Kwenye njia zetu za kutafuta mafanikio wapo walio rudi Kwa kufeli,tuwatumie hao kuongeza bidii na kurekebisha pale walipokosea ili Sisi tuwe mingoni mwa waliofauru
Gm🙏
Sijui kesso imebeba nini Ila ninaimani na anayetoa, ukipata fursa ya kupata kile ulichokipigania Kwa muda mrefu ndo fursa nzuri ya kutumia na walio tuvumilia kipindi hatuna kitu ✍️
Good morning TL