RICCO Profile Banner
RICCO Profile
RICCO

@itsricco123

Followers
5,213
Following
1,339
Media
508
Statuses
23,997

fan @simba sc memes lover👺

Dar
Joined May 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@itsricco123
RICCO
1 month
. Share link tupige story😎
0
2
2
@itsricco123
RICCO
1 year
Kwa mfano ukapelekwa jela miaka 30, si ni sawa na miaka 15, kwasbabu wanaesabu usiku na mchana🤔🤔
Tweet media one
107
55
664
@itsricco123
RICCO
1 year
Huyu ndo mnasema ni pisi, kali kuliko wote tz?. Em tuwe serius🤕🤕
Tweet media one
182
55
634
@itsricco123
RICCO
1 year
Mkisha kuwa maarufu mnawakataa wazazi wenu, mr mwanya popote ulipo njoo uchukue mdingi😎😎
Tweet media one
56
59
583
@itsricco123
RICCO
1 year
"Kipepeo hakamatwi kwa mikimbizano, panda maua mazuri atakuja hata na shoga zake."✍
Tweet media one
36
68
510
@itsricco123
RICCO
10 months
Hapa bila hela unaweza ukaambulia hata nini??
Tweet media one
77
20
392
@itsricco123
RICCO
10 months
Kama hujapata kitonga cha tigo,nifollo njoo diemu tugawane kitonga😎😎
Tweet media one
110
32
363
@itsricco123
RICCO
1 year
Al ahaly sio wajinga bwana📌🔨
Tweet media one
44
39
352
@itsricco123
RICCO
1 year
Achana na huyo mama aliyerusha nyungu em tuongelee kuhusu camera man aliye piga picha🤕🤕
Tweet media one
22
48
330
@itsricco123
RICCO
1 year
"Shangazi nishakujua ni wewe rudi kijijini ulipotoka kabla sijakumwagia mafuta ya moto!!"🤣🤣
Tweet media one
41
67
304
@itsricco123
RICCO
1 year
Wazee kwani nauli ya kwenda sauzi afrika ni shingapi, maana kuna maamuzi nataka niyachukue apa🥱🥱
Tweet media one
51
39
276
@itsricco123
RICCO
10 months
Kumbe boni yai nae kapeleka chipukizi, watu sio wakuamini😎
Tweet media one
26
17
266
@itsricco123
RICCO
1 year
Nakumbuka mara ya mwisho "Grace" aliniangalia hivi 👇 niliishia kuuza frigi ya mama yangu ili nimnunulie sim malaika wa watu😇😇
Tweet media one
54
45
247
@itsricco123
RICCO
1 year
Hivi mbona sijawahi kuona pisi kama hii mtaani kwangu, au nyie wanangu mnawapata wapi wahivi??🤔
Tweet media one
88
37
241
@itsricco123
RICCO
9 months
Sometimes itakubidi tu ucheke uongeze siku za kuishi, maisha mengine yaendelee😂😂
Tweet media one
Tweet media two
28
30
229
@itsricco123
RICCO
1 year
😂😂ujana ni maji ya moto!!
Tweet media one
49
56
224
@itsricco123
RICCO
1 year
Wakuu nimempa mimba mtoto wa mganga, mkiona mbwa mweusi mtaani msimpige😰😰
Tweet media one
53
65
214
@itsricco123
RICCO
1 year
Kipindi nipo mdogo nilikuwa najua kwamba,Wiz khalifa na Mia khalifa ni ndugu🤔🤔
Tweet media one
28
46
206
@itsricco123
RICCO
1 year
Hapa naona wasanii watatu, au nyie mnaonaje wazee😇😇
Tweet media one
39
33
199
@itsricco123
RICCO
1 year
Oya wazee geuzeni turudi, amempakata tu🤣🤣..
Tweet media one
42
42
186
@itsricco123
RICCO
1 year
Only legends will understand 😂😂
Tweet media one
26
42
190
@itsricco123
RICCO
1 year
Ankoo nimekuoshea laptop yako ipo nje inakauka,,
Tweet media one
15
31
186
@itsricco123
RICCO
1 year
Wakuu hapa vp? Nisubili kakue au nimalize game mapema 😎😎
Tweet media one
64
23
171
@itsricco123
RICCO
10 months
Naskia wanajipigia
Tweet media one
26
7
168
@itsricco123
RICCO
1 year
Just imagine 🇹🇿 kusingekuwa na wali maharage tungeishije..anyway msiache kushusha hando mchote followers.
Tweet media one
28
36
163
@itsricco123
RICCO
9 months
Huwa sisomeagi mezani mimi'👇 Baada ya dakika 5
Tweet media one
16
20
149
@itsricco123
RICCO
9 months
Binadamu asiye na masikio huwa anaitwa nani???
Tweet media one
48
20
149
@itsricco123
RICCO
1 year
Duh, sijui nilitaka kusema nini lakin hela ni muhimu kuwa nazo!!😎😎
Tweet media one
14
44
143
@itsricco123
RICCO
1 year
Kuliko kusoma four figure, si bola tungesoma odds ..🤕🤕
Tweet media one
13
21
138
@itsricco123
RICCO
1 year
Kweli uchawi upo yani hela nilizozitafuta wiki nzima,siku 7, zimeisha leo siku moja tu juma pil😥😥
Tweet media one
7
31
143
@itsricco123
RICCO
1 year
Kuna watu huwa wanapenda hasara kwny biashara zao sasa kama huyu, hyo ni frigi ya cocacola lakn anaweka had maji ya uhai🤣
Tweet media one
18
21
133
@itsricco123
RICCO
1 year
Wakuu nipo field nimeambiwa ukiwa 80km/h ukikanyaga pedal ya 4 gari inajipiga screenshot
Tweet media one
16
22
130
@itsricco123
RICCO
11 months
Nasinzia nikikuwaza😎
Tweet media one
19
30
126
@itsricco123
RICCO
11 months
Naona first year hawana mchezo likija swala la lunch😎😎
Tweet media one
11
18
128
@itsricco123
RICCO
1 year
Aliyeweka pilipili kwenye ndoo ya chooni, mwambieni sisi sio milima 😰😰
Tweet media one
19
25
123
@itsricco123
RICCO
1 year
🤣🤣 Au kama una iphone Xs max Gb256 njoo tukupe unyama huu.
Tweet media one
19
24
122
@itsricco123
RICCO
1 year
M PESA : Umepokea Tsh 10000 👇Mimi baada ya dakika mbili🤣..
Tweet media one
25
30
121
@itsricco123
RICCO
1 year
We dada unatembeaje mtaani na pochi kubwa kuliko makalio yako, jiheshimu basi😎😎
Tweet media one
17
38
122
@itsricco123
RICCO
1 year
Haya mabas ya mwendokasi yamesaidia kupunguza foleni huku daislam🤝 watu hawachelewi kazini..
Tweet media one
19
24
120
@itsricco123
RICCO
1 year
Unachomoa simu exam room, ili ucheat pepa gafla unakutana na break up text🤕🤕
17
25
119
@itsricco123
RICCO
1 year
Kule DM nimeambiwa nina kiherehere.anway mapenzi ni mabaya aisee😇😇
Tweet media one
15
40
115
@itsricco123
RICCO
1 year
Kwa wale wazoefu, ivi ukiwa unaish na mshangazi asubuhi unalisalimia ama unavunga??🤔🤔
20
28
117
@itsricco123
RICCO
1 year
Nasemaje, mimi kama jobless nisipopata wa hivi! Sioi📌🔨
Tweet media one
18
48
109
@itsricco123
RICCO
1 year
Imagine wewe ni jobles, alaf hii pisi imekuzimikia kwa hali yoyote ile 🥱🥱
Tweet media one
29
23
112
@itsricco123
RICCO
1 year
Siku zote fokas katika ndoto zako.✍📌🔨
Tweet media one
19
26
109
@itsricco123
RICCO
1 year
Huyu dogo ana kipaji cha uchoraji,atafika mbali, kama akipewa suport!📌🔨
Tweet media one
25
21
107
@itsricco123
RICCO
1 year
Ricco. hukuninunulia abaya siku ya eid so hutokaa uone huu mguu wangu kwako. Mguu wenyewe sasa🤣🤣 👇
Tweet media one
17
31
108
@itsricco123
RICCO
1 year
Laana zingine ni za kujitafutia, nacheka kama mazuri🤣🤣
Tweet media one
12
15
111
@itsricco123
RICCO
1 year
Kwa hii kichwa hata panado haielewi ianzie pande zipi🤣🤣
Tweet media one
24
36
109
@itsricco123
RICCO
1 year
Twitter wataalam, huyu ni wa mkoa gani hapa Tz??😋😋
Tweet media one
19
37
105
@itsricco123
RICCO
1 year
Twitter wajuaji hii imekaaje kitaalamu??🤔🤔
Tweet media one
16
17
103
@itsricco123
RICCO
1 year
Nawakumbusha tuu kama mwanamke wako anakupenda bas atakuzaa tena📌🔨😂😂
Tweet media one
16
30
101
@itsricco123
RICCO
1 year
Ndugu zangu nikimaliza hichi kitabu ntawamiss sana🤣🤣
Tweet media one
12
16
97
@itsricco123
RICCO
1 year
Malegend em tusomeeni hapo izo ishara zinamaanisha nn😎😎
Tweet media one
13
35
97
@itsricco123
RICCO
1 year
Mliopo kwa mkapa tuambien iyo Wi-Fi inafanya kazi ama vijana wa ovyo washapita nayo😎
Tweet media one
6
17
94
@itsricco123
RICCO
9 months
Wapwa katika moja na mbili😎
Tweet media one
13
14
94
@itsricco123
RICCO
1 year
Ukitaka kuchanganya fuvu lako, jaribu kuielewa hii picha🤕..
Tweet media one
23
26
80