Cappuccino✨ Profile Banner
Cappuccino✨ Profile
Cappuccino✨

@_GiftApril_

Followers
34,687
Following
9,690
Media
2,223
Statuses
104,554

Marketing Analyst || Sports & Adventures || @ManCity || @YoungAfricansSC

Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Tafuta Sana Hela, Vaa Vizuri, Kunywa Maji Mengi, Fanya Sana Ibada Na Uache Kujipa Umuhimu Kwenye Maisha Ya Watu...✍☺
198
459
3K
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Mkimaliza kula mkacheze mbali baba yenu anapumzika hataki kelele.. mama zetu enzi hizo🤣🤣🤣
244
120
3K
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Sijui ni mimi tu, ila Dating one Man inaleta Utulivu wa Akili na Nafsi. Unakuwa Huru popote. Unaepukana na stress za hovyo na maisha yanakuwa so very smooth. Kwanza hata UKE unakuwa na hali nzuri, good taste. Unaepukana magonjwa ya ajabu! Unamheshimisha hata Mwanaume wako!
229
136
2K
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Boyfriend Wangu Mtarajiwa Popote Ulipo Nakutakia Siku Njema Ya Boyfriending. Mm Pambo Wako Nakuombea Uletwe Upesi Tusicheleweshe Watoto Wetu Shule 😍😍😍❤❤
170
25
2K
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Je wajua? Ukubwa wa lips kwa wanawake ndo ukubwa wa mashavu ya uke? #FunFactFriday na #WapwaTuinuane
667
51
1K
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Mwanaume Mcha Mungu, Mwenye Upendo Wa Ukweli, Mpambanaji, Mwenye Akili Na Maarifa, Mwenye Hekima Na Busara, Anaeijua Na Kuitambua Thamani Ya Mwanamke, Ni Ndoto Ya Kila Mwanamke Anaejitambua...✍❤❤
158
62
1K
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Njia gani ikitumika kwenu wanaume kuombwa msamaha huwa mnasamehe haraka na kuruhusu amani itawale?! 🤔
199
34
984
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Hakuna Mwanaume Mkorofi Mbele Ya Mwanamke Mpole, Mnyenyekevu, Mwenye Utii na Heshima... ✍
98
50
953
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Dear Future Husband.. Ukinioa Nitakufulia Kwanzia Boxer Hadi Jeans. Nitakupikia Na Kukutunzia Nyumba Yako. Sitaki Dada Wa Kazi Or Mashine Yoyote. ☺☺
108
20
878
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Daaah wauguzi tunajitoa sana Mungu atulipe 🤗🤗
77
23
838
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Kwa shule zenye wanafunzi wa kidato cha sita ambao hawakumalizi syllabus, je siku 28 zitawatosha kumaliza syllabus ili Trh 29/06 waanze mitihani ya ACSEE?? Unadhani matokeo yatakuaje?
195
23
836
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Morning ladies & gentlemen.. Kwa sisi tulio single humu twitter mnaonaje tukipanga kukutana siku ya valentine, kuspend time pamoja katika mikoa tuliopo? Main agenda iwe interactions, games, Chakula, na good times.. Mnaonaje?
243
31
832
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile ni dhambi kubwa na watu wote wafanyao haya hawata rithi ufalme wa mbinguni, both men and women, anal sex #WapwaTuinuane
146
32
827
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Wanaume weusi wauawe ...
214
23
798
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Kumbe wale wakaka wanaolipiaga nauli wadada kwenye daladala bado wapo,, kanilipia nauli na hata hajaomba namba😃😃 Huyu atakuwa kaja Earth Ku survey Ila anatokea Mars😂😂
98
11
808
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Hivi ukifa Leo nani atatoa password ya simu yako?
207
20
755
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Kama anaosha mwiko akimaliza kusonga ugali, MUOE. 😎😯😂😂
94
20
751
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Vile baby wako wanaagana na baby wake wa ofisini baada ya "heavy Coffee Date" wanaambizana kesho wawahi kazini... 🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
52
21
757
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Kwamba Humu Ndani Kila Mtu Ana Apartment Nzima Anaishi? 😥 Na Baes Wao Pia Wanamiliki Apartments? Tukifichua Mafile Yenu Mtaambia Nini Watu? KOdi Yenyewe Unalipiwa Na Mume Wa Mtu!! Kaa Kimya Fanya Kazi, Acha Kudanga 🚮🚮😂😂 Single Rooms Matter
99
19
737
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Hey Y'all... Its my BIRTHDAY. Happy happy birthday to me. Namshukuru Sana Mungu wangu, kwa wema na fadhili zake tele kufikia Siku ya leo. Wazazi walionileta duniani na kunipa upendo na malezi bora. Marafiki na Jamaa wanaonipenda na kuniombea. Mungu awabariki wote ❤❤
Tweet media one
154
28
729
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Naskia Kuna Wanaume Huiba Wanawake Wa Wenzao Nashangaa Mbona Mimi Bado Sijaibwa.😭😭😂😂😂🙌🙌
115
5
722
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Ukituliza head hapa hukosi odds 10. Kazi iendelee💥💥💥 🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
60
56
745
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Dalili ya kwanza ya umaskini ni kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengi 🚶🚶 Mmoja au wawili wanatosha kabisa 😂😂
76
22
701
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Another Banger...💰💰 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
138
42
719
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Kuna Mtoto wa jirani hapa anataka kwenda kusomea ualimu,, Una lipi la kumwambia?😀
95
10
675
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Dear Ladies Wanaume Wanapenda Wanawake Wakarimu zaidi Ya Wanawake Wazuri😍😍
71
20
658
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Unampa mtu moyo wako kumbe moyo wake upo Kwa mama yake🙄🥺🌚
Tweet media one
111
42
678
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Wanaume, ni makosa gani ambayo hamuwezi kuwasamehe wanawake zenu??🤔
114
16
650
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Magoli ya simba Leo hata p2 haizuiii😂😂😂😂😂 magoli mengi sana
48
16
637
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Moyo wa mwanamke unadanganyika kwa mwanaume mmoja 💕
81
13
649
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Binafsi Nawaheshimu Sana Wanaume..
80
15
629
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Wadada Tutafuteni Hela Tuache Kuona Wanaume Hawako Romantic.. 😂😂
54
21
617
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
DM inafurika... 102 unread messages in 2 hours. 🙌 Mwingine anaandika naomba nikuoe nahisi ntakuwa nimebarikiwa sana😊😂 Mtaniua🙌🤣🤣🤣
67
12
616
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Shida Yangu Huwa Sipo Serious, Unaweza Niambia Unanipenda Nikucheke😂😂
75
23
632
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
#DearNyerere sikuhizi wanaume wanatumia Champ Soap kupiga Nyeto
93
9
625
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Nyie Watu Mmesema Tusikae Kimya Na Matatizo Yetu, Tuwe Tunasema. Kiukweli Mimi Leo Sina Maisha. Sina Hela Ya Msosi 😭😭😭
93
3
618
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Kama Anaweza Kubishana Na Kondakta Sababu Ya 100 Chenji Mbele Yako, My Sister You Are In a Very Serious Relationship 😂🚶‍♀️
39
14
592
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Nawakumbusha tu msiache kupeleka moto. Madem wanapenda pesa na shoo big big😋😂
62
6
578
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Mungu Awasaidie Wanaume Wote Wasije Oa Wanawake Wajinga Wajinga
57
30
576
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Hivi wale wanawake wanaofunguliwa biashara kubwa kubwa na kupewa zawadi za nyumba na magari wanakua wanafanya nn, 🤔,, mimi nakwama wapi? 🚶🚶 #wapwatuinuane
112
16
572
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Umevaa nini mkononi 😊🤗
Tweet media one
104
11
586
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Mguu wa Mwenye Kaya 👌🤗 Shadowing 🥰
Tweet media one
Tweet media two
79
35
571
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Baada ya ushindi wa Jana, tunampiga Kanjibai na Leo tena. 🎉✊⚡⚡ Tuendelee kukusanya pesa za pasaka.
Tweet media one
49
47
580
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Mwanamke mpambanaji na mwenye akili ni hazina. 💙
40
34
559
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Mwanaume mzima unalamba lips 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
116
8
542
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Good lucks.💥💥💥
Tweet media one
88
44
557
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Nani yuko Moshi mjini tukutane tupige story mbili Tatu, tutoe loki pia😋😌🤣🤣
66
14
525
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Walimu Tujuane,, Ualimu wa nini na chuo. Twitter mipango ikupangie pa kwenda🤣🤣 Mimi; Barchelor of Education With Psychology. Chuo: UDOM 😎🤣😎
91
10
522
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Katika kusali kwako, muombe sana Mungu akukutanishe na waliobeba mafanikio yako. Hello Neighbours 👋
15
64
533
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Umalaya Utaufanya Siri Ila Mwisho Wake Ni Fedheha. Ukute hata huyo mzee wa KFC na wine alikuwa na mipango nae ya maisha, who knows! Let's normalize dating one partner! Incase hio 1 haijawork ndo uachane nayo utafute pengine! Sio kuonja huku na kule! Cheating haijawah mbakiza mtu!
46
36
524
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Mwanaume Anaweza Kukumbuka Siku Zako Za Period Zinaisha Lini Lakini Hawezi Kukumbuka Mara Ya Mwisho Lini Alikufanyia Shopping 🚶🚶😂
70
7
512
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Tufanye Challenge 😂 Mtumie baby wako a random text, "I love you too" pasipo yeye kuwa amekwambia "I love you" Kisha tuma screenshot hapa🤣🤣🤣
97
30
535
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
The Flag The Face Happy Independence Day 😍😍🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
51
17
515
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Nifukuze hawa watoto wakacheze mbali kwa marafiki zao, nitawafuata jioni. Baba yao anataka kupumzika, jua ni kali. 😎😎🥱
44
9
520
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Jobless wenzangu, Leo tunapiga cha asubuhi au tunapiga nn?🤔😂
38
11
499
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Naombeni kuuliza, bei ya kuchora tattoo imefika shingap?? 🤔🤔
62
20
505
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Happy Union Day.. Late Lunch..😋😋😊😍 How it Started How it ended.😋😋🔥🔥 Mkono Uliopika
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
87
27
513
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Dear future husband, ukiisha nioa ntavaa t-shirts zako na boxer 🙇🤗😍
69
4
499
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Na Leo tumpige muhindi wanetu.. hakuna kupoa😂 Chambua hapo uweke pesa.🔥🔥
Tweet media one
50
44
520
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
Feedback nzuri kama hizi, nafurahishwa nazo.🥰😁🙏🙏
Tweet media one
34
5
502
@_GiftApril_
Cappuccino✨
2 years
🥂 to many more years of growing and glowing, success and paper making, Unceasing God's favors and Blessings🙏. Nizidi kukuwa nikimpendeza Mungu na Wanadamu,😊 Happiest belated birthday to me.❤ 🎂🍽🍻🍫🥰🍼💧🌞
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
161
61
495
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Sema kuna kale kafeeling mtu anakuaga nako siku nzima akipata cha asubuhi... 😋😂😂 Health therapy.
47
11
455
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Jobless tuamke tupige cha asubuhi siku ianze fresh,🙂
28
5
461
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Mapenzi ni huruma. Anaekupenda ni lazima akuhurumie. Ukiona hana huruma na wewe basi tambua hana mapenzi na wewe... ✍
40
26
454
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Umevaa nn mguuni 😊😊
Tweet media one
Tweet media two
114
21
481
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Wakuu eti kigogo 2014 wanasema ni form 6, ukimya wake yupo kwenye mitihani, akimaliza mtamuona 😂😂😂
44
9
449
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Huu umeme ni Daislamu nzima au ni kwetu tuu??? Mtu unaacha kumpa mkeo mimba sahii unaenda kutukatia umeme.🚮🚮
44
15
443
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Tumpe Mungu wetu shukrani kwa uhai aliotujalia.
23
17
439
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Tanzania Ukiwa Girlfriend Unakuwa Na Wajibu Mwingi Na Kazi Nyingi Kuliko Hata Ukiwa Housegirl..😐😐
31
17
443
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Ukinichokoza Una kula block manina
72
9
434
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Mwanaume mpe heshima tu, hawatakiwi kupendwa hawa viumbe,, mwanaume ni jukumu lako kumpenda mwanamke. Msibishane na maandiko,, ndo maana migogori haiishi. Ebo🙄
59
15
438
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Wakati wa Mungu ukifika na baraka zako utapokea na hakutakua na wa kuzuia... 🙏🙏❤
29
21
434
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Kuna Maswali Mengine huwa Yanakera Eti Oooh " Nikupe Nini ili uamini Kama Nakupenda"....Hivi nikikwambia unipe Mbu kilo 10 utaweza🙄
50
12
428
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Pesa Kidogo Tu Unaanza Kunyoa Kipara Na Kuachilia Mindevu Kama Osama Tukuone Sponsor 🚮😂
41
14
412
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Amka uoge Maji ya baridi, ugombanie daladala ukajitoleee🙄😂
24
13
427
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Hii mvua na hii harufu ya udongo alooo 😌😌😋
63
2
418
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
"Furaha ya kweli katika Maisha hupatikana pale tu.. unapoacha kujilinganisha na wengine na kuthamini Baraka ulizopewa." 🙏
14
32
423
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Usione Wewe Tu Ndio Una Stress Za MAISHA Na Mitihani Yake Kila Mtu Ana Pambana Zake, Tofauti Ni Kuwa Wengine Tunajifunza Kuziacha Ndani Tunapotoka Nje.... Tunajifunza Kucheka Kwa Sauti Baada Ya Kutoka Kulia.... Tunajifunza Kubeba Tabasamu Hata Kama Tuna Maumivu✊✊
26
29
416
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
5N Mlimani City Anyone?? Kama Unakunywa Soda Usije, Sinunulii Mtu Soda Mimi😂😂😂😂
30
6
411
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Wife materials tushaamka, tushaweka mazingira fresh, tushaandaa breakfast, sasa tupo njiani kuelekea kanisani. Nitawaombea wote Mungu afanye wepesi katika changamoto mnazopitia..🙏❤
41
10
400
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Em Subirini Kwanza. Kuna Pipo Hazijui Hata Billion 60 Inaandikwaje. Andika Billion 60 kwa Tarakimu 👇👇👇
53
6
395
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Brother Upo Kwenye Uhusiano Na Mtoto Wa Watu Kwa Miaka 5 Sasa... Hivi Hayo Ni Mahusiano Au Tamthilia Ya Isidingo? 🙄🚶
52
6
400
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
💥💥Bet Responsibly Mancity-Win(2), & Over 2.5 Man U-Over 1.5 New Castle- Over 1.5, 1X Napoli-Win(1), 1X Rennes-Over 1.5 Bayern Munich-1X, Win(1) Liverpool-Over 1.5 Athle.Madrid-Win(2), 2X Mainz-Over 1.5 Inter-Over 1.5 Monaco-Over 1.5 FC Porto-1X Sporting-Over 1.5 Ajax-Over 1.5
36
58
429
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
To All Men, Hakuna Mwingne mwenye jukumu la kumfurahisha, Kumthamini, Kumlinda , kumpenda na Kumpa attention Mwanamke Wako, ni jukumu Lako Brother. Ingawa Inabidi Utambue piah Kuwa Sio kila Mwanamke utakayemfanyia hayo basi atakupenda .. ukiona hana time sepa.
46
15
402
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Kama ungeambiwa usiamke mpk mpnz wako akutumie good morning text, ungeamka sangap?!
58
9
395
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Huyo Mwenza Wako Ana Akili Au Na Yeye Ikipigwa Nyimbo Ya Mama Amina Anaitikia Kumamakooo!!😂😂
32
13
409
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Leo Kuna balaaaa🔥🔥🔥 Macho yako yanaonaje????
Tweet media one
56
33
416
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Kuna Wale Wenye Wapenzi Wao, Kuna Wale Walioko Katika Mahusiano Yao, Kuna Wale Wanaopendwa, Halafu Sasa Kuna Sisi Ambao Hatuna Wapenzi, Hatupo Kwenye Mahusiano Na Wala Hatupendwi.🙁🙁 Tujuane Tuanze Mfungo Wa Maombi, Mwaka Unakata Huu Aseee!🙌🙌😂
65
22
407
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Kwenye hii mwendokasi nimepanda,, nimekuwa "surrounded by Men"😆😆😆😆🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
31
5
392
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Na Haka Kamvua Tulioko Single Tuendelee Kujifukiza Na Kuepuka Mikusanyiko 😌😌
53
8
394
@_GiftApril_
Cappuccino✨
3 years
Haijalishi uko mkoa gani, usiache kuoga asubuhi.. Ahsante🙏 Kumepambazuka!
47
6
393
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Tuishi na hii Leo. Kila la kheri✨🤝✊ 🔥⚡☀️
Tweet media one
32
26
413
@_GiftApril_
Cappuccino✨
9 months
Katika kuomba kwako, muombe Sana Mungu akukutanishe na watu waliobeba mafanikio yako. 👏🏻 Good morning brethrens ❤
Tweet media one
Tweet media two
18
56
412
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Mara paaap single mother kaolewa halafu cha ajabu baba wa kambo kafanana na mtoto 😂,, kwani hii dunia ni yetu 🚶🙌😂
24
7
391
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Tuchukue dakika moja sisi wote tuliozaliwa enzi za MAREHEMU MKAPA kumuombea pumziko la amani, Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe,, Amina. 😭😭🙏🙏🙏
35
5
387
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Yooooohhhh!!! Pasaka ipendeze kimtindo...💥💥💥💥 Tuliza akili tafuta odds 5 wekeza utulie😄🔥🔥🥳
Tweet media one
51
45
396
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Wanaume msijifanye hamjaona threads za bank statement.. tushaona za wawili. Thread inaendelea 😂😂
34
5
385
@_GiftApril_
Cappuccino✨
4 years
Wanaume naona mnazidisha makasiriko kutokujibiwa DMs Zenyu. Sasa mtu umeweka picha ya mchezaji mpira, wengine wasanii, wengine za logo, wengine cartoons, wengine wanyama, halafu ukiambiwa uambatanishe na picha yako hutaki. Ladies hatjibu DM za watu wenye picha personal..!
73
10
384
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 month
Twitter filamu nina swali. Ni kwamba mshikaji ana dau kubwa to the point directors wa bongo wanashindwa kufanya nae kazi au ye mwenyewe hapendi tu?
Tweet media one
42
20
405
@_GiftApril_
Cappuccino✨
1 year
Eyoooooooo Whatsapp buddies..! Chambua hapo weka mkwanja tumburuze muhindi...🔥🔥🔥😂
Tweet media one
44
32
393