Dr Mmbaga Profile Banner
Dr Mmbaga Profile
Dr Mmbaga

@ZakayoMmbaga

Followers
13,554
Following
1,074
Media
4,260
Statuses
100,843

MEDICAL DOCTOR (M.D)

Tanzania
Joined February 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
4 years
MUNGU AKITAKA KUKUFUNDISHA KITU HAKUDAI ADA😊. Uzi.... Mwaka 2016 nikiwa nimetoka mzigoni baada ya kuunganisha night mbili na day moja (hii ni ratiba ya kawaida kabisa kwa intern doctor hasa wale wenye njaa ya pesa😁. Unaingia night yako ukitoka jamaa anakulipa uingie ya kwake..
299
406
2K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
7 months
Nimesikiliza interview ya huyu dada You tube kuhusu anayopitia, itoshe tu kusema ndoa zinabeba mazito sana na ni ngumu sana kuishi tunachokihubiri.
Tweet media one
Tweet media two
204
82
2K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
4 years
Appreciation Tweet for Hashim Spunda Rungwe. Miaka michache iliyopita nilikuwa na uhitaji wa msaada wa kimahakama (Kuthibitisha vyeti kwa wakili) ikiwa ni mchakato wa kawaida katika utafutaji wa ajira. Nilienda law firm moja maeneo ya makumbusho lakini bei niliyotajiwa...
Tweet media one
163
253
2K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Ommy Dimpoz kaiweka very clear, "Unayetafuta naye kuni ndiye unapaswa kuota naye moto". Kina baba tuache kuwa sperm donors rather tushiriki kulea na kuwaonyesha watoto wetu upendo hata kama hatuna kikubwa cha kuwasaidia kiuchumi. Period
106
171
2K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
7 months
Hili jengo jamaa wamejenga bwana🔥🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
117
78
2K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Yule dada wa "Order" kilimshinda nini kusema kama hivi?, sema bata hata umlishe kokoto atatoa tu cha majimaji.
193
198
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Poti kanyoosha sana asee, binafsi nimemuelewa😂😂🙌🏼
163
415
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Dada utaamua unyoe au usuke😂
Tweet media one
102
89
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Tweet media one
50
143
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Tuliposikia za uzushi kuwa Amepigwa we were Happy for him, tuliposikia amepiga mtu we are also very happy for him. Hii ndio inaitwa Akinipiga kama nimempiga na nikimpiga nimempiga tuu😂😂😂
Tweet media one
34
93
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Ikawe wiki njema kwetu sote.
Tweet media one
47
105
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
5 years
Kimaadili ya kidaktari (Medical Ethics) Daktari hapaswi kumtongoza mgonjwa wake kwa kipindi chote cha matibabu. Na ikitokea akawa na interest na huyo client anapaswa kufanya hivyo walau miezi sita baada ya kuhitimisha matibabu ya mwisho (last visit).
82
76
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Huyu jamaa kaombwa ufafanuzi wa kauli yake ya leo, kaeleza na bado sijamuelewa.
Tweet media one
126
31
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
+1, God is good.
Tweet media one
216
56
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Dogo kaja bar kacheki game na kuagiza vinywaji, game imeisha kaagiza popcorn, zimefika tu hata hajazigusa kaniambia bro naomba nichekie nakuja, muda umepita kumbe kashakula mwendo, kapita kwa mtu wa popcorn kamwambia bro pale ataclear, nakuja kuulizwa bill na hata simjui, 😂😂
Tweet media one
147
55
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Unaanza na Song gani hapa?
Tweet media one
404
34
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Chanjo hutaki ila P2 sasa.....au ulisikia zenyewe zinatengenezewa Goba?
75
66
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Somo la "Historia ya Tanzania" limepigwa chini tena, kweli ondoka usemwe😂😂😂
103
36
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Watu 400 nataka kuwapa kazi ila hakuna anayetaka kujitolea bure.
Tweet media one
161
40
1K
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
CAG kashasema, kama bunge litashindwa kujadili ripoti yake na kuchukua maamuzi stahiki huo utakuwa “UDHAIFU WA BUNGE”
33
50
977
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Kunae yule jamaa anakuwaga DJ anapenda kurecord video zake kwa gari huku akila magoma na miluzi mingi, ana vibe moja matata sana unaweza kudhani kwake kila siku ni sikukuu😂😂
72
27
985
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
4 years
MKASA WA PANYA ROAD KUVAMIA NYUMBA YA AFISA WA JESHI. #UZI Baada ya siku ya jana Kaka @tweetsrifle kusimulia kwa kirefu kundi la vijana wahalifu waliokuwa wamejibatiza jina PANYA ROAD jijini Dsm, nilikumbuka kisa kilichotokea miaka hiyo baada ya wao kuingia ktk nyumba ya mjeda.
108
189
950
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Nisaidie Kuretweet huu Ujumbe, naamini yupo anayepaswa kuusikia, umfikie.
40
604
902
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
10 days
Hapa mwandishi kamaanisha nini?
Tweet media one
54
45
930
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Happy Birthday to this Wonderful Spiritual Father. Kama kashawahi kukubariki kwa namna moja au nyingine shiriki nami kumtakia maisha Marefu.
Tweet media one
Tweet media two
72
67
887
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
1 year
Twitter Invisible Security kwanini kwenye misafara gari zinabadilishana lane kama hivi?
206
127
876
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
9 months
Pastor kanyoosha sana hapa😂😂
50
227
857
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Dope 🧂Designing
Tweet media one
85
25
834
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Kipindi hicho nilitumwa nikasage unga wa lishe kwa ajili ya uji wa mtoto, njiani nikaanza kuchambua karanga na vipande vya samaki nikala vyote, kufika mashine umeme ukakatika kabla sijasaga na haukurudi tena. Ushawahi kupigwa mpaka ukajiuliza kama hao ni wazazi wako kweli?
143
70
828
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
7 months
Mwamba apewe tu kazi Nat Geo Wild😂😂😂
77
168
835
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
4 years
Mwisho niliulizia bei ya huduma akaniambia wewe ndio kwanza unatafuta kazi, huwezi kumlipa wakili,😁 toa tu kile unachoweza kwa sasa uende ukapambane. Kiukweli sikuamini nilichokisikia😂😂. Nikatoa shuka moja la kimasai nikamshukuru mzee wangu tukaagana nikaondoka. I appreciate.
34
55
825
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Hawa madogo😂😂😂🙌🏼🙌🏼
83
211
814
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Wife nafika sabasaba hapo chap.
Tweet media one
35
33
796
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Mbezi Africana na Sinza Africa-sana inabidi zikae chini zimalize tofauti zao, zinanichanganya sana.
83
28
800
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Can you??!😂😂
Tweet media one
40
44
785
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Wenye mji, huyu jamaa kila siku namuona around Selander bridge na mabango yenye jumbe mbalimbali na mavazi yake ya kitamaduni, ni nani?, ni msanii au ni Mtanzania mzalendo tu?
Tweet media one
177
39
772
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
1 year
Huyu mzee anaitwa nani?, akili kubwa sana.
69
232
794
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
4 years
Tunaacha kupambana na umasikini tunapambana na masikini wanaotaka kupambana na umasikini, SHAME.
25
71
763
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
10 months
Naangalia Trace Music Awards inayofanyika Rwanda, maandalizi ya venue na show ni 🔥🔥🔥 sana sema mpaka saivi Rais Kagame bado hajatajwa.
Tweet media one
93
55
744
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Huyu mbuzi atakuwa wa nchi gani😁😁
Tweet media one
179
31
709
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Kwamba asma hajui Dr Michael kajikakamua sana kutoa 10% ya 210k?🤣🤣🤣
Tweet media one
165
36
701
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
📌
Tweet media one
43
78
692
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Ukisikia mdada anasema mahari yangu sijui Milioni 500 sijui Billioni ngapi ujue kashajua kuwa kwa tabia zake/ umri wake hawezi kuolewa au kuwa na successful marriage hata akiolewa, hivyo hiyo anaitumia kama defence mechanism na justification ya failure yake.
88
59
692
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
4 years
Nikamuelekeza jamaa namna atakavyotumia dawa nikaweka vifaa vyangu mkobani nikasimamisha bajaji na kutoweka. Sikutaka kuendelea kusikia kinachoendela huko nyuma ila jamaa yangu anadai kila mtu siku hiyo alikuwa na story yake na funzo lake. Jamaa alipona na kuendela na majukumu.
66
32
675
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 months
This is my appreciation post for NAKIETE PHARMACY. Nimepiga simu kuulizia kifaa tiba fulani kwao, mhusika alipopokea ilionekana ana wateja ila akanijibu hawana, baadae akanipigia na kunielekeza ninapoweza kupata, baada ya muda tena akapiga kuulizia kama nimewapata wahusika🙌🏽🙌🏽
37
49
690
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Huyu mwanadada ni nani?
Tweet media one
47
21
656
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
1 year
+1, God is good🙏🏾
Tweet media one
204
55
672
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
R.I.P mom @mwelentuli , you were inspirational to many of us.
Tweet media one
48
49
656
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Huyu mwamba "Ramadhani Mbwaduke" kwenye Sport statistics & figures ni unbeaten, kichwa chake sijui kina memory ya namna gani, hawezi kuongea sentensi 2 bila namba. Salute mno kwake.
Tweet media one
34
25
674
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Huyu mwamba atakuwa kamfanya nini baba yake mpaka kufikia maamuzi haya?!
Tweet media one
103
33
644
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Mh na abiria wake😊😊
Tweet media one
Tweet media two
47
25
648
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Natamani sana Afande Suzan Kaganda angerudi Field badala ya kuwa ofisini. Aliongelea maadili kwa polisi kwa uwazi wakati ambao hakuna aliyekuwa na ujasiri wa kusema hayo.
50
156
643
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
9 months
Arusha ichunguzwe aseeh😂😂😂
52
95
657
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Je wajua kuwa hii sio sehemu ya Jiji la Dar Es salaam?😅😅
Tweet media one
77
18
636
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
9 months
Pamoja na yote unayopitia, usiache kula.
130
278
646
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Tumeambiwa hivi vijamaa vipo, kumbe ni vikuda😂😂
Tweet media one
65
24
601
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Target audience ya Royal Tour ni ipi?
74
13
596
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Huyu sasa ndio "Bibi Harusi".
Tweet media one
73
22
603
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Hili dude sio nje tu, humo ndani ni kwa kisasa mnoo, heko kwa @CRDBBankPlc
Tweet media one
17
14
608
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Sasa kuulizia kazi ya G.P.A ya 3.5 kwa Personal assistant ndio sababu ya tofali?😂😂
Tweet media one
102
12
593
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Tuliosoma shule mwishoni mwa utawala wa Mh Mkapa na sehemu kubwa ya utawala wa Mh Kikwete, haikuwahi kutungwa wimbo shuleni kuwasifia, hata walipotembelea mikoa yetu hatuona mabango ya picha zao (ukiacha kipindi cha kampeni tu) Huu utamaduni tumeutoa wapi?
84
38
576
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Sikuwahi kuona vitendo vya huyu jamaa vikiigizwa kwenye maisha ya kawaida hadi leo jamaa alipomuomba konda msaada ashuke pasipo na kituo konda akabana na kufoka ila gari za mbele zikawa zimesimama kupisha wapita njia na jamaa akapenya akashuka alafu akamfanyia konda hivi😂😂😂
Tweet media one
40
20
563
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Dogo aliyetangaza kutundika daluga la shule jana kule Mtwara leo karudisha majeshi na kuliomba taifa msamaha, ameahidi kwenda kulipambania kombe kwa kasi mpya.
32
20
568
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Huyu mwamba pamoja na utani wote humu ndani lakini yuko concerned sana na vijana & we have to support him. Unawakilisha vyema sana bro Madenge.
@EfmTanzania
E Digital
2 years
MTOTO WA KIUME ANAKUMBUKWA KWENYE MATATIZO: "Tumetengenezewa 'rehab' kwa ajili ya wateja. Akivuta unga akiharibika ndio anakumbukwa alikuwa mtoto wa kiume. Kipi kilimfanya avute unga? kwanini hatujaanzia huko?. Ulifanya nini kwaajili yake?".- @rollymsouth #MshuaMasta2022
Tweet media one
46
100
897
26
36
564
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Weka jibu😂
Tweet media one
180
18
544
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
"Mgunda" ni nini wataalam?
Tweet media one
133
21
544
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
1 year
Hamtaki sio?😂😂
Tweet media one
90
24
559
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
1 year
Mimi ni Simba ila tumuache Mkude apambanie maslahi yake. Alichokuwa anafanya Simba si favour, kulikuwa na mkataba wa makubaliano ya kutumika kwa malipo, mkataba umeisha na malipo yamekoma tunataka familia yake ile mahaba ya timu?, He has a family to feed not community to impress.
Tweet media one
Tweet media two
26
34
565
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Ingekuwa ni hizi kwa hiyo bei ningeelewa.
Tweet media one
Tweet media two
67
17
525
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Naamini wote tumekubaliana kuwa trailer ya The Royal Tour ni Unyama mwingi🔥🔥🔥.
37
9
526
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
7 months
Kilichomponza Wakazi….😂😂😂
32
64
535
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Ukiachana na Makande hiki pia ni moja ya chakula cha heshima na chenye historia kubwa kwetu.
Tweet media one
143
25
508
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Uniondolee majivuno, komesha kiburi, utawale akili zangu, Bwana niongoze🙏🏾🙏🏾🙏🏾
11
53
506
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Kumbe wale wazee wa kwamsisi walikuwa serious na malipo ya tambiko, mkandarasi gari moja halionekani huko😂😂😂
51
19
509
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Asilimia 6 iondoke bodi ya mikopo, kuna brother amekuwa akilisisitiza hili kwenye karibu kila tweet ya watu mashuhuri humu, naomba mwenye handle yake amtag humu tumpongeze kwa kilio chake kusikika.
33
32
507
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Chonde chonde waungwana, Tuhuma nyingine mnazoweka zinavuruga familia.
Tweet media one
28
17
498
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 months
Tweet media one
26
69
518
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Kumbe huyu mzee wetu wa meme ndio anakula maisha na mtoto hapa, kweli uzee mwisho chalinze🤣🤣🤣
Tweet media one
45
22
483
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
🎂
Tweet media one
14
28
499
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
7 months
Wakuu situation ya jana Morogoro isikie tuu. Mimi ni mmoja wa watu ambao gari yetu ilizingirwa na maji eneo la Mkundi (mizani ya zamani). Hapa ni barabarani kabisa eneo ambalo si kawaida kujaa maji lakini jana hali ilikuwa tofauti. Tunamshukuru Mungu tulitoka salama.
116
67
499
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 months
Huyu manufacturer angetafuta namna nyingine ya packaging kupunguzia watu kujieleza sana.
Tweet media one
82
21
500
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Kwa mpira huu wa Chelsea na Liverpool bingwa ni Man U.
36
8
475
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Stop telling single people that marriage is hard, they are not marrying your stubborn partner.
28
55
477
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
9 months
Pamoja na wengine waliofariki ajalini Singida asubuhi ya leo, kada ya Afya imepata pigo la kuondokewa na Madaktari wawili vijana kabisa katika ajali hiyo. Tunaungana na familia zao na wote waliofikwa na misiba Mungu kuwatia nguvu na kuwapumzisha kwa amani wote waliofariki.🕊️
Tweet media one
58
66
481
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Ukweli ni kwamba Violence in Medical School ni maisha ya kila siku tangu unaingia mpaka unatoka, Darasani, Morning report, Ward round, Meetings kote huko mtu anachimbishwa, na vita za humu hazikaribii hata robo kinachotokea kwa ground, so tuzoeeni.
61
33
486
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Kabla hatujalala tuwakumbushe kuwa...
Tweet media one
2
65
469
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
"As long as the bed shakes regularly, the home is at peace". ~Chinua Achebe.
24
57
471
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
8 months
Dah, kiukweli hii nilikuwa najua tu ni heshima mtoto kupokea mgeni alafu unaambiwa peleka hilo begi nyumbani, kumbe ilikuwa ni Code😂😂🙌🏽
44
84
475
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Tweet media one
29
23
463
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 months
Content za show za zamani zilikuwa na madini sana, saivi watoto wetu kutwa kucha ni Cocomelon😂😂
43
174
472
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
4 months
IJUE RHESUS FACTOR NA UJAUZITO. #UZI Bila shaka umewahi kuwasikia wataalamu wa afya wakisisitiza umuhimu wa wenza kufanya vipimo mbalimbali kabla ya kuamua kuwa pamoja kwa ajili ya kutengeneza familia (kuzaa). Moja ya vipimo vinavyosisitizwa ni cha makundi ya damu na Rhesus.
Tweet media one
60
212
471
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Konda: Oyah abiria sogeeni nyuma alafu jipangeni mistari 2 wenzenu waingie. Sisi: Konda umezidi wataingia wapi gari ishajaa. Konda: nyie si ndio shuleni mlikuwa mnaandika ubaoni usipojipanga kwenye maisha utapangwa?, ndio nawapanga hivi, au mlijua nani atawapanga?, Kanikera.😂😂
47
25
455
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
1 year
30’s+☑️
Tweet media one
Tweet media two
77
28
457
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Watu waaminifu bado wapo, picha ya mfugaji makini akisafisha maziwa kwa maji safi kabla ya kwenda kuyauza.
Tweet media one
55
29
449
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Hii nchi haiishiwi vituko, soka la Zanzibar huko wamefungana magoli 50/0 na 46/0😂😂😂🙌🏼🙌🏼
43
13
436
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
2 years
Weekend at work...
Tweet media one
37
13
447
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
3 years
Yani simu tunaweka settings ambazo zinabadilisha mpaka bei ya bando kwenye menu za mitandao 😂😂😂
35
15
434