MALENGO Profile Banner
MALENGO Profile
MALENGO

@Malengoo

Followers
41,713
Following
3,950
Media
6,704
Statuses
84,124

DOCTOR OF FOOTBALL ⚽.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined May 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Malengoo
MALENGO
2 months
We Duke haujui kua mudathiri nae anataka kucheza 😎
Tweet media one
14
53
3K
@Malengoo
MALENGO
18 days
Hili Swala Lina Ukweli Wowote...?
Tweet media one
155
121
3K
@Malengoo
MALENGO
4 months
Mtaalam Wa Picha Kaanza Kazi Yake....😅😅😅
Tweet media one
22
88
3K
@Malengoo
MALENGO
9 months
Mchezaji pekee ambaye hua halinganishwi na mchezaji yoyote.
Tweet media one
98
127
3K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Chama mzee ni bora kuliko Charles ahoua kijana😎😎😎
Tweet media one
21
87
3K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Nimewahi sema hili na Leo narudia Juma Abdul alikua bora ila Yao ni Quality kubwa zaidi. Jeshi🗣️🗣️
Tweet media one
19
47
2K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Huyu demu nyuma ya alikiba ni Nani namuona ona tu kwa diara alikuepo leo kala shavu Tena. Anaosha tu nomino😅😅😅
Tweet media one
57
54
2K
@Malengoo
MALENGO
3 months
FISTON MAYELE anakaa meza moja na striker wengi wakubwa ni vile tu alichelewa kupata sehemu ya kumpeleka Mjini mapema.
Tweet media one
7
33
2K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Father Benard Video kwenye Comment 🤣🤣🤣
Tweet media one
41
47
2K
@Malengoo
MALENGO
3 months
Moja Ya Wachezaji Wachache Waliopendwa Na Kila Mtu. Amri Kiemba.
Tweet media one
6
41
2K
@Malengoo
MALENGO
6 months
Job atacheza popote akiwa Yanga ila sio kwa kumfokea ni kwa maelekezo...😅
Tweet media one
41
66
2K
@Malengoo
MALENGO
6 months
Tangu mwamba aje nchini kafanya mechi kubwa kubwa za Young Africans kua nyepesi sana kimbinu mtu wa maana kabisa
Tweet media one
22
56
2K
@Malengoo
MALENGO
9 months
Hawa jamaa wanajua sana kuhusu comedy....🙌🙌🙌
Tweet media one
67
78
2K
@Malengoo
MALENGO
2 years
Bila Kujali Makosa Ni Ya Nani Mpe Neno Bibie Maushungi😂😂
Tweet media one
346
55
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Azam kuweni serious mnatambulisha mchezaji wetu😂
Tweet media one
14
40
2K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Oy mwamba Yuko town Kuna Alie muona 💪
Tweet media one
46
45
2K
@Malengoo
MALENGO
6 months
"Tuondokeni Yanga sisi ndo wanatutegemea"👇👇😅
Tweet media one
79
103
2K
@Malengoo
MALENGO
2 years
Ukiachilia Mbali Ushabiki Nani Ni Bora Kwa Upande Wako........?
Tweet media one
237
74
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Clement Mzize tuna profile vibaya tu ila huyu ni winger na sio striker.
Tweet media one
31
25
2K
@Malengoo
MALENGO
3 months
"Tuondoke Yanga Sisi Ndo Wanatutegemea"
Tweet media one
15
36
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Kazini kwa mudathiri kuna kazi..🔥
Tweet media one
5
25
2K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Haka alikovaa huyu dada pajani hua kana kazi gani....🤔🤔
Tweet media one
163
57
2K
@Malengoo
MALENGO
3 months
Moja ya wachezaji wachache ligi kuu ambao wamepata bahati ya kupendwa na kila mtu😎
Tweet media one
17
31
2K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Feisal feisal feisal hukupaswa kuyafanya haya....😣
Tweet media one
71
40
2K
@Malengoo
MALENGO
1 month
Ngolo Kante Na mama yake.
Tweet media one
4
28
2K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Yanga inamiliki ma dokta bora sana benard Morrison kaona bora aje atibiwe yanga kuliko madaktari wa FAR RABAT Morocco. Young Africans 🔥🔥🔥
Tweet media one
15
49
2K
@Malengoo
MALENGO
2 years
Ukiweka ushabiki pembeni nani zaidi ya mwenzake.....🤔🤔
Tweet media one
206
54
2K
@Malengoo
MALENGO
4 months
Huyu mtaalam wa picha apewe maua Yake mapema kabisa 😂😂
Tweet media one
3
37
2K
@Malengoo
MALENGO
1 month
Denis Nkane ana deserve kucheza timu ndogo kwa Sasa ngumu sana kupata dakika akiwa Young Africans timu imepanda level na yeye kabaki pale pale.
Tweet media one
33
25
2K
@Malengoo
MALENGO
29 days
Jinsi alivyowapika South Africa midfielder Leo hii hata kwenye tuzo za Kiungo bora hakuwemo😅
Tweet media one
28
38
2K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Didier Drogba🇨🇮 "Hatupaswi kuchagua wachezaji kwa kutumia hisia hapana, naamini zaha anastahili nafasi katika timu ya taifa kijana amekuwa bora tunahitaji huduma yake kama nchi" Kweli 🤔
Tweet media one
14
33
2K
@Malengoo
MALENGO
3 months
Dogo apandishwe sasa tumtengeze kama Shekhan.
Tweet media one
21
22
2K
@Malengoo
MALENGO
3 months
Leo ndo naelewa Kwanini FIFA walimpa nafasi Simon Patrick hii kichwa Ina akili mingi Sana.
Tweet media one
31
50
2K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Mudathir aliachwa na Azam FC kwasababu alidai kuongozewa mshahara Azam wakamnunua Fei toto kwa Million 200 kama mbadala wa MUDATHIR Na wanamlipa mara 2 ya mshahara aliouomba Mudathir ambao walikataa kumlipa😂😂😂😂 Yanga wakamchukua Muda bureee Hii ni biashara ya Kichaa.
Tweet media one
54
52
2K
@Malengoo
MALENGO
5 months
Yanga kwenye hili la Pacome Zouzoua tunaogpeana Recovery ya mchezaji inachukua karibia mwezi mzima....🤔
Tweet media one
118
28
2K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Pengo la Director Kenny Linaoneka Kwenye Video Za Diamond Platinums Quality Imeshuka Sana.
Tweet media one
98
31
2K
@Malengoo
MALENGO
6 months
Mzize akiwa mapumziko haachi kuwatembelea madereva bodaboda kuwapa hai, hajasahau alipotoka huu ndio uungwana Neno moja kwake.
Tweet media one
12
50
2K
@Malengoo
MALENGO
9 months
MCHEZAJI raia wa Tanzania Simon Msuva (30) amesaini mkataba wa mwaka mmoja na klabu ya Cape Town City fc inayoshiriki Ligi YaSouth Africa. Katika dili hilo Msuva anatarajiwa kukusanya mkwanja wa kiasi cha dola 12000 kwa wiki ambayo ni sawa na shilingi milioni 28 za kitanzania
Tweet media one
15
36
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Aucho ana mkubali sana Clatous Chota Chama.
Tweet media one
7
30
2K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Simba Akishinda Mechi Ya Leo Niitwe Aisha Mautamu Kwa Mpira Wa Geita Siwaoni Simba Wakishinda leo.
Tweet media one
438
54
2K
@Malengoo
MALENGO
2 years
Daah maisha haya🤔🤔🤒🥴
Tweet media one
98
49
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Achana na fundi duke Abuya huyu kocha wa viungo anatoa dozi nzito kweli kweli😂
Tweet media one
7
36
2K
@Malengoo
MALENGO
2 years
🗣️Kama Tanzania Kuna Pisi Kali Zaidi Ya Wema Sepetu Tuoneshee👇 .kwa Upande Wangu hakuna Wakumzidi.
Tweet media one
249
107
2K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Kijana Dyan Art akiwa na picha ya Mohamed Kudus alie mchora kwa mikono yake...🤝🤝
Tweet media one
4
25
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Sio mbaya kujifunza kwa waliokuzidi Diara sio mchoyo wa maarifa😎
Tweet media one
Tweet media two
14
40
2K
@Malengoo
MALENGO
3 months
Ngolo Kante.
Tweet media one
7
27
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Maisha yanenda kasi Leo hii Yanga Ina wakongo watatu tu😂😂
Tweet media one
10
22
2K
@Malengoo
MALENGO
5 months
Mchezaji pekee Alie kua anapendwa na timu zote Simba na Yanga fundi kabisa.
Tweet media one
22
33
2K
@Malengoo
MALENGO
1 month
Mashine Ya Kubonga 😂😂😂
Tweet media one
8
36
2K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Sahivi kuna tatizo la kiufundi kila demu mzuri ana mtoto 🤣🤣
Tweet media one
114
64
2K
@Malengoo
MALENGO
4 months
Mimi sitaongelea sana mambo ya football niko na huyu mpiga picha apewe maua yake.
Tweet media one
12
34
2K
@Malengoo
MALENGO
2 years
Weka Ushabiki Pembeni Nani Bora Kuliko Mwenzie Nandy. Vs. Zuchu
Tweet media one
322
81
2K
@Malengoo
MALENGO
29 days
Pengine huyu jamaa ana kitu special ambacho wengi hatukioni ikiwemo mimi but Zambia wao ndo wanajua Jinsi ya kumtumia kimkakati.
Tweet media one
27
32
2K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Kumbe kichuya yupo JKT na hamsemi..😅😅
Tweet media one
2
25
2K
@Malengoo
MALENGO
1 month
Hopefully hii sheria ya kutumia Under 20 wawili itampa Nafasi mtaalam 👇👇
Tweet media one
22
33
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Sema hili li Mu vibe linapiga picha bhana..😎
Tweet media one
6
27
2K
@Malengoo
MALENGO
9 months
Huyu dogo makuzi yake tunayajua akitusaliti kama kina KAMUNGO tunamroga.
Tweet media one
72
52
2K
@Malengoo
MALENGO
29 days
Huu Uwanja Wa KMC Complex Mpaka Mhame😅😅
Tweet media one
12
35
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Hakuna timu ilyo serious na project Inaweza uza mchezaji wake Bora Kwa $300K Simba na Yanga hawajawahi kua na maamuzi ya hovyo kiasi hiki😎
Tweet media one
37
35
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Options space attacking Machine And Space Covering Machine Young Africans tuna watu😎😎😎
Tweet media one
Tweet media two
6
35
2K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Simba kama lilivyo jina lao wana roho za kinyama Sana🚮🚮
Tweet media one
82
46
1K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Huyu jamaa anacheza timu gani hapa Africa 🤔🤔
Tweet media one
66
42
1K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Kwa sasa Tanzania hakuna comedian wakumshinda huyu jamaa.
Tweet media one
105
41
1K
@Malengoo
MALENGO
9 months
Hii Picha ilipostiwa na chanzo kimoja cha habari cha Nchini Uingereza March 2023 kikionyesha Tattoo ya Mlinzi wa kulia wa klab ya Manchester United, Aaron Wan-Bissaka akiwa amejichora ramani ya Afrika tumboni kwake ikionyesha nchi ya Congo DR 🇨🇩 ambalo ndilo taifa lake ki asili.
Tweet media one
7
49
1K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Watalaam Ina Ukweli hiii
Tweet media one
75
69
1K
@Malengoo
MALENGO
18 days
Talent inaishia benchi tu pale Singida Black stars afu Safi tu.
Tweet media one
22
25
2K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Hakuna uwezekano Young Africans wakaleta hizi Jezi sokoni tuzimalize chap😎😎
Tweet media one
7
36
2K
@Malengoo
MALENGO
5 months
Huyu Hersi Said Anawavuruga Sana Wapinzani Huelewi Alienda Kuwapa Hii Players Wake Wa Zamanj Kusajili Mchezaji TP Mazembe au Kupata Uzoefu Kwa Rais Wa TP Mazembe Mvurugano Tu😅😅😅
Tweet media one
11
38
1K
@Malengoo
MALENGO
7 months
Kama pombe ndo zinafanya uwe na kiwango hiki endelea kunywa mtaalam ikibidi tutakuchangia kila mechi. Okrah Magic Mahrez Foden The Mtaalam 🔥🔥.
Tweet media one
15
37
1K
@Malengoo
MALENGO
3 months
Gamondi anasema Kapata best three midfielders kwenye attacking zone na haitakua salama sana kwa wapinzani😂😂😂 Linapenda sifa hili zeee
Tweet media one
18
38
1K
@Malengoo
MALENGO
2 years
Ukiachilia Mbali Ushabiki Nani Kwako Ni Bora Kwa Muda Wote 🤭🤭
Tweet media one
290
69
1K
@Malengoo
MALENGO
3 months
Adolf Mtasingwa kaanza preseason akiwa na Uzi wa Azam Fc...😎😎
Tweet media one
15
23
1K
@Malengoo
MALENGO
3 months
Tuonge Serious Kidogo Kosa La Micky kwenye Hili Deal La Aziz ki Ni Lipi...?
Tweet media one
139
37
1K
@Malengoo
MALENGO
1 year
Kumbe bro ana share zake pale kwa Majizo na mabus ya nyehunge ni yake hii ndinga ni kwa ajili ya kupeleka watoto shule tu. Google me😂😂😂
Tweet media one
59
44
1K
@Malengoo
MALENGO
4 months
Yao Yao🗣️🗣️🗣️
Tweet media one
5
15
1K
@Malengoo
MALENGO
11 months
Yanga wanachokifanya kukaa kimya na kutofanya promotion ya Derby ya Kariakoo utani usiwe Uadui kwani wakifanya promotion kuna shida gani? Au uwanja ukijaa kunakua na negative effect gani kwa Yanga!? wenyewe it's not fear Derby imepoa Because Promotion Wanafanya Simba Pekee .
Tweet media one
252
46
1K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Vita yetu na Feisal itaisha siku ambayo ataacha kucheza mpira
Tweet media one
13
32
1K
@Malengoo
MALENGO
7 months
Mabibi,mabwana, wamama, wababa, Vijana kwa wazee. Taarifa ziwafikie Joseph Guede ana Magoli mengi ya CAF kuliko Fiston Mayele aliecheza mechi 5😅😅👇 Young Africans ni kama round about ukiwa hapa kila anaepita atakuona tu.
Tweet media one
12
62
1K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Namuona huruma Sana Nabi atapita magumu mengi😂😂
Tweet media one
3
28
1K
@Malengoo
MALENGO
5 months
Ogopa sana Mkongo man hajichumbui,hana Tatoo, hapaki breach, hanyoi mitindo yeye kazi yake ni moja tu kupiga ball. Yanga hapa tulipata mtu.
Tweet media one
33
48
1K
@Malengoo
MALENGO
1 month
Nikumbuka aliuzwa mtaalam akaletwa Onana hua nachoka kabisa mala hujakaa vizuri Mutale huyu hapa haya anaenda zake Raja Casablanca 😅😅😅
Tweet media one
9
29
1K
@Malengoo
MALENGO
6 months
Mabibi na mabwana hii ndo Young Africans mbovu ambayo haijatimia Isiyo na Aucho,Yao wala star man Pacome Zouzoua. Imetoa draw na kukosa nafasi tatu za wazi....😅
Tweet media one
23
47
1K
@Malengoo
MALENGO
1 month
Kuna siku Hans Raphael alisema Edwin Balua ni productive kuliko Kibu Denis prosper walitukanwa sana muda huu tunaongea lugha moja...😎
Tweet media one
16
23
1K
@Malengoo
MALENGO
9 months
Ni vile tu Diamond platinums hawezi toka adharani na kusema ukweli Ila kwenye nafsi yake anajua kabisa hapa alipoteza msanii bora sana. Harmonize the Goat.
Tweet media one
51
35
1K
@Malengoo
MALENGO
23 days
Nataka niuone utulivu wa Hamza mbele ya Mabululu😎
Tweet media one
26
23
1K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Mpira ni watu jamaa anateseka sana pale namibia.
Tweet media one
9
21
1K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Diara mechi tano alizocheza karuhusu goli Nne ila mwanetu manula alicheza mechi moja tu akaruhusu goli Tano😆😆😆 Class.
Tweet media one
43
26
1K
@Malengoo
MALENGO
2 months
Haya mateso wamepitia wengi sio nyie tu😅😅😅
Tweet media one
3
23
1K
@Malengoo
MALENGO
3 months
Duke Abuya anajua ball😎
Tweet media one
14
23
1K
@Malengoo
MALENGO
2 years
Taja kabila afu pita mbio...🤣😂😂
Tweet media one
289
48
1K
@Malengoo
MALENGO
1 month
Hakuna timu ambayo iko serious na project Inaweza muuza kipre kwa $300K haipo narudia tena Leo..🤝
Tweet media one
38
32
1K
@Malengoo
MALENGO
3 months
NBC priemer league inaenda kumshuhudia Kagere mwingine welcome Jonathan Sowah.
Tweet media one
7
33
1K
@Malengoo
MALENGO
1 month
INONGA BAKA alikuja juu ya mabeki wengi kama sio wote waliocheza Tanzania baada ujio wake one of the best defender.
Tweet media one
11
25
1K
@Malengoo
MALENGO
4 months
Kumbe Doku Na Oscar Oscar Ni Ndugu Na Hamsemi...😃😃
Tweet media one
Tweet media two
33
39
1K
@Malengoo
MALENGO
5 months
"Wachezaji wa dodoma jiji; "Brother tupe hata mikono tushike nasi tuwe bora kama wewe" Aziz ki:👇👇
Tweet media one
7
29
1K
@Malengoo
MALENGO
3 years
🗣️Ukiachana Na Mkongo Ni Nini Kingine Unaweza Tumia Ili UFanye Mapenzi Mda Mrefu🤔🤔
275
80
1K
@Malengoo
MALENGO
4 months
Tatizo Jipya ndani ya Ligi ya NBC priemer league player to watch. BASIALA.
Tweet media one
5
15
1K
@Malengoo
MALENGO
11 months
Huyu mzungu asije kutukatisha ndoto zetu za Kuchukua Ubingwa wa CAF Champions league azuuliwe mapema .
Tweet media one
18
33
1K
@Malengoo
MALENGO
8 months
Hii imeonekana kuwa picha bora sana huko Ivory Coast Sasa tuseme ingekuwa imetokea hapa Tanzania halafu Kariakoo Derby, Sitaki kusema sana lakini. 😆😆😆😆
Tweet media one
18
51
1K
@Malengoo
MALENGO
9 months
Kama Viungo wenyewe ndo hawa kina Ngoma Nagwa, Sarr jembe, Na putin hili jamaa litaendelea kuonekana bora sana. Khalid Aucho Young Africans 🔥 🔥
Tweet media one
28
37
1K