AYATOLLAH DON MINJA Profile Banner
AYATOLLAH DON MINJA Profile
AYATOLLAH DON MINJA

@donminja47

Followers
695
Following
3,334
Media
4,041
Statuses
40,817

The Chairman,The Termninato,The Waheguru, The Rapid & The Network Dèsarmer Nyatuta, Wazalèndo, Maï², Fdlr, Apcls etc, AFCM23 يجب أن يحرر 🇨🇩 نعمة مسلحة 🙌 🙏

🇷🇼, 🇨🇩, 🇹🇿, 🇰🇪 & 🇸🇴.
Joined November 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
3 months
"The Power of Elite : Skull & Bones, The Order, Order ³²² its The Brotherhood of Death"
Tweet media one
0
15
11
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
9 months
@IAMartin_ @HusseinBashe Ila brother upo very analytical with facts ukitumiwa vyema itakuwa na manufaa makubwa wa manufaa ya Tanzania kwa ujumla wake # Tuweke Siasa Kando kwani Maendeleo ya Wananchi Hayana Chama @KisamiyoEnock
8
4
103
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
7 months
@PMadeleka Kiongozi kuna halaiki ipo psmoja na wewe katika hii kazi ya kitume unayofanya. Tatizo ni moja tuu toka kwako! Tunakuomba utupatie namba ya simu na account ya kuweka michango ila kila anayeguswa awaweke chochote kitu ili kukupunguzia maumivu ya wewe kutumia pesa zako binafsj.
6
5
71
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@PMadeleka @REGINAOYIER wewe hata ukiomba msamaha hatutakusamehe kama Jaji Edwin! Sasa wewe ndio utaenda kukipata alichokitatuta @judiciarytz @chraggtanzania @TumeHakiJinai ! @bizy94 @LusakoAlphonce @TanganyikaLaw apate barua yake kesho mchana huyo hakimu kabisa @RAPHAELPHAUSTI8 @kighera50
4
6
62
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@nulphin JWTZ 🇹🇿 ni kati ya majeshi yenye NIDHAMU na WELEDI wa hali ya Juu Afrika, tofauti @tanpol ambao kila kukicha kuna matukio ya ajabu, hili tukio haliwezi fichwa, wanamaliza yao 1st @jwtztaarifa @JACOBMKUNDA @DrTaxs wota ni weledi wapo TIMAMU HAKIKA @dammyG05 @RAPHAELPHAUSTI8
Tweet media one
Tweet media two
10
10
54
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
9 months
@mdudechadematz @Mwabuk2Boniface Brother Mdude worry not Kabisa, Tunaomba Tathimini ya hizo Samani Zote ni Jumla Shilingi ngapi Tutachanga hadi Jumatatu atanunua vyote kwani hiyo hata si ofisi yake binafsi kama ilivyokuwa hapo awali kwani sasa hiyo ni Ofisi ya WATANGANYIKA! Kwa Moyo Safi Wake wa Kujitolea kwetu
7
2
52
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@lifeofmshaba Well Scripted and True Said!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
8
53
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
@MwijakuBurton @mangekimambi Kwanini usingeacha mhusika aje ajibu yeye pekee; 1.Sio Kiongozi maana yake issue ni yake kipekee? 2.Mbona mwenyewe hana shida na anaendelea na mambo yake kawaida! 3.Angekuwa ni msanii ningesema kwa sababu ya tasnia! 4.We umeongea kama naniyake? @NaomiUliza @marwason57 @kighera50
5
4
50
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
6
49
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@MalisaGJ_ @ExMayorUbungo @tanpol [Dodoma] Meku Malisa anauliza Je Mahabusu Dodoma Central huwa wanapata huduma adhimu ya Saloon kabla kupelekwa @judiciarytz na kupendeza namna hii? Au ndio mambo ya Ufadhili wa Bidada ASP Fatuma anayejidai "UNTOUCHABLE" Suala lake kitaramba wengi @bizy94 @Rule_of_Law_Tz
Tweet media one
2
4
49
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@mdudechadematz @SuluhuSamia Unawafahamu majina na 📸 @tanpol ? SHIME KUWABURUTA @judiciarytz @TumeHakiJinai @chraggtanzania & @IntlCrimCourt inatosha kuliko kuwasaka kwani wanaweza kudhuriwa na [Raïya Mutombokï] watu wenye hasira Mob ⚖️, tushirikishe kuungana pamoja kuchangia gharama! @bizy94 @dammyG05
Tweet media one
Tweet media two
2
6
46
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
9 months
@BabaMwita @PMadeleka @Mwabuk2Boniface @LusakoAlphonce @SuluhuSamia @ikulumawasliano @MariaSTsehai @IAMartin_ @ExMayorUbungo @YerickoNyerereT @Liberatus80 Thanks sana Wakili Msomi kwa waraka huu, tunapata tena nafasi kujua mambo ya ukweli kwa uhalisia wake. Hongera kwa Uhodari na Umahiri ulionao, naomba usiwe mchoyo kuendelea kutupatia elimu @BabaMwita
1
1
41
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@TunduALissu @fatma_karume Well Scripted Kiongozi na hata yeye alimkosoa JPM, Je kipindi hicho dhambi ya Ubaguzi ilikuwa bado haijaletwa duniani? [ Au nyani haoni kundule ? ]
2
3
31
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@ComradeKawaida Wewe Zumbukuku haswa ! Umeogopa kuandika kuwa watuhumiwa ni Watumishi wa Jeshi la Wananchi? Mjinga kabisa wewe, Sentensi ya mwisho ulitakiwa kukemea wanajeshi na viongozi wa ccm @GekulPauline na @nawanda wala sio wanaosambaza picha! Je umezionaje wakati ulitaka X ifungwe? ĴInga²
Tweet media one
2
2
30
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
8 months
@MwananchiNews Huu ni kati ya upuuzi uliotukuka, kwani madeni ni nini! Hichi kigazeti siku hizi ni stupid kabisa
3
2
31
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@lifeofmshaba Kiongozi hawa @Mwabuk2Boniface @mdudechadematz walitaka kupewa eti kesi ya Uhaini! Kwa lipi ! Huenda walistahili Tuzo ya Uzalendo ya kupigania Raslimali za Taifa.
1
5
32
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@eastafricatv Suluhisho la Uhaba wa Ajira Kenya naona wameupata mbadala! Maana yake hii itaongeza ufanisi, kwani hii ikija Tanzania itakuwa ni suluhisho kwa ajira ya vijana wengi kwani waliopo maofisini wengi wao nadhani mikataba yao itasitishwa kupisha wengine, aliongea jana @Mwabuk2Boniface
Tweet media one
0
2
29
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
@IAMartin_ My take : " @Ummymwalimu anatumia nusu ya maisha yake kutaja jina la RAIS mara elfu tatu kwa siku. Kazi yake kubwa ni propaganda tu kumlaghai Rais @SuluhuSamia ili aendelee kuwa WAZIRI"
1
2
29
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
7 months
@PMadeleka Kiongozi hadi katika hatua hii uliyofikia it's almost 75% umefanikiwa bado hizo 25% tuu, niwashukuru wewe binafsi # Controversial & Strategic Advocate na jopo na mawakili wengine wanaokusaidi. Mungu awatangulie na kuwalinda.
1
2
29
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@Jambotv_ Kweli ??? Ni Marekani au Mererani !!!
6
2
28
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
7 months
@ExMayorUbungo Huenda sikuwepo nchini hivi ile iliyopita yenye madudu kibao aliyobaini CAG iliishia wapi ? Nakumbuka wakati naondoka ilikuwa iende ikajadiliwe Bungeni @TuliaAckson akapanga muda mwingine unaofaa Je ilijadiliwa vilivyo ! Na matokeo yake yalikuwaje ? Nauliza tuu
8
1
27
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@ExMayorUbungo Kaka Boniface usikate tamaa wala kuingia hofu ni wito toka kwa Mungu wewe kuifanya kazi hii, usije ikimbia kama Yule YONA aliyetumwa NINAWI kwani utamezwa na samaki mkubwa. Narudia UTAKE USITAKE 2025 Mbunge Mteule wa Ubungo @MalisaGJ_
0
2
28
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@PMadeleka @DOTTOMALLOGO hongera kwa kujitambua mapema !hivi, ili yasijirudie YETU kutokupewa barua huko tulipokuwa awali, ni bora akafungue kesi CMA na pia akafungue nyingine @ilo kwa charge ya forced labour @UN Slavery na @chraggtanzania kuhusu haki za binadamu @bizy94 @gidionalex31 !
1
2
27
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@bizy94 @tanpol @TanganyikaLaw @Dr_DGwajima Hili suala likifanyiwa mchezo kwa minajili ya kulindana litawaponza viongozi wakubwa ambao ushiriki wao unakuja kushidwa kuhakikisha aliotenda uhalifu analindwa kisa ni Polisi & Mke wa Aliyekuwa Kigogo.Shime CP AWADHI HAJI NGUVU itumike kama ya tarehe 11 & 12.08.2024 AKAMATWE !
Tweet media one
4
6
28
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@Lumola_Steven @tanpol Wapo wengi @Benjaminkunzaga sikuwahi kufanya naye kazi, ila ndio wanaenda kutoweka taratibu kama wasipotengeneza wengine mfano ni CP @SuzanKaganda next IGP 👏 🙌 💪, DCP Ngonyani R.I.P, SACP T. Malya RPC Dodoma & SACP E. Kiondo @bizy94 @Rule_of_Law_Tz @Ntobi_ @FarahOm91196252
Tweet media one
Tweet media two
4
3
25
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
3 months
@ExMayorUbungo Aisee! Hadi kucheka ila nyie wanyakyusa mnafanana mno brother!
Tweet media one
4
4
24
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@MwananchiNews Yaani hii ni ya Juzi tuu ! Mimi nina shauri langu huko Takukuru tangu November 2019 wanarukaruka na kujichanganya kwa kutoa majibu potofu ila ya Chadema mbio mbio @TakukuruTz @takukuru_tz
2
1
24
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@Nape_Moses Bumunda! moyoni mwako kwa unaa uliomfanyia kipindi kile & hata alifofanikiwa kufariki uliropoka tena kuwa "Mungu Kaamua"! Vp unakumbuka hii ya tarehe 20.06.2024 ulipobishana na Kiongozi wako bila ya kujua? Na kitu alichoniahidi? Kumbuka aisee! @BabaJoseph8 @iamchriss24 @izzytz
Tweet media one
Tweet media two
0
3
25
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
@PMadeleka @tanpol Thanks Sana kwa Juhudi kubwa Mno Uliyofanya Katika Kuhakikisha mamaetu anapata haki yake pasipo kuonewa na Kukandamizwa wakati akifuatili Haki Zake. Naishia Hapa kwa Sasa! Appreciated
1
2
24
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@MariaSarungiFan Well Scripted 💯! Ukiangalia hakuna sehemu yenye Bachelor Degree! Je @JenisterMhagama from 2013 to 2021 ulikuwa unasoma masters ya mserereko moja kwa moja bila kupitia Bachelor? Unajua huko @ccm_tanzania kuna mambo mazito kuhusu elimu na vyeti vya viongozi kama huyu na nape!
3
4
23
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@tanpol @ITVTZ @TBConlineTZ @Nipashetz @MwananchiNews @Mwanahalisitz @Jambotv_ @millardayo @Hakingowi Ahsante Kwa Kuweka hadharani mipango ya @ChademaTz ! 1. Je ni intelligencia gani iliyotumika kupata taarifa hizi? 2.Kwanini HIYO² isitumike kuhakikisha WANAPATIKANA & KUKOMESHA UTEKAJI KIHOLELA? 3. Je Vijana 20 wasio na Silaha wana Uwezo Kuwashinda 🚔? @bizy94 @Ntobi_ @dammyG05
Tweet media one
3
5
24
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@Jambotv_ Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki ???? Huyu askofu ni hovyo na bure kabisa matatizo ya Binadamu yanatatuliwa na Mungu sasa yeye anamtaja huyo aliyemtaja sijui ana maana gani! @godbless_lema wewe ni wa hapo Arusha umeshawahi kulisikia hilo kanisa na huyo Askofu mjinga mno!
6
0
23
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
@ummymwalimu Kwa mfano ni budget gani ilishindikana kupitishwa tangu utaratibu wa bunge lianze hapa Tanganyika?
7
2
24
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@gidionalex31 @Mwabuk2Boniface @TunduALissu @ExMayorUbungo @IAMartin_ @Advocate_Jebra @HemedKulungu Utaniambia mapema pindi tuu @tanpol [Ikungi] watakapokaribia kukukamata nitawaonyesha MTEMAKUNI ! Vp ni kwa lile tukio la yule binti aliyebakwa na kigogo wa @ccm_tanzania hadi mimba ambalo hadi MUKULUKULU SUPREMO @Dr_DGwajima analimanya ? au kuna jambo wanataka kubumba! @bizy94
Tweet media one
3
3
23
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@PMadeleka Nawaza! Hapa kuna hila za kumuokoa mmoja na kukandamiza wengine kukosa haki. 1. Binti aliyebakwa kumbe alikuwa kahaba. Naishia hapa ● kubwa kabisa. 2. SACP T Malya RPC nilikupa 39% & CP S. Kaganda 61%. 3. Hii taarifa ilitakiwa itolewe na Msemaji as it involved DSM & Dodoma●●?
Tweet media one
1
3
24
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
1 month
@MalisaGJ_ Well Scripted 💯 Meku! tofauti lilizaliwa LUTHERAN BUT RAISED PROTESTANT, ni bora kumsikiliza @REVhananja @AskofuBagonza Real PROTESTANTS kuliko HUYO Mtoto wa Rev Gehazi Mwalasusa aliyetajwa kwenye biblia na tabia za GEHAZI @bizy94 @kighera50 @TLMarandu @godbless_lema @Ntobi_
Tweet media one
2
5
23
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@MalisaGJ_ 👏 🙌 💪4 ✌️ Meku Malisa @ExMayorUbungo @IAMartin_ @fbuyobe @bizy94 ! 1. JWTZ 2. & 3. @MagerezaT 4. @UhamiajiTz 5. @tanpol ASP Fatuma [Jike Shupa] Je 6. Ni Mgambo gani? au RPC Malya? Ndiye aliyemficha kwake? Probability is 💯 ! with the below Algebric³²² Calculations? @Ntobi_
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
4
23
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
4 months
@k_mjege @PMadeleka Ni yeye peke yake kwa majina yake ya ubatizo!
0
1
21
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@PMadeleka Kwa hatua hiyo ameshazipata ila bado tuu hawajamuwekea kwenye account yake Tuu
1
1
21
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@fatma_karume Fatma usiwasemee watu kwani wewe sio msemaji wa hisia na nafsi za watu! Hoja ni Uzanzibar hayo manne huenda umeyanena wewe kimafumbo kwani hakuna aliyetamka zaidi yako! Shangazi mbona wafeli namna hii kusema la haki? @TunduALissu
0
2
20
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@BabaMwita Same Scripted but Different Casted by your colleague Controversial Advocate , A self proclaimed 5* Revolutionary General Dr @MigunaMiguna uses during @kenyan431 peaceful protest in 🇰🇪 @bizy94 @mrembo_og @Gomeezmarketer @DianaJohn2224 @NaomiUliza @RoseMakei @DevotaMinja @izzytz
Tweet media one
1
3
22
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@PMadeleka Haya sasa tusome kwa pamoja: Zaburi 35 : 1 Ee Bwana, utete nao wanaoteta nami, Upigane nao wanaopigana nami. 2 Uishike ngao na kigao, Usimame unisaidie. 3 Uutoe na mkuki uwapinge wanaonifuatia, Uiambie nafsi yangu, Mimi ni wokovu wako.
2
3
21
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
Tweet media one
3
0
21
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@BabaMwita Well Scripted Elite Adv, Personally I agree with U 💯 ! Kwa kuwa Wanaokiuka Sheria wengi ni VIONGOZI ni BUDI wafikishwe : 1. TUME YA MAADILI & UTAWALA BORA 2. TUME YA HAKI ZA BINADAMU @chraggtanzania 3. @judiciarytz 4. @TumeHakiJinai 5. @IntlCrimCourt "The Hegue" @bizy94
Tweet media one
0
7
20
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@ExMayorUbungo Well Scripted 💯! Nawaza Tuu! Kitendo cha huenda kumtetea au kuchepusha haki na Sheria hakijengi Afya @tanpol na mamlaka ya juu ikiwemo @WizaraMNN @ikulumawasliano kwani ASP FK aliyafanya hayo binafsi wala sio kwa niaba ya Jeshi au @bunge_tz . @bizy94 @BidugaHilary @PMadeleka
Tweet media one
1
3
20
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
4 months
@AbroadTanzania 1.Kama hii wangefanya @ExMayorUbungo @MalisaGJ_ @sukununu01 lingekuwa ni kosa kubwa mno la uchochezi mitandaoni. 2.Kwa taarifa kutokuwa na usahihi je @TEC_kurasini @BarazaTec watachukua hatua gani dhidi ya mpotoshaji? Nawaza Tuu @kighera50 @NaomiUliza @tanpol @BidugaHilary
3
5
21
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@IAMartin_ @fatma_karume Well Scripted Strategically Bravo 👏 M³ you are the best ever ! Hili swali hakuna mwenye uthubutu,utashi na uwezo wa kulijibu kiufasaha kutokana na yanaendelea Ngoro² Likijibiwa Nijulishwe Tafadhali @marwason57 @JoelHosea15141 @BabaJoseph8 @Oleshangay @olengoy10509 @__abdulazack
1
1
18
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@mdudechadematz @godbless_lema Kiongozi utabiri wako kuhusu Hali ya Watalii hapo Arusha huenda unaanza kufanya kazi kwani kwa kauli ya Shambulio la Drone kwa RC sidhani kama watalii wataona ni sehemu salama kwao! Nawaza ! Wageni watakuwa na hofu sana na Idadi itapungua,Nawaza Tuu @BidugaHilary
2
1
20
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@ExMayorUbungo Kiongozi usijekuta biashara ya Binadamu imerudi kimya kimya naona wanaotoweka wengi wao ni vijana, kuna kitu kikubwa zaidi ya hiki tunatakiwa kujadiliana ili kupata muafaka wake kwa ujumla. Je jukumu la usalama wa raia ni la nani? NAWAZA TUU
2
0
19
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@AbroadTanzania @millardayo nenda tena akamhoji rafiki yako @JNtuyabaliwe Nadhani familia ya @regmengi wanamuonea huruma tuu! Alitakiwa ashitakiwe kwa kesi ya kughushi wosia ambapo kifungo chake ni kuanzia miaka 7 hadi life Imprisonment! @bizy94 @mrembo_og @RAPHAELPHAUSTI8 @FarahOm91196252
Tweet media one
Tweet media two
2
4
19
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@fbuyobe 👏 💪! Commander of ✋️ to 👄 Battalion! Leta namba na email kabisa tuwape 👋!This approach was used by a self proclaimed 5* Revolutionary General Dr @MigunaMiguna 🇰🇪 last month during coordination @kenyan431 protest! @PMadeleka @bizy94 @RAPHAELPHAUSTI8 @gidionalex31 @izzytz
Tweet media one
0
2
19
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
9 months
@IAMartin_ Mkuu sasa wamewakamata kwa kosa gani? Unajua hawa jamaa huwa sijui wanajiamini nini hadi kuingilia mambo ya kisiasa! Ndio maana hata kuna wakati Wakili Msomi @Mwabuk2Boniface aliwashauri waanzishe Chama cha Siasa! @AIMartin_
1
1
19
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@BabaMwita @SuluhuSamia @ikulumawasliano @MariaSTsehai @HecheJohn @IAMartin_ @PMadeleka @Mwabuk2Boniface @mwaipungu24 Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ! Ahsante ! Wakili Msomi Baba Mwita kuna Somo Kubwa Tuu nimejifunza. Ubarikiwe kwa Kutumia Elimu, Kipaji na Uwezo wako kutoa Elimu hii kwa Maslahi Mapana ya Nchi yetu Tanzania. "Na Kazi Iendelee"
0
0
19
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@fbuyobe Kiongozi ama kweli kazi yenu @ExMayorUbungo @IAMartin_ @MalisaGJ_ inafanyika vilivyo in a more proffesional manner! Tunaye @Advocatemuga kaibuka kutisha Umma kuhusu udhalimu wa Mteja wake na kurekebisha Cheo chake kuwa ni SSP fine! Ataenda kumwakilisha @judiciarytz @bizy94
Tweet media one
0
5
19
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@mdudechadematz @MalisaGJ_ @ExMayorUbungo Kesi ni ipi kwa mujibu wa barua ni kutoa taarifa kwenye mtandao, kwanini wasingechukua simu zao waendelee na uchunguzi na kuwapatia dhamana au ile taarifa ilikuwa ya uongo! NAWAZA wanajaribu kuficha mambo baada ya kukaa na maiti ya ŴENYEWE kwenye hospital yao bila kutoa taarifa.
0
1
18
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
@LamuRafael77 @makonda_paul @SuluhuSamia @dr_mpango @KassimMajaliwa_ @TuliaAckson @DBiteko @Jambotv_ @ComradeKawaida @__abdulazack @Kasesela @judiciarytz Sio ushauri tuu kwani kwa kitendo anachofanya amekiuka maadili ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora NAWAZA! huenda yeye ana Kinga Binafsi kwa vibweka vyake ! Lamu vp matokeo ya ile kamati ya adabu ! @HusseinAlly2014 @kighera50 @marwason57 @MmbettaJ @izzytz "Na Kazi Iendelee"***
2
3
16
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
3 months
@IAMartin_ @Nashemcee Una akili kubwa sana na uwezo mkubwa mno na unajua jinsi ya kuitumia kabisa. Appreciated nitaweka mchango wangu nikitoka Ijumaa ! استمر الله في رعايتك وحفظك عبده ! Ndugu zangu tumuunge mkono mwenzetu katika kupinga udhalimu, ngoja wamalize uchaguzi leo! @MadadyJr
Tweet media one
0
6
18
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
9 months
@BabaMwita @MariaSTsehai @ExMayorUbungo @PMadeleka @IAMartin_ @Mwabuk2Boniface @YerickoNyerereT @ChangeTanzania Hiyo ndio DR Congo 🇨🇩, hawa jamaa wanajua nini maana ya Democrasia, wanamchagua mbunge wanayemtaka bila kujali chama chake. Ukomavu huo ndio umesababisha rebellion North Kivu kutokwisha kwani wanajua haki zao na wanajua jinsi ya kuzipata, Hongera M23 @BabaMwita
2
2
16
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@PMadeleka Endelea nao vizuri tuu, hadi watakapokuelewa kuwa wewe ni nguli wa Sheria usie na Mchezo², kitu kinachonipa furaha zaidi ni kuwa wewe unatoa taarifa mapema jinsi unavyokwenda kuwakabili, Acrobatic Advocate Peter Madeleka as baptised by @judiciarytz
3
2
18
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@bizy94 @tanpol @MariaSTsehai Binafsi huwa siwaamini kabisa Polisi kutokana na matukio ya hovyo yaliyopata kutokea ikiwemo: 1. Zombie & Bageni vs Mauaji ya Wafanyabiashara wa Madini Mtwara. 2. Vitendo vya Ufedhuli vya Gekul & Nawanda 3. Mauaji ya Mfanyabiashara wa Mtwara na Askari mwenzao 4. RPC wa Jro! N.K!
1
2
17
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@lifeofmshaba Wanaacha kukamata waliotajwa na CAG na wale aliowataja CDF ambao ni hatari kwa usalama wa Taifa wanadeal na raia mwema aliyetoa maoni yake. Uzuri hili sasa limeshafika kwa mwenyewe @Mwabuk2Boniface wataona mtemakuni hakika.
1
1
17
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
10 months
@PMadeleka Uliandika barua June 2016, Uongozi ulipitisha ombi lako Jan 2017, Katibu Mkuu kakujibu August 2018! Ndani ya hichi kipindi ulikuwa wapi na je ulikuwa unalipwa! @PMadeleka
5
0
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
3 months
@ExMayorUbungo 1. @tanpol IGP anza kumwajibisha RPC na OCD 2. @ikulumawasliano utenguzi wa RC na DC 4. DGIS malizana na DSO & RSO 3. IGP Wambura mtafute DIGS Mombo akushauri cha kufanya! 4. DPP andaa mashitaka dhidi ya wahusika wote for Violation of Constitution & Human Rights! Nawaza Tuu!
0
3
16
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
7 months
@BabaMwita @MariaSTsehai @PMadeleka @IAMartin_ @fatma_karume @Mwabuk2Boniface @LusakoAlphonce @Oleshangay @HecheJohn @ikulumawasliano @KassimMajaliwa_ Well Scripted Kiongozi, hii issue nakumbuka @PMadeleka aliongea tangu hapo mwanzo ila watu waliipuuzia, huyu PM asingekuwa na Kinga tungeenda kutest legality ya existence yake High Court! Kumbe ndio maana nyie wasomi mnaogopwa kwenye siasa. Now nimeekewa sabsbu ya kauli ile.
2
1
16
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@ExMayorUbungo NAWAZA! Bila ya wewe na @MalisaGJ_ kupaza sauti katika mitandao Je Polisi wangekuja na taarifa kuwa huyu ndugu alipata ajali? Ni kichekesho na kuonyesha uwajibikaji dhaifu na ubabaishaji wa hali ya juu kwenye mambo mazito ya uhai wa Binadamu mwingine. @PMadeleka
0
1
17
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@fatma_karume Wewe ndio muasisi tangu kipindi kilichopita! AU [Mkuki kwa Ngurewe wakati nyani haoni kundule] @HildaNewton21 naona karudi piga tena! @RehemaNM2 , @IAMartin_ @TunduALissu Tulieni tafadhali kwani Superwoman Hilda ndio kiboko ya LISHANGAZI BOSHENI @kighera50 @izzytz @marwason57
3
2
17
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@Jambotv_ @TCRA_Tz ni bora kuifunga @WateteziTV kwani wanachokifanya ni kutoa taarifa toka kwa wahusika ila kama nyie hapendi ifungeni kabisa! Kwani hata @tanpol wamezuia mikutano maeneo haya maana yake hali si sharing! @bizy94 @NaomiUliza @kighera50 @RAPHAELPHAUSTI8 @Ntobi_ @dammyG05
6
5
17
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@Ntobi_ @TunduALissu @jjmnyika @TheRealJongwe Lakini hayuko juu ya katiba pia hana kinga sio? Ni budi afikishwe @judiciarytz @TumeHakiJinai @chraggtanzania na pia apate fursa ya kwenda @IntlCrimCourt "The Hegue" ndio itaongeza wasifu wake kuwa wa kimataifa la sivyo tutakuwa tunapuyanga mitandaoni kiholela @bizy94 @dammyG05
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
6
17
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
@MsigwaPeter Kwani siku zote huwa unaongelea wapi Kiongozi! Ungetumia muda wa handover kuongelea pale pale ofisini ingekuwa bora zaidi Kiongozi! NAWAZA TUU!
2
4
17
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@Advocate_Kisabo @DEUSDEDITHSOKA Appreciated kabisa Kiongozi! Nilisema kuwa yale mazoea ya @tanpol kuwapeleka wahalifu @judiciarytz sasa yanakwenda kubadilika! Ni wakati wao sasa kugeuka na kuwa watuhumiwa! Tutawakabili kwa kila tendo la kidhalimu dhidi ya Raïya! @bizy94 @Rule_of_Law_Tz @BidugaHilary @dammyG05
Tweet media one
Tweet media two
0
2
16
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
1 month
@LuhagaMpina MAJUKUMU YA KIKATIBA YA JWTZ Jeshi linaloongoza kwa Nidhamu ya Hali ya Juu Kimataifa! Wanasiasa wakishindwa kujibu wajiepushe Kabisa @bizy94 @dammyG05 @kighera50 @Mdunguaji23 @ExMayorUbungo @Mwabuk2Boniface @RAPHAELPHAUSTI8 @freemanmbowetz @TunduALissu @LamuRafael77 @Ntobi_
Tweet media one
0
7
16
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
7 months
@IAMartin_ @judiciarytz @PMadeleka Hapa sasa ndio tutakuja kupata tafsiri sahihi nani aliyekiuka maadili? Kwa uandishi huu sidhani kama mahakama zimefikia hatua hii ya kumkabili wakili namna hii? @fatma_karume @Mwabuk2Boniface @BabaMwita @LusakoAlphonce @TitoMagoti @Advocate_Jebra nadhani mtakuja na nondo za nguvu
1
2
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@bizy94 @SuluhuSamia @MariaSTsehai @HildaNewton21 @lifeofmshaba Mungu atupe uwezo wa kutambua mema na mabaya kwa manufaa mapana 4 sustainability & development of our nation ! Peace & Security being high Priority Situation 🙏 🙏 @BidugaHilary @MachumuKadutu @Mwabuk2Boniface @LusakoAlphonce @BabaMwita @Rule_of_Law_Tz @RAPHAELPHAUSTI8 @Ntobi_
Tweet media one
Tweet media two
1
9
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@bizy94 @tanpol @TanganyikaLaw @MariaSTsehai @fatma_karume @lifeofmshaba Kwa mujibu wa @ExMayorUbungo inasemekana iliitwa Makao !Je kwa cheo chake hawezi kuchukuliwa hatua za kisheria? Je mbona CP Christopher Bageni alihukumiwa Kunyongwa Hadi kufa! Je bidada ASP Fatuma Kagondo ana kinga gani? Na ni kitu gani ? au kwa sababu anafanya kazi @bunge_tz
Tweet media one
Tweet media two
3
4
16
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@davitheempire Binafsi namkubali sana Rtd. General Venance S. Mabeyo [a Noble of Tanzania] @VenanceMabeyo uishi miaka mingi Kiongozi
1
0
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@frediejustine huyu namba 3. Mbona kama unamchafua pia kwani ametenda baya gani ndugu M³ @IAMartin_ au ni hila zako za kumpaka matope Mpiganaji Imara, Makini na Mjuvi, Nakumbuka tuhuma last week ilikuwa ni wewe toka kwa Maadam @Gomeezmarketer baada ya kukustukia? Naomba majibu ya uhalisia?
3
2
16
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
9 months
@TanzaniaOneJezi Tundu Lissu ni Kiumbe cha Tofauti kabisa hapa Ulimwenguni, AKILI NYINGI na MAARIFA kede wa kede, Risasi zaidi ya 16 Bado yuko hai! Mungu yupo nae.
1
1
14
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
7 months
@fatma_karume Ukweli ni upi ? wanalipwa ngapi ? kwa sasa ili tujue @freemanmbowetz ni mwongo na mzushi @TuliaAckson Wabunge ni watumishi wa wananchi na wanalipwa kutokana na kodi za wananchi basi tujuzwe pesa mishahara tunaowalipa wafanyakazi wetu tuliwachagua wakatutumikie? NAWAZA
2
1
14
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
9 months
@ExMayorUbungo Huyu Mzee Rungwe ni Fundi Sana kawachanachana Mbaya, @ChademaTz do not waste your time kuwajibu, Advocate Hashim Rungwe Kawakabili vilivyo kama walivyojitokeza ndio kawarudisha. VIVA Rungwe, VIVA Chauma, VIVA Chadema, VIVA Tanzania 🇹🇿 @Mwabuk2Boniface
1
0
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@mdudechadematz @Jambotv_ Kiongozi yaani sasa imefikia hatua ya kujiparata kuliko halo ya kawaida ya kibinadamu. Sometimes tunatakiwa kuachana na hv vituko vya hovyo. Let's focus on strategic issues towards the coming elections. Nawaza!
1
1
14
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
@EduTalkTz @SuluhuSamia Kiongozi Namfahamu RA ni kati ya wawekezaji wenye nia nzuri tuu hapa nchini, tatizo usiangalie rangi yake! Je ni watanzania wangapi wenye uwezo kama yeye wamekimbia na kwenda kuwekeza nje ya nchi? Fikra isiwe lazima mwekezaji aje kutoka nje tusiyemjua ndio tunaona ana maana kwetu
6
1
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@ezekiel_kamwaga Kiongozi kadri ya muda unavyoyoyoma na uwezo wako unakutoroka! Dua na Support gani inahitajika kwenye masuala ya technical? Unafikiri wale Bundi walitumwa na watu wenye itikadi tofauti? Umeandika Ujinga mtupu! Utendaji yakinifu na Uzalendo ndio suluhisho kama alivyosema @LuhagaM
1
3
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
3 months
@tanpol Ifike nafasi wananchi wote kwa ujumla tukemee matukio haya mabaya dhidi ya binadamu wengine bila ya kujali umri, cheo wala itikadi na mtazamo wa kisiasa! Ikiwemo tukio la kidhalimu RPC Tanga @ZACHARIABENARD dhidi ya @KomboChadematz . Hii ya "lazima akamatwe" Safi Sana! Huyu Je Vp?
Tweet media one
0
5
13
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
@SuphianJuma @TunduALissu Wewe pimbi huna hadhi wala hata uwezo wa kujibu hoja za Lissu! Kitu unachojaribu ni kujipandisha chati ili uonekane na wewe una ubavu wewe! Ni bure na hovyo kabisa uchawa uchwara unakusumbua tyy @HusseinAlly2014 @kighera50 @MmbettaJ @dammyG05 @izzytz @JoelHosea15141 @izzytz
3
3
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
@MsigwaPeter Mbona @JonMrema hakuwepo ulipoenda kulamba viatu vya @freemanmbowetz na wenzio @EzekiaWenje @HecheJohn na KAMANDA @godbless_lema ! Fake Pastor WIVU utakuangamiza kama alivyosema Elite @SigradaMligo @johnmwambigija Vp huko @ccm_tanzania wewe ni chawa wa @MSAMBATAVANGUJ . @bizy94
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
4
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
8 months
@MfanyakaziNews Kwa hiyo ! Watoto wake wanahusiks nini waķati Lisu baba yake ni myaturu wa Singida
1
0
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
7 months
@PMadeleka @judiciarytz Safi sana umewatega vyema nao wamekufuata mtandaoni kumbe umeshahamia huko juu. Wakufuate tena basi! Kiongozi wewe ni the Mostly Powerfully, Feared, Strategic and Controversial Advocate! Mu take kwa unachofanya sasa kuna sheria au kanuni itaanzishwa kwa ajili yako. 👏 👏 👏 👏 👏
0
2
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
10 months
@IAMartin_ @MMM Kama ni kweli huo ni zaidi ya unyama!
6
1
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
6 months
@fatma_karume Sasa kosa la TAL ni nini na yeye si alitaja Zanzibar! Shangazi Bosheni acha ujuaju hewa @HildaNewton21 naona karudi tena piga ya mwisho. Then achana nacho @RehemaNM2
0
2
15
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
2 months
Tweet media one
Tweet media two
0
3
14
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
Tweet media one
0
5
14
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
1 month
@HilmiHilal88 Yupo yule aliyekuwa OCD Magomeni naye alipasua na Risasi akiwa njiani kuelekea Morogoro, kabla hajafika kwa ABDALLAH ZOMBIE ambaye sasa hivi ni mchizi mox full! Pia kuna yule rafiki yake na @kighera50 76 naye yupo huko machame mara ajenge kaburi na kununua jeneza ! @joeselasini
1
5
14
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
3 months
Tweet media one
1
1
14
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
7 months
@PMadeleka Hii sasa ni Haki kwani Ulikuwa unawaonea mno, sasa hakuna kosa kujadili kwani wao wamekuja rasmi, naomba pia leo iwe ni siku [Rasmi] ambayo wameingia mitandaoni na itakumbukwa hivyo na source ni Acrobatic Advocate Peter Madeleka [Madeleka Mobile Law School] @judiciarytz
2
0
14
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
9 months
@Chahali Kachero.... wakipewa ndege Tausi # Ua la Tanzania hivi ilikuwaga tarehe ngapi ...... kwenye Sherehe Gani Tena?
0
0
11
@donminja47
AYATOLLAH DON MINJA
5 months
0
0
13