Angellah Kairuki Profile
Angellah Kairuki

@AngellahKairuki

Followers
52,813
Following
4,261
Media
35
Statuses
1,935

Advisor to the President of the URT

Tanzania
Joined June 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
6 years
Heri ya siku ya kuzaliwa Mama! @SuluhuSamia Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema na maisha marefu.
Tweet media one
66
45
504
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 years
Ninakutakia Heri ya Kuzaliwa Mheshimiwa @SuluhuSamia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ninakuombea Baraka za Mwenyezi Mungu azidi kukujalia afya njema, umri mrefu na mafanikio tele.
Tweet media one
29
39
501
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Leo nimekutana na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Al-Najem. Kwenye mazungumzo yetu amenieleza utayari wa makampuni ya Kuwait kuwekeza katika sekta ya madini Nchini
Tweet media one
31
37
354
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Siku ya leo tarehe 25 Nov 2017 katika Viwanja vya Leaders Club kuanzia saa 2 asubuhi kutakuwa na uzinduzi wa maadhimisho ya siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia. Nimepewa heshima ya kumwakilisha Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan
19
42
308
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Ninawatakia wafanyakazi wote heri ya siku ya wafanyakazi
40
8
303
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Maafisa wa Serikali waliokuwepo mnadani kusimamia uuzwaji wa almasi. Kufuatia mauzo hayo,Serikali imepata mapato ya shilingi Bilioni 1.614.
47
53
298
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Nawapongeza uongozi wa kiwanda cha A to Z Textile Mills Ltd kwa kushinda tuzo ya Kaizen Kwa Afrika. Endeleeni kupeperusha bendera ya Tanzania na kuzalisha bidhaa zenye ubora wa hali ya juu.
11
26
263
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
8 years
Kuna taarifa ya uongo inayosambazwa mtandaoni kwamba "kutakuwa na zoezi la kuhakiki watumishi wa umma wanavyotumia mishahara yao".Ipuuzieni
49
131
227
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 months
Naungana na Rais wetu Mhe. Dkt. @SuluhuSamia na watanzania wote kuomboleza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Lowassa. Ninatoa pole kwa Mama Regina na wanafamilia wote kwa kuondokewa na nguzo ya familia. Ninawaombea faraja ya Mwenyezi Mungu. Pumzika kwa Amani Mzee wetu
Tweet media one
37
28
233
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Tanzania's ranking in doing business has climbed by 3 positions to 141st from 144th out of 190 countries. As per the WB's Report in the Ease of Doing Business of 2020, Tanzania's position has improved in 6 categories. This is just the commencement of many Reforms.
23
48
228
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 years
Pumzika Kwa amani Mhe Mahiga. Tutakumbuka busara zako, maarifa yako, uzoefu na weledi mkubwa uliokuwa nao.. baba yetu Mwenyezi Mungu ailaze roho yako mahala Pema
14
27
228
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Kufuatia mnada wa Almasi uliofanyika Antwerp Belgium tarehe 7/11/2017 Almasi kutoka Tanzania yenye karati 39,557.96 imeuzwa Usd Milioni 10.2
20
32
194
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 months
Heri ya Siku ya Kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @SuluhuSamia
17
24
194
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 months
Tweet media one
14
55
182
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Today I met the Swedish Ambassador H.E Anders Sjöberg. We agreed to work together to attract Foreign Direct Investment from Sweden. We also agreed to work together to attain significant increase in trade flows between our two countries
21
20
179
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
8 years
Si dhamira wala desturi ya Serikali yetu kuingilia maisha binafsi ya watumishi wa umma hususan matumizi ya mishahara yao.Puuzieni uzushi huo
28
84
151
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
10 months
On behalf of the Government of Tanzania, I welcome Tennis Legends John and Patrick McEnroe to the Unforgettable Tanzania. We look forward to watching the world’s first tennis match in the heart of the Serengeti in Tanzania, where horizons know no end and endless chapters of the
Tweet media one
Tweet media two
10
36
139
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
9 months
TAHADHARI KWA UMMA: Kuna TAPELI anayepiga simu kwa wafanyabiashara kwa kutumia namba  +255748423045 (akijitambulisha kama mtumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii).  Tapeli huyo analaghai wafanyabiashara kwa kuwaeleza kwamba nimewaita Dodoma haraka kuzungumzia fursa za biashara
58
53
138
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Hivyo tutaendelea kushirikiana na wadau wa ndani na nje kwenye sekta ya madini katika msingi wa kila upande kufaidika (Win-Win cooperation)
21
4
140
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Ninatambua pia kwamba ili tuweze kufaidika na madini tunahitaji mitaji mikubwa na teknolojia ya kuwezesha uchimbaji unaozingatia mazingira
24
2
133
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
9 years
Wananchi watakaopenda kuwasiliana nami kuhusu masuala ya Utumishi wa Umma,wanaweza kutumia email:maonikwawaziri @utumishi .go.tz
60
117
131
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 years
Natoa pole kwa Mama Anna Mkapa, Watoto, Ndugu, jamaa na Watanzania kwa kuondokewa na Mzee Wetu Rais Mstaafu Benjamin Mkapa. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema. Hakika tutakukumbuka daima.
8
10
128
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 years
Hongera sana. Mmeweka mpango wa Uwekezaji na kuutekeleza.Kiwanda chenu kina mchango mkubwa katika kuongeza kiwango cha ubanguaji wa korosho nchini na pia mtawasaidia sana wananchi wetu kupitia AMCOS zao. Ni imani yangu ndani ya muda mfupi mtaweza kubangua korosho yote ya Mkuranga
@daniel_marwa
Daniel Marwa
4 years
Hatimae tumeanza kuuza nje ya nchi korosho za wakulima wa Mkuranga zilizobanguliwa sasa wanaweza kuuza mazao yaliyoongezwa thamani ndani ya wilaya yao badala ya kuuza korosho ghafi wanaongeza ajira na pia thamani ya mazao yao @AngellahKairuki
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
17
60
3
19
128
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Leo nimekutana na Mhe. Luhut Panjaitan, Waziri wa Uratibu wa Bahari na Uwekezaji wa Indonesia na tumezungumza masuala mengi ya kukuza Uwekezaji baina ya nchi zetu. Pia tumeshuhudia utiaji saini wa Makubaliano (MoU) 3 kati ya Taasisi za Tanzania na Indonesia yanayohusu Uwekezaji.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
19
123
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Ofisi ya Waziri Mkuu tunapongeza wilaya zote zilizotenga maeneo ya uwekezaji na tunaendelea kuhamasisha wilaya ziendelee kutenga maeneo ya kutosha kwa ajili ya uwekezaji, bila kusahau kutenga maeneo kwa ajili ya viwanda vidogo na shughuli nyingine za biashara na kiuchumi
8
14
115
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Hongereni sana Mahakama kwa Kutekeleza E- Justice
@judiciarytz
Mahakama ya Tanzania
5 years
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na Gereza la Keko Jijini Dar es salaam leo , Januari 15, mwaka huu imeendelea kusikiliza mashauri kwa njia ya Mahakama Mtandao.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
32
71
3
23
110
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
6 years
Ruge pumzika kwa amani; ulitoa mchango mkubwa kwa maendeleo na umegusa maisha ya wengi, nami nikiwemo. Mwenyezi mungu ailaze roho yako mahali pema. Amen
3
10
110
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Ninaelewa matarajio ya watanzania wote ni kuona sekta hii inaleta manufaa kwa taifa ili kuwezesha kutimiza Dira ya Taifa 2025
9
3
113
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
3 years
Nakutakia kila la heri Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan katika siku yako muhimu ya kuzaliwa. Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki, kukupa afya njema na kukupatia umri mrefu.
8
7
113
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
6 years
Kesho tarehe 28 Mei 2018 nitaizindua rasmi Tume ya Madini jijini Dodoma.
19
6
106
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 years
@jokateM Hongera sana Mhe Jokate kwa Ufanisi katika utendaji wako na kwa kuendelea kuweka miundombinu ya msingi ikiwemo Umeme. Kipekee nashukuru kwa ufuatiliaji na kulea wawekezaji wetu wakiwemo wa ndani.Tuendelee kukuza na kufanikisha Uwekezaji
3
7
107
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Ninatambua uzito wa majukumu yaliyo mbele yangu katika kusimamia sekta ya madini nchini
13
3
99
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Ninamshukuru Mungu kwa kunijaalia uzima,ulinzi na Baraka katika kipindi chautumishi wangu kwa umma katika nafasi ya Waziri wa Nchi-Utumishi
11
1
97
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Tarehe 29/10/2017 Serikali imekamata sampuli za miamba ya madini ya dhababu ya kg 600 katika eneo la Kiabakali ikisafirishwa bila vibali
12
18
95
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 years
It was a pleasure to meet the Members of the Generation Equality Forum (GEF) Multi-Stakeholder Leadership Group. Tanzania is a member of the group @unwomentanzania @UN_Women
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
13
94
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 months
Tweet media one
9
30
90
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Pongezi nyingi kwa uongozi wa Mkoa wa Shinyanga na wilaya ya Kahama kwa kutenga eneo la zongomela kwa uwekezaji na kwa kuweka miundombinu muhimu na ya msingi.Wawekezaji wanalipia gharama ya kutayarisha hati tu..Tunawakaribisha kuwekeza kwani maeneo bado yapo
2
25
89
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
3 years
Natoa pole kwa mama Yetu Janet Magufuli, familia ya Marehemu, Mhe Makamu wa Rais na Watanzania wote kufuatia msiba mkubwa kwa Taifa letu kwa kuondokewa na Rais wetu mpendwa Mhe Dkt John Pombe Magufuli. Pumzika kwa amani Mheshimiwa.
6
11
88
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Tumekubaliana Kuwait na Tanzania kubadilishana uzoefu wa namna ya kuhakikisha maliasili zinavyoweza kuchangia ipasavyo katika uchumi wa nchi.
15
10
85
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
8 months
Hongera sana Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia kwa kutunikiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Usimamizi wa Utalii na Masoko "Doctor of Philosophy in Tourism Management and Marketing Honoris Causa" ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar kwa kutambua mchango wako wa kuifungua nchi
Tweet media one
Tweet media two
1
20
83
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Wahusika wote walioshiriki katikauchimbaji na usafirishaji wa madini hayo bila vibali watafikishwa Mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake
11
10
79
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Ninamshukuru Mhe Rais kwa kuniamini tena na kunipa majukumu mapya ya kuongoza Wizara mpya ya Madini.
11
1
80
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 years
It was a pleasure meeting @JhpiegoTanzania delegation in Dodoma. The 6th phase Government is committed to work with JHPIEGO and other development partners to improve people's lives by providing quality health care services
@JhpiegoTanzania
Jhpiego Tanzania
2 years
"Jhpiego is honored to support the goals and strategies of @ortamisemitz under the principle that we can only improve the delivery of health care services in Tanzania by working together as partners." @JhpiegoCEO stated in a meeting with Minister @AngellahKairuki
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
16
67
6
16
75
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 months
Tweet media one
4
18
73
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
8 months
6
18
70
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Nimepokea kwa mstuko mkubwa taarifa ya msiba wa Dkt Mengi. Katika uhai wake ametoa mchango mkubwa kupitia uwekezaji alioufanya. Ninatoa pole kwa familia na IPP Group. Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani Dkt Mengi.
1
5
64
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 years
It was a pleasure to join @unwomenchief Madam Sima Sami Bahous and other distinguished delegates at the Generation Equality – Midpoint Moment Curtain Raiser at CSW. In my remarks I reaffirmed Tanzania's commitment to stand with UN Women, ready to expand and charge-up Generation
1
22
62
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
All these Investment and Business reforms has been made possible under the able leadership and directions of His Excellency President John Magufuli.
5
11
57
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
6 years
Tomorrow on Monday 28th May 2018, I will officially launch the new Mining Commission in Dodoma
6
0
59
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Tweet media one
3
5
61
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
3 years
Wishing Mzee Salim a Happy 80th Birthday. #DearDrSalim
@asalim86
Ahmed Salim
3 years
Dear Dr. Salim. Happy 80th Birthday! I will always remember the conversations we had around the dinner table. Daily History lessons. Ikulu, the UN, China, Ethiopia, Egypt, the US, India. We were witnesses to your History. #DearDrSalim
Tweet media one
75
213
2K
0
5
61
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
3 years
Congratulations @antonioguterres on your re- election as @UN Secretary General for a second term
3
5
57
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
1 year
TAHADHARI KWA UMMA: Kuna Matapeli wanaopiga simu na kutuma ujumbe kwa watu mbalimbali wakitumia jina langu kuomba michango ya harusi/ na wengine wakidai kuna fursa za biashara hivyo wapewe pesa za kuunganishwa. Watu hao ni MATAPELI NA WEZI-WAPUUZENI. Vyombo vya Dola
Tweet media one
24
13
56
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
9 months
Tweet media one
9
11
51
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Special appreciation to all Government Ministries, Departments, Institutions and the Private Sector for the Tanzania's EODB Ranking 2020 and the improvement in different indicators set by WB
3
11
50
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
We as the Government have set a high target to continue to improve the Ease of Doing Business ranking for Tanzania and to be amongst the top reformers in few years.
3
12
51
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Congratulations @androntz for this great achievement following your innovation and the deal you have secured. You have made Tanzanians proud. I will be ready to meet you to discuss other investment opportunities available in Tanzania
1
8
49
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
3 months
Katika siku za karibuni kuna matapeli wanawapigia simu watu wakitumia jina langu kudai wanawaita Dodoma kwa ajili ya kupewa kazi/tenda. Ninapenda kutaadharisha Umma wanapopokea simu ya aina hiyo WAJUE NI UWONGO NA UTAPELI. Vyombo vya sheria vinawafuatilia watu hao
Tweet media one
10
21
48
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
3 years
Napenda kutoa pongezi kwa Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, kufuatia kuapishwa kwake kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
7
5
49
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Tweet media one
2
3
49
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 years
Pumzika kwa amani Mama yetu mpendwa Getrude Rwakatare; tutakukumbuka daima!
6
4
48
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 years
Ufafanuzi wa @ortamisemitz kuhusu vigezo na utaratibu uliotumika kuwapangia shule wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza @millardayo @Hakingowi @CloudsMediaLive @wasafimedia @JamiiForums @MwananchiNews @dailynewstz @HabariLeo @Uhuru_Digital @ccm_tanzania
6
16
46
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 months
Tweet media one
6
13
47
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 years
Thanks Christine Musisi, @undptz for your readiness to support investment development and facilitation in Tanzania
@cmusisi2
Christine Musisi
4 years
An honor & pleasure to discuss collaboration on Investment in Tanzania with H.E Hon Angela Kairuki, Minister of #Investment . Will facilitate #financing , project & business development for sustainable impact of national, regional & #MSME projects, etc. @undptz @AngellahKairuki
Tweet media one
Tweet media two
1
15
79
2
4
47
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Thanks @TZ_StanChart for a great engagement during your clients dinner this evening, where we discussed cooperation on areas such as international investment roadshows and other areas.
2
8
47
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 months
Tweet media one
4
14
46
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 years
Thank you my dear sister @unwomenchief for meeting me. I assure you the commitment of GEF Global Champion Her Excellency President @SuluhuSamia to make the Generation Equality mid-point event a success
@unwomenchief
Sima Bahous
2 years
Great discussion w/ @AngellahKairuki , Minister of State, #Tanzania . I'm grateful that 🇹🇿 has taken initiative to co-host w/ @UN_Women a #GenerationEquality mid-point event in September. This will be our chance to bring all partners together & achieve the greatest impact yet.
Tweet media one
Tweet media two
6
40
109
4
10
47
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 years
@kitilam Hongera sana.. ulieleza vyema Sera za CCM, Ilani ya 2020-2025 na ahadi, mipango na mikakati yako katika kuwatumikia wana Ubungo. Kila la Heri Ushindi ni Wako.
4
6
45
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Natoa pole kwa Familia ya Marehemu Ali Mfuruki, Watanzania wote, Wafanyabiashara na Wawekezaji kwa kuondokewa na Mpendwa wetu. Tutamkumbuka daima kwa mchango mkubwa alioutoa katika Sekta ya Biashara na Uwekezaji. Hakika tumepoteza Jemedari. Mwenyezi Mungu amrehemu
4
9
45
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
I had a good meeting with H.E Einar Jensen- the Danish Ambassador to Tanzania who also came to bid farewell. We thank him for being the champion for Danish Inward Investments to Tanzania. We wish him well in his next tour of duty.
0
6
41
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 months
@CyrilRamaphosa We congratulate the South African Climbers for choosing Mt Kilimanjaro (Tanzania) so as to honour the birth of the founding Father of the South African Nation- Nelson Mandela. We welcome all the climbers & the noble cause of trekking for sanitary products for our girls in need.
6
7
42
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Heri ya Kuzaliwa Mhe Rais. Tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe baraka tele na afya njema. Aidha, tunakushukuru kwa uongozi wako thabiti na imara
1
3
39
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
10 years
Natoa shukrani kwa wananchi wote kwa ushirikiano mlionipa nikiwa Wizara ya Katiba & Sheria.Naomba tuendeleze ushirikiano huko niendako Ardhi
55
35
38
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
8 years
Nazishukuru Wizara, Wakala, idara, Mamlaka za Serikali za Mitaa zote zilizotenga siku 2 wiki hii kusikiliza watumishi wa Umma na wananchi
3
8
34
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
9 months
3
5
32
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 years
Mwenyezi Mungu airehemu Roho ya Marehemu Ndasa. Ulikuwa ni Mwalimu kwa Wengi bungeni.. mchango wako utakumbukwa daima.
3
3
31
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
6 months
Ninaungana na wanafamilia pamoja na Watanzania wote kuomboleza Msiba wa Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi. Ninamuomba Mwenyezi Mungu Ampumzishe kwa amani na kuwapa faraja wanafamilia katika kipindi hiki cha majonzi
Tweet media one
3
9
32
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
6 years
Germany Company Looking To Set Footprint In Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
0
4
31
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 months
Hongera sana Balozi Teshome Toga Chanaka @TToga9 kwa kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kimataifa ya Mianzi @INBARofficial . Ninakutakia kila la kheri katika utekelezaji wa majukumu yako mapya.
5
6
31
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
9 years
Kwa ambao watapenda kuwasiliana kwa sms muda si mrefu nitatangaza namba hiyo
9
14
31
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
8 years
Watumishi wa Umma Wengi wamewasilisha kero walizo nazo. Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma itazifanyia kazi hoja zilizotolewa
6
5
30
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Hongereni sana @TPDCTZ kwa maadhimisho ya miaka 50.
0
8
29
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
3 years
Natoa Pongezi za Kipekee kwa Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan @SuluhuSamia kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa. Hongera sana.
3
1
27
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
6 months
3
7
28
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
9 years
@RehemaMusa4 yatajibiwa na yatafanyiwa kazi..na ndiyo lengo mahsusi
0
1
22
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 months
Tweet media one
3
10
26
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
Tanzania's commercial capital wins world city mobility award - Xinhua | .cn http://news.xinhuanet.com/english/2017-12/07/c_136806591.htm#0-twi-1-45608-7250227817ecdff034dc9540e6c76667
2
0
24
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
8 years
Leo tumehitimisha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma 2016. Nawashukuru Watumishi wote wa Umma kwa ushiriki wao, na maoni waliyoyatoa
1
3
24
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 months
On behalf of the Ministry of @OUtalii I wish our chinese friends, a Happy and Prosperous Chinese New Year of Dragon. As this year, China and Tanzania celebrate a year of culture and tourism, I invite all our Chinese friends to visit the unforgettable Tanzania
Tweet media one
1
6
22
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 years
@sidchat1 @MbelwaK @ZMilisic @TanzaniaUN @TZEmbassyCN @WuPeng_MFAChina @mfa_tanzania @unwomenafrica @Atayeshe @ChineseEmbTZ Thank You Sidd for meeting me. Tanzania alongside UNwomen and in collaboration with other Public and Private Agencies will continue to take action to ensure progress and success of the Generation Equality Forum Commitments by Tanzania #SDG2 #SDG5
1
10
22
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 years
best wishes to Purandare Sugar as you prepare for further steps to start sugar production in Chamwino- Dodoma
@NEILP102
NEIL PURANDARE
4 years
On behalf of Purandare Industries, I thank Hon. Dr. @MagufuliJP President of Tanzania for his support. I thank Hon. Mussa Azzan Zungu Minister of Environment & Hon. @AngellahKairuki Minister of Investment for the Environmental Clearance to upcoming Sugar Plant.
Tweet media one
1
11
50
2
2
21
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
Today I had an Honour to officiate the 3rd Oil and Gas Congress on behalf of Rt Hon Kassim Majaliwa, the Prime Minister of the United Republic of Tanzania
3
3
20
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
10 years
Wanafunzi wanaokwenda Law School kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo muda si mrefu wataweza kuomba Mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
7
23
18
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
9 years
unafuu wa kodi utatolewa kwa wananchi moja kwa moja na sio kwa taasisi zinazouza nyumba. Mpango huo utaanza kwa nyumba zisizozidi milioni 35
3
11
19
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
4 months
Tanzanians celebrate China-Tanzania Year of Culture and Tourism in Beijing - Global Times
1
10
17
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
7 years
@mjmlaki Mnada ni Mmoja uliofanyika tarehe 7 Novemba 2017. Kumradhi Tweet ya kwanza iliyoindicate October haikuwa sahihi.
6
0
15
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
2 months
Tweet media one
1
4
17
@AngellahKairuki
Angellah Kairuki
5 years
@tpsftz @qadertz @Karuhawe @NLintheUSA @TanzaniaCTI Bwana Karuhawe mtaalam wa ufugaji wa samaki, tumeshazungumza. Mradi wao wa kutengeneza chakula cha samaki ni wa muhimu na moja ya miradi ya vipaumbele- tunalifanyia kazi na TIC na tutarudi kwenu NIREX Investment. Karibuni sana kuwekeza
2
3
14