Hajawahi kutokea mzee anaejua kuigiza kwenye hii nchi na kutuvunja mbavu kweli kweli kama mzee majuto huo ndio ukweli
Tumpe maua yake R. I. P king majuto🙏
Pichani ni mchungaji Tony Kapola akiwa na mkewe wakikagua eneo la ibada
Mke amevaa taiti anazunguka nae eneo linaloandaliwa kwa ajili ya ibad
Nimekua nikionya kuhusu maadili ya utumishi wa Mungu na miiko yake naona kama sielewek
Anyway, Kwenu waumini
Nasoma comments tu leo
Anaitwa Z-Anto mkali aliyetamba mno na wimbo wa Binti kiziwi najua wengi mlikuwa hamjui ila Jay Melody ni mdogo wake kabisa wa kuzaliwa
Sauti wamejaliwa mno aisee
JINSI YA KUJUA JINA LA MMILIKI WA GARI KUPITIA PLATE NUMBER
Hii ni njia nzuri ya kujua mmiliki wa gari au pikipiki kupitia number kwa kutumia menyu ya simu yako ya mkononi
Uzi mfupi sana shuka nao👇
Anaitwa Monalisa moja kati ya mastaa wakubwa wa bongo movies wanaojiheshim mno, ata siku moja huwez sikia skendo za kipuuzi mitandaoni kuhusu uyu dada. Kubwa kuliko anajikubali na weusi wake hajichubui hakika uyu ni kioo cha jamii
Tumpe maua yake tafadhali ❤❤❤
MIKOA MITANO MASKINI ZAIDI TANZANIA 2023
01. Kigoma
Ni mkoa uliopo kanda ya ziwa wenye Rasilimali nyingi lakini hakuna wawekezaji, ni mkoa unaosifika zaidi kwa umani potofu, pia ni mkoa unaotoa wasanii wengi sana Tanzania kuliko mikoa mingine
TOP 10 WATU MATAJIRI ZAIDI TANZANIA
1. MOHAMED DEWJI
Ni mmiliki wa kampuni ya METL inayotengeneza faida zaidi ya Bilion 136 kwa mwaka na ana utajiri wa $1.5B, anatajwa kua ndio bilionea namba moja katika mabilionea vijana Africa