Mahakama ya Tanzania
3 years
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma, leo Oktoba 18, 2021 amezindua vikao vya Mahakama ya Rufani vinavyofanyika kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Musoma na kusisitiza matumizi ya TEHAMA katika usikilizaji wa mashauri ili kuokoa muda.