Washamba bado Wapo na Wengine Wamezeeka,Namna ya kunyamazishi kelele za Wanaotaka haki sio kuwapoteza wala kuwafunga,Njia Rahisi ni kuwajibu Maswali Yao.Kumbukeni Mkiwamaliza Mnaodhani Wanawasumbua Mtaanza na Mnaowatuma,MULA HULIWA ALISIKIKA MLEVI MMOJA
@ExMayorUbungo
@fbuyobe