Mogela Profile Banner
Mogela Profile
Mogela

@mogelamsonga

Followers
2,342
Following
1,437
Media
7,053
Statuses
26,047

Sijasoma | @Arsenal 🩸 Fan ✨Football Crook✨

Dar es Salaam, Tanzania
Joined October 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@mogelamsonga
Mogela
5 months
Kumbe Chelsea na kelele zote zile hajawai beba hata FA Cup duuuh 😆😆😆
Tweet media one
41
13
233
@mogelamsonga
Mogela
1 year
⚽️ sports michezo ⚽️ Kama ww una watu wanaokuapa burudani katika starehe zako basi na sisi kwenye soccer tuna miamba hii hapa ndani ya Twitter soccer 😂😂 @Jeba_OG @phan_wa_2 @Jumaallymwiguru @thealpha24_ 🙌🏿🙌🏿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
29
19
200
@mogelamsonga
Mogela
8 months
📸 Ijumaa ya Mapichapicha 📸
Tweet media one
1
7
150
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️ sports michezo ⚽️ NAKUJUZA: “Mikel Arteta” ndo kocha pekee anayotumia mifumo ya makocha wakubwa wawili Duniani, na mifumo hiyo ni wa “Pep” na “Wenger” . Na mifumo hiyo amechanganya na mfumo wake na ndo mpaka sasa inawafanya mashabiki wa Arsenal kuvimba na kutamba kila kona
Tweet media one
6
10
90
@mogelamsonga
Mogela
1 year
@TreyUTD7 Fb I did all u said
0
0
78
@mogelamsonga
Mogela
7 months
Arsenal ya Mikel Arteta ndio Arsenal inachukiwa zaidi
Tweet media one
2
15
74
@mogelamsonga
Mogela
1 year
Mluguru wa kwanza kukipiga pale England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Bisha ufe 😆😆
Tweet media one
6
7
66
@mogelamsonga
Mogela
7 months
📸 Ijumaa ya Mapichapicha 📸
Tweet media one
1
5
60
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️ sports michezo ⚽️ Ana mechi 14 na anaongoza ligi - Arsenal ya Arteta imefunga ligi kwa njia iyo
Tweet media one
3
3
54
@mogelamsonga
Mogela
11 months
Wapwa tuinuane kwa kuongeza followers 🫶🏾🔥✔️
43
29
54
@mogelamsonga
Mogela
6 months
Stamina yupo hapo ila kuna watu watabisha
Tweet media one
9
5
55
@mogelamsonga
Mogela
1 year
⚽️ sports michezo ⚽️ NAKUJUZA UJUE: Nyota wa Manchester United “Mason Greenwood” hatofanya mazoezi wala kucheza mechi yoyote na Mashetani Wekundu mpaka pale team itakapofanya uchunguzi wa ndani kama iyo kesi imefika mwisho, ndani ya muda usiojulikana
Tweet media one
2
3
43
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️ Sports michezo ⚽️ Manchester United wapo katika taratibu za kusitisha kandarasi ya “CR7” 🇵🇹 klabuni hapo
Tweet media one
3
4
41
@mogelamsonga
Mogela
8 months
@Mr_HandsomeZa @mogelamsonga I follow back immediately
0
0
41
@mogelamsonga
Mogela
1 year
📸 Ijumaa ya Mapichapicha 📸
Tweet media one
1
3
41
@mogelamsonga
Mogela
8 months
Kuna hizi pisi @Neypaul01 @epQname na @Nana_nasmah humu X hua zinapotezewa sana ila ni pisi zakuvimba nazo kabisa wapwa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
13
37
@mogelamsonga
Mogela
1 year
⚽️ sports michezo ⚽️ ZA NDAAANI: . ✍🏿 Arsenal haikuwai kumfunga Spurs ugenini tangu 2014, Ila Arteta ameweza. ✍🏿 Arsenal haikuwai kumfunga Chelsea pale darajani tangu 2011, Ila Arteta ameweza. Weekend njema @Jumaallymwiguru @iam_sobo @AubaMiss_ @angelbellerin02 @phan_wa_2
Tweet media one
8
4
41
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️ sports michezo ⚽️ VAR ilikua bize nakuangalia Msimamo wa ligi na ndomaana mechi ya Arsenal dhidi ya Newcastle United ilikua inaamuliwa na mwamuzi hata pale palipokua panahitajika VAR
Tweet media one
5
3
39
@mogelamsonga
Mogela
2 years
Tweet media one
2
2
39
@mogelamsonga
Mogela
11 months
Hakuna chaziada zaidi ya ku follow na uwe followed 🔥🫶🏾 dondosha li handle lako chap
15
16
37
@mogelamsonga
Mogela
8 months
Huyo aliyebebwa mwezi ujao anafikisha miaka 51 🎂
Tweet media one
5
7
35
@mogelamsonga
Mogela
8 months
Ukute Rice alikua academy ya Chelsea ujue
Tweet media one
2
0
37
@mogelamsonga
Mogela
9 months
Nguvu ya ya mawazo inaweza kukusababishia uumwe au upone Sukuma asubuhi yako na hii
7
26
36
@mogelamsonga
Mogela
1 year
⚽️ sports michezo ⚽️ NAKUJUZA UJUE: Kwa mara ya kwanza kwa nyota wa Man City “Erling Haaland” kutokupata shuti lolote la kulenga lango na hata kukosa dhidi ya Tottenham Hotspurs katika mchuano wa Epl 2022/23
Tweet media one
4
2
36
@mogelamsonga
Mogela
8 months
Nani yupo active Tuinuane followers 👇
14
3
35
@mogelamsonga
Mogela
9 months
📸 Ijumaa ya Mapichapicha 📸
Tweet media one
1
6
36
@mogelamsonga
Mogela
1 year
⚽️ sports michezo ⚽️ 🥅 ⚽️🔥🙌🏿
Tweet media one
Tweet media two
2
5
35
@mogelamsonga
Mogela
1 year
📸 Ijumaa ya Mapichapicha 📸
Tweet media one
0
4
37
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️ sports michezo ⚽️ 🗣: Kama Arsenal wakishinda Kombe la Epl na “Martin Ødegaard” akaendelea kua na ubora huu basi atakua mchezaji bora kwangu - NUKUU ya “Rio Ferdinand” beki wa zamani wa Manchester United
Tweet media one
2
4
36
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️ sports michezo ⚽️ hivi ndivyo kikosi cha Spain 🇪🇸 kilivyo kanyagakanyaga nyasi za uwanja wa Al Thumama kwajili ya kuwazibiti Costa Rica
Tweet media one
2
1
32
@mogelamsonga
Mogela
6 months
Kiungo wa Arsenal “Thomas Partey” ameaza mazoezi rasmi
Tweet media one
0
4
31
@mogelamsonga
Mogela
7 months
Simba anabatizwa kwa moto mkali sana muda huu
Tweet media one
1
6
32
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️sports michezo⚽️ “Smith Rowe” amepona kutoka kwenye majeraha yaliyokua yanamsumbua. Arsenal na mashabiki wa Arsenal wapo katika sherehe nyingi sana, sherehe ya wao kuongoza ligi bila ya kipingamizi na sherehe ya mchezaji wao kupona @TriciaAbou @Jumaallymwiguru @MiriamMkanaka
Tweet media one
3
1
30
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️ sports michezo ⚽️ ✍🏿 “Leandro Trossard” 🇧🇪 amekabiziwa jezi nambali 19 na kandarasi yake inaisha 2027 ndani ya Arsenal The Gunners 👍
Tweet media one
4
3
28
@mogelamsonga
Mogela
6 months
Muda wakukomba active followers huu 🔥🤌🏿🤓🫶🏾🫶🏾
31
11
26
@mogelamsonga
Mogela
1 year
⚽️ sports michezo ⚽️ “Marcus Rashford” ndio mchezaji aliyojibebea mchezaji bora wa mwezi mara 3 kuliko mchezaji yoyote kwenye historia ya Epl 🔥👏🏿
Tweet media one
4
1
32
@mogelamsonga
Mogela
8 months
Hata haka unashindwa kukaweka pahala ?
Tweet media one
2
2
29
@mogelamsonga
Mogela
11 months
Mm napinga kua Mitoma leo hapati goli dhidi ya Man U
Tweet media one
7
5
29
@mogelamsonga
Mogela
7 months
Mbinu za kivita kwa sisi wanaume
Tweet media one
9
8
30
@mogelamsonga
Mogela
8 months
Nani yupo Online Tumuinue followers 👇
13
4
27
@mogelamsonga
Mogela
8 months
@Strictlyirene @mogelamsonga I follow back immediately
0
0
30
@mogelamsonga
Mogela
1 year
⚽️ sports michezo ⚽️ Matokeo ya Epl 2022/23 ya 01/03/2023 . Kisu cha ngaliba hakilali bila damu
Tweet media one
0
1
28
@mogelamsonga
Mogela
1 year
Final zote alizofika “Mikel Arteta” akiwa kama kocha Mkuu wa Arsenal zote ameweza kuipa Arsenal mataji 🔥🔥
Tweet media one
2
8
29
@mogelamsonga
Mogela
1 year
👍🔥
@Jumaallymwiguru
ChichaMandi
1 year
Leo Tunaweza Kumuona Trossard Akisimama Kama CF, Martinel Akiwa LW.Arsenal Fans Mnaonaje Hii Leo..??
Tweet media one
45
15
382
0
1
29
@mogelamsonga
Mogela
8 months
Tujiandae “Nuno Espírito Santo” anarudi EPL na atakua pale Forest 🌳
Tweet media one
1
2
29
@mogelamsonga
Mogela
1 year
Value ya Baba ni kubwa sema tu imejificha kubeba value ya Mama 😂 - salute kwa Wazazi wetu 🤎
2
11
28
@mogelamsonga
Mogela
1 year
⚽️ sports michezo ⚽️ 🙏
Tweet media one
1
5
28
@mogelamsonga
Mogela
7 months
Tunakaribia kwenda mjini hivi karibuni
Tweet media one
1
5
28
@mogelamsonga
Mogela
11 months
Follow 4 follow ✔️ 2 gain
17
15
28
@mogelamsonga
Mogela
1 year
⚽️ sports michezo ⚽️ Ratiba ya NBC Premier League 2022/23 ya 11/03/2023
Tweet media one
0
2
27
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️ sports michezo ⚽️ NAKUJUZA UJUE: Arsenal ya “Arteta” imevunja record ya Arsenal ya “Wenger” . Kwa hatua kama ya sasa Arsenal ya “Wenger” ilikua na alama 42 (Invincible Arsenal) na Arsenal ya “Arteta” ina alama 47
Tweet media one
1
6
28
@mogelamsonga
Mogela
8 months
📸 Ijumaa ya Mapichapicha 📸
Tweet media one
2
3
28
@mogelamsonga
Mogela
2 years
⚽️ sports michezo ⚽️ Ratiba ya Kombe la Dunia 2022 ya 26/11/2022
Tweet media one
4
2
27
@mogelamsonga
Mogela
10 months
Muda ni kile ambacho mwanadamu siku zote anajaribu kukiuwa lakini mwishoni kinamuuwa yeye Sukuma asubuhi yako na hii
3
15
27