Anaitwa Rodrigo Hernandez
1: Huyu jamaa hana Tattoo yeyote ile mwilini mwake.
2. Hatumii mitandao ya kijamii yaani hana account ya Twitter, FB, WhatsApp, Instagram, TikTok, Nk.
3. Hajawahi kumchit mpenzi wake.
4. Kila mwezi hutoa asilimia 75 ya mshahara wake kuwapa yatima 🙌