Dr. Dorothy Gwajima Profile Banner
Dr. Dorothy Gwajima Profile
Dr. Dorothy Gwajima

@Dr_DGwajima

Followers
7,099
Following
119
Media
447
Statuses
3,309

Minister for Community Development, Gender, Women and Special Groups, Wife | Mother.

Dodoma
Joined October 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
TAARIFA KWA JAMII; Mahsusi kwa wenye moyo wa upendo wa kulea watoto Malezi ya Kambo na baadae Kumuasili awe wake kisheria. UTARATIBU; 1. Maombi huwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri. 2. Afisa Ustawi wa Jamii humtembelea mwombaji na kufanya tathmini. 3. Taarifa
Tweet media one
163
392
1K
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
Ahsante Sana kuniTag na kwa ushirikiano. Kwa kutoa namba yangu tayari nimepata mrejesho wa jamii ambao umenisaidia na mimi kutoa ushirikiano kwenye mamlaka itakayohusika na kufuatilia jambo hili kwa mujibu wa sheria stahiki. Tuendelee kushirikiana. Ulimwengu sasa ni Kijiji
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
3 months
Nimepokea taarifa mbaya kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mafia inayohusu kiongozi mkubwa wa Halmashauri hiyo kumbaka mfanyakazi wake wa ndani (house girl) ambaye ana umri wa miaka 16. Vyombo vya dola wilaya ya Mafia vyote vinafahamu lakini kwa masikitiko makubwa wameamua kumsaida
Tweet media one
91
114
1K
123
92
891
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
WATANZANIA TUWENI MAKINI NA HABARI ZA MITANDAONI. Tuwe makini na watu wanaoandaa taarifa za video kama ya huyu anaye 'trend' kwa video ya madai kuwa eti anafanya mapenzi na nyoka Ili kupata hela pamoja na video zingine zenye mlengo aina hii. Napenda KUIKUMBUSHA jamii kuwa:
Tweet media one
321
139
846
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
Wasaalam Watanzania; Taarifa hii nimeiona. Kama Waziri mwenye dhamana ya Watoto, tayari nimeshatuma kikosi cha maafisa ustawi wa mkoa waniletee taarifa ya tukio hili kisha nitakuwa kwenye nafasi ya kusema chochote kwa utaratibu stahiki. Hivyo, tuvute subira. Ahsanteni. 🇹🇿 🙏🏾
@RebecaGyumi
Kyoga
2 years
Huyu DC achukuliwe hatua kali, pamoja na kuwa ukatili haukubaliki kipindi chochote, lakini ana uthubutu wa namna gani kumpiga binti hadharani kabisa kwenye siku 16 za kupinga ukatili???. Pia ni kukosa maadili ya uongozi @maendeleoyajami @Dr_DGwajima @MwananchiNews @TheChanzo
207
298
994
134
110
820
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
🤲🙏🏽Heri ya Sikukuu kwenu wote kutoka kwenye familia yangu🌹
Tweet media one
52
44
789
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
7 months
@ExMayorUbungo Hbr za asubuhi. Jana niliwasiliana na mzazi na akanipa RB nami nikawasilisha kwenye mamlaka husika kwa ufuatiliaji stahiki. Shukrani .
107
58
743
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
@YerickoNyerereT Hbr za jioni. Tuko kwenye ufuatiliaji wa taarifa kupitia Dawati la maendeleo ya Jinsia, dawati la Watoto na wenzetu wa sekta ya elimu. Tutafuatilia pande zote. Shukrani 🙏🏽
50
62
725
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
Nimefurahishwa na mwitikio wa @IdrisSultan juu ya kukerwa na vitendo vya ubakaji na kulawitiwa kwa watoto. Nimepitia pia comments za wengi na kuona mwitikio chanya na utayari wa kujitolea kuokoa kizazi kijacho. 1/2
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
72
100
685
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
WAMEPATIKANA. Video fupi inayozunguka mitandaoni na yenye kipande chenye mwonekano kama kwenye picha hiyo, wakiwemo pia watoto wenye alama za makovu kwa madai ya kuteswa na mzazi wa kufikia (mama); wamepatikana kwa ushirikiano na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga na Wataalamu
Tweet media one
91
94
549
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
5 months
@YerickoNyerereT Nimesoma, nimewasilisha kwenye vyombo husika kwa ufuatiliaji na hatua stahiki. Ahsante kwa ushirikiano.
64
44
550
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
@ExMayorUbungo Habari za kazi. Tumepokea. Unaweza kumpa mlalamikaji tafadhali namba yangu 0765345777 kwa ajili ya kusikilizwa zaidi. Nasubiri shukrani
64
42
517
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
@YerickoNyerereT Namba ya mzazi haipatikani. Kama anafikika kwa njia mbadala, tafadhali mwambieni asome sms ajibu tumpigie. Tunaanza na yeye kisha tutaenda upande wa pili kusikia na kujumuisha. Shukrani
42
45
483
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
Shukrani waliowezesha kumpata Ester. Naiomba jamii tumpe nafasi aendelee na maisha mapya badala ya kila saa yuko mitandaoni. Hata kama ni zaidi ya 17yrs, bado anahitaji staha na utulivu. Maafisa Ustawi watampa ushauri nasihi. Kila la Heri Ester, mengine tuachie vyombo vya haki.🙏
Tweet media one
76
38
421
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
Nawashukuru watanzania wote kwa ufuatiliaji wa wasilisho la bajeti ya wizara ya jamii. Namshukuru Mungu kwamba, mjadala mkubwa siku ya leo, ni ishara ya elimu kuifikia jamii kwa kina kuhusu kupambana na kutokomeza ukatili wa kijinsia na kudhibiti mmomonyoko wa maadili
Tweet media one
65
36
401
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
7 months
Karibuni 💪🏾🇹🇿
Tweet media one
23
80
314
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
Nikisalimiana na mama na watoto wa Ifakara, mkoa wa Morogoro jana tarehe 11 Aprili, 2024 tuliposimama njiani tukiwa safarini kuelekea Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba, Mkoa wa Morogoro ziara ya mawaziri wa kisekta kuwatembelea na kuwafariji wananchi waliokumbwa na maafa ya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
58
27
299
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
Taarifa kwa Umma.
Tweet media one
54
47
285
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
7 months
Asante Roland Malaba @rollymsouth kwa appreciation hii. Naomba niendelee kusihi kama watanzania wote kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kupiga vita Ukatili wa Kijinsia na kwa Watoto. 1/3
@rollymsouth
Madenge
7 months
Appreciation twiti kwa waziri @Dr_DGwajima amekubali dunia ya sasa social media ni chanzo cha habari cha fasta,ni kuzichukua na kuzifanyia kazi kama ni kweli au uwongo na sio kupambana kuona habari nzuri tu za wizara yako. Mitandaoni kuna mengi usipopuuzia.
47
103
1K
8
33
279
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
Nikiagana na Rais wa Sudan Kusini Mhe. Salvar Kiir Mayardit katika Ikulu ya Sudani Kusini baada ya mkutano wa Kimataifa wa Wanawake niliomwakilisha Raisi JMT, Mhe. Dkt. @SuluhuSamia kuhusu Uongozi wenye kuleta mabadiliko leo Februari 15, 2023. 1/3
Tweet media one
18
9
255
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
22 days
Karibuni kituo cha huduma kwa wateja, wizara ya Jamii 🇹🇿✍🏻
Tweet media one
74
51
261
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
Naungana na Rais wa JMT 🇹🇿 Mhe. Dkt. @SuluhuSamia kuwatakia Heri ya Sikukuu 🤲🙏🏽🤗, Hongera nyingi.🌹
Tweet media one
48
21
242
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
Shukrani kwa aliyenitumia anuani ya familia wanapoishi. nitampongeza. Wito kwa wanaoibua matukio ya ukatili: wasijifiche anuani: kwani inachelewesha kuokoa manusura. Haraka wapige simu za wizara na 116 saa 24 bila malipo au 0734 986503/ 026 2160250 na pia wanitumie ujumbe mimi na
24
57
233
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
Nikiwa Zanzbar, Mkoa wa Unguja Kaskazini, Kijiji cha Donge Muwanda, nikipanda mti ishara ya 27 ya Kijani ambayo ni kampeni inayoenda sambamba na kumbukizi ya siku ya Kuzaliwa kwa Rais wa JMT Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan 27 Januari ya kila Mwaka. @samia_suluhu_hassan Tupande Miti
Tweet media one
36
18
232
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
@ExMayorUbungo @mamgunda1 Ahsanteni sana kuniTag. Kuhusu hili shauri linalohusu tuhuma za mtu mmoja mpangaji kwenye nyumba moja huko magomeni mapipa, kumkatili mtoto.... Nilitembelea eneo husika siku ya jumapili. Na nikaenda kituo cha Polisi magomeni nikiwa na mama mdogo wa manusura, nikaona namba za
36
25
225
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
@RebecaGyumi @maendeleoyajami @MwananchiNews @TheChanzo Wasaalam; tayari nimetuma afisa ustawi wa mkoa aniletee taarifa ya tukio hili ikiwemo kutoka upande wa pili kisha nitakuwa kwenye nafasi ya kusema chochote kwa utaratibu stahiki kama waziri mwenye dhamana ya watoto. Hivyo, tuvute subira. Ahsanteni, Gwajima, Mb, Waziri-MJWM.
39
22
206
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
@bwire_paineto Mungu atutie moyo sote maana hatua zetu zinaikanyaga ile Dunia iliyotabiriwa, Dunia inayohitaji neema ya Hekima tu. Ila tutapita kwa ushindi wa utukufu wa Mungu. Tuendelee kushirikiana daima 🤝
13
10
191
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
Nami ni kati ya waliowahi asubuhi mapema Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kujumuika kwenye kuadhimisha miaka 60 ya Muungano wa JMT 🇹🇿. Heri ya Miaka 60 ya Muungano wa 🇹🇿🌹. Huenda mimi na wewe hatukuwepo ulipozaliwa, ila tumepata Neema ya kuwepo unapotimiza miaka 60. Tumeingia
Tweet media one
26
14
181
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 month
EID AL ADH'HA NJEMA KWETU SOTE 🤲🌹💌. Mwenyezi Mungu awe nasi sote kwenye Maadhimisho haya na tuwalinde watoto wetu wawe salama pamoja na Makundi yote yenye mahitaji maalum wakati wote wa kufurahia Sikukuu hii kubwa, Ishalah, Amina, Heri ya Sikukuu kwetu sote.... 🌹
Tweet media one
26
17
174
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
*BINTI ALIYEDAI ANAISHI NA NYOKA AJISALIMISHA KWA WAZIRI DKT. GWAJIMA* *Aomba radhi, adai hajawahi kufanya hivyo alidanganya.* DAR ES SALAAM. *__________________* Itakumbukwa hivi karibuni ilienea video mitandaoni kupitia televisheni ya *MBENGO TV* ikionesha Binti mmoja
125
37
166
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
#SisiTumeamua Kuvunja Ukimya, Wewe Je ?
Tweet media one
16
29
165
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
🇹🇿✍🏻
Tweet media one
11
14
158
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
4 months
Nimepokea kwa masikitiko taarifa hii. Nimefanikiwa kumpata Bibi wa mtoto. Nimefikisha taarifa hii kwa Waziri mwenzangu wa mambo ya ndani Mhe @EngineerMasauni kwa ufuatiliaji zaidi juu ya hatua zinazoendelea. Tuendelee kushirikiana kuzuia na kuibua ukatili. 🤝
@eastafricatv
EastAfricaTV
4 months
#VIDEO Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. #EastAfricaTv #UtajiriWaHabari #HainaKuchoka
221
103
484
45
37
155
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
@CruzzzJp Ndugu yangu, mimi binafsi siamini haya mambo ya macho yangu yanaona hivi halafu mtu ananiambia hicho ni hivi siyo vile..... Mimi nimeona yule ni nyoka. Sawa huenda ni mdoli wa nyoka ila nimesikia akisema analala na nyoka jambo ambalo ni kosa kisheria. Achilia mbali kuwa eti
45
9
146
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 month
NI LEO..... 💌😍🇹🇿 Kila mzazi na mlezi amka sasa umtakie Heri mtoto wa Afrika....... Mpe wosia kuwa: amshike Sana Elimu, asimuache aende zake.......
Tweet media one
21
23
145
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
7 months
Kila la Heri, Mungu awe pamoja nanyi 🙏🏽🤲
Tweet media one
18
15
143
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
5 months
27
15
133
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
Watoto ni mboni ya Jicho la Taifa. 📌 Mhe Dkt @SuluhuSamia Rais wa JMT, aliunda Wizara @maendeleoyajami , Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu wakiwemo watoto wote wa KUME na KIKE. 1/3
Tweet media one
20
38
132
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
Salaam wafuatiliaji wote wa habari za Jukwaa langu hili. Tafadhali tukutane hapa x online space kwa elimu kuhusu vipaumbele vyetu. Ratiba inakuja, kesho jioni jumapili 19 Mei 2024 kipindi. Karibu kwa mawazo ya kujenga. Ahsanteni kwa ufuatiliaji wenu na maoni yenu siku zote
Tweet media one
21
33
130
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
Naendelea kupokea taarifa za wananchi wazalendo wanaopenda maendeleo na ustawi wa watoto kuwa, kwenye baadhi ya Kaya wapo watoto ambao, badala ya kupelekwa shuleni wanafichwa na wengine wanafanyishwa kazi kinyume na umri. HUU NI UKATILI DHIDI YA WATOTO. Nawashukuru wote ambao
16
31
126
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
Karibuni kwa ufuatiliaji wa uwasilishaji wa bajeti ya wizara yenu ya Jamii. Shukrani.
Tweet media one
22
26
124
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
Kupanga ni kuchagua, na matokeo ni faida ya uchaguzi wa kila mmoja. Ukichagua kunyamaza au kuvunja ukimya, matokeo yataambatana na uchaguzi wako kama mzazi / mlezi. Dunia imeharibika! Watu waovu ni wengi, nashauri, tuvunje ukimya ili watoto wafahamu thamani ya miili yao. 1/2
Tweet media one
14
20
122
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 month
Nawatakia Wazee wetu wote nchini🇹🇿HERI YA MAADHIMISHO ya Siku ya Kupinga Vitendo vya Ukatili dhidi ya Wazee Leo 15 Juni, 2024. Kaulimbiu "Utu, Usalama na Ustawi ni nyenzo ya kutokomeza vitendo vya ukatili dhidi ya wazee". TUKUMBUKE, uzee na kuzeeka hakukwepeki hivyo, Wazee
Tweet media one
Tweet media two
12
21
116
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
4 months
Familia ya Adv. Gwajima kwa heshima, tunakushukuru Mhe. Dkt @SuluhuSamia Rais wa 🇹🇿 kwa upendo, faraja na mkono wa pole kupitia mwakilishi wako Bi. Sabah Salum aliyeungana nasi kwenye msiba wa mama mzazi wa mume wangu (mama mkwe) Bi Sophia Gwajima, aliyefariki 27.3.2024.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
27
13
115
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
#EidMubarak 🤲🏾
Tweet media one
2
6
111
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
Heri ya Miaka 60 ya Muungano wa 🇹🇿🌹. Huenda mimi na wewe hatukuwepo ulipozaliwa, ila tumepata Neema ya kuwepo unapotimiza miaka 60. Tumeingia kwenye historia hii kubwa. 🔥
Tweet media one
Tweet media two
7
9
110
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
I extend my gratitude again to all Tanzanians for following the presentation of the Ministry of Community's budget. I thank God that the significant discussion on Friday is a sign that education is deeply reaching the community on combating and eradicating gender-based violence
11
23
111
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
👇🏾
Tweet media one
8
24
104
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 month
@DuniaSlaveDunia Kwanza nikusalimie habari za jioni. Pili nikutaarifu kuwa sina pesa kama njugu. Tatu, nikufahamishe kuwa, pesa hizo Mzee huyu katunzwa na washiriki wa shughuli hiyo. Mtu kutunzwa ni utaratibu wa kijamii hata wewe ukiwa na shughuli ukawabariki washiriki watakutunza tu kama huyu
23
14
102
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
Namshukuru kwa kujitolea kwake na kuunga mkono juhudi za kupambana na ukatili wa kijinsia kwa kujielekeza kwenye utoaji taarifa na elimu kwa jamii. Asante sana @IdrisSultan , #KataaUkatiliWeweNiShujaa , #KaziIendelee 🇹🇿💪🏿 2/2
Tweet media one
5
5
97
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
Ukatili haulipi, Kila mtu auche, Mkono, Jicho na Sikio la Serikali kwa ushirikiano na wananchi ni Kila mahali. Acha ukatili. Shukrani kwenu wote kwa ushirikiano.
10
11
97
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
Nawasihi waTanzania wenzangu hima tusifungie macho, masikio wala mdomo kukemea vitendo vya Ukatili dhidi ya watoto. Sasa tutoeni maoni; unadhani nini kiboreshwe zaidi kumaliza vitendo vya Ubakaji na Ulawiti kwa watoto ? #KataaUkatiliWeweNiShujaa 2/2
23
18
94
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
Kutokana na post hii ya @IdrisSultan kama mwanajamii tarehe 16 Jan 2023, ya kujitolea katika kutokomeza vitendo vya ukatili kwa watoto. Leo amenitembelea ofisi ndogo ya wizara katika kubadilishana mawazo kwenye vita hii ya kupinga ukatili Kwa watoto. 1/2
Tweet media one
Tweet media two
@IdrisSultan
Idris
2 years
Nipo tayari kusaidia website itengenezwe ambayo kazi yake maalum itakuwa ni kuweka majina na picha za watu waliobaka na kulawiti watoto. Hawa watu tunawaficha na wakifanya tukio mkoa mmoja wanahamia mwingine. Wafichwe watoto ila walawiti na vibaka waanikwe.
92
125
864
6
8
93
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
@RebecaGyumi @maendeleoyajami @MwananchiNews @TheChanzo Mrejesho wa kikosi cha Maafisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Songwe kuhusu taarifa ya Binti kupigwa na Mhe Mkuu wa Wilaya ya Songwe: Tukio ni la kweli, Binti ana miaka 20 na ameshafungua Kesi ya Shambulio la Aibu Na. Mkw/IR/1149/2022 Polisi Kituo cha Mkwajuni. Gwajima,Mb, Waziri MJJWM
19
20
91
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
Bango letu ndugu zangu kwa ajili ya kumtumia na mwingine aelewe uwepo wa huduma hii ya Upendo ili akiona amebarikiwa nayo basi achukue hatua pasipo shaka ya usumbufu usio wa lazima. Shukrani 🙏🏽🇹🇿
Tweet media one
14
42
93
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
24 days
TAARIFA 🇹🇿 Tafadhali fahamu kuhusu Mkopo wa Serikali kwa Wafanyabiashara Ndogondogo na Upatikanaji Wake.
22
35
91
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
Ni kesho! 💪🏾🇹🇿
Tweet media one
9
15
90
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
CHOKOZA MADA 1 IKIFUATIWA NA SWALI MWISHONI. Lengo; kujenga uelewa wa pamoja kwenye kusukuma maendeleo na ustawi wa jamii. _______________________ Ndugu zangu salaam; Katika muundo wa nchi yetu, madaraka yamesogezwa karibu na wananchi na wananchi wamepewa madaraka na mamlaka
Tweet media one
28
17
87
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
Usikose tafadhali. Njoo tuwe familia, tusemezane Mazungumzo ni tiba ya msingi ya changamoto za kijamii. Nitafurahi kukuona/kukusikia🙏🏽✍🏻
Tweet media one
13
21
88
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
Ending FGM in Tanzania requires a multisectoral and diverse approach, to work at both the policy level, supporting the Government of Tanzania to strengthen anti-FGM laws, and with partners at the implementation level. #ZeroToleranceToFGM 1/4
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
28
85
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
8 months
🇹🇿 Tanzania is set to host the African Ministers' Meeting on Finance and Gender, with representatives from 22 member countries of @UN_Women and IMF-Afritac East. 1/4
Tweet media one
7
15
83
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
7 months
@bigirwaMulokoz @ExMayorUbungo Kwa kadri nijuavyo naongea kweli. Naitwa Dkt. Dorothy Gwajima. Ubarikiwe.
10
1
82
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
@AbelKinyondo @ExMayorUbungo Ukiwa karibu wengine lawama, ukiwa mbali wengine lawama... 😀😀😀Ila tutafika tu. Mimi nasisitiza wafuate mifumo ila wakiona kuna Sababu ya kunifikia mimi nitawaitikia tu. Acha tu wa kulaumu alaumu.... wakuona sawa naye nitamshukuru, kikubwa naomba ushirikiano. Habari za jioni
12
3
83
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 month
@prossoff Habari za jioni. Kwanza napenda kuitambulisha wizara mahsusi kwa maendeleo ya wenye ulemavu ambayo inaitwa wizara ya kazi, ajira, vijana na wenye ulemavu. Maendeleo ya kundi hili maalumu lipo chini ya wizara hii. Hata hivyo, ngoja nifikishe hii taarifa kwa waziri mwenye dhamana.
20
8
82
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kiume inatukumbusha umuhimu wa kulea na kusaidia wavulana wanapokua na kuwa watu wazima wanaowajibika na wenye huruma. Ujumbe uliojumuishwa ndani ya siku hii unasisitiza kwamba kutengwa, chuki, na vurugu ni hatari kwa maendeleo ya mtoto wa kiume,
13
18
82
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
Attending #WomenDeliver2023 in Kigali, Rwanda. It was my pleasure meeting @MarkB_Schreiner , representative @UNFPATanzania , A strong advocate of women's #rights . Looking forward to another day, rich discussions, insights and experience from women leaders. #WD2023 @WomenDeliver
Tweet media one
1
26
82
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
WATANZANIA KARIBUNI HAPA MTOE MAONI TAFADHALI. Mtakumbuka jana nilivyoandika kuhusu kisa hiki wengi mkatumia muda wenu kutoa maoni. " #Repost @mbengo_tv —— TUNAOMBA RADHI KWA JAMUHURI YA MUUNGANI WA TANZANIA PAMOJA NA WATANZANIA WOTE, KUTOKANA NA MAUDHUI YA MWANADADA ANAEISHI
69
13
79
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 month
Hongera kwa Jeshi la Polisi hadi hatua hii. Inashangaza Sana pale tunaowaamini kulinda watoto wanapokuwa maadui wa mtoto. Haki itatendeka. RIP beautiful Asimwe 🕯️🌹
@tanpol
Police Force TZ
1 month
Taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi
Tweet media one
Tweet media two
64
45
273
31
16
79
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
Nikimkumbatia na kumpongeza Matron wa bus la wanafunzi lililonunuliwa na #ManispaaYaShinyanga kwa lengo la kuwapeleka wanafunzi katika baadhi ya shule zilizo mbali nikiwa ziarani kufuatilia utekelezaji wa kampeni ya #SIKU16ZaKupingaUkatili . Pongezi sana Manispaa ya Shinyanga 👏🏾
Tweet media one
Tweet media two
4
10
75
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
6 months
Sambamba na kuendelea kupiga vita ukatili wa kijinsia na kwa watoto, ajenda Kuu Mwaka 2024 ni kuongeza Kasi ya kuwafikia wananchi kwa ujumla na hasa wanawake na makundi maalum kuhusu elimu ya fursa za kisekta za maendeleo na uwezeshaji kiuchumi. Wako wengi wanapishana na fursa
Tweet media one
11
17
76
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
Kwa taarifa 🤝
Tweet media one
22
10
75
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
7 months
Special Thanks to Development partners 🫱🏿‍🫲🏾 for the year 2023. Looking forward to more engagement and partnership in 2024 🥳 ... @UNICEFTanzania @MHouinato @okeish @WBTanzania @scitanzania @courtneycalardo @BornSaleema @ChineseEmbTZ @ItalyinTanzania @MHouinato @AUDRights
Tweet media one
4
13
71
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
Wazazi na Walezi, tunapoelekea kwenye siku ya familia duniani tarehe 15 Mei, 2024, tafadhali tuanze ukurasa mpya wa kuwa karibu zaidi na watoto wetu. Zawadi iliyobora zaidi kwa mtoto wako kwenye nyakati za Dunia ya leo. Ni kuwa karibu naye, tena karibu zaidi. Nawatakia Heri ya
8
26
66
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
5 months
🇹🇿✍🏻 Kila la Heri Wanawake wote na pia ahsanteni sana ndugu Wanaume wote kwa kuungana na Wanawake kwenye Maadhimisho haya. Pamoja, tunajenga maendeleo na ustawi wa jamii Tanzania ✍🏻 @unwomentanzania @UNFPATanzania @maendeleoyajami @AngellahKairuki
Tweet media one
8
13
67
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
@SinzaYami Faida ya kusoma ni kurejea kwa ndugu zako uwape yaliyo ya heri. Sasa ukisoma kwa Kodi zao uje ukae kimya ? Unabarikiwa? Acha nielimishe ni wajibu wangu ndugu yangu. Kazi ya kupokea elimu na kuchukua hatua za faida ni za anayepokea elimu hiyo. Huenda neema ya Mungu ikamjilia
6
6
66
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
@donminja47 @ExMayorUbungo Mbona tuna call center tunatangaza Kila siku, ndugu yangu hujawahi kusikia? Nakutumia sasa; Simu za Huduma kwa Mteja ngazi ya Wizara: Kupiga tu Na. 0262 160 250 / 0734 986 503, Kupiga na Ujumbe Na. 0774 112 233 / 0769 608 130 / 0766 400 168. Mashauri ya watoto 24 hrs 116.
9
20
67
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
Ahsante Sana @IdrisSultan kwa kuguswa. Hakika wewe ni Balozi mwema kwenye haya mapambano. Tutaongozwa na wataalamu kuona nini kifanyike kitaalam kwa haya maoni. Tutazidi kushirikiana nawe maana bila jamii peke yetu hatuwezi.
@IdrisSultan
Idris
2 years
Nipo tayari kusaidia website itengenezwe ambayo kazi yake maalum itakuwa ni kuweka majina na picha za watu waliobaka na kulawiti watoto. Hawa watu tunawaficha na wakifanya tukio mkoa mmoja wanahamia mwingine. Wafichwe watoto ila walawiti na vibaka waanikwe.
92
125
864
4
2
64
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
@thisisnkirah Tafadhali DM tujue location tufuatilie hatua gani ina changamoto zipi. Au pia unaweza sms 0765345777 copy 0734124191. Au mpatie mama mtoto pia yeye mwenyewe awasiliane nami kwa ujumbe. Nasubiri, shukrani.
5
8
62
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
@deckrine_kweka Hujambo ndugu yangu, ningefurahi Sana ikikupendeza useme hivi; @Dr_DGwajima ingawa kazi ni kubwa ila sisi wanajamii tupo pamoja na wewe kwenye kazi hiyo maana hawa ni watoto wetu wanajamii. Unaonaje ikikaa hivi? Maoni yako tafadhali
16
6
61
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
TAARIFA!!!! Ndugu zangu wapendwa mlioweza kutenga muda kujiunga nasi kwenye mkutano huu, binafsi napata changamoto ya kuingia kwenye mtandao. Mniwie radhi Sana. Nimeomba afisa wangu aliyefanikiwa kuingia awape hii taarifa na kwamba, tutangaze tena lini tufanye, maana
7
9
61
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
7 months
@MariaSTsehai Haraka sana tunafanya ufuatiliaji huko eneo la tukio. Shukrani kwa taarifa
10
2
58
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
@NevilleMeena Sheria ya Mtoto na. 21 ya 2009yr revised 2019yr inakataza ukatili kwenye malezi ya watoto. Nimewasiliana na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe Dr. Yahaya Nawanda, atatoa taarifa yake. Ahsanteni sana. GwajimaD, pia napatikana kwa SMS 0734124191 na 0765345777. KataaUkatili Wewe ni Shujaa #
10
13
57
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
Happy #InternationalWomensDay to All the strong, courageous, ambitious and loving women in Tanzania and the rest of the world. 💪🏾🇹🇿 #EmbraceEquity #CSW2023 #DigitALL
Tweet media one
1
18
59
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
24 days
KUHUSU KESI YA DEREVA NA KONDA WA SCHOOL BUS KUMKATILI MTOTO WA MIAKA 6. ALIYEKUWA MWANAFUNZI WA SHULE YA STAR LIGHT PRE AND NURSERY SCHOOL, KINONDONI, DAR ES SALAAM, MATOKEO: WATUHUMIWA WOTE 2 WALITIWA HATIANI NA WALIFUNGWA MAISHA KWA HUKUMU YA TAREHE 22 MEI, 2024. Habari
Tweet media one
10
17
59
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
@UchafuziM Tunaposema tushirikiane tuna maana Pana Sana. Basi yaishe ndugu yangu. Kama haiwezekani kumpa hiyo simu, acha tu. Ila wako wengi wamefaidika na simu hiyo. Anayetaka aichukue, nitaendelea kuitangaza. Nikutakie jioni njema.
11
3
58
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
Kuelekea 15 Mei, 2024; Siku ya Familia Duniani; Kaulimbiu ya "Tukubali Tofauti Zetu kwenye Familia; Kuimarisha Malezi ya Watoto." Wito wangu: Jamii, vema tuzumgumze kwa usawa bila kukandamiza upande mmoja kuhusu mafanikio, kero na changamoto zinazotuhusu ndani ya familia zetu
10
10
58
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
ELIMU KWA JAMII YETU; Hebu tuelimishane wazazi. Hivi tunapomsuka mtoto kama hivi lengo linakuwa nini hasa? Mjadala wazi jamani mimi nahitaji kujifunza jambo kutoka ulimwengu wa wanawake na wababa pia. 👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
22
14
56
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
20 days
@TBoundBuses @TMnyama4_ Hujambo? Kila mtu anayekatiliwa kijinsia utaratibu wa kuripoti ni mmoja ambao, ni kwenye Dawati la jinsia kituo cha Polisi, madawati ya Jinsia yaliyo kwenye vyuo vya elimu ya juu na vyuo vya elimu ya kati, iwapo ni shule ya sekondari au msingi kuna madawati ya ulinzi wa watoto.
14
12
55
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
"Mhe Waziri ukipiga simu hapokei"😭, Haya tufuatane hapa tafadhali..... 😘. @dar24media ahsanteni sana..... Simu zenyewe, andika na tunza tafadhali.👇 Kupiga na; 0734986503/ 0262160 250 Kupiga na kutuma ujumbe 0774112233/ 0769608130/ 0766400168. Kwa taarifa za ukatili wa
7
24
56
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰⚘🤗 Sisi ni wanawake wa Tanzania mpya ya maendeleo ya usawa wa jinsia, tujiamini tujenge nchi🇹🇿🤗 Heri ya 08 Machi, 2022🤗
2
5
54
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
4 months
Katika kuelimisha na kutoa hamasa ya kuimarisha kamati za ulinzi wa wanawake na watoto ngazi ya halmashauri, Kata, Vijiji na Mitaa: Machi 20, 2024, ziara imefanyika Dar, Kigamboni na Ilala. Wito kwa viongozi ngazi zote kuhakikisha Kasi ya udhibiti wa wimbi la watoto
Tweet media one
7
12
54
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 year
HERI WALE WATAKAOVUNJA UKIMYA MAANA NDIYO WATAOKOA WATOTO DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA. WEWE MWENZANGU UMEWAHI KUIMBA NA MWANAO? TAFAKARI. 🤔💭 HUJACHELEWA, HUENDA UKAOKOA MAISHA YA MTOTO AU WATOTO. Hongera sana Super Ticha @yusuph_pangoma #DontTouch #Usiguse 📌
8
16
55
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 years
Taarifa za uhakika zilizonifikia kutoka kwa wananchi wema Arusha: Binti mdogo wa Sekondari huko Ngorongoro amekatishwa masomo kwa ujauzito wa mtumishi wa umma. Nimeagiza uchunguzi ufanyike Ili aliyemkatili akutane na Sheria. Tabia ya kuwakatisha masomo mabinti ni ukatili. 1/2
Tweet media one
5
9
55
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
3 months
@carrierkoo Inabidi nijitahidi maana jamii ya Leo Iko online kwa wingi pia. Tunaishi ulimwengu wa kidigitali, ambao pia ni fursa kubwa kwa maendeleo. Shukrani
3
2
54
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
Kila la Heri kwa Watoto wetu kuelekea 16 Juni, 2024...🇹🇿
Tweet media one
5
11
52
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 month
@PhitMathematic Wananionea tu. Maana wanakuja DM nawajibu nawaongoza, baadae wanataka nje ya DM wananishambulia kwa kuwa tu, nina maadili siwezi kuleta hapa Yale tumechati DM na kuelimishana kuhusu miongozo ya ufumbuzi wa changamoto husika. Ila Mungu anawaona vizuri Sana. Nawakabidhi mikononi
17
4
51
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
20 days
KITABU CHA “MMOMONYOKO WA MAADILI, NANI ALAUMIWE” CHAZINDULIWA. DSM, 3 Julai, 2024. ___________________ Mhe. Doto Mashaka Biteko (Mb), Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, amezindua kitabu cha "Mmomonyoko wa Maadili, Nani alaumiwe" kilichoandikwa na Sheikh Mkuu na Mufti
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
11
51
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
25 days
@OleMtetezi Habari za mchana ndugu yangu. Taarifa za manusura huyu wote zimetusikitisha, na tukio hilo ni Baya kwa ujumla wake na wote waliofanya hilo wamefanya kosa na wanatakiwa kupatikana wajibu kesi yao. Na ndiyo maana Polisi wanahangaika kuwatafuta. Hilo jibu hapo ni sehemu ndogo ya
17
6
51
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
@odompopodo Ndugu yangu, tuache utani sasa. Ni hivi, Sheria ikitungwa na utaratibu wa kutekelezwa huwa unaandaliwa sambamba. Tusomeni sheria ziko humu online tunakotembelea Kila siku. Nahitajidi Sana kujibu na kuchati na jamii hata hoja iwe ndogo au ya kati au kubwa kwa kuwa najua itachangia
7
4
50
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
1 month
@ChelestinoMyov1 @DuniaSlaveDunia Huwa namuomba Mungu wa mbinguni anipe hekima yake kabla ya ku type na ku send .. akinipa hata nusu ya robo tu ya zile hekima alimpa Mfalme Suleiman, mimi zinanitosha... Maana wizara ya watu lazima useme na watu, ndiyo saiti yako... Hekima ya Mungu ni hitaji muhimu🤝🙏🏽 tuombeane
3
4
50
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
2 months
Heri ya Siku ya Familia Duniani tarehe 15 Mei 2024. Tukubali tofauti zetu kwenye familia, kuimarisha malezi ya Watoto...... Migogoro ya kifamilia na kimahusiano ni mingi... Inaelekea karibu elfu 30,000... Tunapoelekea mwisho wa Mwezi huu.... Tutafute ufumbuzi pamoja,
Tweet media one
3
8
49