Halafu "Oh Mo this, Mo that." Tungefika hapa bila
@moodewji
? Ofkoz pongezi kwa wachezaji na kocha lakini itakuwa ukosefu wa shukrani tusipotambua mchango binafsi wa Mo. Haya mko wapi wale wa "utaratibu/mkataba haujazingatiwa"? Mkuu Mo piga kazi, tunaojielewa tunakusapoti