⚽️ sports michezo ⚽️ NAKUJUZA: “Mikel Arteta” ndo kocha pekee anayotumia mifumo ya makocha wakubwa wawili Duniani, na mifumo hiyo ni wa “Pep” na “Wenger”
.
Na mifumo hiyo amechanganya na mfumo wake na ndo mpaka sasa inawafanya mashabiki wa Arsenal kuvimba na kutamba kila kona