Wapo wanaosema shida zetu sisi ni elimu,maji, umeme, vituo vya afya na sio katiba. Pengine hili ni kweli, lakini binadamu ni tofauti na wanyama, wanyama wao ukiwapa nyasi na majani basi mahitaji yamekamilika anasubiria kuchinjwa, binadamu hatusubirii kuchinjwa"Jenerali Ulimwengu