZI JE ilikuwaje mpaka Davido akafika ETIHAD kwenda kuishuhudia Manchester City ikichukua kombe mbele ya Chelsea kwenye dimba la Etihad nawakati yeye ni shabiki lialia wa Manchester United Basi shuka nao huu uzi mdogo mdogo hapo chini👇
Tweet media one
9
42
387
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Aiseee 🙌🙌
32
66
386
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
15 days
Dar - Arusha - Katavi 😬🤔
Tweet media one
5
25
387
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Msaada Tutani Hivi hapa bongo kuna mkeka mwingine wa moto kuuzidi ule wa Kondoa - Babati....?
Tweet media one
81
36
354
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
7 months
Hakuna swali silipendi kama mtu aniulize "umeanza kuishabikia Man City mwaka gani...?".😎😬
Tweet media one
40
31
359
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Msaada Tutani! Hivi nikwanini huu uwanja wa 974 unabomolewa...? Na wakati ulikuwa vizuri tu🤔
Tweet media one
30
29
340
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
"Wewe ni kocha mdogo sana shika adabu yako" 😎😁
Tweet media one
30
61
318
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Au basi sijui nilitaka kusemaje kuhusu hicho kikopo cha Rashid et nae kashika tuzo namabango ya kuchora 😁😁😂
Tweet media one
Tweet media two
32
41
306
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
" Kodi nalipa mimi, chakula ndani nanunua mimi, bills zote nalipa mimi halafu unapanda dakika mbili tu umesha mwaga".😂😁
Tweet media one
35
32
295
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
9 months
"Kila mwenye pumzi na amsifu bwana". Good Morning Twitter family 👋
Tweet media one
22
55
290
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Peku au Unavaa...? 😎
Tweet media one
92
21
262
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Tumtangulize Mungu tuwapo safarini. Good Morning Wasafiri Tanzania👋
43
53
276
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Kwasasa Uingereza kuna timu kubwa moja tu nayo ni Manchester City wengine ni wake zetu 😎. Good Morning wanangu wa Manchester City 🖐
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
29
48
268
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Man City fans wote Drop handle zenu hapa niwafollow chap 💪🔥
Tweet media one
108
62
270
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Tafuta hela mtengeneze timu zenu, Madrid wanafungika vizuri tu kwenye hatua za robo fainali, nusu fainali mpaka Fainali😁 Good Morning Twitter family
Tweet media one
34
70
262
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Zote bado abiria mmoja zijae na wewe ndio unafika stendi. Utaondoka na chuma ipi....?
Tweet media one
45
31
264
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Tumtangulize Mungu tuwapo safarini, Ajari zipo na zinaua. Good Morning Wasafiri Tanzania👋
Tweet media one
28
44
259
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Nimesha toka kanisani sasa nianze kuingia mtani kutembea ukiiona hii chuma popote pale piga mkono nikupe lift😁
Tweet media one
16
35
250
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Timu ndogo ndogo kama Chelsea, Manchester United, Tottenham Hotspur na Arsenal zina miaka kibao hazijabeba EPL.😎 Lakini klabu kubwa kama Manchester City kila mwaka tu inabeba🏆😁
Tweet media one
55
27
253
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
TRAB na TRAT😁
Tweet media one
37
37
249
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Anaitwa Prof. Anna Tibaijuka Huyu sasa ndio Anafaa kuitwa Mama.
Tweet media one
32
45
250
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Leo nasikitika kifo cha legend pele Lakini niwe tu mkweli sijawahi kumuona akicheza boll hata kwa dakika 2 ila naskia tu watu wakisema mwamba alikiwa anaubonda balaa. Kwahiyo mnataka kuniambia Pele alikuwa anaubonda kuwazidi Ronaldo na Mess niliowashuhudia kwa mbugi zao...?🤔
Tweet media one
39
25
244
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Tumtangulize Mungu tuwapo safarini. Good Morning Twitter
Tweet media one
15
31
239
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Ukweli usemwe Man City ya Pep Guardiola inawauma sana kuliko maisha yenu mamaee mtakufa wima kama MALAYA😎
Tweet media one
44
43
240
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Kama umesha isikiliza Ngoma mpya ya Roma Mkatoliki #NIPENI_MAUA_YANGU
Tweet media one
21
28
240
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
9 months
Niseme tu ukweli sijutii kuwa shabiki wa Man City 😂😁
Tweet media one
Tweet media two
22
50
231
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
11 months
Tuwekeni utani pembeni tuongeeni kuhusu soka. Ukitazama game ya jana kwa namna flani kama Arsenal alikuwa anatafutiwa ushindi na marefa. Game haikuwa na matukio yoyoto ya kuashiria upotevu wa dakika kwanini refa aliamua kuongeza dakika 8 nawakati City anaongoza....?
Tweet media one
69
15
229
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
3 years
Uzuri nikwamba uwezo wa kuwafunga nne zingine ninao hata tano pia😂 Oi @bajabiri leo tukiwakoseni sana basi goal 3😂
Tweet media one
25
8
217
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Good Morning Man City Fans
Tweet media one
33
45
227
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Kuna mwanangu mmoja pale coco beach me hua namuita Beach Boy Huyo mwana usiombe umepe demu wako akamfundishee kuoga ataliwa kizembe sana😁😂
Tweet media one
28
24
222
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Akianza tu kukuita mme wangu, umeisha😂😁😂😁
34
40
205
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Pale unaposkia Mechi ijayo unacheza na Manchester City yenye Haaland 😁😂
Tweet media one
20
23
215
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Shwaaaaaaa😁
Tweet media one
36
30
211
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
14 days
Mwamba endelea kupumzika kwa amani ulituonyesha namna ya kupambana nao. Binafsi nakuombea leo mpaka kesho🙏
Tweet media one
7
20
217
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Mwenzako anakuomba Follow back unamkazia humpi kisa umemzidi Followers na umaarufu kidogo wa Twitter Mabroo kumbukeni Followers sio nyama useme ukiskia njaa utakula kwanza tukifa Account za TL tunaziacha kama @BaloziMtaa alivyoiacha✌
46
48
204
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Eti tushushwe daraja.. Labda kama hatuijui kazi ya Pesa😎😁
Tweet media one
20
27
204
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Arsenal kuchukua ubingwa mbele ya Man City bado sana labda miaka 10 mbeleni huko. Kwanza Arsenal ni Man City B Chekini mambo hayo😎😁👇
Tweet media one
21
39
205
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Kumekucha wapwa Shusheni handle zenu hapa kisha Like & Retweet tuinuane🔥🔥✌
75
55
200
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
3 months
Hakuna matimu ya kisenge kama yanayo paki bus........🚮🚮🚮 Timu linapaki bus kuanzia dakika ya kwanza mpaka 120 mamaee hii ni 🚮
Tweet media one
59
28
203
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
11 months
Mkuu Dar - Zanzibar unaondoka na chuma gani hapo....?
Tweet media one
Tweet media two
34
19
204
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
7 months
Hivi mlisema tukibeba kombe gani ndio tunakuwa timu kubwa....?😁😂
Tweet media one
24
47
201
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Acheni football uwe mchezo unaopendwa duniania sio kwa mbanga hizi🙌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
28
192
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Msaada Tutani hivi kirefu cha UEFA ni nini....?🤔
13
18
189
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Wapwa asubuhi hii nitazifollow account 50 za kwanza ku retweet shusheni Handle zenu hapa tuinuane chap🔥🤟
63
68
188
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Siku ya leo Mungu akawabariki wanawake wote wapambanaji Good Morning Twitter family
Tweet media one
28
52
188
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Kila mwenye pumzi naamsifu bwana Good Morning Twitter family
Tweet media one
22
33
183
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Ila Twitter bwana! yaani pisi kali kama hii mnasema anasura ya baba yake dah🙌😁
Tweet media one
27
27
188
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Mimi na wewe tunaweza zani ni ubunifu wa msanii kumbe nyuma ya ground kuna jambo lao.
Tweet media one
31
33
181
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
8 months
Binafsi nawaombea ushindi Morocco wa 7-1 🙏
Tweet media one
30
27
190
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Account 50 zilizo active zishushe handle hapa nami nitazifollow chap 🔥✌
90
35
183
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Unasimama na uzi wa timu gani hapo kati ya Manchester City na Manchester United ....?
Tweet media one
Tweet media two
16
36
181
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Ndio nimetoka jera leo. Hapa ilikuwaje mpaka Madrid wakapigwa nne😁
Tweet media one
Tweet media two
21
36
182
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Ukiona Arsenal anaongoza Ligi ujue Man City bado hajacheza😁 Good Morning Manchester City fans.
Tweet media one
21
40
186
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
7 months
Nipeni Picha ya Klopp kama hii kama hakuna basi Klopp ni Kocha mdogo sana😁
Tweet media one
17
57
184
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
7 months
Kimetelekezwa huku kijijini kwetu watoto wanakazi ya kucheza nacho tu😁😄
Tweet media one
19
21
178
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Ukikutana na EX wako hua unapiga bao ngapi ........?😎
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
14
39
177
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Tumtangulize Mungu tuwapo safari ni. Good Morning Wasafiri Tanzania 👋
Tweet media one
22
40
179
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Wapwa asubuhi hii shusheni Handle zenu hapa tuzifollow chap🔥🔥🤟
68
47
151
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Wapwa mwendo ni uleule wa kuinuana Asubuhi hii Drop handle yako hapa tuinuane watu 50 wa kwanza kuretweet nawafollow chap🔥🤟
50
53
168
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Wakali wa Location hapa ni wapi......?🤔
Tweet media one
37
20
173
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
Kuna mwana mmoja kasema Mademu wanao shabikia Man U ndio wanao ongoza kwa umalaya na kuiba manaume za watu😂😁🙌
24
42
164
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Wapwa asubuhi hii shusheni Handle zenu hapa tuinuane Account 300 za kwanza kuretweet nitazifollow chap🔥🔥🤘
95
61
164
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Mpwa asubuhi hii Drop handle yako hapa kisha Like and Retweet tuinuane 🔥🤘
42
39
166
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
2 years
City fans Drop best picha ulionayo kwenye cm yako.
Tweet media one
40
24
164
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Hivi nikweli kuna baadhi ya mademu wana mikosi yaani ukiwa nae lazima mishe zako ziyumbe....?🤔
36
37
162
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Sema kwa ile Pressing ya Liverpool ya kukabia juu🙌. Wow! nasubiri kuona Onana akimpa pasi Magwaya😁😂
Tweet media one
16
28
164
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
kuziba mdomo kwa kuunganisha na glue maalumu lakini waliacha kwenye suala la macho kufumba na kufumbua ili watalii waendelee kuamini maajabu ya huyo mtoto.. Mpaka leo huko makumbusho ya Italy mtoto huyu yupo na bado huendelea kufumbua macho na kufumba. MWISHO NAOMBA RT YAKO🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
25
166
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Mpwa kama umeamka salama shusha Handle yako hapa tusalimiane kwa kuinuana🔥🤘
66
45
163
@CosmasiMbaba__
COSMASI MBABA
1 year
Beki za Liverpool zinakabia matako Chekini mambo hayo😁
Tweet media one
24
14
161