Dogo kushilikishwa na big anaona tayari yeye ni mkubwa kwenye game that is stupid, amepewa shavu kwenye ngoma ya joh makini formula ameshindwa kupost ataa cover ya ngoma ya iyo ngoma,anasahau joh ni msanii mkubwa pia , all in all awa wanaume weupe sio wakwenda nao vitani🚮
Akujawai tokea video kali yenye ubunifu mkubwa kama hii tangu kuanza kwa bongoflava apa nchini kama unabisha niambie ni video gani kali kuishinda hii 🙌😁
Ili ndio wanasema uno la uzazi 😍
Camera man angebend kidogo tungepata kitu kizuri zaidi🤣
Sema bi mkubwa anataka kutugawia ladhi uyu🙌😅
Video kwenye comments 👇
Uwezi kuwa msanii mkubwa Duniani kama aujawai fanya ataa video ataa moja ukiwa kufua wazi wasanii wote wakubwa wameonyesha kifua vyao kwenye video zao 📌📌
Gadiel Michael 🇹🇿 akiwa na Cape town spurs
⏰️dakika 90 vs amazulu
⏰️dakika 90 vs ts galaxy
⏰️dakika 90 vs Orlando pirates
🏟Mechi 3
⚽️Goal 1
🎯Assist 1
2 games Win
1 game draw
Kabla yake timu ilikua aijapata ushindi katika mechi saba mfululizo,
Ila zimbwe 😅🙌
Ivi wanao semaga ronaldo ni mchezaji bora uwa wanangalia nini mimi kitambo najaribu kumfatililia sionagi maajabu yake🚮
Alafu eti apa ndio anajiandaa kupiga free kick 😂😂😂
chawa wanafanya jamaa aonekan kama ni mtu mwema katika jamii na kwenye kiwanda cha muziki lakini sio ivyo jamaa ana roho ya choyo, Anatumia fedha kutengeneza mazingira ya kuto tokea wasanii wa kumzidi yeye kimziki na wakati yeye ndio kishafeli kwenye muziki kabaki mfanya biashara
King nae aache kujiachia sana, uyu ni mke halali wa msanii mwenzake, na ndoa yao bado mpya kabisa sasa unapata wapi ujasili wa kusinzia kwenye mashavu ya mke wa mtu, awa wanaume weupe UTI zitaendelea kuwatafuna daily 🚮
Mama etu Mh SAMIA SULUHU na serikali yangu takatifu ya jamhuli ya muungano wa TANZANIA, Ahmed ali amelikosea taifa pakubwa mno, kwa kulinda heshima na maslahi mapana ya nchi yetu uyu niombe yeye na ao walio mtuma kuchukuliwa atua kali za kisheria ili iwe funzo kwa sisi wengine😡
Ana miaka 22 amechukua GRAMMY tena bila amapiano tuna msanii wetu mpaka amefungua radio na TV yake na anakaribia kuzeeka na ajawai ataa kuwa nominated this is shame😢
Baleke akae chini atafute video za mzinze itamsaidia kua mshambuliaji mzuri aondokane na kua mviziaji magoli yake mengi ni ya offside sema tu marefa wana mbeba
Wasanii wengi apa bongo maisha wanayo ishi, vitu wanavyo miliki sio vyao ivo, leo na kesho ataa ukisikia msanii mkubwa yeyote may be ameugua na anaitaji msaada wa kifedha don't judge we changia tu kuokoa jaazi🙌
Kuna watu mtakaa upande wa marioo ila kiukweli kuna baadhi ya watu wakisha ona wao ndio wamekufikisha mahali ulipo basi inakua nongwa wanataka kila wakisema wewe useme ndio marioo kazingua mbwa yule, mimi nipo upande wa homeboy chino wana mani📌