👑Salum|| Born in Centrozone Made Centrozones || Man United || Hasbuna Allah || I choose obliteration over Mercy || Trust the process ||
#VisitSingida
🌻
Ifike mahali Simba wamtambue Tunda man kama legend kwenye timu yao
Jamaa yupo kwenye shida na raha anaipambania sana simba kwenye jua na mvua
Apewe heshima yake anajitolea sana
Kwenye upande wa comedy hapa Tanzania hakuna wa kuwapita hawa majamaa wa jambo na vijambo kwanza wametoka mbali alafu wanajua nini jamii inataka
Itoshe kusema hawa majamaa wanajua sana top of the top
Underrated player pale simba ni huyu hapa jamaa
Sijawahi kuona amecheza mechi kwa kuboronga hawatu hawamuimbi sana Kwasababu hana mbwembwe nyingi ila anapiga kazi balaa
Miaka 5 iliyopita. José Mourinho alisema:
• Pogba ni virusi, si mchezaji wa timu.
• Martial ni mvivu na anahitaji kuondoka klabuni.
• Rashford hawezi kuwa mshambuliaji wa kutegemewa wa Man United.
• Luke Shaw hatumii kichwa chake.😂 ( ila shaw ka improve ) 😂
Mwanetu ni Mtanzani kabisa anaipeperusha Bendera ya Tanzania ila hakuna promo yoyote au support anayoipata kutoka kwa viongozi wa Tanzania au media nyingi Tanzania na kwenye social media
Just imagine jamaa angekuwa ni mkenya sema Bongo huwa wana support sana ujinga
🧵
#UZI______
UKISEMA UNAPITIA MAGUMU MKUMBUKE NA HISTORIA YA MAISHA 50 CENT risasi 9 mwilini mpaka kwenye Ulimi na yupo hai mpaka leo anaishi
Shuka nayo 👇🏽
#RETWEET
Wenzetu kwenye upande wa movie & series wako serious sana wanaigiza kwa uhalisia sana just imagine series kama game of thrones imechukua miaka kama 10 hivi mpaka kukamilika
Angalia kwenye snowfall pia
Mandevu katoka chunya ameenda Daslamu amekutana Na neypaul Mandevu ameshapost kwenye account yake zaidi ya mara 6 lakini neypaul hajampost mandevu hata mara moja
#Shobo
⚖️
Story mojawapo ambayo huwezi kuzikosa hapa
1. Diamond freemason
hana hela zile ni za Urithi
3. Kanumba na 2pac wanaishi mpaka leo
Taja zingine unazozijua 😄
🧵RETWEET 🙏🏾
Hawa ni aina ya mijusi wanaopatikana sana Kwenye makazi ya watu mara nyingi tunakutana nao majumbani na tunawachukulia poa tu ukweli ni kwamba Mijusi aina hii wanakuwa wana sumu na ni mbaya Kwa mfano mnakaa familia au mnakaa tu ndani wengi si unajua tabia za👇🏼👇🏼
Unaweza kuidharau hii biashara lakini ukiwa makini ni biashara nzuri sana inayolipa Nenda singida kule vijijini vya ndani ndani nenda na usafiri kanunue mayai ya kienyeji kwa bei rahisi then peleka mjini ukauze hata kwa 500 au 600
Biashara itakulipa
Penye nia pana njia
CHAMA alikujaga Simba tumemtoa ligi ya wakulima Zambia Tukamfanya Mfalme Ameshazeeka Tukawaachia Utopolo
OKWI na yeye ivo ivo alikuja Simba akawa mfalme akazeeka tukawaachia utopolo
saiv tunamleta fundi Jean Charles Ahoua kijana anajua kuliko Chama na pacome
Wazungu wabaguzi sana angekuwa amepotea mzungu hii ishu ingekuwa ni kubwa sana ila ni kwakuwa ni mtu mweusi hakuna anayejali sana
Godbless Atsu huko alipo apatikane akiwa salama 🙏🏾