Didier Drogba🇨🇮
"Hatupaswi kuchagua wachezaji kwa kutumia hisia hapana, naamini zaha anastahili nafasi katika timu ya taifa kijana amekuwa bora tunahitaji huduma yake kama nchi"
Kweli 🤔
Mudathir aliachwa na Azam FC kwasababu alidai kuongozewa mshahara
Azam wakamnunua Fei toto kwa Million 200 kama mbadala wa MUDATHIR Na wanamlipa mara 2 ya mshahara aliouomba Mudathir ambao walikataa kumlipa😂😂😂😂
Yanga wakamchukua Muda bureee
Hii ni biashara ya Kichaa.
MCHEZAJI raia wa Tanzania Simon Msuva (30)
amesaini mkataba wa mwaka mmoja na klabu ya Cape Town City fc
inayoshiriki Ligi YaSouth Africa.
Katika dili hilo Msuva anatarajiwa kukusanya mkwanja
wa kiasi cha dola 12000 kwa wiki ambayo ni sawa na shilingi milioni 28 za kitanzania
Hii Picha ilipostiwa na chanzo kimoja cha habari cha Nchini Uingereza March 2023 kikionyesha Tattoo ya Mlinzi wa kulia wa klab ya Manchester United, Aaron Wan-Bissaka akiwa amejichora ramani ya Afrika tumboni kwake ikionyesha nchi ya Congo DR 🇨🇩 ambalo ndilo taifa lake ki asili.
Huyu Hersi Said Anawavuruga Sana Wapinzani Huelewi Alienda Kuwapa Hii Players Wake Wa Zamanj Kusajili Mchezaji TP Mazembe au Kupata Uzoefu Kwa Rais Wa TP Mazembe Mvurugano Tu😅😅😅
Yanga wanachokifanya kukaa kimya na kutofanya promotion ya Derby ya Kariakoo utani usiwe Uadui kwani wakifanya promotion kuna shida gani? Au uwanja ukijaa kunakua na negative effect gani kwa Yanga!? wenyewe it's not fear Derby imepoa Because Promotion Wanafanya Simba Pekee .
Mabibi,mabwana, wamama, wababa, Vijana kwa wazee.
Taarifa ziwafikie Joseph Guede ana Magoli mengi ya CAF kuliko Fiston Mayele aliecheza mechi 5😅😅👇
Young Africans ni kama round about ukiwa hapa kila anaepita atakuona tu.
Mabibi na mabwana hii ndo Young Africans mbovu ambayo haijatimia
Isiyo na Aucho,Yao wala star man Pacome Zouzoua.
Imetoa draw na kukosa nafasi tatu za wazi....😅
Ni vile tu Diamond platinums hawezi toka adharani na kusema ukweli Ila kwenye nafsi yake anajua kabisa hapa alipoteza msanii bora sana.
Harmonize the Goat.
Hii imeonekana kuwa picha bora sana huko Ivory Coast
Sasa tuseme ingekuwa imetokea hapa Tanzania halafu Kariakoo Derby,
Sitaki kusema sana lakini.
😆😆😆😆