SDA || Doctor || Psychologist || Family and Marriage therapist || Helping spouse save their marriage. Sharing insights on my 6+ years of happy marriage.
Kufatia tukio la Jana la mwanajeshi wa JWTZ kupiga raia leo niwape story ya kwanini niliamua kujifunza ngumi, Story inaturudisha miongo miwili iliyopita yaan 2004 katika kisiwa kimoja ziwa victoria kisiwa cha Goziba kuna mwanajeshi alikuja likizo kwao yule jamaa alikua mtu wa
🚨BREAKING NEWS 🚨
Hali ya kiafya ya makonda sio nzuri nimepewa taarifa kua amewekwa kwenye machine ya kumsaidia kupumua, Makonda anaendelea kupatiwa matibabu nchi Afrika kusini baada ya kula chakula chenye sumu. Hata hivyo mbunge wa Arusha Gambo anatuhumiwa kuhusika. Sad 😢
Katibu wa kanisa la Masanja amejiua na kuacha ujumbe mzito, alikua anatoka kimapenzi na Mke wa
@masanja
. Kisa hicho kimemfanya masanja asihudhurie kipindi cha wasafi cha Sunday worship je? Masanja na mke wake watatokea msibani?
Soma hapa ujumbe aliouacha marehemu 👇🏻👇🏻
Watu wa itifaki nisaidieni Makamu wa Rais wa Marekani anawezaje? Kukalia kiti chetu cha Rais na swala la Mhe Rais kusimama huku Kamala akiwa amekaa je? Kipindi Rais Samia ameenda Marekani Alikaa na Joe Biden akasimama? Hii picha imekaa kitumwa
Mange kimambi kamaliza aachia voice note ya mke wa Katibu (Marehemu) PICHA linaanza anasema mke wa masanja alilia hadi kamasi kipindi Katibu anafunga ndoa yake na kwenda honey moon_ 2 months ago, Anaendelea kusema 👇🏻👇🏻
Anaitwa Robert Denison kijana mdogo alieanza masomo yake ya Shahada ya pili ya sheria 2017 na kumaliza 2019 kijana aliemburuza na kumtaabisha Prof wa 🇹🇿 mwenye experience ya zaidi ya miaka 25 prof Mruma aka professorial rubbish
Ngoja Niwasimulie ambao hamukwenda kanisani leo. Nimefika kanisani fresh baada ya misa Padre akasimama yaan waraka haujasomwa na wale wasoma matangazo, wasoma matangazo wamesoma matangazo yote kisha Padre ndo akasimama mkononi kashika Waraka wa paulo kwa wagaratia 😁 👇🏻
HUU NDIO UKWELI WA KILICHOTOKEA URUSI.
Iko hivi kwanza kabisa tumpe Putin maua yake jamaa ana akili huyu ni balaa inshort ni Genius sanaa 🙌🏽🙌🏽 KGB ambae akitaka kukamilisha mambo yake anachagua njia ngumu yenye mibaa. Putin alitaka kuua ndege watatu kwa jiwe moja akamuita Prigo
Nilikua kazini ile niko na mgonjwa hivi mara naona simu inaingia mshikaji wangu ananiambia oyaaaaaa Ingia twitter
@kigogo2014
karudiiiii. Nimemwambia client mama subiri kidogo nina Emergency😂. Nika confirm kisha tukaendelea.
Welcome the Legend
@kigogo2014
himself.
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba mhadhiri huyu ni HIV Positive ana maambukizi ya virusi vya ukimwi na anafanya hivyo makusudi ili kusambaza 😥. Tunaomba sheria ichukue mkondo wake na huyo binti kabla ya 72 aanzishiwe Post Exposure Prophylaxis na P2.
@SuluhuSamia
ni aibu
Celine wewe sio MD wewe ni mwanafunzi wa Udaktari mwaka wa 4 MD4 Muhimbili hata intern hujaenda ni kosa kusaini fomu za BIMA kwa designation ya MD you are not a medical Doctor. Sasa unaenda mbali zaidi na kuanza kuvujisha siri za wagonjwa taarifa zao na kua eti wanakutongoza.
Ndugu
@ummymwalimu
acha kusema kwamba Hospital za serikali mama kujifungua ni bure sio kweli nyie ndio mlitunga sera mama alipie vifaa tiba sasa vifaa tiba kwa mama anaefanyiwa upasuaji ni kati ya 100,000 - 250,000 sasa hiyo unaiitaje kua ni BURE? Jibu hii hoja hapa kama ni kweli
Lieutenant Commando ⭐️⭐️⭐️ yes hiki ndio cheo ya Muuza madafu wa ikulu tena jamaa ana bawa kifuani yes maana yake ni kwamba amemaliza kozi zote za ukamando 92KJ Ngere What? Yes Ngerengere
Alipohojiwa na
@millardayo
muuza madafu alijibu
Ukija bila gadi nagawa wastani kwa idadi
Ndugu wa katibu watoa ya moyoni wasema Mtoto huyu ni wa Monica na katibu na sio wa Masanja na Ugomvi kati ya mke wa Masanja na katibu ulianza pale katibu alipokua anataka kutambuliwa kama Baba wa mtoto. Nimetumiwa picha DM na ndugu wa katibu mtoto sio wa Masanja
@mkandamizaji
🤔
Msemaji wa Jeshi la wananchi Tanzania JWTZ amekanusha kua Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila hawezi kutoa amri kwa CDF amesema Jeshi lina taratibu zake amewataka wanasiasa kutokuchanganya siasa na Jeshi. Hata hivyo hajasema wazi kama Jeshi litashiriki usafi ama laah.
JESHI LA WANANCHI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUNAWASHUKURU SANA KWA KUSIMAMA UPANDE WENU WA WANANCHI. JESHI LILIAPA KUWALINDA WANANCHI NA HATA SIKU MOJA HALITAGEUZA SIRAHA KUWASHAMBULIA WANANCHI AMBAO KWA MUJIBU WA KATIBA NDIO WENYE JESHI.
🙏🏻🙏🏻 Tunawapenda wanajeshi wetu
Clip hii inafikirisha sana.
👉 Ni kweli kabisa wasomi ndo wanauza hereni na miwani na siku izi wengi ni maboda boda na machingi.
@SuluhuSamia
kuna hisia kali sana kwenye kipande hiki cha video.
SHULE YA TRUST ST PATRICK iliyopo Jijini Arusha ndio shule alosoma mtoto wa Nyoka Faustine mafwele aitwae FAITH FAUSTINE MAFWELE nimeweka matokeo ya darasa la saba ya 2015 check kwenye comment baadae alipofika Advance kalamba na Scholarship za Samia wezi wanakula keki ya nchi.
Oxygen Concentrator ziko overloaded yaan watu wanaohitaji oxygen ni wengi kuliko walio kwenye oxygen unasubiri afe mtu ndio umuwekee mwingine hiyo ndio hali halisi kwa sasa. My Department incharge amefariki usiku wa kuamkia leo 😭 siku 5 toka awe ICU
@kigogo2014
@MariaSTsehai
Ndugu yenu toka jana anateseka sanaa haamini kuona
@IAMartin_
, na Mawakili wa utetezi wakiwa wana trend saizi yupo busy na ku retweet simba Day
@kigogo2014
watu wanapenda haki umeona jana
@IAMartin_
kaisimamisha twitter yote yaani kiufupi tumeuteka mtaa utajua hujui 😁😁😁
Asante sana
@kigogo2014
kwa kuni follow back.
Niheshima kubwa sana kwangu kwa sababu wewe sio tu mwanaharakati bali Pia Mtumishi wa Bwana, Mtaalamu wa intelijensia na Cyber security, mkulima wa nyanya na vitunguu swaumu, Mtafiti, MTU WA WATU.
💪💪... Twende kazii
#NIYEYE2020
Mama anataka kuiuza bandari ya Dar-es-salamu kwa muda wa muda wa miaka 100 yaan karne nzima Je? Wewe kama mtanzania una lolote la kumshauri? Toa yako ya moyoni
🚨 TISS kuhakikisha akofu Bangoza hapiti 🚨 kanisa KKKT linaingia kwenye uchaguzi wa askofu mkuu nataarifiwa kua watu wengependa kumchagua Bagonza ila sasa serikali inafanya kila iwezalo impitishe askofu Mbilu. Mungu akutangulie Baba Askofu , Serikali acheni kuingilia makanisa
Mbowe leo umezingua hapana unaleta ustaarabu hadi unazidi umewatuliza watu msabani kwanini? Why? Ungeaacha vyuma viumane tu
@freemanmbowetz
leo umenikwaza sana ungeacha masauni watu wamkabe koromeo
Happy birthday to me 😍.
Mwaka 2016 miaka 5 iliyopita tulimfanyia upasuaji mtoto ku fix valve za moyo zilizokua zimepwaya nikiwa Daktari wa Usingizi nilimpa matumaini mama kua upasuaji utatumia mda mrefu ila mtoto atatoka salama Leo mama wa mtoto kaniletea keki nikiwa kazini 😥
Sema tu kuna ule wimbo unapiga kwenye BACKGROUND umetoka mwaka huu…
Vinginevyo tungeambiwa ile Video ni ya miaka 5+ iliopita😅😂
@EsirEid
kweli kabisaaa wangeshapindisha
ISRAEL imeanzisha Operation IRON SWORD. Ngoja kwanza nikupe brief ili uelewe ni kwanini imekua vyepesi sana kwa Israel kuvamiwa na Hamas hapa ndani Mrusi ana husika pakubwa mnoo. Urusi kwa namna kubwa ndio anachangia uwepo wa amani Duniani shuka na uzi..
#Israel_under_attack
Huwezi amini hili jamaa nakijua hadi kwao yaan lina roho ya kutu kwao penyewe walishalitenga maana ni roho ya sumu huyu jamaa Babu yake mzee kamalamo mafwele ni rafiki angu sana kila nikienda mwanza tunazungumza mawili matatu maana ni jirani Faustine ni Mnyama
KILLING machine
Kwanini mpaka sasa Jeshi halijatoa taarifa yoyote ya kukemea kitendo kiovu kilichofanywa na askari wake? Naskia askari wamekamatwa na wako marshal Jeshini uko na kwamba wamepokea kipigo cha mbwa koko kutoka kwa MPs lakini hii haitoshi lazima jeshi letu litoe kalipio kali.
Daktari specialist PhD holder kama doctor Janabi analipwa Gross ya 2.5M take home baada ya makato 1.7M mi ndo maana nilikataa kata kata kufanya serikalini daktari kama huyo huyo kwenye mashirika kama MDH,ICAP, THPS ,AMREF analipwa 9M hadi 15M
@ummymwalimu
yupo busy na lipstick💄
Nina swali kwa wana sheria akina
@PMadeleka
na wenzake huyu jamaa hatuwezi kufungua shauri mahakamani hata aje tu tumuone kama ni hela tutachanga mimi kwenye hii case hata mbuzi ntauza haiwezekani
@Sativa255
afungue case then sisi hapa X ndio tuiendeshe mwanzo mwisho?
Ikitokea huko mbele mtu akambeza
@kigogo2014
atakua ni Mpumbavu na mjinga asie na akili. Kigogo ni reliable source of information huyu sio mtu wa kawaida mtu ana taarifa zinazoendelea Ikulu unadhani ni mtu wa kawaida huyo kila alichosema kuhusu Rais kimetokea hatua kwa hatua.
Sitasahau Luhaga mpina waziri wa uvuvi aliponichomea nyavu zangu za uvuvi wa dagaa. Hapo nimemaliza chuo hakuna ajira. Mama akanipa mtaji jamaa akataifisha na mashine 😭😭. Nililia sana. Mungu akutangulie
@TunduALissu
Tumaini letu ni wewe.
@fatma_karume
@MariaSTsehai
@kigogo2014
Katibu Joas kifo cha huyu Jamaa ni Utata mtupu ile safari ya
@mkandamizaji
kwenda Marekani ili asionekane kashiriki jamaa alizimwa kama mshumaa Katibu 😢
Homeboy kabisa mwanangu sanaaa huyu School mate ila now sijui ata yupogo wapi yaan wakati jamaa anaenda Jeshi anapitia mwanza baada ya kumaliza form IV
mi mwamba nikaendelea V na PCB ila now jamaa ni Komando sema mshikaji peace sanaa niwape story moja ya huyu jamaa mta enjoy
Dini ziheshimiwe huyu sio mchungaji hana sifa huyu ni Muhuni tu aliejificha katika dini Biblia inasema sio kila aniitae Bwana Bwana na pia inasema siku za mwisho watakuako manabii wa ungo huyu Masanja ni mshenzi mmoja tu hakuna Utume kwa kweli humo Mchungaji kashika nini hapo? 😁
@masoudkipanya
Huyo skeleton ni JPM hiyo kwenye Glass ni Damu ambayo alipoteza maisha ya watu, Pembeni yake ni mtutu wa Bunduki alioutumia kukandamiza. Headphones ni kua alikua hashauriki sasa ndo Mama nae anajifunza kucheza mchezo wa JPM wa kuua watu na kubambikiza Kesi kitu ambacho ni hatari
Binti Nasra UDOM humanity, BAED third year. Amefariki huku kifo chake kikiwa kimegubikwa na uficho mwingi za ndani kabisa zinasema alipata ajari akiwa na Boss yupe wa wizara ile juzi kati hapa ko mauti yakemkuta hii leo.
Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un
Huko mbeya nasikia Padre kasoma waraka mbele ya muumini wake Spika wa Bunge la Tanzania
@TuliaAckson
😁 kama mbwai mbwai tu . Sasa baada ya waraka kusomwa kanisa zima lika shangilia kwa furaha kubwa mnoo Spika naskia ni kama kanyeshewa mvua ya sunami ngoja tutafute ka video 🤣
Lecture wa UDOM Petrol Bazil amewapa sup za kutosha wadada ili uchomole kwenye sup mpaka umpe. Sasa kasetiwa mtego kanaswa
@SuluhuSamia
chuo cha UDOM kimeoza uongozi wa UDOM ume collapse kuna ushenzi mwingi pale ma lecture wana wafelisha wanachuo makusudi Prof Bee must resign.
Tuzo za BET Kwenye Kipengere cha Best International Act tunaenda na
@burnaboy
Huyo wa madale akapigiwe kura na MATAGA we are the people mbona atafurahiii
Hapa ni kigari Rwanda 🇷🇼 hawana Bandari hawana Dhahabu wala Mbuga nyinginza wanyama kama sisi hawana Bahari kama yetu wala eneo kubwa la kilimo kama sisi! Unadhani ni nini kinatukwamisha 🇹🇿
Confirmed Madaktari KCMC wameanza kugoma kufanya kazi kutokana na ukosefu wa PPE za kuwakinga dhidi ya Kirusi kipya na hatari zaidi hii inakuja kutokana na ongezeko kubwa la wagonjwa wenje dalili za Corona. Napaza sauti kwa madaktari nchi nzima kutoa msimamo thabiti
Wafanyakazi taaisisi mbali mbali ukikutana na mteja jina lake ni FAUSTINE JACKSON MAFWELE we tupe huku taarifa kimya kimya au mteja ambae ubini wake ni JACKSON MAFWELE tupe taarifa iwe ni Hospital au popote fanya hivyo kwa masilahi makubwa ya Taifa kua mzalendo
Fita ni fita mura
🚨 HABARI HIVI PUNDE🚨
Taarifa za ndani zinasema
@Nnauye_Nape
anashinikiza wajumbe wa Baraza la maasikofu wa kanisa catholic walio pitisha waraka wa kupinga uuzwaji wa Bandari wakamatwe na wafunguliwe mashitaka 🙄.Nape usijichanganye kuwagusa hawa huo motooo utawaka 😁😁
Bugando Medical Centre Pamechakaa Covid sio ya nchi hii yaan BMC iko full house
@wizara_afyatz
@SuluhuSamia
tuliwaonya kua hali itakua mbaya sana watu wanakufa sio poa na wengi ni kwa sababu ya Oxgen 😥 Leo hapa kwetu tumepoteza wagonjwa watatu hakuna Oxgen tufanyeje sasa 😭😭
Wadada wa chuo acheni kutumia hizi dawa kwa mazoea utazani mnakula panadol utumiaji wa kupindukia wa postinor-2 kuzuia mimba husababisha kulegeza ukututa wa kizazi hivyo kua vyepesi sana mimba kuporomoka yaan miscarriage hivyo ukimuhitaji mtoto kuna siku utamtafuta kwa tochi.
Ndugu yangu Mafwele ZCO acha mara moja tubu dhambi zako si una familia Baba yako si yupo mwanza mzee kamalamo mafwele ko tumalizane nae kitaa maana kila siku tunakutana nae, ndugu zako tunao mtaani wengi tu vip tusambaze upendo kwao sababu yako? WATCH IT soon utajuta.
Nilichogundua ni kua Baraza la maaskofu Tanzania TEC lina wasomi sana kuliko Bakwata naskia pale TEC zimejaa Masters na PhD yaan postgraduates za kutosha ukulinganisha na Bakwata kama unabisha angalia kila taasisi inavyozungumzia swala hili la Bandari utajua wenye shule ni wapi
Twitter CIA wameshamaliza kazi yao hakuna cha parody wala nini ni yeye na ana account instagram ana repost tweet zake na pia wanafunzi wenzake wame confirm now ngoa tuwasilaine na uongozi wa chuo nitawatumia email leo leo barua itafata baadae
Salaam kwa Mkuu wa Majeshi CDF Mabeyo na Askari wa jeshi letu pendwa la JWTZ
👉 CDF Umeliongoza jeshi kwa weredi na umaridadi wa hali ya juu umekua CDF unahakikisha nchi yetu ni salama hata baada ya kifo cha JPM ulihakikisha peaceful transfer of power kwenda kwa
@SuluhuSamia
Rais wa wakulima
Rais wa wafanya biashara
Rais wa wafanyakazi
Na sasa kapanda mtubwi wa mbao wa kawaida kaonyesha kuwa ni Rais wa wavuvi pia.
Maisha yake ni ya kawaida sana. Si mwingine ni
@TunduALissu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
@kigogo2014
Umewatuliza vijana wasikiwashe msibani wewe si utawatuliza hata 2025 uchaguzi ukiibiwa? Chama hiki kwa sasa kinamuhitaji
@TunduALissu
shule yake , ujasiri wake na akili yake inahitajika zaidi kwa sasa anapaswa kuaminiwa na kupewa uenyekiti la sivyo kwa mbowe wa sasa hatutoboi
Leo nimemfanyia mama mmoja mja mzito Abd Ultrasound ku confirm mlalo wa mtoto na haya ndio yaliyokuwa majibu yake ✌✌. Lissu syndrome😂.
Nimemuita Dr
@kigogo2014
afanye confirmation.
Jaji Butamo kasuka Phillip leo umetisha huyu ndo Jaji aliesimamia haki na kumpa ushindi
@Mwabuk2Boniface
Retweet kumpa heshima yake Jaji
Piga retweet kwa jaji hadi aione. 😀
𝐖𝐀𝐑𝐀𝐊𝐀 𝐊𝐔𝐒𝐎𝐌𝐖𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝟔 𝐌𝐅𝐔𝐋𝐔𝐋𝐈𝐙𝐎
Katibu mkuu TEC amezielekeza Dayosisi zote kurudia kuusoma waraka wa Baraza kuu wiki 6 mfulilizo ili kuwapa nafasi waumini wote kuusikia na kuuelewa hawa jamaa hawana masihala wiki ijayo tena kinaumana 🤣
‼️ BREAKING NEWS‼️
Wamasai kupigwa na kukamatwa usiku huu, Imetolewa amri kua asikari wasiwaguse wamasai mbele ya watalii mchana huu yaan wawe wa pole usiku baada ya watalii kwenda makambini basi ndugu zetu wamasai wapigike vya kutosha na wengine wakamatwe watanganyika tuamke.
Nasemaje kanisa la roman linatumika sana kusambaza agenda za kishetani mkubali mkatae hebu someni sana historia ya kanisa hili lakini pia someni sana maandiko ya vitabu vya unabii kitabu cha Daniel na Ufunuo. Acheni kujifanya vipofu msio ona
Libarikiwe tumbo lililomzaa Jaji Butembo, Libarikiwe ziwa alilonyonya, wabarikiwe walimu waliomfundisha, ubarikiwe uzao wake na mwisho ahimidiwe Mungu wa mbinguni kwa kumpa jaji hekima. Jaji huyu alimpa ushindi
@Mwabuk2Boniface
Mahakaman tumpe retweet nyingi sana za upendo Jaji.
Watumishi wa Umma wamekua very disappointed. Ifike sehemu Mhe Rais uache kutudanganya watumishi ndio keki ya taifa ile? Ongezeko gani la mshahara lile? Watu wameongezewa elfu 8 elfu 6 hadi wengine elfu 4. Ungeliita hili ongezeo andazi la taifa sio keki ya taifa keki ya elfu 4?
Hidhi ni dharau mnatuletea mtu mwenye diploma ya public administration na certificate ya teaching primary education kutuongoza wizara ya afya? Huyu atuongoze sisi machief na Diploma yake? Mmetudharau sana madaktari, Rais
@SuluhuSamia
hebu tuondolee huyu
senkiyu mayi purezident
Ni jana hiyo masikini kumbe network ilizimwa makusudi Ili magari yasiingie porini sababu kulikua na Dege kubwa kutoka uarabuni limeijia Wanyama. Naskia watalii wame lalamika sana yaan ni huzuni. Magari yamekaa karibia masaa 10 just imagine. 😭
Who is
@MrishoMpoto
kwenye hii nchi who is this fuc*er in this country? Juzi kawatukana viongozi wa dini jana kamtukana
@ummymwalimu
tena mbele ya Rais
@SuluhuSamia
huyu
@MrishoMpoto
anapata hii nguvu wapi? Anaitwa kutumbuiza au kuja kunanga watu? Nimeweka video zote mbili 👇🏻
Udini kila mahali Mtangazaji
@Baraka__Mpenja
mechi inaanza anasema Asalam Alykum ni mwezi mtukufu wa Ramadhan mkapa ni full house so ameona mwezi mtukufu wa Ramadhan peke yake kwaresma hajaiona? Si bado wakiristo nao wapo kwenye mfungo wa kwaresma hii nchi ni uisilamu kila pahala
@Ms__Celine
kafuta Account yake twitter za chini ya kapeti ni kua hio ndio njia pekee ya kumnusuru na kuendelea na masomo yake pia kaambiwa afute post za insta alizokua aki repost then ndio uongozi wa chuo utangaze kua ni parody ila in reality sio parody nj YEYE
Mzee
@jmkikwete
mpaka sasa ni wewe tu umebaki hujatoa salamu za rambi rambi na pole kwa aliekua waziri mkuu wako na rafiki yako wa karibu wapwa tumeshandaa masufuria na kuni na moto uko tayari tunasubiri uzitoe hizo salamu ili tukupike vilivyo fanya hivyo tafadhari tuna kiu 😁😁
Ni aibu kwa JWTZ askari wake kuhusika kwenye ubakaji na ulawiti. Jeshi limeapa kuilinda nchi na mipaka yake, wananchi ndio wenye nchi na ndio wenye Jeshi. Aisee Askari mna baka na kulawiti na bado mpaka sasa hawajakamatwa hii nchi kuna walio juu ya sheria?
@Dr_DGwajima
Retweet.
Jamani angalieni salio account zenu za Bank mimi nimekatwa 9370. Nimeangalia leo nakuta salio limepungua sana. Kwenye simu tozo, Bank napo makato ya bei kubwaa elfu tisa? Wakati mshahara umeniongezea elfu 8 harafu kwenye bank unanikata elfu 9 😭
Kala Jeremiah alipatwa na nini? Jamaa alikua bonge moja la msanii kapotea kabisa mshikaji ana talent sanaa, kuna ngoma yake moja inaitwa usikate tamaa nzuri sana what happened to him?
Eti bikra wapwa mnaiona bikra hapo? Kaanza kudanga kitambo 😁😁 Masanja
@mkandamizaji
Monica amesoma Kishimba Secondary alikua anakanyagwa kisawa sawa alishawahi kutoa hadi mimba ya jamaa mmoja anaitwa Masumbuko so now kakupakia tomato sauce kakamulia na ndimu unasema ni bikra 🤣
Wananchi Bukoba wanaivuta ndege kwa kamba ili waweze kuisogeza karibu isizame na watu bado wamo ndani zoezi hili lingeweza kufanywa na Speed boat mbili zenye horsepower ya 500 kila moja na likachukua mda mfupi sana. Serikali kazi kununua V8 kila kukicha
@SuluhuSamia
watu wanakufa
Masanja
@mkandamizaji
na Monica hadi kifo kiwatenganishe duh, sawa hutaki kwenda kupima DNA hata macho hunaa? Dogo ni Katibu Joas mtupu. Katibu picha zako tutazitunza kama kumbukumbu kumuonesha mwanao Akikua. Naskitika polisi wanasema hakua na mahusiano ya kimapenzi na Monica
Vijana wengi wa Forex wana FAKE sana maisha yaan hiyo gari haifanani na mwenye gari ni kama kaambiwa simama hapo nikupige picha weka laptop kwenye hood maximize page ya forex ionekane vizuri hakikisha plate number ya gari isionekane 😂😂😂😂
Time for correcting the mistakes.
Time for leaving a good memory behind.
Time for building again.
But also time for 🥂
Mzee baba heshima yako
@jmkikwete
Ondoa bashiru fyeka yule ni choka wengine ni wabovu sawa ila yule ni nyoka mbaya sana yule tusaidie fyeka fyeka 🤣
😂😂😂 IGP ni mkuu wa walinzi polisi
Ukijua sheria kama
@PMadeleka
unakua unacheka mda wote huna was was koz wakijichanganya mahakan ni unawajaanga vibaya wakija mitandaoni pia ni bakola tu
Mkuu wa mkoa anaweza kuwapa amri askari 5000 wa JWTZ wafanye usafi? Mkuu wa mkoa? Wanajeshi elfu 5 ni vikosi vingapi? Sema wanajeshi wetu nao siku hizi hamna kitu yaan askari efu 5 mnapewaje amri ya usafi na mkuu wa mkoa? Ni dharau kubwa hiyo
Mnataka kumteka na Daktari sasa wagonjwa atawatibu nani? Basi msubiri nimalize planned operation zangu niwahudumie wagonjwa wangu wiki hii then mnaweza kuniteka kuanzia wiki ijayo
Bwana mikononi mwako naiweka roho yangu ni maneno ya mwisho ya Bwana wetu yesu Kristo.
Leo ibada imenikutia UDOM basi nimeona wanachuo wengi sana waisilamu, wakrisro wasio wakatoriki, wasio na Dini wotee leo ni kwenda kanisaniii, kanisa limejaaaa misa zote full house . Wao wanasema kilichotuleta leo ni kusikiliza waraka wa 𝐏𝐀𝐔𝐋𝐎 𝐊𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐈𝐀 🤣
Mzanzibari alieamua kwa kuwafurahisha wajomba zake waarabu akawapa Ngorongoro na kuwanyima wamasai ardhi yao ya urithi wa babu zao mzanzibari huyu anauza na kuzigeuza kama chapati rasilimali za Tanganyika cha ajabu Wabunge wa tanganyika wameufyata na hata Jeshi letu nalo kimyaaa
Kada kapigwa swali moja na
@chiefodemba
hadi kakikana chama 🤣🤣🤣🤣 eti CCM sio chama Changu
Hapa Rais ni
@Mwabuk2Boniface
tu sijaona mtu alie hata robo ya utashi na akili ya mwabukusi.
Huyu dogo anatumika sana serikali ilimtumia
@millardayo
kueneza taarifa kua eti yule binti hayupo Yombo Dovya na wala hajulikani na kwamba hajapatikani na sio mkazi wa pale huyu dogo kuna siku yake ye si mwamba basi sawa kuna siku tutakaa tunamuangalia tu maisha ni haya haya.
👉 Huwezi kuwaita wana harakati walioweka maisha yao mbele eti wa hovyo harafu tukuchekee NEVER.
👉 Madhabahu unayoendaga kusari ni ya Mungu kweli au ya Nabii Titto? 😁
Alinikama nikiwa na nyavu halali za dagaa za mm 8 yeye anasema ni haramu nikaleta mpaka listi ya manunuz haelewi ananilazimisha eti nilipe million 2 za faini ndio anirudishie nyavu zangu na mashine 2 Nikakataa nikasema nipeleke mahakamani akasema unajifanya mjanja? akazichoma