James Mbowe Profile Banner
James Mbowe Profile
James Mbowe

@JamesMbowe4

Followers
38,968
Following
340
Media
899
Statuses
1,817

Tanzania
Joined July 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Kwa Masikitiko makubwa napenda Kuwatangazia Kifo cha Baba Mdogo wa Freeman Aikaeli Mbowe (Babu) kilichotokea Leo Asubuhi katika hospital ya Machame. Babu alipata mshtuko Jana Usiku baada ya kusikia taarifa za mwanae kutuumiwa kwa UGAIDI.
Tweet media one
463
578
4K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Kwamasikitiko makubwa napenda kuwajulisha kuwa Sara amefariki Dunia. Tumuombee pumziko la Amani amecha watoto wawili Mdogo anasumbuliwa na Saratani.
Tweet media one
492
265
3K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Kesho nitakwenda Kisutu wakiniua nitakufa wakinikamata wataniachia wakinifunga watanifungua. Imefika mahali Baridi iwe baridi na Moto iwe moto. #WenyeNchiWananchi
100
274
3K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Kwasababu Kampunii ya simu ya @Tigo_TZ imeamua kuja kutoa Ushahidi kwenye Kesi hii ya Kuchonga Dhidi ya @freemanmbowetz na wenzake. Basi kwa hiyari yangu mwenyewe natangaza kuachana Rasmi na Kampuni hii ya cm nawataarifu Rafiki zangu yeyote atakayenipigia na no ya Tigo sitapokea.
335
268
2K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Kuna Siku isiyo na Jina Mtamuhitaji Sana.
35
122
2K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Wenye Haki wangu wataishi KWA Imani. @freemanmbowetz
Tweet media one
28
97
2K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Mbowe ana watoto wanaomwita Baba. Mbowe aliumbwa na Mungu na kumuweka TANZANIA. Baba yake Aikaeli alishiriki Harakati za Kudai Uhuru Baba yake wa Ubatizo ni Nyerere (Baba wa Taifa) unadhani Leo Nyerere angekuwa Hai kuna yeyote Kati yenu angethubutu Kumuita Freeman Mbowe Gaidi?
Tweet media one
93
263
2K
@JamesMbowe4
James Mbowe
1 month
Hongera Mpambanaji Haki imeshinda
Tweet media one
23
211
2K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Time will tel
Tweet media one
56
146
2K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Kwetu hatuna mtu anayeitwa Getrude na Wala hatuna mtu Mjinga hivi kwenye Familia. Puuzeni huyu MATAGA
Tweet media one
112
154
2K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Nimewaza Sana juu ya ukatili aliofanyiwa @freemanmbowetz na anaoendelea kufanyiwa @freemanmbowetz nimegundua Mungu anampenda Sana @freemanmbowetz Muda utasema, nasi tutamtukuza Mungu kwa matendo yake makubwa yasiyoelezeka.
58
177
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Kazi imeanza Hai
Tweet media one
13
59
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Ujumbe wa @freemanmbowetz kwa Watanzania
38
254
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
VIP protection
Tweet media one
40
78
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Wakili Kibatala analia machozi ameshindwa kuzungumza na anaongea Wakili Mtobesya kwa niaba ya Wakili Kibatala.
42
145
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Naomba kudeclare interest Nimelichukia Sana Jeshi la Polisi.
70
119
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Baba Yetu Siyo Gaidi Mbingu inajua Nchi inajua na nyie watesi wake mnajua. Mwachieni Huru aje kumzika Baba yake. Mioyo Yetu inavuja Damu kwa kiwango hiki cha ukatili anachotendewa Mzee wetu.
47
223
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
1 year
Picha ya Mwalimu Nyerere alipoudhuria Sherehe za Harusi ya mtoto wake wa Ubatizo @freemanmbowetz . Nyumbani Machame Kilimanjaro.
Tweet media one
29
139
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
Hii taarifa imenistua sana Usiku huu, Mimi ni mlutheri nitaandika maoni yangu kesho, akili ikitulia
140
182
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
Tanzania tuitakayo. Binafsi huwa namkubali sana Afande Murillo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
45
80
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Naked Truth
12
209
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
1 month
Kijana chaula kuchukuliwa siku ya Jana na gari nyeusi mida ya saa mbili asubui eneo la ntokela mpaka muda huu ajulikani alipo. Nimeongea na Baba yake amezunguka vituo vya Polisi bila mafanikio, anachotaka kujua ni mtoto wake yuko wapi na ana hali gani
Tweet media one
56
275
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 months
Asanteni wote mliopaza sauti Malisa amepata dhamana Usiku huu.
Tweet media one
25
86
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
7 months
Katika hii dunia Ogopa mambo mawili cha Kwanza Mungu na Teknolojia🙏🙏
75
300
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Moja Kati ya mambo ambayo najivunia ni kuchangamana na watu wenye Vision (Maono) namuomba Sana Mungu aniepushe na Roho ya Unafki na kujipendekeza kama yule jamaa wa Dodoma.
Tweet media one
20
93
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Hapa Duniani hatuna Mji udumuo Bali twautarajia ule Ujao. . Umevipiga Vita vilivyo Vizuri mwendo umeumaliza na Imani uliilinda Pumzika kwa Amani Babu. Manase Alfayo Mbowe.
Tweet media one
35
105
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Mahakama ya Kenya ipo Huru sana.
Tweet media one
7
77
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
Happy Birthday Albless Lema. Ishi sana mdogo wangu
Tweet media one
9
43
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Leo nilikaa kwenye Bench analokaaga @freemanmbowetz nikiwa mwenye furaha na Aman kablaya Kesi haijaanza. Nyakati za huzuni zimekoma
Tweet media one
21
77
1K
@JamesMbowe4
James Mbowe
1 year
Kula Chuma hicho kutoka kwa Rais wa Kitaa. Ney wa Mitego
57
231
984
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Freeman Mbowe Mheshimiwa Jaji naomba Kuleta Kwenye Mahakama Yako kuwa tumekosa Haki ya Kula Mchana Kwa Miezi 5 Wakati Nyie Mnabreak kwenda Kula sisi hatupati Chakula wala Maji Kwa Miezi Yote 5 Pale Mwanzo Tuliambiwa kuwa Kama Chakula tuchukue Kutoka Jela,
45
121
949
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Mh @freemanmbowetz amefungua kesi ya Kikatiba Mahakama Kuu akipinga haki zake kuvunjwa katika ukamatwaji wake na mwenendo mzima akiwa Polisi hadi Mahakama ya Kisutu. Tarehe 9/08/2021 kesi ya Kikatiba itasikilizwa Mbele ya Majaji watatu Mh Mgeta, Mh Mgonya na Mh Magoiga.
Tweet media one
73
185
929
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 months
Kwa mujibu wa @malisa_gj aliaza kulalamikia maumivu ya kichwa na kifua toka saa 12 jioni na aliomba kupelekwa hospitali, Lakini alipuuzwa mpaka ilipotimu saa sita usiku ambao alipewa dhamana na kukimbizwa Hospitali ya rufaa ya Kanda KCMC kwa matibabu.!
Tweet media one
Tweet media two
43
107
949
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Alipokamatwa kwa kuvamiwa Usiku hotelini Mwanza tena kwa mlango kuvunjwa tulihuzunika Sana na kumlilia Mungu ni kwanini aliruhusi haya kutokea. Kumbe mpango wa Mungu ilikuwa ni kutufunulia yaliyokuwa Gizani. Namshukuru Sana Mungu kwa mwendendo wa Kesi hii ya Mbowe na wenzake 3
27
116
892
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
Chama kikubwa cha Siasa Tanzania kimemaliza Kikao chake cha Kamati Kuu Muda huu saa nane Usiku. Watu wapo Serious
21
72
878
@JamesMbowe4
James Mbowe
19 days
👏👏👏
Tweet media one
1
68
900
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Sara alinitumia ujumbe huu Jumanne nami baada ya kutoka Mahakamani nikaenda aliponiona alilia Sana akanieleza mengi mwisho akaniambia kaka hata nikilala Sasa Moyo wangu una Amani. Sikujua Leo Sarah angelala bila kuamka tena.😭😭 Mwendo umeumaliza Sarah
Tweet media one
96
87
847
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Pichani ni Aikaeli Mbowe na Mkewe wakiwa na mtoto wao Freeman Aikaeli Mbowe. Ambaye siku siyo nyingi atasheherekea Siku yake ya kuzaliwa (Mtoto atazaliwa)
Tweet media one
16
117
840
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Habari kuhusu Prof J siyo za kweli ni vijana wa Lumumba wanataka kututoa kwenye reli kwenye mjadala wa Lissu kukutana na Rais @SuluhuSamia
26
56
844
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Karibu Machame Mwenyekiti wa kanda ya Kaskazini Mh @godbless_lema
12
74
819
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Leo ni Jumamosi Siku ya kuvaa Sare za Chama kama alivyoelekeza Mwenyekiti Wetu @freemanmbowetz
20
83
763
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 months
Ngoma mpya ya @Roma_Mkatoliki ni 🔥🔥🔥🔥
30
151
778
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Jumanne Malangae Jumanne Malangae Jumanne Malangae (Msukuma) nimekuita Mara 3. Erick kabendera anasema katika sura ambazo hawezi kuzisahau ni Sura yako Jumanne halikadhalika Tito Magoti, na pengine tungekuwa na Ben Saanane angelisema hivyohivyo, siuoni mwisho mwema kwako.
24
114
759
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Omni Maalum kutoka CCM.
Tweet media one
44
37
714
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Zaburi 24;19 Mateso ya mwenye HAKI ni mengi, Lakini Bwana humponya nayo yote. Kwa lugha nyingine husema Mwenye HAKI ana Mateso mengi, Lakini Bwana humwokoa nayo yote.
Tweet media one
15
90
705
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Baada ya kutoka Mahakamani nilienda Hospital kumjulia Hali Sara, Hali yake imebadilika kulinganisha na Jana, Jana alikuwa anaongea kwa Sauti unamsikia vizuri Leo alikuwa kwenye oxygen na kuongea kwake ni kwa tabu Sana nilimuinamia Sikioni akashika mkono wangu akaniambia nimuombee
40
62
707
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Ndugu zangu nawashukuru Sana kwa Salamu za Pole na Maombi yenu kwa Familia ya MBOWE wakat wote wa Majonz ya kuondokewa na mwanafamilia Charles A Mbowe Tunamshukuru Mungu tulimaliza Salama Shughuli Nzima ya Mazishi. TUENDELEE NA WAJIBU WA KUDAI KATIBA MPYA KWA USTAWI WA KESHO BORA
7
47
705
@JamesMbowe4
James Mbowe
28 days
Nina Hasira sana na haya mambo ya double standard katika ardhi yetu ya Tanganyika
Tweet media one
29
156
725
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 months
Jana tulishiriki Ibada ya Mwisho ya Mzee Francis Koka (104) Baba Mzazi wa Mh Koka Mbunge wa Kibaha mjini. Ibada hii ilifanyika Kijiji cha Mkolowonyi Marangu. Mzee Francis amemaliza Safari yake ya hapa Duniani akiwa na Umri wa Miaka 104. Hakika tunamshukuru sana Mungu kwa Zawadi
24
81
709
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Huyu ndiye Mbowe nimjuaye. Mtu mpole mnyenyekevu anayelipenda Taifa lake kwa Moyo wake wote
13
117
671
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 months
Demokrasia ndani ya Chadema ni kubwa sana ndio maana Mchungaji Msigwa anaweza kuita waandishi wa Habari na kuzungumza anayotaka kuzungumza bila kikwazo na kushutumu viongozi wenzake bila Ushahidi, fursa ya kusema kama hivi huwezi kuipata CCM na kama anafikiri ni utani Amuulize
81
72
695
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
Kibatala anaendelea kutoa Shule ya Sheria kwa mawakili wa Jamuhuri na mawakili wa Mdee na wenzake. Kitu kikubwa nilichojifunza leo Kutetea Uongo ni Kazi sana.
24
62
674
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Mbowe anazungumza muda Huu akisisitiza Umuhimu wa Sheria kufuatwa katika Shauri hili.
14
74
654
@JamesMbowe4
James Mbowe
10 months
Kwake tunaishi na kuwa na Uzima wetu.
Tweet media one
5
37
663
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Shangazi @fatma_karume naona yule kichaa kanasa kwenye nyavu. . Hiyo Fidia anauza kipeperushi chake nyumba mke na watoto na bado anabaki na Deni. Hii ndio dawa yao
Tweet media one
31
58
622
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Hii ndio Nchi ya Amani na utulivu tunayoimbiwa kila siku😭😭😭😭 Get well Kaka, nataka nikuambie Mungu anakupenda sana.
10
102
646
@JamesMbowe4
James Mbowe
12 days
Asanteni sana Wajumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Hai kwa kunichagua kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu Chadema Taifa, na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Wilaya ya Hai. Tukutane field maneno kidogo vitendo Lukuki 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
36
79
652
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Mbowe amehitimisha hoja zake kwa kumuomba Jaji Luvanda kujitoa kusikiliza Shauri hili na badala yake apangiwe Jaji mwingine ili kulinda Heshima yake na Heshima ya Mahakama.
11
86
614
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Wazee wa PGO kuna mchochozi huko Marekani nendeni mkamuarest Haraka anatupaka matope.
Tweet media one
13
105
600
@JamesMbowe4
James Mbowe
13 days
Mpaka wapotezwe wangapi ili tujue kwamba tunaangamia? Hii hali inayoendelea ya kuteka watu je haya ndio yalikuwa malengo ya kupigania Uhuru? Kwanza Uhuru maana yake nini? Au tuendelee kuamini swala la watu kupotea ni Drama? . Tanzania Swala na tembo wana thamani kuliko Binadamu.
Tweet media one
15
244
628
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Tunajivunia Sana Uongozi wako katika Familia na Chama. @freemanmbowetz
Tweet media one
2
75
601
@JamesMbowe4
James Mbowe
5 months
Updates: Police wameondoka na @ExMayorUbungo kuelekea Msakuzi kwa upekuzi, Na Wengine wameondoka na @MalisaGJ_ kuelekea Moshi- Kilimanjaro kwa upekuzi.
Tweet media one
72
91
611
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Pichani Mzee Aikaeli Mbowe na mkewe Bibi Aishi Mbowe na huyo dogo hapo mbele ni Freeman Mbowe . Mzee Aikaeli Mbowe alipambana Sana wakati wa kutafuta Uhuru wa Tanganyika na alimsaidia Sana mwalimu Nyerere katika Harakati zao za Kudai Uhuru wa Tanganyika
Tweet media one
38
107
586
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
😂😂😂😂
Tweet media one
69
48
608
@JamesMbowe4
James Mbowe
1 year
Baraza la Maaskofu wa Katoliki kwa kauli moja wametoa waraka wa kuukataa Mkataba wa Bandari baina ya Serikali ya Tanzania na Dubai. Mungu awabariki sana Maaskofu wetu hakika mmetimiza wajibu wa kitume.
Tweet media one
18
96
595
@JamesMbowe4
James Mbowe
10 months
Umevipiga vita vilivyo vizuri Imani uliilinda mwendo umeumaliza pumzika kwa Amani ya Kristo Yesu Shemeji yangu Kipenz Vivian Mbowe.💔💔 tutaonana Baadae🙏🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
23
590
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Huu siyo wakati wa kutazama mbele kwa Mashaka
8
37
573
@JamesMbowe4
James Mbowe
6 months
Asanteni Arusha
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
74
589
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
Hakuna aliyeshindana na Taasisi akabaki Salama. Hata aliyesema pambana na kitu kingine siyo Ndugai Leo Yuko wapi?
18
42
569
@JamesMbowe4
James Mbowe
21 days
Wamasai wa Taarifa ya Ngorongoro Leo wameandamana kwa Amani na Madai yao Muhimu wanataka Rais aende kuwasikiliza ili wajue hatma yao. Kwa kifupi ningesema wamefikishwa kwenye point of no return.
13
169
583
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Baba Mdogo wa @freemanmbowetz atazikwa jumatano Kanisa Bethel Nshara Machame. Nitoe Rai kwa mnaomshikilia Mbowe mwachieni aje kumzika Baba yake Mbowe Siyo Gaidi Mbingu inajua ardhi inajua na ninyi mliopanga Hila za Kumshikilia mnajua. Mbowe ni mtu mnyenyekevu Sana chini ya jua
12
115
562
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Kwahiyo mtoto wa Nyerere wa Ubatizo ni Gaidi? What a Shame. Vumilia Mzee wetu umevuka kwenye Mitihani Mingi hata hili nalo litapita kama Yale yalivyopita. Yupo Mungu ajuaye Sikitiko.
14
67
558
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Wapo wanaosema shida zetu sisi ni elimu,maji, umeme, vituo vya afya na sio katiba. Pengine hili ni kweli, lakini binadamu ni tofauti na wanyama, wanyama wao ukiwapa nyasi na majani basi mahitaji yamekamilika anasubiria kuchinjwa, binadamu hatusubirii kuchinjwa"Jenerali Ulimwengu
Tweet media one
12
112
551
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Mwisho wa yote Yupo Mungu.
28
50
555
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Karakana ya Kituo cha polisi Osterbay pigia mstari karakana……..
Tweet media one
8
79
568
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Hai kwenye Ramani.
Tweet media one
5
29
573
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Sara alinipigia simu asubuhi sikuweza kupokea nilikuwa Mahakamani akanitumia ujumbe kaka naumwa Sana naomba uje hospitalini nikuone kwa Mara ya mwisho, akampa Rafiki yake no yangu tuwasiliane maana Yeye alikuwa anapelekwa kwenye chumba cha Uangalizi maalumu.
58
60
553
@JamesMbowe4
James Mbowe
8 months
Ni dakika tano tu Lakini za moto sana heko my brother @HecheJohn
18
145
565
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
Kina Halima walikitega Chama, Chama kimetegua mtego. Chadema ni Dude kubwaaaa
7
45
538
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Eti GAIDI Kuweni hata na Aibu!
Tweet media one
16
73
535
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Shadrack Chaula (24) ni msanii wa sanaa ya uchoraji. Amechora picha za watu wengi mashuhuri hasa viongozi. Picha ya Rais Samia aliichora mwenyewe. Baadae akaamua kuichoma. Wakati anaichoma anadaiwa kuongea "maneno makali" kuhusu ugumu wa maisha. Malalamiko yake ni malalamiko ya
Tweet media one
Tweet media two
40
108
545
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Wenye Haki wangu wataishi kwa Imani
Tweet media one
3
37
526
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
Kama kuna wezi wa Bando basi Vodacom Tanzania mnaongoza aisee🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 nimenunua bando jana saa 5 Usiku nikazima data asubuhi naamka nawasha data sina bando nimenunua bando la siku asubuhi saa mbili na dakika 40 saa 3 na dakika 15 sina bando, Majizii makubwa
Tweet media one
232
48
531
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Sehemu ya 3 na ya Hitimisho ya Salamu za @freemanmbowetz kwa Watanzania.
9
86
512
@JamesMbowe4
James Mbowe
9 months
🙏🙏
Tweet media one
9
25
522
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Nyota njema huonekana Asubuhi,
Tweet media one
Tweet media two
8
21
503
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Kwa kadri huyu shahidi wa 8 wa Jamuhuri kwenye Kesi ya kutengeneza ya Mh @freemanmbowetz na wenzake Jumanne malangae (Msukuma) wakati anatoa Ushahidi wake na kwa matendo anayo husishwa nayo kuanzia kwa Tito magoti kabendera na wengineo, Image ya Jeshi la Polisi imechafuka Sana.
10
65
508
@JamesMbowe4
James Mbowe
1 month
Mawakili mliopo Dar Msaada unahitajika haraka
Tweet media one
4
57
518
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Kuna tweet niliweka jana imeleta Hisia tofauti kutokana na Mateso anayopitia Mzee wetu chini ya Serikali ya Rais Samia. Nimeifuta kwa kuheshimu maoni ya wengi. Asanteni kwa Upendo wenu kwa @freemanmbowetz Msihofu utukufu Ujao ni Mkuu Kuliko ule wa kwanza.
13
51
493
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Tutairejesha Heshima ya Hai kuanzia chaguzi za mwaka huu na mwaka ujao. Wana Hai kwa kauli moja wamesema hawapo tayari kuongozwa na viti maalum
11
60
516
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
I made it Siku ya kuzaliwa @freemanmbowetz
Tweet media one
7
21
481
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Mbowe kuwa Ndani kumefunua madhaifu yetu.
8
44
483
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Asanteni Sana Watanzania kupitia Chadema na familia ya Gifted heart kwa namna mlivyoshiriki kikamilifu wakati mgumu wa kuondokewa na Sarah. Asanteni Sana na Mungu wa Mbinguni awabariki. Sarah ametuachia watoto wawili wa kike wanahitaji kusoma wanahitaji Upendo wanahitaji furaha.
8
51
488
@JamesMbowe4
James Mbowe
7 months
Dakika 7 za Mh @freemanmbowetz kwenye Msiba wa Hayati Lowasa Monduli. Mbowe amekataa unafki kwa vitendo👏
11
97
489
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Get well soon Nguzo yetu.
Tweet media one
6
62
467
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 months
Hakika umoja ni nguvu. Watanzania nyie ni watu wa maana kabisa. Kwa masaa mawili tumeweza kumchangia Chaula zaidi ya TZS 2M kati ya 5M zinazohitajika ili kumlipia faini. Lengo ni Chaula atoke leo. Tunaamini kufika saa 7 lengo litakua limetimia ili faini ilipwe na Chaula atoke
Tweet media one
Tweet media two
15
88
480
@JamesMbowe4
James Mbowe
3 years
Dr Silaa anasumbuliwa na Upweke
63
32
461
@JamesMbowe4
James Mbowe
7 months
Moja kati ya Salamu bora kabisa zilizotolewa Leo Ibada ya kumuaga Mzee wetu Lowasa. Dr Chegeni chukua Maua yako🌹🌹
22
110
471
@JamesMbowe4
James Mbowe
6 months
Kazi inaanza Rasmi leo Jimboni Hai, Mkutano wa kwanza utafanyika leo Bomang’ombe viwanja vya Snow view. Tutashuka kila Kata kila kijiji
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
54
475
@JamesMbowe4
James Mbowe
2 years
Hivi ndivyo Moto unavyozidi kuteketeza Msitu wa Mlima Kilimanjaro. Moto huu umedumu takribani wiki ya pili sasa, na Usiku wa jana ulionekana kushika kasi upande wa Machame. Nafikiri wenzetu bado wanaendelea na upembuzi yakinifu namna ya kukabiliana na huu Moto
89
113
459