MEMI Profile Banner
MEMI Profile
MEMI

@memimemi98

Followers
2,969
Following
1,691
Media
701
Statuses
39,141

Proudly sukuma😂,brown skin girl 🤎,I believe in GOD and Trust in prayers 🙏 😊, R.I.P. Daddy 💔😔

Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@memimemi98
MEMI
6 months
KINDLY RETWEET 🙏🙏 Karibuni mafuta mazuri ya nywele kwaajili ya kukuza nywele,kutoa mba na miwasho,kujaza nywele. Mafuta haya Yana madini kwaajili ya kuipa nywele Yako afya Kutokana na virutubisho vilivyopo kwenye mafuta hayo. Bei 10,000 delivery ipo 💯📢. KARIBUNI
Tweet media one
12
99
92
@memimemi98
MEMI
5 months
Walevi mje mtoe location Sasa😂😂😂
Tweet media one
488
49
1K
@memimemi98
MEMI
4 months
Haya twende tukapate mb za bureeeeeeeeeee OFA YA IDD💃💃💃💃💃
Tweet media one
148
85
832
@memimemi98
MEMI
5 months
Mnakua na maadui,ni kwanini eti??
Tweet media one
76
37
313
@memimemi98
MEMI
3 months
Ivi ni kwann??🤔
Tweet media one
58
27
271
@memimemi98
MEMI
4 months
Wale wa unaleta 2 mmoja kulia mmoja kushoto 🤣🤣🤣aaah nooo
Tweet media one
89
23
235
@memimemi98
MEMI
7 months
Msisahau na vyeti vyenu vya kuzaliwa😂😂😂😂
Tweet media one
22
40
182
@memimemi98
MEMI
6 months
Maisha yamewanyamazisha wazazi wengi sana waliokua wanaona watoto wao ni Bora Sana kuliko watoto wa wengine😂💔🚮
13
51
156
@memimemi98
MEMI
5 months
Nasoma comment 😂😂😂
Tweet media one
51
21
135
@memimemi98
MEMI
4 months
Haya semeni nyie maana mm hua namuita tuu anko😂😂😂
Tweet media one
61
25
128
@memimemi98
MEMI
7 months
Mimi na komwe langu tunawatakia usiku mwema😂😂😂
Tweet media one
40
33
123
@memimemi98
MEMI
10 months
Sio kwamba thamani ya mtu haionekani mpka aondoke,,,Bali tunajua thamani yake ila tunapuuzia maana hatuamini kama Kuna Siku ataondoka💔📌
20
63
121
@memimemi98
MEMI
5 months
Nasoma comment😂😂😂
Tweet media one
48
27
118
@memimemi98
MEMI
11 months
My future husband popote ulipo hujachoka kujipikia na kula kwenye migahawa??😂😂😂
Tweet media one
20
29
109
@memimemi98
MEMI
10 months
Hua tunaonekana watu Bora zaidi kwa wale wanaotuelewa❤️🥰📌
Tweet media one
22
33
104
@memimemi98
MEMI
10 months
Kuna muda ukimya hutunza thamani ya heshima iliobakia kwenye maisha yetu✍️✍️
15
49
98
@memimemi98
MEMI
4 months
Mbagala - mbezi😂😂🙌
Tweet media one
17
18
101
@memimemi98
MEMI
10 months
Achana na mapungufu Yake..Tazama umuhimu wake kwako kumbuka,hata MAJI MACHAFU yanazima moto pia✍️✍️📌
22
44
98
@memimemi98
MEMI
5 months
PLEASE RETWEET 🙏🙏 KARIBU JUICE YA MATUNDA 😋😋 EMBE🥭🥭 PARACHICHI 🥑🥑 NDIZI🍌🍌 PASION😋 KWA TSH 2,000 TU GLASS UNAPATA JUICE FRESH KABISA💯💯 LOCATION : NYUMA YA UKUTA WA SABASABA TEMEKE (TRH) KARIBUNI SANA 🙏🙏🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
79
96
@memimemi98
MEMI
11 months
Fare well my Dad 🕊️💔
Tweet media one
27
36
91
@memimemi98
MEMI
10 months
Nani anahisi nampenda nimwambie ukweli😂😂😂
20
29
93
@memimemi98
MEMI
10 months
Unapopata yule Mtu unamuita furaha Yako,Your dream partner katika kufurahi kwenu usiache kumuomba Mungu akutunzie KIBALI chako kwake na thamani Yako pia maana Sio kila Mtu anapenda kuwaona pamoja✍️ Thamani na KIBALI kikipotea UPENDO unapotea pia📌📌
21
46
95
@memimemi98
MEMI
7 months
Wishing you the happiest and merry Christmas X Family🎄🎄⛄⛄🎊NAWAPENDA❤️🥰
Tweet media one
26
39
91
@memimemi98
MEMI
3 months
Kabila langu jamani😂😂alisema mama ake hapendi wasukuma🤣🤣 nyie🙌🙌🙌
Tweet media one
24
21
96
@memimemi98
MEMI
10 months
wanatulaumu tumebadilika sana lakini wamesahau kua yale waliotufanyia ndo yaliotubadilisha💔📌
19
36
95
@memimemi98
MEMI
8 months
MEN; Ukiishaona huna malengo na mtu fanya at mwezi mmoja au miwili basi Unakaa na mtu 1,2,3mpk 4years afu unamuacha aende wapi Sasa💔hamna huruma ata😭💔💔😭
29
22
90
@memimemi98
MEMI
8 months
Kuna mengi tunatamani kumsimulia na kuelezea lakini hatuna watu wakutuamini,kwa hofu ya kuchekwa na kudharauliwa tunaugulia moyoni maana pia hatuna watu wakuwaamini😔
26
63
90
@memimemi98
MEMI
8 months
Am following back immediately 💯📢
18
40
76
@memimemi98
MEMI
6 months
Ogopa sana kumfanyia mtu ubaya maana ubaya hua unatabia yakurudi,usipokurudia wewe utasubiri kizazi chako...
15
39
92
@memimemi98
MEMI
6 months
WANAUME Kwanini mnakuaga WAKALI mkijua mmekosea au mwanamke wako amekushtukia,kwann tuu usiombe samahani kama binadamu wa kawaida??
20
26
90
@memimemi98
MEMI
10 months
Usilazimishe kila mtu kua vile wewe ulivo au kuamini kile wewe unaamini heshimu machaguo ya wengine sababu mwisho wa siku kila mtu ana safari yake✍️✍️
14
46
85
@memimemi98
MEMI
8 months
Mtu anafollowers 94 unampea follow back anaku unfollow 😂😂🚮
29
36
82
@memimemi98
MEMI
7 months
Wakikwambia unakasoro waambie ni kweli kabisa,ila usisahau kuwaambia wakuonyeshe ukamilifu wao ili ujifunze kutoka kwao✍️
17
51
81
@memimemi98
MEMI
10 months
Unavopambana na Hali Yako usitingishe yakwangu tafadhali 😂😂
14
24
80
@memimemi98
MEMI
7 months
Kuna wakati nguvu na utanashati wa mwanaume utaisha na uzuri wa MWANAMKE utaisha pia yatabaki mapenzi na uvumilivu baina yenu, kwaajili ya Siku hiyo jitahidi sana kuchagua mtu sahihi atakayeweza kukuvumilia na kukuthamini katika Hali hiyo.
19
45
77
@memimemi98
MEMI
6 months
FEAR MEN🌚
Tweet media one
16
21
78
@memimemi98
MEMI
4 months
Mimi hua najifanya nimeitwa naanza kuitika 😂😂😂
Tweet media one
20
14
78
@memimemi98
MEMI
9 months
Unapopata nafasi ya kuamka Tena basi jua ni nafasi ya pili ya Neema Mungu amekupatia, Go for it😍✊
21
56
77
@memimemi98
MEMI
1 year
0
0
78
@memimemi98
MEMI
9 months
Hatuna nguvu ya kufanya MEMA isipokua kwa msaada wa mwenyezi MUNGU,na hatuna uwezo wa kuyaepuka mabaya isipokua kwa Huruma za mwenyezi MUNGU ✍️.
16
46
73
@memimemi98
MEMI
1 year
1
0
68
@memimemi98
MEMI
6 months
Hii tabia yakuongea mwenyewe njiani inasababishwa na nini??
27
18
74
@memimemi98
MEMI
10 months
Kwaajili ya yule mtu mmoja Alieumia,Alivunjika moyo,Anayehisi kutengwa,Anayehisi upweke,Anayehisi Hana bahati,,, Wewe ni wa thamani,ni mzuri,ni wa muhimu,MUNGU akulinde🙏,akupe Amani na Kila hitaji la moyo wako kwaajili yako na familia Yako🙏🙏🙏 NAKUPENDA❤️❤️😊
20
47
70
@memimemi98
MEMI
3 months
Mmetoka kwenye kenge Hadi kiboko jmn mbn mnatuonea🙆🙆ila hii ni wale weusi afu wanene😂😂😂😂
Tweet media one
12
21
72
@memimemi98
MEMI
10 months
Jitahidi sana usiwe sababu ya mpenzi wako kuhamishia hisia/mapenzi/upendo wake kwa mtu mwingine ✍️✍️ Real is rare📌
14
25
74
@memimemi98
MEMI
8 months
Kila mtu anapitia changamoto/matatizo asiyoweza kumsimulia mtu yoyote,Unapopata nafasi ya kutenda wema tenda maana unaweza saidia kuokoa nafsi ya Mtu iliokua imevunjika😊
27
53
70
@memimemi98
MEMI
7 months
Nyakati ngumu huja kutuonyesha kua,sio Kila nguzo iliosimama inapaswa kuegemewa.
11
39
69
@memimemi98
MEMI
7 months
Mtu anakutafuta uachane na bby wake afu hata hajui kuandika hata kama n wewe utamuacha kweli😂😂😂😂
13
33
68
@memimemi98
MEMI
7 months
Wakati WA mazuri furahi na wakati WA mabaya shukuru,Kuna sababu katika kila jambo✍️
16
45
67
@memimemi98
MEMI
2 months
IT'S MY BIRTHDAY 🥳🥳🎉🎂 IT'S MY BIRTHDAY 🥳🥳🎉🎂 IT'S MY BIRTHDAY 🥳🥳🎉🎂 IT'S MY BIRTHDAY 🥳🥳🎉🎂 IT'S MY BIRTHDAY 🥳🥳🎉🎂 IT'S MY BIRTHDAY 🥳🥳🎉🎂 IT'S MY BIRTHDAY 🥳🥳🎉🎂 IT'S MY BIRTHDAY 🥳🥳🎉🎂 IT'S MY BIRTHDAY 🥳🥳🎉🎂
41
35
71
@memimemi98
MEMI
8 months
Kuna Muda upendo unatufanya kua wadhaifu na kushindwa kufanya maamuzi
9
29
70
@memimemi98
MEMI
9 months
Kila Aibu ni Ushuhuda, USIOGOPE 😊
17
53
68
@memimemi98
MEMI
5 months
Wema na Ubaya ni mbegu..., Chochote utakachopanda kitaota Siku moja✍️✍️
11
25
71
@memimemi98
MEMI
8 months
Kubali ushindani na iwe chachu ya kuongeza juhudi Yako bila kua na wivu Wala chuki kwa wengine kwa kuamini ulichoandikiwa wewe mtu mwingine hawezi kukipata Ridhiki Yako Iko palepale✍️🤝 Have a blessed week, Mungu atusaidie tufanikiwe🙏🙏
12
46
67
@memimemi98
MEMI
8 months
Jifunze kusamehe Kuna baraka zako nyingi zimezuiliwa na hiyo chuki na kisasi ulicho beba moyoni mwako ✍️
17
36
67
@memimemi98
MEMI
5 months
Yeremia 1:5 [5]Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa..... HAPPY BIRTHDAY🎂🎂🎉🎉🎉 🥳 🎉 katoto kangu❤️Mungu akukukuze vyema🙏🙏🙏🎂🎂🎂🎂🎂🍾🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
37
42
68
@memimemi98
MEMI
10 months
Ukijua babe wako anacheat utadeal na nani?? 1.babe wako❓ 2.aliekuibia penzi❓
18
26
68
@memimemi98
MEMI
8 months
Am following back instantly 💯
24
28
57
@memimemi98
MEMI
4 months
Kuna watu unajitahidi sana ku engage kwenye post zao Yani una like,RT na kujichekesha kwenye comment afu yeye anakuona kama shabiki yake tuu😂😂😂zako anazipita🤣🙌
21
33
67
@memimemi98
MEMI
5 months
Nipeni page nzuri za anonymous nikatoe ya moyoni huko🌚🌚
12
17
63
@memimemi98
MEMI
10 months
Kumpoteza mtu unaempenda inumiza sana na mbaya zaidi kifo ni fumbo kwetu 💔😔😔
8
13
63
@memimemi98
MEMI
9 months
0
0
63
@memimemi98
MEMI
5 months
Eti ni kitu Gani icho???
Tweet media one
23
14
66
@memimemi98
MEMI
9 months
Ikiwa Mungu ndie aonaye ya sirini basi tunaomba utuepushe na mabaya tunayopangiwa kwa Siri🙏🙏🙏
16
35
60
@memimemi98
MEMI
8 months
jitahidi kuishi kwenye mipaka yako ili kulinda heshima Yako,kua na kiasi katika mambo yako 🤝
11
44
61
@memimemi98
MEMI
7 months
Kimeshaiva karibuni😋😋
18
23
62
@memimemi98
MEMI
6 months
Kazi nyingine ngumu kwenye maisha ni kumuondoa mtu moyoni ambae ulimuamini,ulimthamini na ulimpenda sana...🌚
17
23
61
@memimemi98
MEMI
8 months
Nimenusurika kwenye ajali Leo baada ya gari ku overtake daladala niliyokua nimepanda kwa kusimama gafla mbele yetu🥺Ni kwa Neema ya MUNGU,tu tusiache kuomba Mungu atutangulie tutokapo na tuingiapo na kua mlinzi kwenye njia zetu🙏🙏🙏
20
29
57
@memimemi98
MEMI
10 months
Hawa wanaume wanajuaga yule atamuoa asee wewe unaenza pika,pakua,fua,for even 5years alafu akaenda oa mtu wamekutana for 3 months😂😂😂😂😂😂😂Matumizi mabaya ya viungo vya mwili😂😂😂😂
21
26
59
@memimemi98
MEMI
8 months
Katika harakati zako za kupenda na kupendwa,jitahidi sana usiwe second option.
16
34
57
@memimemi98
MEMI
11 months
Nipo hapa kuwakumbusha wale mnao ni unfollow kua NAWAONA😂😂 na malipo ni hapahapa X📌📌📌
Tweet media one
14
21
60
@memimemi98
MEMI
6 months
Mtag crush wako unaemtakia usiku mwema hapa ajione ❤️❤️🌹
27
12
56
@memimemi98
MEMI
11 months
WANAUME; Jitahidi sana kula tikiti angalau X2 Kwa Siku asubuhi na jioni Kwa faida Yako📌 Hii hamtaambiwa na wale wauza dawa za kuongeza nguvu za kiume😂😂😂😂😂😂 NB:Tafuna mbegu💯📌
Tweet media one
12
32
63
@memimemi98
MEMI
7 months
NAWATAKIA KHERI NA FANAKA YA MWAKA MPYA 2024🙏🙏🎉 NAWAPENDA❤️😘
Tweet media one
7
27
63
@memimemi98
MEMI
9 months
Tunatofautiana sana viwango vya Imani,akati unawaza ada watoto Kuna mwingine hili sio tatitzo kwake anasomesha mpk watoto wa ndugu na Rafiki zake,, akati wewe unateseka kutafuta hta 20k y Kodi Kuna mwenzako anateseka hajavaa nguo mpya mwezi mzima,unapoona mtu kafanya maamuzi...
11
30
60
@memimemi98
MEMI
7 months
Kuna mtu alinambia kati ya makosa sitakiwi kufanya ni kukutana na mtu wa humu X....Nini shida eti
16
27
59
@memimemi98
MEMI
8 months
Kwenye Mapenzi bhn wivu ukizidi sana inakua kero Sasa lol😂😂🚮
11
23
57
@memimemi98
MEMI
8 months
Mapenzi yanaweza kufanya ukawa mtu mzuri kwasababu utakua umepata dawa ya moyo na hisia zako au Mtu mbaya mwenye roho mbaya na asie na huruma sababu ya Yale uliyopitishwa💔💔
10
19
60
@memimemi98
MEMI
10 months
Wewe ulie kwenye nafasi nzuri kazini(cheo),wewe unaeingiza kipato bila kujali ni kiasi Gani muombe Mungu akupe HEKIMA ya kutumia madaraka Yako vizuri na pesa zako vizuri isiwe kama mtu anaeweka pesa kwenye mifuko iliotoboka📌📌🙏
19
45
55
@memimemi98
MEMI
7 months
Tunapitia mengi kwenye maisha yakuumiza,yakufurahisha,tunapambana tunapata na kupoteza pia,Kuna wanao ona BARAKA zao zinachelewa na wapo walio Anza kula matunda Yao,lkn katika Yote MUNGU atabaki kua MUNGU wa kila mtu,kila wakati na Kila mahali❤️ Baraka zako zipo usimuache MUNGU🙏
18
38
57
@memimemi98
MEMI
8 months
Sio kwamba thamani ya mtu haionekani mpka aondoke,,,,Tunajua thamani yake ila tunapuuzia maana hatuamini kama Kuna Siku anaweza kuondoka✍️✍️✍️
13
25
57
@memimemi98
MEMI
10 months
Unapoona giza usikate tamaa Kuna muda wewe ndo unatakiwa kua mwanga💡 Unapoona ugumu au kushindwa kumbuka Bado Kuna NEEMA mbele Yako usijikatie tamaa📌 Jitahidi kujinenea MEMA na kukiri USHINDI✍️✍️
18
27
55
@memimemi98
MEMI
8 months
Upo kwenye mahusiano ambayo hata hujui yanahusiana na Nini😂😂😂🚮
17
25
59
@memimemi98
MEMI
6 months
Huyu wa Sasa tukiachana tunagawana Dunia Sasa mtachagua wenyewe muwe upande wangu au muhame😂😂😂
13
20
58
@memimemi98
MEMI
8 months
Alhàmis Leo 🌚 Acha niende zangu mnada wa kigamboni nikasaguresagure😁😁😁
Tweet media one
19
30
59
@memimemi98
MEMI
10 months
Pua 👃 yangu inakua kubwa tuu sijui shida itakua nini 🤔🤔
17
7
53
@memimemi98
MEMI
6 months
Dear men 🥰 MUNGU Abariki kazi za mikono yenu na jitihada zenu zikazae matunda,awasimamie,awape amani na utulivu kwenye kufanya maamuzi,awajalie HEKIMA kwenye kutatua changamoto zote mnazo kutana nazo huko. Muwe na Siku njema na wiki ya mafanikio 🙏❤️
13
27
53
@memimemi98
MEMI
8 months
Uaminifu haupo Tena duniani jmn😌imagine mtu anatoa pesa ATM na anazihesabu kabla hajaondoka😂😂😂
15
17
55