Askofu Emmaus B Mwamakula
4 months
Kinana alinukuliwa akisema: "Hakuna Tume ya Uchaguzi duniani ambayo Rais hana mamlaka nayo". Je, kauli hiyo ina ukweli gani kwa Tume za Uchaguzi za Malawi, Afrika Kusini, Zambia, Nigeria, Ghana na Kenya? Kama Rais ana mamlaka na Tume Huru ya Uchaguzi, uhuru wa Tume sasa ni upi?