RAPHAEL PHAUSTINE Profile Banner
RAPHAEL PHAUSTINE Profile
RAPHAEL PHAUSTINE

@RAPHAELPHAUSTI8

Followers
2,088
Following
6,737
Media
570
Statuses
74,823

Mwanza, Tanzania
Joined December 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
7 months
Wanaotupigia kelele na Vijumba vyao vya kupiga Unafiki mbona @ExMayorUbungo yupo na Haringi Hongera Sana Bigyai🫡
Tweet media one
Tweet media two
3
14
193
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
3 months
@HopeQuotes__ Badala ya kufanya kazi unasubili Mafuta ya Tapeli Akuuzie mafuta ujipake ubaki na Umasikini Apate Pesa zako Agawane na Serikali unayoilalamikia kila Siku Akili ni Nywele sio Mafuta ya Mwamposa
3
3
83
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
8 months
@Benblack02 Hiyo ndio njia ya kuondoa hiyo laana ungemuita umchape viboko vya kutosha akawaonyeshe na hao wanaofanyana shenzi sana
1
3
81
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
@MsigwaPeter Pastor wa Mchongo toka Umeenda kwa hao Mashetani Umekuwa Mvivu kufikiri,Kwa nini usingemshauri huyo katibu wako akashiriki Mdahalo?Swali Kati ya Makatibu Wa Upinzani na Katibu Wako huyo Nani Anayo Majibu ya Maswali kwa Wananchi.Mwenye Majibu ya Watu wanaotekwa ni Mnyika? SHAME
7
2
67
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
21 days
@HopeQuotes__ @marwa_augustino @tanpol Aliyefanya Hivi Hana Utu Huyu ni Baba wa Familia Siongelei Rushwa Ningependa Kama Unalipoti Rushwa Nenda Takukuru
20
0
65
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
6 months
@AbroadTanzania Hiyo ya kuweka Majina ya Wauaji Imekaa poa Sana
0
1
65
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
Washamba bado Wapo na Wengine Wamezeeka,Namna ya kunyamazishi kelele za Wanaotaka haki sio kuwapoteza wala kuwafunga,Njia Rahisi ni kuwajibu Maswali Yao.Kumbukeni Mkiwamaliza Mnaodhani Wanawasumbua Mtaanza na Mnaowatuma,MULA HULIWA ALISIKIKA MLEVI MMOJA @ExMayorUbungo @fbuyobe
Tweet media one
2
34
64
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
8 months
Mungu Ana Maajabu yake,Ukitafakari Huyu ⁦Lissu Mungu yupo Yule Askofu wa Kanisa la Efatha,Aliyesema Lissu ni Muujiza unaotembea Hakukosea.Mungu Amlinde Mpaka Akamilishe Kazi njema ya Ukombozi wa Taifa Letu Pendwa 🇹🇿
0
19
52
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
@lifeofmshaba @DunyaRango Wenje Mdogo Sana Sisi Wana Mwanza tulimtoa kwenye Maisha Magumu sana Akiwa Mwalimu choka Mbaya Asijaribu Pia Wajaruo Hawatakubali Awasaliti,Wenje sio Rahisi hivyo Atazomewa Mwanza nzima labda asikanyange Mwanza Maisha yake yote
6
5
50
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
4 months
@Twaha_Mwaipaya Nikuongezee Ulinzi Binafsi ni Mhimu sana Usitembee kiboya Hakikisha una kitu ambacho hautajuta ukikutana Nao yaani atakayekuja kukukamata kihuni Kufa naye Simple
2
0
50
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
8 months
@fbuyobe Aloyce Dah umenishitua Miaka ya nyuma alikuwa na Pesa nyingi za Madini alipiga pesa nyingi kama B kazaa na Ndio kijana alijulikana Mwanza kwa Jina la Chenge zimeisha Aloyce Makengeza Watu wa Bariadi(Ntuzu)Noma Sana 😂😂😂
2
3
45
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
6 months
@YerickoNyerereT Mzee wa Mizimu hakika Umeiheshimisha Mizimu yako,na Umeheshimisha (UJASUSI) Umezungumza kwa Sauti kubwa sana kaka kikulacho ki nguoni Mwako Rais Atakumbuka Kumepambazuka Akumbuke tu anavyozidi kutengenezewa Adui ndani ya Chama chake Anawapa Nafasi Adui wa Nje pia
2
3
41
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
3 months
@MsigwaPeter Tatizo lako Unajifanya Mjuaji kumbe ni Mshamba Mmoja,Tatizo lako hukutengemea Kuwa hapo ulipo Chadema Wamekutolea Tongotongo Sasa unaona Mjanja Kumbuka kuna Kesho Jifunze Kubalance Shobo kesho ni Mhimu kuliko leo yako
1
0
37
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
@malisa_gj1 Ukiona Mbwa Anabweka sana jua Boss ndie anampa kiburi Mrisho Mpoto ni Mbwa Tabia za kujitoa Akili kiasi hicho hawajifunzi kwa Sabaya.Mimi Kama Mkatolika kanisa langu Limetukanwa
0
1
36
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
Vijana Wachache Wenye kuwaza na kuona kuna Sauti inahitajika Isikike Maskioni Mwa Watawala,Nafikiri haikupaswa kuwaona Adui na Kuwawinda,Tafakari yangu ya Leo kuna Haja ya Wenye Mamlaka wanaotumika Hovyo kuacha Mara moja Tabia ya kishamba inayoendelea
Tweet media one
1
18
36
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
3 months
@ExMayorUbungo @ExMayorUbungo Ifike Sehemu tuchukue hatua Acheni Uoga tutaisha hayupo aliye Salama Sasa
0
2
34
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
3 months
Kumbe Pastor @MsigwaPeter Ulikuwa na kazi Maalum ya CCM na Sasa Umemaliza Basi Usitupigie Kelele za Kitoto @ccm_tanzania @ChademaTz @AbroadTanzania @ExMayorUbungo @KumbushoDawson
Tweet media one
3
11
32
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
4 months
Zoezi liendelee Mpaka Usiku Please 🙌🙌
Tweet media one
7
16
33
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
@Mchambuzi5 Baba Askofu Huyu Mwaka 2012 Akiwa Mwanza wakati huo nikiwa katibu wa Vijana (VIWAWA) Parokia Fulani Mwanza katika Sherehe ya Matawi ambayo Huadhimishwa kila Mwaka.Vijana Jimbo nzima Walishiriki nilifanikiwa kupata naye chakula ni Mtu Makini na Hapendi Unafiki
4
2
32
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
Mnafikiri tupo Salama?Mnafikiri Huyu kijana Atapenda Nchi yake?kuna Siku Mtalipa hata Mkiwa mmekufa tutachapa Makaburi yenu.Msitulazimishe kuwapenda kwa Mapito haya huu ni Ushamba wa Kiwango,Hamtufundishi kuogopa Mnatupa Ujasiri wa Kutafuta Namna ya Kujitoa kwenu.
Tweet media one
5
6
29
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
@MkomboziHabari Nape Anakaushamba Furani hivi halafu Mjinga tu Sema Amebebwa na Kamera zinazommulika pasipo sababu ya Maana kwake
1
1
29
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 years
Happy birthday @imcleopatricia Olewa sasa Upunguze kudanga 😂😂😂
Tweet media one
3
4
26
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
5 months
@EduTalkTz Yaani Aliyekubomolea ndo unamwambia akusaidie Elimu ya Uraia ndio Tatizo
2
1
29
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 years
Mazingira yetu,Uhai Wetu tunapaswa tuyatunze ili yatutunze.Kila Mmoja Wetu anao Wajibu wa Kuhakikisha anawajibika @ortamisemitz @magoke_regina @KivuyoLaurel @rollymsouth
Tweet media one
0
4
30
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
Nilipoiona Hii Picha nimelia kwa Uchungu Mkubwa,Ndugu yangu anapitia Mateso makali.Viongozi Wetu hata Miundo Mbinu ya Barabara za Mitaa imewashinda,Nimeshindwa Kabisa naungana na @ExMayorUbungo 😭😭😭😭😭😭
Tweet media one
1
3
30
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
Mnaoteka Siku Mtateka Watu Wenye Watu Wao huko Na Wenye Cheo Kwenye Mihimili mliyopo,Watahakikisha Aliyehusika Familia yake Hatabaki Hata Sisimizi kwenye Mji huo @Sativa255 Amekuwa Shuhuda Kuna Siku Aliyefanya Atatolewa Hadharani na Kutaja Waliomtuma. @ExMayorUbungo @fbuyobe
Tweet media one
2
13
27
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
@fatma_karume Na sisi Tutakuwa Chawa Waupinzani na Tutashinikiza Katiba lisiwe Hitaji la Msingi ili CCM inyoke kwanza 😂😂😂
9
9
29
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
4 months
Unajisikiaje Kaka #Ben hongera kwa Kazi nzuri Nakuhakikishia Mungu Aonaye Sirini Atatenda jambo kwako hata hatachelewa kwa kuwa hapendezwi na Maovu,
Tweet media one
2
10
26
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
22 days
@JamesMbowe4 @godbless_lema Nchi imekuwa ya kihuni
0
0
28
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
21 days
@MalisaGJ_ Na Tena kwa Taratibu za Kanisa Kauli Haitiki Chini Inatoka Juu na Hakuna Swali🙏🙏
0
0
28
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
25 days
@Sativa255 Nakwambia Ukweli Jambo hilo Limefika mbali nilikuwa na Jamaa zake Mafwele Juzi Dah Wanamudiss sana huwezi Amini
0
1
28
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
8 months
Tupo na Ninyi Bega kwa Bega kuhakikisha Tarehe Tajwa hapo chini tunawakumbusha Iwe Mvua au Jua Mlipo tupo 😂😂😂
Tweet media one
2
5
25
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
7 months
@Twaha_Mwaipaya Tukiwachekea hawa ndugu zetu itakuwa hivyo watwambie kama zanzibar ni Dola la Kiislamu
4
1
26
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
4 months
Tunataka Polisi Watwambie Wamemkamata huyu @Eric__Bernard Afikishwe kwenye Vyombo vya Kisheria.Huyu Atwambie Nani Alimteka @Sativa255 kwa Ujumbe Alioutoa hapo Chini 👇👇 @tanpol @Advocate_Jebra @Mwabuk2Boniface @AbroadTanzania @BabaMwita @TheChanzo @KumbushoDawson
Tweet media one
5
10
25
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
26 days
@Ujuguhapa @fbuyobe Kuna Wakati Mdomo huponza Kichwa Na Vijana Wengi Wapumbavu Kama Wewe Umaarufu Umewageuza kuwa Watumwa wa Pesa Na Kujikuta Wanajipa Umhimu kuliko Watu Wanaohitaji Msaada Wao hata Ukimya Ungekufanya kuwa Bora kuliko Kichwa kilichoponzwa na Mdomo
0
0
25
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
3 months
Naandika……..Naandika……..Naandika tena…….Mungu Akusimamie 🙏🙏🙏
Tweet media one
5
5
24
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
3 months
@TanzaniaOneJezi Utajiri wa Pastor wenu kwangu niliona Mashaka
0
0
22
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
11 months
@fbuyobe Inauma na inafikirisha Ni huzuni kwa Familia ya Razak ambao waliomtengeme Mungu Ailaze Mahala pema Roho ya Mpendwa Wetu Razak 😭😭😭
0
0
23
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 years
0
3
21
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
6 months
@godbless_lema Uaskali ni kazi ya raana sana
16
1
20
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
@Mzee_Nyoko Yego Janji Jifuli jagongemeli😂😂😂😂
3
1
20
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
@TzGiza @fbuyobe PONGEZI Mkuu Wa Wilaya ya Katavi Mh Raphael Phaustine Anampongeza Mheshimiwa @fbuyobe kwa Kuteuliwa kwake kuwa Mkurungezi Mpya wa Usalama wa Taifa.X republic 👏👏
2
2
20
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 years
Hongera @MalemboLE Kwa Certificate,Hii ni kuonyesha Mchango Mkubwa unaoutoa Kwa Taifa Tunakutia Moyo Endelea kupambana Sisi tupo pamoja na Wewe.Nawapongeza pia Mliopata Tuzo Mbalimbali Tunatambua Michango yenu kwetu 👊👊 @rollymsouth @nyuki_malkia @spana_Konki @Big0047
Tweet media one
2
7
21
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
@MzalendoDaily Tabia iliyofanya Mseme Chongolo anahonga gari Vijana wa CCM mnafikiri kwa Kutumia Matako Kenge Ninyi Iko hivi njia ni Kuwaondoa Madarakani Mambo ya Watu sio Mambo ya Nchi na sio Njia ya kuondoa Watekaji wanaoliharibu Taifa Kimya Mikundu ninyi
3
1
21
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
@AliKibao CCM Wameichoka Amani kwa Sasa Wanaona Ufahari kuharibu Amani yetu kwa Uchu wa Madaraka
2
2
21
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
Huyu Mtu Amefariki kwa Pikipiki DAR hakuwa na Kitambulisho chochote Tusambaze Picha Hii kuwapata Ndugu zake @rollymsouth @sheby_yahya @IAMartin_ @MalemboLE @AbroadTanzania @ayubu_madenge @ExMayorUbungo @fbuyobe
Tweet media one
1
22
19
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
23 days
Maandamano yapo Pale Pale iwe Mvua liwe Jua hamtalala tutaanzia Mtakapoishia @BabaMwita @ChademaTz @ChangeTanzania @RealHauleGluck @JohnNgutiCDM
Tweet media one
1
8
20
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
5 months
@ExMayorUbungo Bro pamoja na Kutoa Taarifa Fundisheni pia Namna ya Mtu kuchukuliwa kwa Utaratibu Police anamchukueje Mtu kama Mbuzi
2
2
18
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
6 months
@fbuyobe Kaka Taarifa zilizopo Uraiana kuna Wanyarwanda Wengi kuliko kawaida na Kitu wanachokifanya ni Tz kugeuza Shamba la Bibi wakivuna na Kupeleka kwako.Kama ilivyo DRC mpango Mkakati ni huo
0
0
19
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
@HopeQuotes__ Watu wameshajielewa ni Jambo la Muda tu
0
0
18
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
@MzalendoDaily Kenge Ninyi Na Bado Andikeni Sana Na kuedit sana Ukweli Nchi Imewashinda Jibu letu Rahisi #SamiaMustGo
1
1
18
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
6 months
Hivi hii kauli Mamlaka za Usalama mbona Mpo kimya? Je nikauli zenye Tija kwa Nchi yetu? Je Zinatuweka Pamoja kama Nchi? Ametumwa na Nani? Je zile 4R za Rais ndio Matunda yake @tanpol @ccm_tanzania @AbroadTanzania @Advocate_Jebra @ayubu_madenge @BabaMwita @ChademaTz @TheChanzo
10
8
18
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
3 months
@fbuyobe Leo ni Siku yangu ya Kuzaliwa Uzi huu Umenichekesha Sana 🙏🙏🙏🙏
1
0
17
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
@MsigwaPeter Usitupigie kelele wala kututoa kwenye Leli Pastor wa Mchongo Ulikuwa Chadema tena Kamati kuu uliwahi kuuliza “Tafadhari toka Mbele yangu”
0
1
18
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
@iambasilius Dada zetu wanajiamini kuliko hata Shetani
5
1
18
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
@EduTalkTz Mtu Mmoja alinisimulia kuhusu Makanisa ya kijinga Anasema walipoambiwa Wapite Mbele kwake ilikuwa Mara ya Kwanza Walipoanza kuombewa wengi walidondoka akabaki Amesima Mwombaji alipomugusa hakuanguka nyuma Kulikuwa na Mtu Akamwambia Jiangushe Alipochelewa Akasukumwa kwa nguvu 😂
3
0
18
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
@Labella_Mafia95 Kwetu ashatoka yupo kwenu amekimbia Majukumu kwetu labda cha kuzungumza ni kutuomba tumpe Mimba azae Kwa uchungu kmmmke
0
1
18
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
@ExMayorUbungo Safi sana Hii ndo inatakiwa sio kulia lia kijinga Sipendi
0
0
17
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
@MwanzoTvPlus Tunataka Viongozi wa Dini Wenye haiba na Hofu ya Mchunga Mwema Ahsante Baba Askofu Mdomo wako Unaumba Kuponya Taifa linalolia Usiku kucha 🙏🙏
0
5
17
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
Hivi @tanpol Mmefikia Wapi Swala la Huyu Kijana Naomba Jibu kwenu,Au Mnataka Ulinzi wa Watu na Mali zao Tufanye Wananchi?Kwamba Mmeshindwa Kuwajibika?Haiingi Akilini Mpaka Sasa Kijana kama huyu Kukosekana Alipo,Kama Faru John Alipatikana Je Mtu hana Thamani? Majibu Tafadhari
Tweet media one
1
10
16
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
Nawakumbusha Watesi,Tunaye Mungu tunayemwamini Hufanya njia Pasipo na Njia,Fanyeni Yote lakini Kumbukeni Uhai Wake Utagharimu Taifa hili.Yule Kijana Aliyejitoa Mhanga kwa kujichoma Moto ndiye Aliyefanikisha kuleta Ukombozi. @TzGiza @Chahali @fbuyobe @ExMayorUbungo @dammyG05
Tweet media one
0
6
16
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
@kwamekivaisi Wewe ni kenge tu wala hata hakuna anayekuwazia na jumbe zako za kichoko
1
0
17
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
@juliusmassabo @ThabitSenior Kila Kona ya kigoma watafika Hadi Nyumbani kwako hivyo tuliza mshono
1
1
17
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
8 months
@DChevichenko @IAMartin_ @MariaSTsehai @fatma_karume Tatizo lako umerukia gari kwa Mbele Badala ya kupitia mrangoni ukiona Mtu anamjibu vibaya kuna Sababu nadhani ungeangalia pande zote nimesoma ujumbe Fatuma ni Matusi Matupu nikuombe Usome Tena uje ujibu
4
0
14
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
@nulphin Hawajui Umhimu Wamuulize Mzee Zacharia wa Bus 😂😂😂
2
1
15
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
6 months
@TMnyama4_ Natoa pole Kwanza USHAURI WANGU Azisha Mchango tumchangie nipo Tayari kingine Huyo Dada Asijiue Atafute Sehemu Kama Ni Mkristu/Muislamu atafute Mtumishi Wa Mungu au Shekh amueleze kila kitu Na Amurudie Mungu kwa Kumaanisha Apambane na hiyo roho Najua sio Rahisi lakini Akiamini
0
0
16
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
6 months
@davitheempire Nape huyu wa Juma Nchokonoe 😂😂😂
3
0
15
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
8 months
@Pdizaina05 Speed hii na Umeme wetu huu tunakufa kama kuku 😂😂😂
1
0
15
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 year
@fbuyobe TRA ni Tatizo sio Serikali wala Wafanyabiasha Serikali iagize TRA watangazie Umma Kubatirisha Madai hayo TRA inagombanisha.TRA na Serikali wakae waje na Majibu yote
5
0
16
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
@fbuyobe Huyu Mzee anajitoaga Akili sana Hivi hatuna Wazee Wezake wa kumjibu huyu kenge
1
2
16
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 months
Unawapigia Watu kelele kwamba Wewe @MsigwaPeter ni Mchungaji Kumbe Hata Biblia Hujui sasa Una Utofauti gani na Sisi tunaoijua Juujuu?kama Uchungaji ni Kujua Biblia tu Kidogo Kuanzia leo Niitwe Mchungaji #Raphael 😂😂😂 @EmmausAskofu @MachumuKadutu @ExMayorUbungo @EduTalkTz
Tweet media one
4
2
15
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 years
@sukununu2 Kuna Wanaume Wengi tunapitia changamoto ya kuanzisha Mahusiano na Watoto wa kike Ambao hawajapevuka Akili na Hawajaandaliwa kuwa Wake.Changamoto hii sasa inatesa Vijana Wengi lakini hii inatokana na Mtu Mwenyewe kuwa Mtumwa wa Hisia nakudhani kwamba Uliyenaye ni Bora zaidi
3
0
13
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
7 months
Bahati Nzuri Nimeshiriki kwenye Miradi ya Serikali kwenye Ujenzi hakuna Sehemu Mapato na Matumizi yakakosa Uwazi lakini kuhusu Risti hiyo ni njia ya Upigaji tena wa kishamba Sana kwa kuwa hapakuwa na Wazalendo na hapa Mkurungezi na Wote waliosimamia Wanapaswa wachunguzwe
@rose_mayemba
Rose Mayemba
7 months
Jana, tukiwasilisha Vielelezo vya Wizi wa Fedha za wananchi wa Kata ya Iwungilo Jimbo la Njombe mjini mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Njombe aliyetualika Ofisini kwake baada ya kuona Risiti Fake zikisambaa mtandaoni. #SisiNiSautiMbadalaYaWananchi .
10
53
207
1
5
14
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
3 months
@EduTalkTz Nitampa Tundu Lissu kwa Sababu Ni Msema Kweli na Atarekebisha Mambo mengi ambayo hayapo Vizuri kwa Sasa zaidi Atalinda Rasilimali zetu 🙏🙏
2
1
15
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
2 years
@mackline_john Acha kutuchanganya na Huyo kifukamiti 😂😂😂
1
0
15
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
24 days
@DuniaSlaveDunia Pole Sana lakini kufunga Vioo ilikuwa Njia Mhimu,Zaida Watoto Walikuokoa Mwisho Usitembee Usiku Tunakuhitaji Bado 🫡
1
0
15
@RAPHAELPHAUSTI8
RAPHAEL PHAUSTINE
1 month
@LuhagaMpina Kingine Pesa sio ya Kwake Ni ya Umma Wakiwemo Wananchi wa Kisesa Akome kutishia Watu kwa Kodi zao
0
0
13