Iam Salum Ally Profile Banner
Iam Salum Ally Profile
Iam Salum Ally

@iamsalumally

Followers
24,058
Following
3,424
Media
5,971
Statuses
156,300

👑Salum|| Born in Centrozone Made Centrozones || Man United || Hasbuna Allah || I choose obliteration over Mercy || Trust the process || #VisitSingida 🌻

Singida
Joined July 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Tafuta hela uwatunze wazazi wako ili siku wakizeeka wasiitwe wachawi wazazi wako ndio pepo yako ✌️
258
502
3K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Tumalize Utata leo Retweet kwa wakazi like kwa vitumbua Retweet Like
Tweet media one
Tweet media two
117
94
5K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Tumalize Utata retweet kwa GSM like kwa MO Dewji RETWEET LIKE
Tweet media one
Tweet media two
100
764
4K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Tumekufa Kiume
Tweet media one
190
131
3K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Huyu jamaa ni Mtanzania media kubwa Duniani zinampost ila chaajabu Tanzania wametulia hawatoi support ya kumsupport kijana Onesha upendo kwa Jamaa ❤️
Tweet media one
101
184
3K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Vijana wenzangu msiogope kujenga kama hapa nimetumia million 9 tu
Tweet media one
229
148
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Ukiona picha ya hii jezi ni mchezaji gani unamkumbuka?
Tweet media one
1K
150
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Huyu nikki wa pili anapigiwa Salute 🫡 na wanajeshi kama nani? Ila hii nchi hii
Tweet media one
333
91
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Ifike mahali Simba wamtambue Tunda man kama legend kwenye timu yao Jamaa yupo kwenye shida na raha anaipambania sana simba kwenye jua na mvua Apewe heshima yake anajitolea sana
Tweet media one
94
137
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Mwamba amekasirika kwa nini kila Tangazo la timu wanamuweka yeye amesema hii timu haiitwi Kylan saint German hataki mazoea 😂😂🤝
Tweet media one
37
43
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Moment ipi ya peter drury huwezi kuja kuisahau Milele?
Tweet media one
294
161
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Leo ikiwa ni TBT je ni neno gani unalolikukumbuka la Hayati Magufuli
Tweet media one
237
97
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Kwenye upande wa comedy hapa Tanzania hakuna wa kuwapita hawa majamaa wa jambo na vijambo kwanza wametoka mbali alafu wanajua nini jamii inataka Itoshe kusema hawa majamaa wanajua sana top of the top
Tweet media one
98
93
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Mpe mtoto wa rihanna jina la Kitanzania ..😂👇🏼
Tweet media one
790
99
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Ukipewa CCM na Andazi wewe utachagua nini?
Tweet media one
Tweet media two
348
107
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Underrated player pale simba ni huyu hapa jamaa Sijawahi kuona amecheza mechi kwa kuboronga hawatu hawamuimbi sana Kwasababu hana mbwembwe nyingi ila anapiga kazi balaa
Tweet media one
48
67
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Vijana wenzangu msiogope kujenga kama hapa nimetumia million 10 tu
Tweet media one
130
84
2K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
6 months
Kipindi bro ana hela.!
Tweet media one
92
49
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
11 months
Ila huyu mzee Muongo kumamaye kuna moja eti anapanda ndege na shoka😂
Tweet media one
245
66
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Ni machezaji gani anamkumbuka ukiiona hii jezi?
Tweet media one
542
76
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Mara yako ya mwisho ku sex ilikuwa lini?
315
76
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 months
Visit Singida 🤎
Tweet media one
142
81
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 month
Unaambiwa hapa mzize alikuwa ana miaka 8
Tweet media one
86
50
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Vijana wenzangu msiogope kujenga hapa nimetumia million 10 tu
Tweet media one
176
44
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Miaka 5 iliyopita. José Mourinho alisema: • Pogba ni virusi, si mchezaji wa timu. • Martial ni mvivu na anahitaji kuondoka klabuni. • Rashford hawezi kuwa mshambuliaji wa kutegemewa wa Man United. • Luke Shaw hatumii kichwa chake.😂 ( ila shaw ka improve ) 😂
Tweet media one
27
44
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Mwanetu ni Mtanzani kabisa anaipeperusha Bendera ya Tanzania ila hakuna promo yoyote au support anayoipata kutoka kwa viongozi wa Tanzania au media nyingi Tanzania na kwenye social media Just imagine jamaa angekuwa ni mkenya sema Bongo huwa wana support sana ujinga
Tweet media one
64
124
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Unaikumbuka hii Duo pala newcastle enzi hizo 🤔
Tweet media one
59
60
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Sema huyu dogo wana mbagua sana wazungu
Tweet media one
50
40
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 months
Ila huyu fala akishika mpira lazima upandishe sukari Dah!! 😀
Tweet media one
60
48
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
🧵 #UZI______ UKISEMA UNAPITIA MAGUMU MKUMBUKE NA HISTORIA YA MAISHA 50 CENT risasi 9 mwilini mpaka kwenye Ulimi na yupo hai mpaka leo anaishi Shuka nayo 👇🏽 #RETWEET
Tweet media one
54
222
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
3 months
Hivi nikki Mbishi anapigiwa Salute na Wanajeshi kama nani ? Ila hii nchi ina wajinga wengi
Tweet media one
401
61
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Onesha picha kali kwenye simu yako kuzidi hii
Tweet media one
266
85
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Jiji gani au mkoa gani hapa Tanzania ni Overrated sana?
Tweet media one
204
44
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Wenzetu kwenye upande wa movie & series wako serious sana wanaigiza kwa uhalisia sana just imagine series kama game of thrones imechukua miaka kama 10 hivi mpaka kukamilika Angalia kwenye snowfall pia
Tweet media one
48
71
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
7 months
Mandevu katoka chunya ameenda Daslamu amekutana Na neypaul Mandevu ameshapost kwenye account yake zaidi ya mara 6 lakini neypaul hajampost mandevu hata mara moja #Shobo ⚖️
Tweet media one
145
79
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Vijana wenzangu msiogope kujenga kama haka nimetumia million 8 Tu
Tweet media one
190
98
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Kuna waongo alafu kuna huyu jamaa miyeyusho sana 😂
Tweet media one
45
54
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Hivi Bongo kuna mwana Miyeyusho kama huyu mshikaji? 😂
Tweet media one
53
51
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Vijana wenzangu msiogope kujenga kama hapa nimetumia million 14 tu
Tweet media one
82
73
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 month
Usajili Wa Chama kwenda Yanga unafanana na Wa thembinkosi Lorch kutoka orlando pirates kwenda Mamelodi sundowns
Tweet media one
8
16
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Adidas kama mmetuchoka si mtuambie nini hiki 😂😂
Tweet media one
155
43
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Tumalize Utata like kwa manara Retweet kwa MO Retweet Like
Tweet media one
Tweet media two
31
347
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Onesha picha kali kwenye simu yako kuzidi hii
Tweet media one
195
48
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
10 months
Kumbe kocha wetu alikuwaga midfielder kisheti mido ya mpira ndo maana ana point wachezaji wa ajabu ajabu 🤣🤣🤣 Video ipo kwenye comment 👇🏼
Tweet media one
83
39
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
10 months
Ifike mahali tusemezane ukweli hii pisi ni mbovu sana yaani haieleweki hata shape 👇🏼
Tweet media one
328
61
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
11 months
Vijana wenzangu msiogope kujenga kama hapa nimetumia million 7 tu
Tweet media one
119
73
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Streets will never forget this 😂
Tweet media one
18
48
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Onesha picha kali kwenye simu yako kuzidi hii
Tweet media one
125
64
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Nakumbuka Mpambazi kipindi hicho alikuwaga ananitumie Tweet zake DM ni Retweet ili ziende far saiv amejipata akani Unfollow 🤣🤣
Tweet media one
60
61
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
11 days
Jean Charles ahoua Hapa Simba tumepata Mchezaji Mr MVP 🦁
Tweet media one
12
38
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
List ya ma jobless mjini waliofukuzwa kazi 😂
Tweet media one
Tweet media two
41
21
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Aina ya watu ambao wanajiona kama hii App ni mtandao wa Mama yake 🚮 limbukeni tu
Tweet media one
270
65
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
5 months
BREAKING NEWS 🚨 Pacome zoua zoua Amepata majeraha na atakaa nje ya uwanja kwa muda wa mwaka mmoja na miezi 8
Tweet media one
116
36
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Story mojawapo ambayo huwezi kuzikosa hapa 1. Diamond freemason hana hela zile ni za Urithi 3. Kanumba na 2pac wanaishi mpaka leo Taja zingine unazozijua 😄
Tweet media one
173
65
999
@iamsalumally
Iam Salum Ally
6 months
Alafu kutana na kina mwamnyeto sasa wanacheza kama wamewekewa gunzi matakoni 😂😂
Tweet media one
107
53
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
4 months
Wenzako wamefunga alafu wewe unakula mbele yao hapo ki ukweli wamefanya makosa acha wafungwe miaka 2 iwe fundisho kwa wengine
Tweet media one
403
42
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
🧵RETWEET 🙏🏾 Hawa ni aina ya mijusi wanaopatikana sana Kwenye makazi ya watu mara nyingi tunakutana nao majumbani na tunawachukulia poa tu ukweli ni kwamba Mijusi aina hii wanakuwa wana sumu na ni mbaya Kwa mfano mnakaa familia au mnakaa tu ndani wengi si unajua tabia za👇🏼👇🏼
Tweet media one
124
242
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
3 months
Huyu inonga hajaumia wala nini Anajifanya ameumia ili akimbie mechi awaachie wenzake msala huyu anatuhujumu sana Asepe tu kama vipi
Tweet media one
112
35
1K
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Leo ikiwa ni Throwback Thursday #TBT ni nyimbo gani ya 20% pacent unayoikubali zaidi?
Tweet media one
204
78
966
@iamsalumally
Iam Salum Ally
6 months
Anaitwa Teboho mokoena roho ya mamelodi sundowns na Moyo wa Bafana Bafana Fundi wa mpira 🔥⤵️
Tweet media one
16
39
976
@iamsalumally
Iam Salum Ally
9 months
Hivi huyu Dogo alipoteleaga wapi nakumbuka walikuwa wanamuita mbappe !! ?
Tweet media one
25
27
991
@iamsalumally
Iam Salum Ally
9 months
Huyu Kibwana Shomari alikuwaga kila muda anaji post humu saiv hana namba pale Yanga kiherehere kimemuisha Anaona hadi aibu kujipost 😂😂😂
Tweet media one
76
32
986
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Sasa hapa mimi kosa langu nini…😂
Tweet media one
118
86
979
@iamsalumally
Iam Salum Ally
25 days
Nifollow njoo DM tugawane dhambi
Tweet media one
188
45
954
@iamsalumally
Iam Salum Ally
11 months
Prime Shilole Alikuwa mzuri sana alikuwa bonge la pisi 🙌
Tweet media one
41
42
965
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Al ahly wamemtoa mchezaji Brighton uingereza 😀 Alafu kuna hizi timu za Bongo simba & yanga wanasubiri mchezaji wa bure
Tweet media one
27
26
946
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 months
Hivi hawa huwa hawachokani Ah kila siku wananimalizia bando jamaa abadilishe demu sasa
Tweet media one
130
33
925
@iamsalumally
Iam Salum Ally
10 months
Urafiki wa mane na ronaldo umekuwa mkubwa sisi kama waafrika tunajivunia
Tweet media one
13
54
917
@iamsalumally
Iam Salum Ally
16 days
Aisha Masaka Akiwa kwao Singida
Tweet media one
18
23
917
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
هدف للشباب التنزاني.yala ya mayele matako yako هدف للشباب التنزاني.
136
40
890
@iamsalumally
Iam Salum Ally
9 months
Hii beki ya mamelodi Mudau ni balaa sijaona Right back Africa nzima ya kufikia uwezo wake 🙌
Tweet media one
32
38
898
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Ni mtu gani au ni mchezaji gani unamkumbuka ukiiona hii Picha??
Tweet media one
268
50
888
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Onesha picha kali kwenye simu yako kuzidi hii
Tweet media one
204
56
883
@iamsalumally
Iam Salum Ally
5 months
Eti 2015 wema sepetu alikuwa anagombea Ubunge Singida ila hii nchi inachezewa sana..😂
Tweet media one
44
38
905
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Vijana wenzangu msiogope kujenga kama hapa nimetumia million 10 tu
Tweet media one
86
42
884
@iamsalumally
Iam Salum Ally
6 months
Mwamba huyu hapa anaitwa ronwen williams Kipa wa Mamelodi sundowns Li bishoo alafu linajua Kudaka na footwork ipo
Tweet media one
9
26
870
@iamsalumally
Iam Salum Ally
9 days
Mwamba huyu hapa Anaitwa soufiane Rahimi alichezea Raja Casablanca ni mtu na nusu 🔥
Tweet media one
10
23
994
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Samatta ndo mchezaji bora kuwahi kutokea katika Ardhi ya Tanzania hakuna mwingine zaidi yake Apewe Maua yake
Tweet media one
42
64
873
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Vijana wenzangu msiogope kujenga kama hapa nimetumia million 8 tu
Tweet media one
63
48
861
@iamsalumally
Iam Salum Ally
9 months
America kusini Na Damu ya mpira hawa majamaa Huwa ukiangalia mechi zao lazima Iwake tu 🔥 Angalia mechi zao ni za kikatili sana 🙌
Tweet media one
9
33
863
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Mbele yenu hapo ni madalali wa bandari Na sambusa RETWEET kwa madalali wa bandari like kwa sambusa Retweet Like
Tweet media one
Tweet media two
12
29
854
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 years
Ukiona hii jezi ni jina la mchezaji gani unalikumbuka?
Tweet media one
304
46
824
@iamsalumally
Iam Salum Ally
24 days
BREAKING NEWS 🚨 Stephen Aziz Ki amejiunga na Timu CR Belouzidad ya Algeria akitokea yanga kwa Mkataba wa miaka 2 HERE WE GO ✅
Tweet media one
114
32
844
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 months
Hivi Duniani kuna Derby ya moto kuzidi hii ? Humu viatu vinapigwa balaa 😂😂 Hii ndo derby namba 1 Duniani
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
46
57
845
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Unaweza kuidharau hii biashara lakini ukiwa makini ni biashara nzuri sana inayolipa Nenda singida kule vijijini vya ndani ndani nenda na usafiri kanunue mayai ya kienyeji kwa bei rahisi then peleka mjini ukauze hata kwa 500 au 600 Biashara itakulipa Penye nia pana njia
Tweet media one
41
84
820
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 months
Cadillac Escalade au V8 ?
Tweet media one
Tweet media two
153
51
826
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Watu wengi wame base kwa fabrizo ila huyu jamaa ni noma 👊🏾 David ornstein hajawahi kukurupuka
Tweet media one
65
25
815
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 month
CHAMA alikujaga Simba tumemtoa ligi ya wakulima Zambia Tukamfanya Mfalme Ameshazeeka Tukawaachia Utopolo OKWI na yeye ivo ivo alikuja Simba akawa mfalme akazeeka tukawaachia utopolo saiv tunamleta fundi Jean Charles Ahoua kijana anajua kuliko Chama na pacome
Tweet media one
21
28
817
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Wazungu wabaguzi sana angekuwa amepotea mzungu hii ishu ingekuwa ni kubwa sana ila ni kwakuwa ni mtu mweusi hakuna anayejali sana Godbless Atsu huko alipo apatikane akiwa salama 🙏🏾
Tweet media one
63
36
798
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Hii ndo derby namba Moja Duniani haitawahi kuja kutokea mahasimu kwenye mpira kama hawa
Tweet media one
52
42
812
@iamsalumally
Iam Salum Ally
10 months
OJUELEGBA by wizkid bonge la nyimbo kuwahi kuimbwa asee 🔥🔂
Tweet media one
Tweet media two
48
47
808
@iamsalumally
Iam Salum Ally
11 months
Baba yangu mwaka 1974 kipindi hicho kiwanja ni bei rahisi kuliko chumvi 😂
Tweet media one
50
58
797
@iamsalumally
Iam Salum Ally
1 year
Nitajie jina la huyu mchezaji bila kuenda kuangalia google 😀
Tweet media one
135
33
789
@iamsalumally
Iam Salum Ally
4 months
Sidhani kama kuna mchezaji anayetumia miguu yote anayejua kutembea na mpira mguuni kumzidi Dembele..🔥
Tweet media one
80
29
795
@iamsalumally
Iam Salum Ally
11 months
Huyu Martin Wa Chadema anajifanyaga kama Huu mtandao wa Baba yake
173
51
782
@iamsalumally
Iam Salum Ally
7 months
Singida kuna hawa Wachezaji wawili Marouf tchakei na morrice chukwu Majamaa wanapiga mawe balaa mashuti ya moto balaa..😂😂🙌🏻🔥
Tweet media one
Tweet media two
15
27
774
@iamsalumally
Iam Salum Ally
2 months
Udhaifu Wako mkubwa hapa upo Frame namba ngapi?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
446
71
773
@iamsalumally
Iam Salum Ally
5 months
Umelala usiku ghafla linakutokea li mzimu la Hivi night utafanyaje?
Tweet media one
388
43
766