Kwaajili ya yule mtu mmoja Alieumia,Alivunjika moyo,Anayehisi kutengwa,Anayehisi upweke,Anayehisi Hana bahati,,,
Wewe ni wa thamani,ni mzuri,ni wa muhimu,MUNGU akulinde🙏,akupe Amani na Kila hitaji la moyo wako kwaajili yako na familia Yako🙏🙏🙏
NAKUPENDA❤️❤️😊