Tanzania Bound Buses Profile Banner
Tanzania Bound Buses Profile
Tanzania Bound Buses

@TBoundBuses

Followers
53,235
Following
2,180
Media
18,853
Statuses
84,732

Tunakupa taarifa kuhusu njia zote za basi nchini. Powered by Bus Community

Geita
Joined September 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
9 months
Nauli Mpya Za Mabasi Masafa Marefu(Mikoani) Kuanzia Tarehe 8/12/2023 #Arusha
Tweet media one
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
#Nauli Mpya Kuanzia Mei 14(Ila zimeanza Mei 6) #DarEsSalaam
Tweet media one
30
106
500
14
40
207
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Kuna mkurugenzi amewahi kuleta Basi zaidi ya 20 kwa wakati mmoja?
Tweet media one
162
125
3K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 months
Maafande wameguswa sana🫡
46
703
3K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Amkeni amkeni zimefika......... 2 By 1......
Tweet media one
148
87
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Abiria wamechoka !!
Tweet media one
441
84
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Haya sasa kumekucha, mamlaka zimesema chuma ziachwe ziende 🔥
Tweet media one
111
41
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
January never disappoint to others, 🙌 baada ya wanafunzi kulipa ada mkurugenzi kajipongeza na TLC 300S ZX
Tweet media one
88
62
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 months
Asubuhi Njema.
Tweet media one
27
93
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Sunroof 🙌
Tweet media one
62
55
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
What comes into your mind?
Tweet media one
150
55
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Kati ya kona hatari zaidi nchini Tanzania Nyan'goro kutoka Dodoma kwenda Iringa. #KapriconRoyalClass Video kwenye comments.
Tweet media one
122
66
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Offisi za TRA zilifungwa kwa muda kupisha usajili wa vyuma vya mkurugenzi 🙌 5x4 you do the math 🔥
Tweet media one
97
114
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Ni mkurugenzi wa #Gairo tena 🙌
Tweet media one
68
58
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Hizi chuma Bongo kitambo sana, namba A huko duniani ndio zimeanza kuingia mwaka huu
Tweet media one
131
44
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Aliyemchokoza #Tahmeed akamuombe msamaha 😂🫡
Tweet media one
Tweet media two
104
55
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Yule Bob Dere kanunua Basi lake 🙌?
Tweet media one
43
20
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Kapricon Royal Class Muda huu SINGIDA MIAMI HOTEL
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
94
85
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Hata siku moja usikubali manzi yako asafiri akiwa kwenye hicho kiti.......
Tweet media one
134
38
2K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Mbinu zilizotumika kumzoofisha #DarLux ndizo zinatumika kummaliza #KataramaLuxury Ushindani njia ya Mwanza Dar wa kishamba sana.
Tweet media one
111
33
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Ndugu abiria nasikia Mmenigeuza meme huko Twitter sasa Leo nawalaza na viatu 😂 Mbeya tunafika kesho mchana.
Tweet media one
81
73
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Back To 🇺🇬 Loc:Kahama 📸 @IstefanosN
Tweet media one
39
31
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
😳 wameacha kutumia Viete?
Tweet media one
99
30
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Leo ndio ile siku admin nimezaliwa 🎂
Tweet media one
99
38
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Kampuni gani 2022 ilikuhudumia vibaya sana na hautakuja kuitumia tena? Yaani kampuni ni 🚮.
Tweet media one
528
41
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Huyu binti amekuza sana Brand ya kampuni ya #TilishoSafari 's mkurugenzi aangalie namna ya kuadjust maokoto yake....
Tweet media one
29
30
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Dah! TZ ni nchi tajiri sana....
Tweet media one
84
52
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
9 months
#AzamTV kwenye basi utaratibu ni huu Kuna malipo ya aina mbili Cash au installaments(mkopo) in cash bei ni 3.5m na kwa installaments ni 1.3m kwa miezi 3,ina kifurushi cha miezi 6 bure vile vile unatangaziwa biashara bure kwa mwezi mmoja kupitia Azam Media.
Tweet media one
37
61
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Utapanda chuma gani? SGR Basi
Tweet media one
Tweet media two
124
34
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Mwenye video inayoonesha Ally's Star Bus au Happy Nation Express zikiingia za kwanza mahali popote na zikapewa water salute naomba aiweke hapo kwenye comment maana kuna kitu sijaelewa kwenye lile andiko.
Tweet media one
Tweet media two
48
25
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Siku moja kabla ya safari muwe mnawaacha wapumzike kwanza...
Tweet media one
Tweet media two
137
58
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Kisbo 🔥
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
83
41
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Muda huu Touch Down, Julius Kambarage Nyerere International Airport. AirBus A380. Limevuka nchi kibao limekuja kushuka TZ hi itakuwa emergency landing
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
131
48
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Bukoba mko tayari? Chuma ina meza ya kuchambulia Senene kabisa 👊🏾
Tweet media one
69
43
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Naambiwa kama huna Kibunda kwenye hi hotel huwezi afford kitu, kuna ukweli wowote abiria ambao mmetumia ABC?
Tweet media one
171
25
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Mwanza City 🙌 Kuna stendi mbili kubwa zinajengwa je hi ni ipi?
Tweet media one
125
40
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Seriously ni nini kiliipata hi kampuni? Walikuwa wanakaribia level za Scandinavia...
Tweet media one
119
31
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Sasa hapa mkurugenzi ndio atajua kwanini Latra wanahimiza basi nne na kuendelea katika ruti ndefu. Poleni sana kwa changamoto hizi. #KataramaLuxury
Tweet media one
56
25
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Hivyo vidude ni vya kazi gani wakuu?
Tweet media one
164
35
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Ila Nchi kama nchi tumetoka mbali sana, niliwahi kutoka Kahama saa 12 asubuhi nikafika DSM saa 12 jioni...ila sasa hivi unatoka saa 12 asubuhi unafika saa nne usiku...hapa kati nini kilitokea?
Tweet media one
136
50
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Tusaidieni ambao hatujafika mjini hapa ni wapi?
Tweet media one
214
43
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Kwa mara ya kwanza #Abood kaweka chuma mpya kwenye ruti tofauti na Dar Moro 🔥 Game ngumu Tabora Dar
Tweet media one
49
23
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
7 months
Special Hire na Azam TV🔥
Tweet media one
28
27
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Chuma zinapigwa Mnada... kuendesha kampuni ni kazi sana.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
108
47
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Kampuni pekee yenye Call Centre 🫡
Tweet media one
54
22
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Barabara imechafuka Mbunge wa Gairo Mjini hataki utani na mtu #ShabibyLine
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
57
28
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
10 months
Hapa kumeendaje?
Tweet media one
Tweet media two
130
34
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
#KilimanjaroExpress kapasuana na gari ndogo maeneo ya Hedaru. Basi lilikuwa linaelekea Dar kutoka Arusha
Tweet media one
Tweet media two
87
50
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
10 months
Mkojani anaanza kukosa soko kwenye mabasi... #Mallesa 's
Tweet media one
44
37
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Tweet media one
50
33
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
9 months
TRC waache kujificha kwenye kichaka cha kusingizia treni haigongi na haisababishi ajali, ni muda muafaka wa kuboresha maeneo ambayo ni vivuko vya treni ili kupunguza ajali za mara kwa mara.
154
156
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Wakali wa Location hapa ni wapi?
Tweet media one
256
24
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Unaruhusiwa kupanda na Rice Cooker....
Tweet media one
75
33
1K
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Amen 🙏🏾
Tweet media one
60
28
988
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
BM coach
Tweet media one
23
19
981
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Wasukuma wanakula maisha aisee 🫡
Tweet media one
46
16
985
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Yutong VIP 🙌
Tweet media one
35
17
967
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Ukichoka pumzika 😔 Dah chuma imechochoraa
92
260
985
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Mpaka #ShabibyLine anatoa LOTTO 😂
Tweet media one
100
26
982
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
William Alikuwa sahihi kabisa
Tweet media one
45
46
944
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Ni kitu gani kimemfanya #Shabiby kuchomoa Dar Mbeya?
Tweet media one
74
16
967
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
7 months
Mabasi ya kisasa dereva wa pili halali kwenye korido au kigodoro, ni kulala kwenye Buti 😢. Je, unaweza kulala humo?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
166
65
959
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Youngest Bus Driver pale #SuperFeoExpress
Tweet media one
45
24
911
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
8 months
Hapa ndio Lushoto Stendi?
Tweet media one
93
43
924
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Kaskazini Wanafaidi,Pisi kali hadi kwenye udereva wa mabasi 🙌
Tweet media one
39
28
900
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Wanazi wa 90's chuma yenu imeonekana road leo 😂😂 #Hood
Tweet media one
86
25
924
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Wangapi tunaungana na wamiliki wa mabasi?
Tweet media one
121
32
895
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 months
Shuka na uzi kutazama muonekano wa ndani wa Irizar i6s, muonekano huu unaweza kuwa sawa au kutofautiana kidogo na za #KataramaLuxury Wameweka Tablet badala ya TV 😂
Tweet media one
11
27
883
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
This will be the most expensive Bus in the country🙌 #Irizar
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
88
77
846
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Wanafunzi wa #Kaizerege wanatembea na Escort, ila mkuu wa shule uliyo soma hana hata baiskeli 😅
Tweet media one
38
34
858
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Beba USB Flash na Earphones(Not Earpods) utaenjoy kwenye VIP......
Tweet media one
42
22
866
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
8 months
It's a banger 🫡
48
111
867
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Kumbuka ni Dk 10 tu, Kula Na Kuchimba Dawa ....La sivyo utatukimbiza na BodaBoda
Tweet media one
73
48
847
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Vya Magazeti..... Hivi ndio huwa wanasema vinapaa Dar Mbeya dakika 90?
Tweet media one
59
32
841
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Sema aliyechagua hizi graphics kazingua kinoma😔
Tweet media one
109
14
828
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Ooh Madere wa Mabasi wakorofi, haya Huyu wa Tanker je? 😂 ila ndio nini basi kuliwa na tanker
90
22
827
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
12+63=75 kwa maana hio Basi lilikuwa limezidisha sana abiria 😢
Tweet media one
62
33
840
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Guess huyu mkurugenzi wa kampuni gani kubwa ya mabasi.....
Tweet media one
122
28
812
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Anayejua bei ya hizi tairi anisaidie kuzidisha mara 208..... Maana chuma ziko 26 na zote zimekula hi kiatu 🙌🙌 Expensive Gang #BlueCoast
Tweet media one
47
22
812
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Comments ziwe fupi fupi.... #Ally 'sStarBus
Tweet media one
76
22
829
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Magufuli Bus Terminus 🙌
Tweet media one
16
22
808
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Wameshindwa hata kuwapandisha V.I.P kama la Shabiby 🚮
Tweet media one
24
18
806
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Behewa la SGR halifikii hata nusu ya hili basi 😋
Tweet media one
28
26
818
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Stendi Mpya Ya Mabasi... Guess location ila sio Bukoba 😅
Tweet media one
86
18
798
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
#ClassicCoach Kampala🇺🇬 Dar🇹🇿 Lusaka🇿🇲 Kilomita ngapi hapo?
Tweet media one
67
16
815
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 month
Kodi zinavyokandwa 😂🔥
141
170
828
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
10 months
Fundi ndio anamalizia hapa kufunga Azam TV ndani ya Ally's, kampuni ya kwanza kufunga azam tv njia ya Mwanza Dar 🔥 "We Miso Misondo, umepigaje hapo?"🙌😂
Tweet media one
100
31
818
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Au sio 🙌
Tweet media one
51
27
781
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Aliyeelewa atueleweshe, hiki cha konda au?
Tweet media one
80
22
782
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
6 months
Madereva wa mabasi mnaweza kufanya hili jambo likawa la kawaida? Hi imekuwa kawaida sana #AlsaedyHighClass 🫡
100
105
809
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Mabehewa yameanza kuwasilini DSM. Before Kuungwa After kuungwa
Tweet media one
Tweet media two
95
15
770
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
10 months
Tweet media one
15
21
799
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
9 months
Msaada wa haraka sana unahitajika mjini #Kateshi
96
188
792
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
4 years
Huyu Dada wa @darluxco ndio alikiwasha juzi huko Mbeya?? Funguo akarudi nazo Dsm akafungua geti la UBT??
61
92
757
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
1 year
Tweet media one
13
36
781
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Wait A Minute 😳 V.I.P ya kwanza #Kigoma #AifolaExpress
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
69
46
761
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
TV ya PolePole tumwambie au Abiria waendelee kupata raha....
Tweet media one
41
28
750
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona 😂
Tweet media one
84
21
764
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Ila abiria wa Mwanza 😅😅
Tweet media one
58
28
759
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
2 years
Mkurugenzi kutoka Geita kasema hamna kinachoshindikana 🙌 16 Units zimefika 🔥 10 Units mwezi ujao 👊🏾 #BlueCoast
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
52
18
731
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
3 years
Okay, Watu wanasafiri kishefa sana......
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
45
61
732
@TBoundBuses
Tanzania Bound Buses
11 months
Wale ambao leseni zao za mezani hapa nafanyaje?
Tweet media one
133
25
749